Ati wataka kumwibia and that is phone company why Steve can't figure out that is service steve is funny. At wewe nae uyo nimumeo your planning to still for me too. Anthen after finishing using the there phone say is bad and come back want to know about he is money🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Steve mweusi ongera sana kwa kazi nzuri.. Ila jaribu kuhusisha watu wa sheria pamoja na taasisi husika kwanza kabla ya kutumia jina la taasisi ktk kuigiza. Mfano hapo umetumia jina la kampuni ya TIGO kwa lengo zuri tu la kuburudisha ila sasa sio sahihi kusema "Nishajua mnataka kuniibia" Yaani ukiituhumu kampuni ya tigo ni wezi. Lengo lako ni nzuri kuburudisha ila sasa tambua kila mtu ana uelewa wake ktk kuangalia michezo yenu.. TIGO wanaweza kukushtaki kwa kuwaita wezi na ukapigwa faini ya pesa nyingi sana... Pia sio vizuri sana kutumia jina la kampuni moja kwa moja labda kuwe na makubaliano ambayo ushayafanya na iyo kampuni la sivyo usitumie utakuwa unawatangazia biashara bila wewe kujua na utakosa pesa za matangazo hivi hivi... Nawapenda nawafuatilia sana..
Hahaha yaani huyu Steve amesumbua watu mpaka wameenda kununua vocha ili wakusaidie una matatizo yako kumbe unataka kumsalimia baba Mdogo wako tu🤔duuu 🤗🤗
Haki ya nani brother stive na dogo na huyo Sister mnajua lazima ifike wakati tuseme ukweli nimewafuatilia kwa muda mref leo nimeona ni comment kabisa Mungu afkishe ata subscription nyingi mpate pesa zaidii all the way from Moshi Tanzania
Dogo nakupenda bureee kwambali namuona mzee majuto😂😂😂
"Sipandagi mtu ananisaidia kwa masimangu." 😂😂😂
Hahaha
We steve ukiambiwa mwehu unakasirika kumbe mwehu kweli sister bora ulipoondosha ugali wako huyo ni kidowezi pia🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kazi nzuri sana steve na sele congratulations 😊
.mk
Steve mweusi nawakubali sana na kazi yenu, Mungu awabariki mwendelee kupiga hatua
Mnajitaid
Sema Steve unajua Sana mungu akuongoze kwenye kazi yako
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤗🤗🤗🤗Steve bn kama linji vile jamani unasaidiwaa unahakikisha unakimalizaa
The dfgg he go grcft for jditrodh
Steeeeeveee...Men you are fireee 🤣🤣🤣🤣🤣..napenda sana your skits
..januari
Jaman Huyu Mdada namkubali Sana Siku nikipata Namba Yake Aise nitauza ndizi Zote 😂🏃🏼♂️🏃🏼♂️🏃🏼♂️🏃🏼♂️🏃🏼♂️🏃🏼♂️🏃🏼♂️🏃🏼♂️
🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@shuubinty1447 Nipe Basi Kama Hiyo Namba 🤦🏼♂️🤦🏼♂️🤦🏼♂️🤦🏼♂️
@@nurafedrick378 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Shida Sana
Hhhhhh
Unamwambia Nan mwehu unamsaidia mtu kwa masimango masimango 🤣🤣🤣🤣🤣
Vp
😂😂😂Steve &sele mko vizuri
Steve mweusi mbavu zangu mm dah 😀😀😀Hongera comedy yenu iko vinzur Mungu awape maono zaid na zaid mfike mbali Amen
Egress
@@jaxmoon2060 Kitalemove
GAM
Mbosso
Dahhongerensana
Akaaa 😨😨😨😨😨😨😨😨 sim yauombaa tena unafokea wenye sim?? uliharibu utajua hujui🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣siku Xote usirushie mamba jiwe naihali hujavuka mtu🤣🤣🤣🤣🤣
G
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Steve bn wajielezeaaa wazungukaaaa mara juu maraa chinii🤣🤣🤣🤣🤣mbona vocha nb nyingi mno🚶♀️🚶♀️🚶♀️🤣🤣
Mmhhh sele ww moto😂😂nakupenda bure kutoka 🇰🇪🇰🇪
Bb vipi 🇦🇹🇦🇩🏳️🌈🏳️🌈🇦🇴🏴☠️🇦🇪
duu😂😂
Heee steve napenda skits zako ❤❤❤❤❤
Mbona ww mnyonge mnyonge hvyo🤣🤣🤣🤣
Txt h r
Use ldlm xnbcdnlrilu
Aaaaaaaaa mnakitafuta kifo?????akaaaaaa
Leo nime jianda kabisa USA 🇺🇸 tujuwane🥰🥰🤞
Upo sehemu gan
Pigeni kura kwanza
Mie naitwa A,samu k24
Wewe ni nani
@@Wak1li 🤣 tunapiga mzee
Aki nmecheka Hadi nimejikojolea😂😂😂Aki Steve Nawapenda Sana mungu awaonekanie
Siuseme tu shida yako we vipi
@@mwanalikhamis9875 Mimi hata Sina shida, infact raha najipa mwenyewe nausiniletee za ovio😠
Km upo Deutschland gonga like 💪
Nakupenda sana nacheka sana navyo angalia daaaaah
Wewe Steve uko na ujinga sana
Ati wataka kumwibia and that is phone company why Steve can't figure out that is service steve is funny. At wewe nae uyo nimumeo your planning to still for me too. Anthen after finishing using the there phone say is bad and come back want to know about he is money🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Steve mweusi ongera sana kwa kazi nzuri.. Ila jaribu kuhusisha watu wa sheria pamoja na taasisi husika kwanza kabla ya kutumia jina la taasisi ktk kuigiza. Mfano hapo umetumia jina la kampuni ya TIGO kwa lengo zuri tu la kuburudisha ila sasa sio sahihi kusema "Nishajua mnataka kuniibia" Yaani ukiituhumu kampuni ya tigo ni wezi. Lengo lako ni nzuri kuburudisha ila sasa tambua kila mtu ana uelewa wake ktk kuangalia michezo yenu.. TIGO wanaweza kukushtaki kwa kuwaita wezi na ukapigwa faini ya pesa nyingi sana... Pia sio vizuri sana kutumia jina la kampuni moja kwa moja labda kuwe na makubaliano ambayo ushayafanya na iyo kampuni la sivyo usitumie utakuwa unawatangazia biashara bila wewe kujua na utakosa pesa za matangazo hivi hivi... Nawapenda nawafuatilia sana..
Safiii sana ushauri umeshiba mnoo ongerai
🤣🤣😁😁😁😁😁Jameni Steve sasa nilazima uongee nayulewakwanzakulikokusema shida usahidiwe mbavuzangu huo dada na sele wakalapesa nzulikilahisi 🤦🤣😍❤️
Madeng
Nime chelewa kweli mimi, nzuri sana
Steve nakupenda Wallah.....🇧🇮🇧🇮🇧🇮
😂
Bimeze bite mwana
Hahaha kubwahilo bwege kbsa
Kapewa lift kapiga na honi🤣🤣🤣🤣🤣
Pamoja sana kaka pambana
Ulituma kweli hahaha
Da we noma stvu da
Hahahaha Leo idea ilikua nzuri mungu awaongezee ujuzi
H
Mwehu ni nani. Nani mwehu. Haha
Ndugu zao hao steve wamekula njama😂😂😂😂
Talented Fogo sele
Nakubal sana kaka
Mko vzr nampenda sele mjomba wake wako vzr
Nakukubali steve zuzu 😀😀😀
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nakupenda steve ukiongea na hio sauti ya kilio
😅😅😅Aaahh Steve we umenifanya nicheke kwa saut, kweny kuongea na muhudum wa tigo
😁😁mpo vzr
Nice janjaa
Umetisha
Stev staili yako ya unyonge nzuri sana inakupendeza sana
It's.
Steve ndio kwanza leo nikuhurumie,
Ila la opereta hata mimi limenikuta,
Ushaongea shida yote anakuja mwengine uanze mwanzoni
hongelen San jmn dogo sele aah unatixh san
Great work. Great show. Great entertainment. Kazi nzuri sanaaa ! 🌟🌟🌟🌟🌟 #PamojaSana
Oyoooo
@@charlesmaritin1315
.
Steve acha mshenee credoo ya wenyewe hio😃😃😃😃
"Hivi tunaongea na nani? Si wewe?" 😂😂😂
Ggugçno
Wow nzr hiyo nimeipenda
Dahh😂😂 steeve nomaa unajua
Steve unavituko sana🤣🤣🤣🤣
Stive unaweka aloo👌
Hahaha yaani huyu Steve amesumbua watu mpaka wameenda kununua vocha ili wakusaidie una matatizo yako kumbe unataka kumsalimia baba Mdogo wako tu🤔duuu 🤗🤗
VP
Sijaipemda Umezidisha Sana Man
Kaz nzuri sana
Fantastic 👌👌👌👌
Dogo sele kama na darasani upo ivo, kweli wewe ni noma
Kamauko kenya waangalia 🎉umekubali vichesho😅😅😅😅
From oman . Mbavu zangu mie Steven
Steve acha ujinga weweeeeeeee
Pendo Ndossy hahahaaaaa
😂😂😂 kuwafinya shingo baada ya kutumia akibayawo Jameni da
I wish siku moja muwe kama mark Angel comedy mungu awasaidie
Nani amekudanganya bro ssi ni waswahili si akina nigeria😂😂😂 pole snaa wao ni wao na hao hao na usitofutishe na wao umesikia john😂
Jaman nawapenda san huw mnanifulahishaga steve sele anakuzid akili 🙆♀️🙆♀️🙆♀️
😁😁😁
Yaan Steve n kwereeeeeeee
Haki ya nani brother stive na dogo na huyo Sister mnajua lazima ifike wakati tuseme ukweli nimewafuatilia kwa muda mref leo nimeona ni comment kabisa Mungu afkishe ata subscription nyingi mpate pesa zaidii all the way from Moshi Tanzania
Hatari🔥🔥
M
Wanangu mmetisha
Dogo nakupenda sana na lundi lako lote Ila mimi ni mgeni kwako .
😂😂😂😂😂😂😂 nakbali
🤣🤣🤣Steve kiboko
Akuna MTU anweza iba stevi 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 tokeni niwafinye shingo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Eeh mungu wangu
Movie za kiindy
Stevoo unaweza jombiie mkiwa na Huyo Dogo
😃😃😃Ugali kama wa wasukuma
Eeeh 😁😁😁
Safi sana vjana 🙏😆😆💪🏻🤙dogo sele&steveeee
lpl
hhhhhhhh na kweli ni matatizo hhhhh
Big up sana stive ,nakukubali kinoma noma.
Ahsante
Aise noma Sana👍💓
Namkubali Sana dogo sele.
Haassss aaaaa unafurahisha Stivu
uwafinye shingo tena na wamekusaidia🤣🤣
Hahaaaa duh Steve wanakuzingua hao tigo cyo hahahaà nawakubali sana
Duuu hahhhh jaman sele ugaliote uo
Mamaee! Bwana atakubariki Steve wonder
tulio kua dubai tunamchk Steve na na dgo sele tujuane hpa
Ninoma
Dele we mmm siokula uko
Aky watu kaa hawa wa kuomba simu walimaliza 9 months kweli anyway dogo siele nakupenda bure
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
From saudia mm kwisha hapa kwa waiguru 😂😂😂
😹😹😹🙌🙌
Mm abdul stev na dogosele mmetisha
Nshajua ni ndugu zenu ahahaha Steve
Tisha kinoma sana 👍👍👍👍
Nakubali nakubali!!!!!
Keep going Selena good boy
🤣🤣🤣🤣🤣akili bhana
Namupenda sele❤❤
Hahhhaha duh atary
Dah mnajua saan mungu asaidie mfike mbal
Muko vinzur Sana
Nagbali 🤣🤣🤣😍
Noma sana dogo
😂😂😂huyu sele huyu anamambo
Namukubari dogosere