Kitu msicho jua Mdogo wangu Roma mkatoliki ni mbunge wa wanainchi wote watanzania ndie msemaji wetu kuliko wabunge wasifiaji tu ,ndani ya bunge na mawaziri wanaotetea nakutuambia tuhame inchini Burundi,wakati wait wanajiandaa na kampeni kuliko kuwatetea wanainchi huku wakimsingizia mama yetu mpendwa ,Roma ujumbe umefika
Wote wasemaji Nyinyi mnao sema ney msemaji kwakua yupo Tz na Roma yupo nje shida ni Nani mwenye maneno makali Yan kwenye usemaji yupi ana fafanua na yupi ana semea mafumbo ndo shida ilipo kufafa nua sio mchezo ndomana hayupo tz sio lahisi kama mnavo zani { lakin only the best hao wote NI wamba na ni watetezi wa wanyonge big up mazee
Roma umeuaa achieve ngoma nyingine Polisi Wana taka madereva wakasome wakati wao wanaendesha magari namaste hawajasoma achieve vyombo tunakuhitaji sana
Jamani nchi yetu Ni Uhuru acheni watu waikosoe serikali ili wakumbuke wajibu wao ko serikali ikubaliane na Hilo isichukie maana vijana ndo taifa wanazungumza ili kuliweka taifa sawa
Roma ndio mtu ya tozo aliyasema leo unayaona ni mtu mwenye maono kama babu magu tumpende loma anatufumbua ujinga wetu sisi watanzania hata spika wa bunge ndugai kaona mbali wasiowapenda hao sisi wananchi tuwapende ndio bola hao wanaochukiwa 'na wenzao
Maisha wanayoishi hawakumbuki wanyonge mwigulu kuna kauli aliisema juu ya tozo hivi kama ni binadamu unaweza kusema hivyo je ukipewa ulaisi si utatunyonga kuweni na fikra sisi nchi ni yetu wewe mwigulu uchunguze
Hiyo Tamthilia zaidi ya Isidingo mpaka apatikane mpampambanaji na tufike kwenye ukweli na Nchi yetu home boy Kaliua so poa dude lile 😅😂simwengine Don_nikiwa Kaburu Pande za Cape Town nikiwa km mpambnaji na sio mzamiaji ila kuishi km mwenyeji ni lazima akili mingi mbongo hajawai shindwa popote Duniani ukikuta ka give up muangalieni upande wa pili
Roma yupo juu sana. Ney ananiboa pale anapozidisha mbwembwe hadi kumkufuru mungu
Wote wana sina tatzo nao respect Ney respect Roma ❤ aman kwao watu hawa
Roma ni rapper mkali kuliko ney wa mitengo
nampenda uyu kaka jmn...❤❤❤ i wixh km vile arudi ila naogopa mafiraun we2 wa bongo...😔😔💔💔💔
wote nawakubali sana.watetezi wa jami na vizazi vijavyo
Acheni masihara ROMA anatisha NEY haoni ndani. Roma 🔥🔥🔥🔥🔥
Roma na Ney wote wako poa, ni sauti ya wananchi
Mnachanganya bhana.
Hapo kuna msemaji wa rai na msemaji wa masela 😂😂😂
Roma rapper mkubwa sana, ney, stamina pia nawakuubali sana
Ney mnamkubali Sana siyo muoga ira kwautunzi na isia baba ivani au Roma mwamba kuliko Ney
Salute Roma
Roma akirudi bongo atagombea urais😅😅
Noma sanaa
Roma big up yupo very nicely tatizo la nay nyimbo nyingi matusi
Mwenyezi Mungu Akulinde sana na wale wana wa ibilisi shetani wanaotaka kukuangamiza Roma Mkatoliki.
Ahhhaa roma your ze one hkuna kma roma bongo ap
Kitu msicho jua Mdogo wangu Roma mkatoliki ni mbunge wa wanainchi wote watanzania ndie msemaji wetu kuliko wabunge wasifiaji tu ,ndani ya bunge na mawaziri wanaotetea nakutuambia tuhame inchini Burundi,wakati wait wanajiandaa na kampeni kuliko kuwatetea wanainchi huku wakimsingizia mama yetu mpendwa ,Roma ujumbe umefika
Roma mzee wa kazi man
Ngoma nimeipenda. ila roma njoo uone watoto . Kitambo sana
Uwa wanaendaa kuniona nakurudii tz ipo siku atawahamisha wotee ashapta uraia
Hahaaa ney,roma ukichanganya na stamina unapata wasemaji wazuri san 😁😁
Mungu akusimamie roma
Wote wasemaji Nyinyi mnao sema ney msemaji kwakua yupo Tz na Roma yupo nje shida ni Nani mwenye maneno makali Yan kwenye usemaji yupi ana fafanua na yupi ana semea mafumbo ndo shida ilipo kufafa nua sio mchezo ndomana hayupo tz sio lahisi kama mnavo zani { lakin only the best hao wote NI wamba na ni watetezi wa wanyonge big up mazee
Roma mkali Ney akajambe tu
@@lemonadesoldier1377 hahahah
Best recognize others 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏. @roma
Roma ndio msemaji mkuu wa wananchi ila nay yeye anamkufuru mpka Mungu
Exactly
Nakubali
Ney ndomsemaji
Wote na wakubali. Lakini NEY yuko nyumbani
Big up bro Roma tupo apa 15 years natamani kurudi ila familia mzee baba na mambo ya miko....umenielewa
sasa nay anamsemea nani??/ Muache roma aitwe roma uyo ndo msemaji wetu
Movie ndiyo kila kitu
Nataman Sana nchi hii watu wanchi hii tubadirike Sana mashanging wa ccm waishe wataishaje ukweli hatusem jmn jmn nimependa Sana huu wimbo
Wote wanaweza bhana
Roma noma wallai
Viva roma namku bari
Good 💪🙏
Mmmmmmm nimependa saana
So poa ngoma kal
Kiukweli toka mr president, zimbabwe, mathematics, , nk
Roma mkali sana
Wote mungu awalnde🙏
Sauti ya Mungu Sio lazima ije kwà viongozii wa Dini tuu
Ney yuko vizuri kwa sababu sio muoga na ajakimbia
Roma wewe ni mzalendo wa kweli
Roma umeuaa achieve ngoma nyingine
Polisi Wana taka madereva wakasome wakati wao wanaendesha magari namaste hawajasoma achieve vyombo tunakuhitaji sana
Jamani nchi yetu Ni Uhuru acheni watu waikosoe serikali ili wakumbuke wajibu wao ko serikali ikubaliane na Hilo isichukie maana vijana ndo taifa wanazungumza ili kuliweka taifa sawa
me nampa ney roma sio mwanamuzk
Huyu boya atakuwa anasoma huko
Roma ndio mtu ya tozo aliyasema leo unayaona ni mtu mwenye maono kama babu magu tumpende loma anatufumbua ujinga wetu sisi watanzania hata spika wa bunge ndugai kaona mbali wasiowapenda hao sisi wananchi tuwapende ndio bola hao wanaochukiwa 'na wenzao
Roma bigup
Nice
Maisha wanayoishi hawakumbuki wanyonge mwigulu kuna kauli aliisema juu ya tozo hivi kama ni binadamu unaweza kusema hivyo je ukipewa ulaisi si utatunyonga kuweni na fikra sisi nchi ni yetu wewe mwigulu uchunguze
sana kamanda
Woote respect kwao
Roma ni zaidi rapper bongo,hata angekuwa anafanya mziki marekeni bado angeonekana uwezo wake
Mambo vpRoma
Roma na nay wapo sawa hawaogopi
Wote wako hot 🔥🔥🔥 sana
Both Roma na neywamitego
Woteee miee na wakubarii bwanaaa wotee Mia miaa
Haswa akipewa nchi roma anaweza kuiongoza
Wote wakali for sure😢😢😢😢😢
Roma mkatoliki ni king
Roma yuko juu zaid
Mwenye NYUMBA kasharudi
🤝🏿
🔥🔥🔥🔥🔥
Wewe roma hatari
Wote hawafai mmoja ana kisese
Roma
Ney ni msemaji jasiri haogopi chochote but wote ni wasemaji tosha
Wote hao ni maginius
Wote
Roma mnyama
❤❤❤❤
Me naamini wote ni wakali wanatusemeaa
Hiyo Tamthilia zaidi ya Isidingo mpaka apatikane mpampambanaji na tufike kwenye ukweli na Nchi yetu home boy Kaliua so poa dude lile 😅😂simwengine Don_nikiwa Kaburu Pande za Cape Town nikiwa km mpambnaji na sio mzamiaji ila kuishi km mwenyeji ni lazima akili mingi mbongo hajawai shindwa popote Duniani ukikuta ka give up muangalieni upande wa pili
🤣🤣😅😁 Be blessed #VIVAROMA
ROMA
Namkubali lkn ney shujaa kabaki nyumban anawasemea
Ney mjanj mwish anasifiaga
Wote wako sawia, na wanaheshiamanea, sidhani kuna haja ya kubainisha yupi bora
Wote wasemaji ,ila roma yuko juu
Saruti kwa roma mkatoriki
Lama mwamba
Roma siyo muoga Kama ney miwawili tu ndyo ninachofikiri
Roma unajifanya ujui, ila mastor ya ukwel nimeinjoi show
Jitoe mwamba tuone ukatili wa uongozi wetu namanisha rudi nyumbani tuone wanakufanya nini tena
Et Roma umeua thana
Vp
Wote ni wasemaje lkn Roma ni Zaid
Ote pw
Wote wasemaji
Ngoma naogopa kupiga redion tcra wasinifate vp clouds mshapiga na mm nilizeee 😂😂
Naomben kujua nauli ya kwend marekan😀😀
Hahaaaa
Buku
Nay n mkali Kwan Roma ako na ngoma gap za kutetea wanainchi
Roma ana ngoma nyingi za utetezi kuliko ney mfatilie
@@iddykidito6441 haaahaaaha umesahau nay time aliachia walisema
Roma ni mkalii ila ney ni strong
Mkimbizi huyo
Mkimbizi mama yako aliyekimbia aliyezaa nae akaenda kwa baba yako alee mimba
Mpuuz wewe wivu tu ndio unakusumbua 😎😎
Jamaa anasoma masters ndugu
@@gilmangeorge366hhahah nakubalii
Mwamba hafanani nayoyote
Roma ni mkali Ney akajambe Kwanza
Xemaa wote ni wakali usipendelee bro
@@emmanueldaud8371 hawezi kukaa meza moja ubora wa flow na mistari ya ROMA huyo NAY hagusi namkubaki ila ROMA MZIKI MWINGINE KAKA
Hujitambui wewee ,, utakua unalinganisha mbaka macho yako wewee
th-cam.com/video/_3GnLUSGZWA/w-d-xo.html
Duh roma ashapata kademu kakizungu
Huyu amataka kuja kugombea mie nimemuelewa kitambo anaonekana kabisa ni mwana siasa sio mwana harakati huyo
Amesha sema siasa ndio kila kituu
Siasa haikwepekiiii
lbra umeuwa 😂😂😂