Mimi Nina swali nilinunua kiwanja kilikuwa kimesha rasimishwa kabisa Sasa wakaja kumirikisha wananchi maeneo yao Ila kwa bahati mbaya kwenye eneo langu wakasema barabara inapita na mpaka Sasa sielew chochotee maana walisema watatupa viwanja vingne lakin mpaka Sasa kimya,sasa nifanyaje ili niweze kupata haki yangu
Tupo sahihi kabisa broh
Mimi Nina swali nilinunua kiwanja kilikuwa kimesha rasimishwa kabisa Sasa wakaja kumirikisha wananchi maeneo yao Ila kwa bahati mbaya kwenye eneo langu wakasema barabara inapita na mpaka Sasa sielew chochotee maana walisema watatupa viwanja vingne lakin mpaka Sasa kimya,sasa nifanyaje ili niweze kupata haki yangu