JE MATUNDA YENYE SUKARI YANAFAA KWA MGONJWA WA SUKARI? DR. NATURE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
  • KIPINDI BORA CHA AFYA YAKO NA ROMBO MISSION TV

ความคิดเห็น • 73

  • @theresiakessy4747
    @theresiakessy4747 4 วันที่ผ่านมา

    Asante sana mungu akubariki tunateseka sana wagonjwa wa Kisukari madocta wanatuchanganya sana eti wanatuambia tusile tunda lolote lenye sukari .wewe umelezea kiusomi zaidi nitakutafuta

  • @HadijaRamadhani-vt7ub
    @HadijaRamadhani-vt7ub 20 วันที่ผ่านมา

    Asante sana nitaanza kutumia hivyo mungu akubariki nilikuwa naogopa sana papai

  • @SophiaMsophe
    @SophiaMsophe 27 วันที่ผ่านมา

    Nitakuja baba mungu akubariki

  • @ElizabethKulaya-l1o
    @ElizabethKulaya-l1o 19 วันที่ผ่านมา

    Asante sana

  • @blancaurassa5317
    @blancaurassa5317 ปีที่แล้ว +2

    Safi sana Dr nitakupigia.

  • @emachangale769
    @emachangale769 ปีที่แล้ว +2

    Dr hongera Sana.Nimekuelewa vizuri.

  • @yohanamwakanyelenge3786
    @yohanamwakanyelenge3786 4 หลายเดือนก่อน +2

    MUNGU akubariki naamini napona endelea na masomo

  • @SivaikyakoMumbere
    @SivaikyakoMumbere 3 หลายเดือนก่อน +1

    aksante sana

  • @FidelineBitendanwa
    @FidelineBitendanwa หลายเดือนก่อน

    ASante sana doctor 🙏

  • @JulianaApange-bn8qh
    @JulianaApange-bn8qh 2 หลายเดือนก่อน +2

    Samahan dokta vip kuhusu sukari ya mimba

  • @Ruthmpoa-sv9ul
    @Ruthmpoa-sv9ul 10 หลายเดือนก่อน

    Wa nimefurahia funzo yako, nasikia nimepona ata sija jaribu thank you, mimi hapa uloss hope

  • @mapendoumoja800
    @mapendoumoja800 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana Doctor

  • @assleeali2302
    @assleeali2302 3 หลายเดือนก่อน +2

    Doct mm nimekuelew lakn mbon mnatuchanganya sanaaa ww unasema mayai hayafai ila madocta wengin wanasem hayana tatizo wenvin wanasem ndiz hazifai ww unasema hazina tatizo nan tumuamini???

    • @rosemarysulle9288
      @rosemarysulle9288 2 หลายเดือนก่อน

      Anawapotosha huyo.yy anashauri mgonjwa wa kisukari ale tikitimaji,kitu ambacho madaktari wengine wanakataza na ndo ukweli.huweze kuwa na sukari nyingi mwilini,na bado unaiongezea.

  • @vicentjackson6538
    @vicentjackson6538 15 วันที่ผ่านมา

    Habari, naomba namba

    • @rombomissiontv
      @rombomissiontv  15 วันที่ผ่านมา

      0767 759 137 Dr. Nature

    • @rombomissiontv
      @rombomissiontv  15 วันที่ผ่านมา

      0767 759 137 Dr Nature

  • @alimuhammad5890
    @alimuhammad5890 2 ปีที่แล้ว +1

    Doctor hizo mboga hazitakiwi kuchemsha

  • @doctorngowi4870
    @doctorngowi4870 หลายเดือนก่อน

    Unashauri vizuri sana sana namba ya simu tunaomba

    • @rombomissiontv
      @rombomissiontv  หลายเดือนก่อน

      Dr. Nature 0767 759 137

  • @afyanimaarifa6398
    @afyanimaarifa6398 2 ปีที่แล้ว

    Nadhani ni Bora kujaribu vyote na kuchagua kile kilichokupa matokeo mazuri
    Nadhani hata hao wanaoshauri tofauti na wewe kama wanawapa matokeo mazuri watu, sio shida
    Ninavofahamu ukila vizuri ndani ya siku7mpaka10 utapata matokeo na ukila vibaya vilevile utapata matokeo mabaya ndani ya mda mfupi

  • @astelliaadrea5478
    @astelliaadrea5478 2 ปีที่แล้ว

    Nimelipenda hilo somo

  • @omemewilliam6645
    @omemewilliam6645 ปีที่แล้ว

    Dr naomba hiyo product nitapataj

  • @johntomas6461
    @johntomas6461 ปีที่แล้ว +2

    Habali Dr Mimi nilipimwa sukali wiki iliopita nikaambiwa Nina sukali ilikuwa inaonyesha 19,9 nikapewa vidonge vya mwezi na nikaambiwa kila siku tano nikapime samahani nilikuwa naomba namba Yako Dr Kwa ushauli zaidi samahani

  • @JessicaJuma-jo1yx
    @JessicaJuma-jo1yx 2 หลายเดือนก่อน

    Naomba namba doctor nimekuelewa

  • @khadijasadick8546
    @khadijasadick8546 2 ปีที่แล้ว +1

    Dr me sukari yang iko chin nifanyaje ili iweze kua sawa

    • @rombomissiontv
      @rombomissiontv  2 ปีที่แล้ว

      Tutakupatia namba za Dr umpigie kesho tafadhali

  • @jamilaayahya650
    @jamilaayahya650 4 หลายเดือนก่อน

    Naomba namba

  • @omemewilliam6645
    @omemewilliam6645 ปีที่แล้ว

    Naomba namba ya simu

  • @jumakatabi-df2no
    @jumakatabi-df2no ปีที่แล้ว

    naomba namba sim

  • @BonnyMwajombe-iu7hb
    @BonnyMwajombe-iu7hb หลายเดือนก่อน

    Dogo acha bangi

  • @MaryTango-e1o
    @MaryTango-e1o หลายเดือนก่อน

    Dactari ukila tunda lenye sukari sukari inapanda inatakiwa ule kiasi gani

    • @rombomissiontv
      @rombomissiontv  หลายเดือนก่อน

      Namba za Dr. Nature hizi hapa 0767 759 137 mpigie tafadhali

  • @sandaymgunyi6268
    @sandaymgunyi6268 หลายเดือนก่อน

    Eeeee

  • @CreshaRevelian-wb6ky
    @CreshaRevelian-wb6ky 9 หลายเดือนก่อน

    What is stem cell and its effects

  • @omemewilliam6645
    @omemewilliam6645 ปีที่แล้ว

    Na bei yake

  • @abuuhussein2246
    @abuuhussein2246 ปีที่แล้ว

    Ugk nitaipataje niko mombasa kenya

    • @rombomissiontv
      @rombomissiontv  ปีที่แล้ว

      Wasiliana na Dr Nature kwa namba hii +255 767 759 137

    • @lilianlyimo1834
      @lilianlyimo1834 ปีที่แล้ว

      Nateseka nitakutafuta

  • @happinessedward5696
    @happinessedward5696 ปีที่แล้ว

    Dr. Asante sana kwa somo zuri la tiba ya kisukari. Mimi ninahitaji hiyo UG CARE nipo Dar nitaipataje. Nimejaribu sana kukupata kwenye cm ila cm yako haijibiwi nifanyeje na gharama za hiyo UG care ni shs. Ngapi kwa dozi na nitahitaji dozi ngapi? Tafadhali naomba majibu.

    • @rosemarysulle9288
      @rosemarysulle9288 ปีที่แล้ว

      Nakuomba umtafute Dr Boaz Mkumbo bingwa wa ugonjwa wa kisukari,ukifanikiwa kufika kwenye clinic yke,utanishukuru siju moja.nakuhakikishia Happiness utapona tena kwa vyakula tu.ingina TH-cam andika Dr BoazMkumbo MD.utampata.unapona

  • @omemewilliam6645
    @omemewilliam6645 ปีที่แล้ว

    Naomba hiyo uG care na Bailey yake

  • @mapendoumoja800
    @mapendoumoja800 ปีที่แล้ว +1

    Nipe number yenyekujaa ya Phone📱

  • @adelinamtabingwa8648
    @adelinamtabingwa8648 ปีที่แล้ว

    Df

  • @rosemarysulle9288
    @rosemarysulle9288 ปีที่แล้ว

    Dogo acha kudanganya wagonjwa.matunda yenye sukari acha hta karot acha kbsà

    • @rombomissiontv
      @rombomissiontv  ปีที่แล้ว +1

      Ungewasiliana na Dr akujuze kwakuwa ni taaluma yake kuliko kumlaumu madam

    • @rosemarysulle9288
      @rosemarysulle9288 ปีที่แล้ว

      Asidanganye umma,mgonjwa wa kisukari huwezi na huruhusiwi kula wanga yoyote ile,wala matunda yenye sukari.mwili wko tayari umekinai sukari,bado unaumiminia tena sukari huez pona.miili yetu huwa haijui kupambanua sukari ya miwa,au ya embe au ya tikiki,sukari ni sukari ikishaingia mwilini ina madhara sawa.kwaushauri naomba utafute kitabu cha sayansi ya mapishi kwa wenye changamoto za sukari.kitabu cha Dr Boaz Mkumbo MD,utaelewa namaanisha nn.

    • @yvesyveravesron5854
      @yvesyveravesron5854 2 หลายเดือนก่อน

      Dr kafanye tena tafiti kabisa ,matunda yasukari kama embe, ndizi, watermelon....yanapandisha sukari sana. Kale alafu upime glycemic

    • @kautharjay5868
      @kautharjay5868 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@rosemarysulle9288usimponde Mimi mama angu anaugonjwa wa sukar tangia 2015 alilazwa mloganzila tukaenda clinik akaruhusiwa kula vyakula vyote na akapewa sindano akatumuia . nashukuru Mungu kwa Sasa hatumii dawa yoyote na sukar yake tukimpims Tano kabla ya kula.kwaiyo kila mtu anasukar yake

    • @rosemarysulle9288
      @rosemarysulle9288 2 หลายเดือนก่อน

      @@kautharjay5868 hapana nakataa kabisa.mgonjwa wa kisukari huwezi kumpatia matunda yenye sukari.

  • @salamahilal7867
    @salamahilal7867 ปีที่แล้ว

    Dr please tel no

  • @rosemarysulle9288
    @rosemarysulle9288 ปีที่แล้ว

    We wadanganye

    • @GilbertMwashambwa-un4of
      @GilbertMwashambwa-un4of ปีที่แล้ว

      Unapochangia kwa kusema wadanganye unamaanisha nini? Au kwa kuwa wewe unataka kutupatia ukweli upi..

    • @rosemarysulle9288
      @rosemarysulle9288 ปีที่แล้ว

      @@GilbertMwashambwa-un4of Anawapoteza,fuata masharti yaDr Boaz Mkumbo,wengi wamepona kisukari.kwa hayo masharti ya vyakula vyake bado wanga ipo palele,,huezi pona.

    • @kautharjay5868
      @kautharjay5868 2 หลายเดือนก่อน

      kuwa mstarabu kila mtu na ujuzi wake na watu wanapona

    • @rosemarysulle9288
      @rosemarysulle9288 2 หลายเดือนก่อน

      @@kautharjay5868 huwezi ukawa una sukari sukari nyingi mwilini alafu unatumia vitu vyenye sukari tena.huo ni uongo asiwadanganye watu.

    • @rosemarysulle9288
      @rosemarysulle9288 2 หลายเดือนก่อน

      @@kautharjay5868 nimemkosoa kwa hoja.asiwapotoshe watu.

  • @HadijaRamadhani-vt7ub
    @HadijaRamadhani-vt7ub 20 วันที่ผ่านมา

    Asante sana nitaanza kutumia hivyo mungu akubariki nilikuwa naogopa sana papai