MUNGU wangu kumbe katoto Ila napenda komedi zako nacheka sana,,, nikuombe tu kwenye maisha halisi usiwe muhuni vile kutembea na kila mwanamke usije ukapata ukimwi
Hongera sana nakutakia kazi njema na mafanikio mema kwenye kazi zako mimi ni shabiki Kati ya mashabiki wengine tunakuombea dua songa mbele usirudi nyuma
Wee mtangazaji wacha kumharibu huyu kijana... msitake kuharibu vijana wa Bongo kwa ujumla kishakwambia hajawahi usitake kumharibiya Zuhura jina lake ha haaa lakini huyu kijana kakupate. We MDADA Kachukuwe certificate ya kuwafanyia watu INTERVIEW. Umefeli....tena
Alafu sema mnafake sana. Hana utajiri wa aina yeyote. Hata Ile hurrier sio yake. Ile hurrier ni ya jamaa anaitwa @RICHARD ASHERI SANGA sasa ina uhusiano upi Na Ridhiwan Juma??
Kumbe clam katoto hata maongezi yake yanadhihirisha maskini, Mungu akufungulie kheri na mafanikio zaidi bro na wakwako hajazaliwa mungu atakupa kiulaini
Mi napenda chapati na maarage😂😂😂😂😂😂Zuchu kumbe alikua demu wetu manina tutabaki kua maarufu tuu hata wakitutangulia..sema nawakuli nyie majamaaa from +254
Huu ni upumbavu kweli. Unajitapa Kia umetembea na zuchu kwani nisifa? Huoni haya KUTOA AIBU zenu mtandaoni? Nahuyo hako kabinti kanako KUHOJI nipumbavu sana.
Watanzania baadhi yao sijui nini kwan sivitu vya kawaida tu ktk makuzi? Minapenda kazi zake napenda anavyo jituma.tuzungumzieni habari za kazi mambo ya mahusiano hayatuhusu na hayana mana youote kwetu.
Chibu kumbe anajua kapata, kumbe kapatikana Anadhani yeye ndio wa mwanzo kumbe kuna foleni nyuma yake Basi hata nyuma yake foleni ipo inaendelea Mzowea udalali hawezi kazi ya duka
MUNGU wangu kumbe katoto Ila napenda komedi zako nacheka sana,,, nikuombe tu kwenye maisha halisi usiwe muhuni vile kutembea na kila mwanamke usije ukapata ukimwi
Namkubal sana Clam Vevo,Anapenda Chapati Na Maharage
Kijana muelevu sana Mungu akupiganie kazi nzuri ❤️❤️
sana❤❤❤❤🤝🤝🤝🙏🏿🙏🏿
Islam nakupenda sana ukiwa kwa comedy zako zinanifuraishaka sana🥰🇦🇪🇧🇮🇧🇮
👍✌️
Naongea na uyu naongea wewe 😂😂😂😂😂
Eee mdogo wangu bola jenifa
Clam anapenda chapati na maharage unamwuliza ka Ako na mpenzi 💔😂😂😂😂😂
Nataka kwenda nyumbani 😂😂
Kumbe ni katoto, ndio maana anapenda chapati na maragwe😂😂😂
Clam I love you 😂😂😂😂
Hii comment inachekesha ukiisoma kwa kiingereza😂
Hapo kwa wema yani ninavyompenda huyo dada wema acha tuu ❤❤❤
Kicheche njoo u comment kwa mbwa huyuu
Sasa ukimuita mwenzako mbwa wewe utatakuwa we 🇸🇪👉
Clam hapendi waschana yeye anapenda chapati na maharage 😁😂😁😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Haahahahah
Hahahah Naenda Nyumbani
😂😂😂
🤣🤣🤣🤣ndiyo anapendaga
🥰🥰 nakupenda buree clam am watching from Kenya 🇰🇪 much love ❤
Naenda nyumbani kula chapati na maharagwe
Miye nakutongoza nakupenda saana ridhiwani💕💕💕💞💅
One love clam from Kenya🇰🇪🇰🇪
❤❤❤❤❤ daaah nimekupenda bureee uko vizuriii 2:09 2:24
Clam nakubali sana kazi nzuri hongera sana kana 🙏. 🇰🇪 🇰🇪
Daaah! Wewe dogo unanifurahishaga sana!...Excellent! Keep it up
am proud of you Clam,,,hujawahi kutongozwa Mimi Leo nakutongoza hadharani🥰🥰nakupenda mkakaaaa njoo ule Raha mtaa huu
Penda pepo yko haya ni ya dunia
Hongera sana nakutakia kazi njema na mafanikio mema kwenye kazi zako mimi ni shabiki Kati ya mashabiki wengine tunakuombea dua songa mbele usirudi nyuma
Wee mtangazaji wacha kumharibu huyu kijana... msitake kuharibu vijana wa Bongo kwa ujumla kishakwambia hajawahi usitake kumharibiya Zuhura jina lake ha haaa lakini huyu kijana kakupate. We MDADA Kachukuwe certificate ya kuwafanyia watu INTERVIEW. Umefeli....tena
Journaliste uhanze juwa kuhuliza mambo ya msingi.
Mtoto mudogo wa 21 bado anatamani wa mama zake?eti wema? We Clam pita uku
🤣🤣 by dulla
😂😂APITE HUKO
Muongo wewe unamsingizia zuchu wa watu pumbavu zako
Hio ni ukweli
@@paskalinapa6177 si kweli ataka umarufu tu
😂😂😂😂
Kwenda uko 2000 ni 21years ama 23 hujui Mimi ni wa 2000 na nko 23years muwongo
Usiseme katembea n wengi unaushaid gn waambie wakuonyeshe msg ndo useme zuchu anawengi
Bro let's keep moving, napenda kazi yako pia pia Mimi fun wako
You makes my day indeed loves you sana❤❤❤
Clam nimechoka kusubiriya bing boss Toka utoe ya8 zifwatazo sijuwe vipi
Wakwanza ku like nipeni like zangu
RIZIWANI 💋❤( CLAM)💯unawaeza hauna mpizan😅😅😅🥰
Alafu sema mnafake sana. Hana utajiri wa aina yeyote. Hata Ile hurrier sio yake. Ile hurrier ni ya jamaa anaitwa @RICHARD ASHERI SANGA sasa ina uhusiano upi Na Ridhiwan Juma??
We huezi fake ??si ufake na ww pia utudanganye una range sio shida zako😅
Uyu mwamb anajua
Clam at ur age unataman kuwa na mumama sepetu😂😂😂
Clam anajiamini kabisaa😂😂
Mlandiz unanikumbusha mbali sana nilikuwepo maeneo ya ruvu jkt hapo 😂😂
HAHA nimecheka sana atii nawatongoza akntukana. Haha kwanini jamani munamtukana nae ni binaadam km wengine
Ufff mm ni shabiki wake lkn ananichosha sauti yake tuu km mlevii
😂😅🤣🤣😂😂wadogo wanapenda wanawake wakubwa kuliko umri wao
Swadakta 😛🥰wenyewe wasema Hawana presha
Kumbe zuchu malaya kapandwa mdogo sana maana ww klam unamiaka 22 sasa huo muda muliodet mh mtihani
Excellent Clam keep it🥰🥰🥰🥰 l love watching your video much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Waaah kweli Zuchu kiboko ya mjini😂kashapendwa na nashnash wake inatosha
I do love your comedy shows keep it up from Kenya
Kumbe upo singlo clam mi nakupend bure unanivutiyag 🤣
Masha Allah nakupenda kijana wangu ridhwan nakuekea mschana wangu inshaallah
Kumbe clam katoto hata maongezi yake yanadhihirisha maskini, Mungu akufungulie kheri na mafanikio zaidi bro na wakwako hajazaliwa mungu atakupa kiulaini
Wallhi tena
Nakukubali san mdogo wangu 💪😂😂😂
Uyuu zuchu mara Mr pimbi tena clam naye 🤣🤣🤣🤣🤣
Pimbi n mtu naye kujpaisfa tu 😂😂 ndo maana akanyimwa kimo😂😂
Nakupenda sana clam 😍😍from Kenya
🎉umesema una mpenzii mi nadai Uwe mpenzii wangu😂😂😂 anyway napenda komedi zako Sana zanipa furaa wakati Niko na wowote
Nampenda uyu kjana nikimuona nahisi nimeona mtoto wangu Yan ana fanana sana na mtoto wangu
Ukute baba mtoto wako alichepuka akamzaa huyu kijana.
Nduni mbona kambae hili jina niliwai liskia,,,,sio upande wa ng'ombeni
kumbe ww ni katoto hvo ila me nakupenda Jaman 🥰🥰😋🙌
Clam nioe basi
Eti unamtaka mwwanamke yeyote
Kwanza anadanganya kuanzia umri
Big up man. Uo ndo uanaume we nimuwazi sana broh. Wala so kama unatafuta Kik we funguka mwamb!!!
Clam ametulia Sana👍🙏🙌
Napenda movie zao sana mungu akubariki Sana waenda mbali zaidi y hapo walipo
Mi napenda chapati na maarage😂😂😂😂😂😂Zuchu kumbe alikua demu wetu manina tutabaki kua maarufu tuu hata wakitutangulia..sema nawakuli nyie majamaaa from +254
Mimi huwa napenda sauti yako tu.
Huu ni upumbavu kweli. Unajitapa Kia umetembea na zuchu kwani nisifa? Huoni haya KUTOA AIBU zenu mtandaoni? Nahuyo hako kabinti kanako KUHOJI nipumbavu sana.
Kwahiyo loho imekuuma sana kala mzigo dogo kubali ukatae
Njoo huku kenya tunakupenda pumbavu zako wapi mbwa gogo
Aah mi clam natamani siku moja kuja kushuti na wewe siku moja
Kwani big ni nani?
Mimi apa nawapenda sana mungu awape uwezo tunafurahia sana
Poa dogo njamja
Huyu dada abadilishe KOFIA sasa hatujui kama za ndaaaan anabadilisha
Ahhhh kafeli....hata sijuwi nimuanze wapi 😂😂😂😂
Anatak mumzoee hivo hivo ili msimusahau
Clam mimi niko single na naitaji mtu ambaye atanitunza na kunipa mapenzi ya kweli
Una jua uyo klam nichi kweli jamani nilijua Ana igiza kumbe kichaa, Sasa Kama ame mtomba suchu sisi Ina tuhusu nini, Yani uhuu Ni usenge
Kaz nzur kaka napend michezo yako unafany vzr san
Clam kama mungu kakupa uwezo basi wasaidie ambao hawajiwezi😊
Iyeeeeeee wemaaaa😂😂
Mtu amuambie Cartoon ni msichana huku Kenya jamani.. mbona hauna ujumbe na maswali ya kweli
Hongera boy kwakazi yako endelea hivyohvyo nafatilia sana comedy zako nikiwa 🇰🇪
We Katto Tuliya Bwana Achana Na Awo Watakuuwa
Clam big up
Hahahahaha clam unachekexha kweli
Nahenda nyumbani ✌️😅
Haka katoto kanachekesha eti kanampenda wema baada ya chibaba ndio kenyewe😃😃😃
HUYU DADA MASWALI HAJUI KUHOJI NDO MAANA SOME TIMES KANAJIBIWA VIBAYA
Mhhhh watu wanasomeya namna ya kufanyia watu interview..lakini Bongo wanatuletea vichekesho saa nyingine 🤣🤣😂🤣
😅😅😅😅Ora vp muuni bigap san kak kwenye kaz zako 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Napenda comedy zako but usiwe Freemasonry
Mmmmmm
Aki ww wachekesha kweli
Nafkiri umerukwa na akili wewe,wajitafutia umaarufu tu kujidai nimetembea na zuchu,soo
Wow
Umezaliw 2000 muongo mbwa wew
Kama so kenyewe nyoko baati yako
Clam force à toi bro 👊✨❤
clam Vevo unacho ongea nikweli🇹🇿🇹🇿🇹🇿 mimi ni congomani 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Unajisifia zinaa mtoto wa kiislam
Watanzania baadhi yao sijui nini kwan sivitu vya kawaida tu ktk makuzi? Minapenda kazi zake napenda anavyo jituma.tuzungumzieni habari za kazi mambo ya mahusiano hayatuhusu na hayana mana youote kwetu.
Bado mtoto sana huyo
2000. Ndio miaka 21 jmn 😂😂😂😂😂. Acheni izo
22 hata mi wa 2000
Hahaha
Clam acha uhuni wewe " hiyo akaze, akaze tu ili mradi aendelee kushikilia ujiti" ni mchomekeo kimtindo🤣🤣🤣🤣🤣
Ila ikramu isipende sana kuwa na mahusiano ya wanawake wakubwa na hawa wasanii achana nao
😂😂😂😂😂😂Ila clam bwana adi kwenye interview unachekeshaga aya chibaba kuja uone huku chimama wako anapedwa uku
Ywabamba🤣🤣🤣🤣🤣
@@vanessamadialo1880 😂😂😂😂atali
🤣🤣🤣🤣🤣hii interview inabamba
😂😂😂😂😂😂😂😂Nmecheka ajabu ananifulahishaga sana
Naitaji jimama la mchongo Niko na nyege sana
Bwamdogo fanya kazi vimada watakushusha vyeo
Ukovizul ila punguza utaira
Wewe Clam 😂😂😂 ume tongoza paka Jenifer??? Uta uponza 😂😂😂
Mm nakutakia SASA sana wewe Mtoto
Mpenzi wa chapati na marage uyo
napenda ucheshi wako sana CLAM
Ukweli Clam vv hanaongoza kbs kwa komedy
Hapo kungekuwa na maharagwe inge kuwa poa
Nataka mawasiliano n clam
Clam umezaliwa mm ndio namaliza shule darasa la saba mweee
Chibu kumbe anajua kapata, kumbe kapatikana
Anadhani yeye ndio wa mwanzo kumbe kuna foleni nyuma yake
Basi hata nyuma yake foleni ipo inaendelea
Mzowea udalali hawezi kazi ya duka
Haaa haaaa nimeipenda... (mzowea udalali hawezi kazi ya duka).lakini sijuwi kama wengine wamefahamu....hapo..😂😂
Hamna kitu apoooo
Wew siyo kwer hapo kadangany ili kupata content ya kutrend mjin