INATISHA! FREMU ZAHARIBIWA MIKOCHENI, WAKILI MADELEKA AINGILIA KATI, FIDIA ZAIDI YA BILIONI 2 KU....
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ต.ค. 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►TH-cam: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Kumtoa Jerry Slaa kwenye hiyo wizara ilitosha kabisa kuona serikali haiko tayari kupambana na migogoro ya ardhi
😂umejuaje ndg yangu hii serikali ni ya namna ya ajabu duniani...
@@NixonJohnson-r4m ukifanya kazi serious unatolewa unaonekana unakua maarufu kumzidi raisi ivyo unatolewa hakuna kusikika sana hadi yule makonda kwa wanaomjua alivotoka iyo likizo kaufyata kaamua awe afisa utalii sio kupambana na wanaotesawanyonge tena.
@@fahadfaraj6474
Wakati akitenda haki akivunja mpaka za vigogo na wakubwa akirididhia wenyewe wanyonge that why walimtoa kwa kuwa akifata sheria msumeno😂😂😂
Hii ndio Tanzania angekuwa magufuli wangekoma
@@FatimaAli-of4gh nchi za kiafrica wanajiita viongozi ni wahuni na vibaka wenye mamlaka
Edward Mushi karudi tena? Jerry Silaa alimkamata na kumtaja kama tapeli mkubwa wa ardhi Dar..!!
Tatizo kwenye nchi yetu mtu akionekana anasaidia wananchi wakubwa wanamtoa ili watu wateseke tu,Jerry slaa alijitahidi kusaidia watu ktk nchi hii,kwasasa hata sijui waziri wa Ardhi nyumba na maendeleo ya makazi,sijui anafanya kazi gani🤔🤔🤔🤔🤔
Ni kweli kabisa, Jerry slaa alisaidia sana watanzania kwenye wizara hii ya ardhi.
Mama hataki kufunikwa, kazi yake ni kuzima kila nyota inapong'aa.
@@RubenMtuwaMungu-bz8ee
Lakini mazuri yote yaliyofanywa na Jerry slaa, yalikua yanaipa sifa serikali hii.
Huyu jamaa wa mwisho anajua kuelezea na kichwani very bright
Huyu Dogo yuko vizuri sana and he sounds legalise hii ni kesi nzuri sana ikimpata wakili mbishi Kuringe ni mvamizi na atatupwa nje upon court being just and fair
waliomtoa slaa kwenye wizara nimatajiri mama aliambiwa tu
Mwenzenu Dar siijui. Hiyo Mwai Kibaki inakutana na Ali Hassan Mwinyi Mikocheni kwa Mwalimu?
Hata kama huyo anayedai amenunua hiyo ardhi /eneo. Iweje avunje nyumba usiku ambayo inakaliwa na watu na mali zao? Na hata kama ameuziwa, wapangaji wana haki pia.
Mama Wa Kambo Mpk Najisikia Kucheka🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂
Hii nchi ina shida jamani! Hivi unawezaje kufanya hayo huku kesi ipo mahakamani?
Hela zina jeuri sana. Bila hela hauwezi kufanya hivi.
Jeuli wanajua shelia ina ufa haina meno ndio maana wana jeuli ya kutosha
Jamani hizi tamaa, ubinafsi,🎉 kuvuruga families. Why? I hope family will be rightly compensated.😡😡
Ajira nguumu wanaajiriwa kuvunja usiku
Kesi za aridhi nchii zinaleta umaskini wa akili mwili na robo.
Kwa baadhi ya wabongo wengi mara nyingi huwa wanatumia hisia ktk kufanya jambo badala ya kutumia Akili, kwasababu wengi wao hawajaelimika kuhusu sheria na hawana ustaarabu na kufuata sheria.
Intelijensia ilikuwa imelala muda huo!! Eeh Mola tusaidie😢😢😢
Hiyo itelijenjensia ni ya umbea2 kuchunguza kina mbowe wanasema nini.
Usiseme mama wa kambo sema mama mdogo au mlezi
Watanzania wazito sana kufuata sheria
Washenzi yaani Binaadamu kama Wanyama Hawana Iman
Mambo haya yamekuwa mengi sana sijui Kwa nini, auction marts zingefungiwa kwanza ndiyo source ya matatizo mengi sana kama haya..
Naombeni kazi ningeuwA hata watatu ndipo selikali ije .bila hivyo mtasubili sana
😂😮❤hawa ni wahanga na serikali ndio inataka hivyo...
Kila kitu serikali acheni bwana, ikiwa hivyo kunasiku tutachukuliwa wake na hiyo tutaituhumu serikali
Nchi haifuati Sheria ndio maana watu wanafanya wanavyotaka.
Ndo maana watu wanaamua kujichukulia sheria mikononi maana kuna mambo yanachosha na unaona kama sheria inachelewesha maamuzi😢
Mlinzi wenu hana bunduki
Kazi iendelee tutafanyaje sasa
Enzi za Jerry hii kitu siku tatu tu, inaisha.
Jerry ndio nani wewe boya na haya yanatoka wapi kama hayakuwepo acha siasa kwenye mambo ambayo yanahitaji utaratibu wa kisheria
Kumbukeni ya kwamba ardhi tutaiwacha awache kujifanya mbabe😢😢😢
Uliokua hujui
Serikali si ipo sisi yetu macho
Iko wapi Serikali?
Sana hao walinzi walikua wanakazi gani mana kulinda kumewashinda
Mama wa Kambo Oyeeeeee
JERRY SLAA ALIPOTOLEWA TU NIKASEMA SASA UWONEVU WA ARDHI UMERUDI
Mnaenda kuomba kura.Lkn kila kitu mmeshindwa.Hamjui kuwa.mna jukumu la kulinda raia na mali zao ?
🙄
Tunyamaze tu!
Inaonekana huyu mama anapangiwa nani amuweke wapi na nani amtowe
Matatizo ya Mirathi ni shida ya Mahakama zetu kutokutenda haki .Haya matatizo yapo nchi nzima. Na wanunuzi wa mali wawe na ufuatiliaji wa sehemu wanazonunua wasiwe wababe kununua mali za watu kwa viburi vya uwezo. Kuna Mkuu mmoja mstaafu kanunua mali ya watu kibabe ndio maana naongea haya
Kununua mali ya urithi inaitaji umakini sana.
@@ikungetajohnluketa8601 Sana na sio tu ya urithi ila kununua Ardhi nyumba inatakiwa kujiridhisha na anaekuuzia ni mmiliki halali ?
Investment environment in Tanzania.
Yaaaani Hapo Wanaojiita Mainvestment Wamevamiwa Asaivi Wanataka Wakikujengea Hakuna Kikomo Cha Mkataba Hawa Si Wezi Hawa Sie tumewafukuza Nyumbani Tumewaaambia Watuwache na Umaskini Wetu
Jerry, Jerry,Rudi baba
Waziri aliekuepo sasa hivi Anakaa ofisini tu
Yaan uyu kuringe nae amekua kama kirusi...ni mvamizi kweli wa Ardhi
Kweli inasikitisha ,tumefikia mahali kuna wale wanaojifanya wako juu ya sheria na yote hayo ni uongozi huko chini haufanyi kazi wako kimaslahi zaidi.
Ndo tatizo la mali za urithi. Hapo kila mtu angetafuta chake mapema wala huu ugomvi usingetokea mzee yeye angeendelea tu kugombana na mkewe basi. Na kama mke angeuza vyite basi watoto wangemlea baba yao wakiwa makwao
Wameona sheria hazifuatwi wakaamua kufanya mwenye nguvu mpishe. Wanasema kuku mkubwa alimfundisha kuku mdogo ku........
MBONA MNAKUWA WASENGE DSM? KWANINI MSIWAUWE?
Hawa kiboko yao ni slaaa
Sasa sungu sungu wanachukua ela za nini
🍺🍻
Serikali mnataka ifanye nini wakati kesi ni ya watu waliouziana wenyewe?
Kila kitu mnataka serikali. Kesi ya hapo ni umiliki wa ardhi. Kuna mtu alinunua na waliouza. Kwahiyo ninyi wakamateni hao wawili muuzaji na mnunuzi.
Uko sahihi. Ila unakosea: kuvunja usiku sio sahihi
Wewe hujui Serikali ni pamoja na jeshi la police
Fidia itamlamba shenzi huyu Bora wangetumia utaratibu na wapangaji wakisema wameibiwa hela hachomoki
NAOGOPA KUKOMMENT MAANA NDG YENU NDIYE ALIYEMWUZIA KURINGE KWA KUTUMIA JINA LAKE , SASA MLITAKA KURINGE AANZE KUTAFUTA MTU AMBAYE HAYUMO KTK UMILIKI WA HATI? HAPO MWELEWANE NA NDG YENU AWAGAWIE MNACHOKILILIA AMA AMLIPE KURINGE PESA YAKE NA FIDIA ZAKE KWA KUMSABABISHIA HASARA .
Mademu wabovu kwakujifanya wanajua kuongea kingereza 😅pyeee
😂😂😂😂
Hao wakamatwe kama majambazi
Baba yenu kauza na baba yenu mzima tatizo nini?Watoto,tafuteni zakwenu.
Sikiliza vizuri...