@@mosesnyelo1380 we jinga kama majinga mengine duniani ivi tangu madini yana chimbwa nchi hii ni rais Gani aliwaikukuambia pesa iliyopatikana na hao madini imefanya kazi Gani ktk kusaidia jamiii ,alafu nenda school ujue faida za kumiliki settlite kama nchi na kazi zake katika jamiii 🤔jinga ww..
Hawo wezi tu ukifuatilia utagundua kulikuw na upigaji tu hapo hakun lolote ndio maan wameamua kununua kununua chombo kikubwa ili kutufanya tusiwaze san bei yake ht kama itakuwa kubwa
BILIONI MIA4 NA NI MITAMBO MITANO IME NUNULIWA WAKATI WABONGO WANAKUFA NJAA ISJEKUWA HATA INAUZA MILION 50 HALAFU WAZEE WA RICHMOND WAKALA MLIONI MI350 POLE YETU TULIO KOPA BANDO
Sasa sisi tufanyaje inatusaidia nini wakati taarifa za CAG tirion zaid ya tatu tumepigwa afu wewe unasema sijui kidudu cha kuchoronga kwahio tufanyaje kama tayari tunavitu ambavyo vinapatikana tz pekee tunavisikia lakini hatuoni faida kwa mfano tanzanite sasa hicho africa
Afirca kusini mbona ipo amfanyi utafiti mnadanganya watu
Elewa kiswahili mutambo mkubwa Africa acha unafiki wakulikandia taifa lako
Nikajua Tanzania ni nchi ya kwanza kwa Africa kulusha settlite yake kumbemtambo wakusaidia waiz walasilimali zetu😊😊😮😮
Katka vilaza wew unashika nafas ya kwanza satellite itakusaidia nin kijana, huo mtambo unaenda kusaidia wale wanaojua kuzisaka pesa migodini
@@mosesnyelo1380 we jinga kama majinga mengine duniani ivi tangu madini yana chimbwa nchi hii ni rais Gani aliwaikukuambia pesa iliyopatikana na hao madini imefanya kazi Gani ktk kusaidia jamiii ,alafu nenda school ujue faida za kumiliki settlite kama nchi na kazi zake katika jamiii 🤔jinga ww..
Inamaana Hata wenyewe waliotengeneza huwo mtambo hawana
ELEWA... TANZANIA NDIYO YA KWANZA KUNUNUA, LAKINI SI KWAMBA HAKUNA MITAMBO MENGINE INAYOSUBIRIA WATEJA WAINUNUE.
Hongera mheshimiwa rais
Mozambique zipo tena za kusachia.
Tuma picha tuone
@@mosesnyelo1380😂😂😂😂
Acha ujinga millard, ungetudanganya kwakusema Tanzania nchi ya kwanza kutengeneza apo sawa lakini sio kununua.
Hawo wezi tu ukifuatilia utagundua kulikuw na upigaji tu hapo hakun lolote ndio maan wameamua kununua kununua chombo kikubwa ili kutufanya tusiwaze san bei yake ht kama itakuwa kubwa
ONGERA TANZANIA tunasonga kimya kimyaaa, Mama safi sana na ongera sanaaaa
Ishu sio kununua, watu wanataka matokeo
Mama anajitahid ila walioko nyuma yake sasa bas tu
Daaah siamini kama Tanzania ni ya kwanza kuliko hata South Africa
Kwani hizo takwimu mnazitoaga wapi Kila kitu wa kwanza kununua ,,utafikiri hicho kiwanda Cha kuzalisha hio mitambo mnakimiliki ninyi
Msikosoe san zingatien technolojia hii huend zipo ila hii ni new modern ina vitu tofaut na zingin
Kwaiyo ni mtambo tu mmoja Tanzania nzim
Hivi ni kuchoronga au kuchonga?!!,mbon munatupotoshea kiswahili chetu
Daaah jmn wale wachimbajiii wenzangu kumenoga huku .....
Kila kitu tunamshukuru rais, sasa apa ameusikaje achen kutuona wajinga ,wizi tu kutuonea huruma haaaa
BILIONI MIA4 NA NI MITAMBO MITANO IME NUNULIWA WAKATI WABONGO WANAKUFA NJAA ISJEKUWA HATA INAUZA MILION 50 HALAFU WAZEE WA RICHMOND WAKALA MLIONI MI350 POLE YETU TULIO KOPA BANDO
Sasa sisi tufanyaje inatusaidia nini wakati taarifa za CAG tirion zaid ya tatu tumepigwa afu wewe unasema sijui kidudu cha kuchoronga kwahio tufanyaje kama tayari tunavitu ambavyo vinapatikana tz pekee tunavisikia lakini hatuoni faida kwa mfano tanzanite sasa hicho africa
Kwamba Tanzania ndio nchi ya kwanza huo ni uongo,😅
Achini ujinga nyie Zambia imejaa Hadi screeper zipo hujui lini ulitemberea migodi ya nchi jirani we Kaa oficini u're kiyoyozi 😂
nchi ya tanzania ni hovyo!! Kitu kidogo kama hicho ni cha kufanyia siasa?
Mnapendaga sifa bila kufanya utafiti. Wapuuzi nyie
Huo ni uwongo driller zpo kibao
Acha uongo eti Tanzania niyakwanza Africa
Wakwanza kutumia mikataba ya hovyo kunafaida gani
Kara kuu mkuru kukuruka mwanangu
Mhhhhhhhhh?