UJIO MPYA WA CLOUD 112: ''Gabo hana mpinzani kwa sasa BONGO''

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 19

  • @uhktymohamed6526
    @uhktymohamed6526 6 ปีที่แล้ว +5

    mashaallah unamoyo wa kipekee kumsifia gabo duma jinyonge

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 ปีที่แล้ว

    Eeh kumbe Yupo😍hongera sana

  • @adamsclassic9306
    @adamsclassic9306 6 ปีที่แล้ว +4

    Kwel Gabo yupo juu ila #Usijisahau Gabo

  • @hafsaramadhan6369
    @hafsaramadhan6369 6 ปีที่แล้ว +6

    Cloud mbadilishe mkeo awe ni mwenye kujistiri

    • @canibalgazaboy8325
      @canibalgazaboy8325 5 ปีที่แล้ว

      Jistiri wew kwani unamuona anamapungufu gani kikubwa kujiheshimu tu unaweza kujifunga maushingi yako ukawa huna maana kwenye jamii ,siyo kila kitu ujifanye wew unajua Sana kuliko watu wengine .

    • @sidratybinkhamis2837
      @sidratybinkhamis2837 4 ปีที่แล้ว +1

      Mwanamke stara

  • @LoukizZy55
    @LoukizZy55 6 ปีที่แล้ว +4

    kweli Gabo yuko juu

  • @rhemaaed221
    @rhemaaed221 6 ปีที่แล้ว +1

    Hongeren sana

  • @asianassoro153
    @asianassoro153 6 ปีที่แล้ว +4

    mtangazaj ana heshima sana

  • @norahkalunde3845
    @norahkalunde3845 6 ปีที่แล้ว +1

    napenda kinachofanywa na cloud bigup

  • @kingofkings7525
    @kingofkings7525 6 ปีที่แล้ว +1

    Kweli sifa umfanya mtu kujisaau ndio.

  • @radhiasalum833
    @radhiasalum833 6 ปีที่แล้ว

    umependeza aunty Amina😍😍.hongereni kwa filam mpya.Radhia mbarouk kutoka pande za swiden.👍

  • @hamedmohammed8912
    @hamedmohammed8912 6 ปีที่แล้ว

    Sawa nkkubli sana broo we tuandlie kazi turzke. Nwkubl wote ww n gabo

  • @gavanashy3197
    @gavanashy3197 5 ปีที่แล้ว

    Brother namkubali xana aisee

  • @khamisalaamri3913
    @khamisalaamri3913 6 ปีที่แล้ว +5

    clouds ..mkewe wa saiv...ni mkubwa ki umri...kamziidi mume kiumri..wamefanya sunna

  • @munnawwaryaqoob3414
    @munnawwaryaqoob3414 6 ปีที่แล้ว +1

    Achani wizi basi unaogea sana

  • @abdulrahmanilikavala7317
    @abdulrahmanilikavala7317 6 ปีที่แล้ว +1

    Tunaisubiri kwa hamu kubwa sana

    • @abdulrahmanilikavala7317
      @abdulrahmanilikavala7317 6 ปีที่แล้ว

      Pia nikati ya wasanii ninaowakubali sana kwa kazi sake huyo jamaa hajawahi kupotea kwenye kazi zake

  • @khamisalaamri3913
    @khamisalaamri3913 6 ปีที่แล้ว +3

    huyo mkewe ana watoto wakubwa...wanaishi marekani