Kama mtu anakupenda kiukweli hawezi kuwacha kwa jambo lolote,pesa sio kila kitu huwezi nunua mpenzi,may God send u a woman who truly deserves u Clamvevo much love from Kenya ❤❤❤
Clam vevo you still have time relax God know more about your life,,,, MUNGU amekuwekea mke anayekukufaaa mahali pambana na Kasi yako❤❤❤ love from Kenya ❤❤
Ukimpata mwanamke wa hali ya chini mnyenyekevu mwenye bidii na upendo atakufaa. Zuchu angekupenda angekua naye hata kwa success yake. Kisha mwanamke mzuri ni mwenye dini na msimamo. Unajipa maisha ya kukukimbiza moyo mbio bure
Kavuu sana...Huyo hakuwa anakupenda Ulipokuwa kapuku sasa utawezaje Kumshobokea sai Mambo yako kwenye mstari...Uboya huo Tafuta Changa changa Isiyokuwa Maarufu utulize Boli wewe namna gani vp!!!
Dada Mbengo hujambo, from DRC🇨🇩 tunataka Vevo atuburudishe kwa vichekesho(comedy) maana uku nikama amelala, basi naamini langu hili litafika🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Kk love is better than money bas kma mwnamke ulitofautiana nae ksa pesa bas huyo niana true love bas huyo n atkusumbua Sana maisahan ila akae akjua tu ktkt maisha nkunakpnda nakuxhuka .kikubw bloo mim hpo naomba nkushaul kma mwanaume mwzangu kuw tafuta bnti mwingne ambaye ni atkuw nmzul zaid ya zuchu mbna walembo nwpo weng tu hpa dunian.kk najua niunaumia Sana mapenz hakka nyanaumiza Sana ilajtahd kuulazmisha Moyo wko kutokumwihtaj tena huyo zuchu hatimaye utazoea tu maana itafka htua n atakuhalbu ksaikolojia KABISa
Kaka clam nikushauli kitu kama mdogo wako watu huwa tunatafuta wanawake WA shida na raha SASA huyo zuchu ye hata akikubali kwasasa kwanini zamani asinge kuvumilia nakuomba achana nae jalibu kuuzuia moyo Wewe ni mwanaume tafuta make WA maisha
ivi WEwe unawaza zuchu kuna pesa apo ya kumleta zuchu kwenye mikono Yako uho ni ujinga kwanguvu unayo wewe unaweza kosa dike apo Tanzania mbona wewe unajina kubwa Fanya kitu ambacho kila mtu atakuelewa akupendi uyo 😭😭😭😭 nakupa pôle sn kwajina kako unafanya vitu vyakijinga tafuta mwamuke ambaye zuchu atashituka lakini wewe bado unashindana ju yamwanamuke
Clam relax mkeo mwema yupo mahali Mola kakuekea in shaa Allah 🙏 🙏 🙏
Kama mtu anakupenda kiukweli hawezi kuwacha kwa jambo lolote,pesa sio kila kitu huwezi nunua mpenzi,may God send u a woman who truly deserves u Clamvevo much love from Kenya ❤❤❤
Clam vevo you still have time relax God know more about your life,,,, MUNGU amekuwekea mke anayekukufaaa mahali pambana na Kasi yako❤❤❤ love from Kenya ❤❤
Clam Kiana mpambanaji ,nakupenda sana from Burundi ,tunakufatilia sana
Kaka uyo kwa sasa sio wako waachie wenye ela jitaidin kupambana na maisha kazi zako nzuri utapata umpendae
Clam kubali maisha yanapita tafuta watoto acha kulilia mademu
Wa kwanza leo like japo 5 jamani😢
Wacha ushamba wewe mbona unaishi kishamba like uzipeleke wapi
Nataka nimpelekee clam vevo mm shabiki yake namba moja❤
Clam sikiliza brother, zuhura alikiwa ameletwa kwako kukufungulia maisha yako 2 pengine mungu hakupanga uishi nae
Hahahahahaha..!
Upo kabisa kaka, usibanduke kwa uamuzi wako , hata asipomuacha we mnaendana sana kaka, tena unajibu maswali kwa uadilifu sana
CLAM VEVO really you inspire me to hustle and not going back again. May God bless you ❤❤❤
Chukua mtt yule mondi ana wengi.... ......appreciate brother 🤐🤨🎧🎧🎧🔥🔥🔥🤑
Ukimpata mwanamke wa hali ya chini mnyenyekevu mwenye bidii na upendo atakufaa. Zuchu angekupenda angekua naye hata kwa success yake. Kisha mwanamke mzuri ni mwenye dini na msimamo. Unajipa maisha ya kukukimbiza moyo mbio bure
I like the way u answer the questions Clam
Achana na zuchu kaka pesa yako ndogo mtoto ashajua kutumia na ww bado mtafutaji utapauka bureee endelea na maisha yako
Yy zuchu anamhusu nini ataka kiki tu
😆😆😆😆🤣🤣🤣🤣%100 100
Unamchukuliaje clam bro oya money kama alive anakulisha ww na familia yako ahaha usiongee ktu kuhusu uyo dog
Clam sijapenda🏃we pambana wifi yetu tutampata....mzuuuri tu umeandaliwa na Mungu
moyo ukipenda umependa mungu akipenda utampataa.🖒
Kisicho kuwa ridhi hakiliki😢 unaye mpenda hakupendi wanawo kupenda huwapendi😢 na imana kuna wenye wanakupenda clam wang🎉❤
haaa ka nyiimbo yangutu
Mwenzako kalia dullah makabila...
Clam pambana na maisha ma binti ni mengi utapata wa kwako.love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI
Nikweri mwezangu Mimi napenda watuwanasema kweri mimi piya ni wa Burundi rakini niko Zambia
Hapo Sawa my brother.ama tujipendanie ega na mimi Niko star in Burundi🤦.tena nacheza filamu kama yeye
Hapo sawa nakaribia kurudi kuona wajajiwangu vip ukowapi
Kumbe urinimano ukinaneja naje sami me love you somuch musohohe imba ndayibonye kubera atamugore fise movie mukina nizo mugorewaje
@@gogoloveofficial5666 gogo reka kuntwenza🤣🤣🤣
Nakubali sana kazi zako utafika mbali kisha mwika
Napenda sana kazi zako ,unajua sana nakuona mbali sana baada ya miaka 2, unakipaj sana❤❤❤
Clam achana na ayo bwana yasije yakakuaribia maisha
Mapenzi yanaumiza pole broo
Mwanangu clam achana na Zuchu unapigania nini pale ako na macho Kama kinembe chake si wakijuwa poa wechekelea acha zombi apige deki Mko wako 😂😂😂
Kavuu sana...Huyo hakuwa anakupenda Ulipokuwa kapuku sasa utawezaje Kumshobokea sai Mambo yako kwenye mstari...Uboya huo Tafuta Changa changa Isiyokuwa Maarufu utulize Boli wewe namna gani vp!!!
Clam tongoza zuchu bhana kwani shingapi huyo zuchu ni mvua chupi kama wengine 😂😂
Bro don't forget a girl. Am proud of u
Achana nae pumbavu atakuja kukufilisi tu endelea na maisha yako usipoteze muda kwa mpumbavu
Mpumbavu wewe mwacheni b zuu
Hahahaha duuuh hataree
Ndugu yangu clam vevo pambana na maisha achana namambo ya stress uata shuka kiwango cha uigizaji kk
Kuna ukweli nimeuona na ndicho kilichoniachanisha na mtu niliempenda "kuombwa pesa ambayo hauna" 😢😢😢
Claim ameumia.kama Makabila.Poleni sana.Nassibu Mke wake ni Tanasha na Zari wanawake hao 2 ndio wanawake bora kwake sio zuchu jaman.
Diamond ako Uhuru kuoa mtu yeyote yule
Dada Mbengo hujambo, from DRC🇨🇩 tunataka Vevo atuburudishe kwa vichekesho(comedy) maana uku nikama amelala, basi naamini langu hili litafika🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Clam relax mke mwema mungu hupeana
Weweee clam kujiamini muhimuuu❤❤❤❤ nakupenda bureeee
Pambana kipenzi cangu iko siku utapata inshaalah
Niko huku leo nampenda Clam vevo pia mimi nifikisheni 1000 subscribers
Mavi ya zamani hayanuki songa mbele
iyo kweli
Swadaktaa
Nakupnda Sana clam mungu akueke nafatilia Sana kazi yko
Cram me love you rakini zuchu achananaye hakufai
Fala
Kudadeki ubwa mnfiki mkundu kenge mchawi
Acha usenge ww
Siongei na ubwa naongea na mwenye ubwa
@@KwizerJackson-is7fh mbwa ni baba yako na mama yako fala ww
Relax kaka mola atakupa wako mzuri sana ww mwenyewe handsome bana
Hehehe..😂ndio maana mwakatobe hirudia msemo..."wee mchumba tuu..wewe zuchu" kumbe anjua😂😂😂...❤❤❤❤ From🇰🇪🇰🇪🇰🇪
😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Wa laaah 😂😂😂
😂😂😂ukorofii huooo
T'es vraiment décisive, j'aime bien ta réaction 🤗cleam,t'es un homme fort et sage!✨👌
😂😂😂😂
Mimi navyo muona zuchu na clam vevo awawez kukaa tena kwenye mpenz.Nakuamba CLAM acha kumufatilia uyo binti na uangalia mkee watayipi yako 👍🥰
Wewe clam tukiangalia levo zuchu nilevoyake clam anapesa zingmno
Kk love is better than money bas kma mwnamke ulitofautiana nae ksa pesa bas huyo niana true love bas huyo n atkusumbua Sana maisahan ila akae akjua tu ktkt maisha nkunakpnda nakuxhuka .kikubw bloo mim hpo naomba nkushaul kma mwanaume mwzangu kuw tafuta bnti mwingne ambaye ni atkuw nmzul zaid ya zuchu mbna walembo nwpo weng tu hpa dunian.kk najua niunaumia Sana mapenz hakka nyanaumiza Sana ilajtahd kuulazmisha Moyo wko kutokumwihtaj tena huyo zuchu hatimaye utazoea tu maana itafka htua n atakuhalbu ksaikolojia KABISa
Thanks vevo mm n fan wako
Mm na amini Clam 😊
Congolais 🇨🇩🫡🇹🇿
youtube.com/@Peggykid_?si=GjvBgqZ_vemWgDg2 ni sapotini na mimi djamani 😢
Ooh My Gosh pole sana kbx My friend 😢😢
Clam just move on my your best fan from kenya
Clam hebu songs mbele usigeuke nyuma ukigeuka nyuma utakutana na majanga
Clam utapata mwema na alie na kheri na wewe tatizo la watoto nyie usanii wenu upo mpaka ktk mapenzi
Claim vevo nakuelewa sana na naamini ipo siku zzuhura atakuja kwako
Wewe ni Noma sana clam vevo
Kaka clam nikushauli kitu kama mdogo wako watu huwa tunatafuta wanawake WA shida na raha SASA huyo zuchu ye hata akikubali kwasasa kwanini zamani asinge kuvumilia nakuomba achana nae jalibu kuuzuia moyo Wewe ni mwanaume tafuta make WA maisha
Pole kaka clam bt achana naye itakucost
Ww hujui kupenda😊😊😊😊😊😊
Tunataka picha kukiwa nayeye
😂😂balaa
Shenzi sijapenda unajieleza kama umefiwa😂😂
Bwana mdogo never give up
pambana kaka Allah atakubariki my brother
Oyaaaaaaa bro usilazimexhe mapenz tafuta mwingine akupendaye
ivi WEwe unawaza zuchu kuna pesa apo ya kumleta zuchu kwenye mikono Yako uho ni ujinga kwanguvu unayo wewe unaweza kosa dike apo Tanzania mbona wewe unajina kubwa Fanya kitu ambacho kila mtu atakuelewa akupendi uyo 😭😭😭😭 nakupa pôle sn kwajina kako unafanya vitu vyakijinga tafuta mwamuke ambaye zuchu atashituka lakini wewe bado unashindana ju yamwanamuke
Jamani kwani lazima?ndio unajiingiza km mtu umeachana nae yann umzungumzie?ushamba kweli😂
Mtangazaji hoyoo❤❤Clam atapata tu Ike mwingine men.
Sijapenda naenda nyumbani kula chapat na marage
Acha sifa,, zuchu sio level yako.
UKIACHWA achika rafiki yangu 😂
Clam vevo ni mwamba sana
Nimekuelewa sana na najua unamaanisha aisee una upendo sana na ndio maana unatafuta sana pesa😢
Itakua huyu Mwamba alikua anammendea Zuchu
Clam anaingia Kenya side gani jameni
We zuchu mshenzii 😂😂😂
Pole xna clam
Namm natambua ni jinsi ngan hisia za😢 mapenz znavyo uma
Pole xna mwamba clam vevo
🔥🔥
Clam my boy
kijana wa hovyoo😂😂
Clam njoo kwangu
Umekuwa mjinga mbona kama mtu hakutaki nn shida
😂😂😂Jeeh pole
Kupenda tabu jamani.🤗
Hili ni jinga kubwa li clam
We kenge tu sas demu kam mlikutan utoton ataka kukumbuka tafut maisha yako
Huyo n kenge kweli zuchu atuachie cc wenye Hela
Oooh!!!baba !kunbe wewe ni ex was zuchu?ila diamond hawezi kumu owa zuchu!ça je t'assure bro!🤗✨
Oyah ,bro pambana acha hizo mbon wanawake wengi
Jamani clam vevo wangu kaongea kwa uchungu hadi nimelia zuchu muhurumiee bxii mwenziyo😢😢
Tafuta mungine usifosi mapenzi yatakutesa kuwa mkomavu
Clam achana n zuchu ❤❤❤ zuchu akufai 😂😂
Clam anapendezea kufatilia mambo yake na sio ya watu
Hii ni kweli au 😂😂 make sielewi
Ngebe uhu 😮😮😮
Clam ww ni mweh kabisa, me nishabiki ako ila achana na huyo panya tafta mtoto mzuli! 😂😂😂
Dah poleni kakayangu clam tuliya utampata wakwako
Jamaa hivi upo serious au unatuchekesha
Nataka chapaaati😂, Naenda nyumbaaaani😂, sjapendaaa😂😂❤,
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@mudysaid6602 afu umecheka sana sjapendaaaaa
😆😆😆yani kama nakuona vile,mana nimekumbuka ule mchezo alipoingia kudowea wali🤣🤣🤣 hiii naenda nyumbanii
@@mudysaid6602 😂🤣🤣😂😅bila kuuliza foleni n ya nn🤣😂😅kwisha Mimi🤣😂clam jaman kiboko
Ok, mariam,pia nifuraha nimekutana nawe online toker's🤗🤗🤗tuko pamoja 😉😊🤗
😂😂😂😂hatari wanaokuamini kazi wanayo😂😂
Wamwisho leooooo japo like 1k😂😂
🤣🤣🤣 wee kuweza
Pole clam
😂😂 pole
😂😂 clam sio mjinga mpaka aongee ivyo kuna kitu anataka
Oya broo pambana hipo siku atakua katika mikono yako tuy
Diamond's words vijana tafuteni hela🤣🤣🤣🤣
Broh tafuta mwanamke level yko mwache zuchu ni wangu huyo 😂😂