Safi sana kaka roma wewe ndio unasema kwel na kama hawajafanya kwanini waumieee 😂😂😂😂 imeumaa kaka kama ikiwezekana toaa wimbo tena kama huuu tena walieee
Roma asante,.huwezikufananishwa na akina Mrisho Mpoto(mjomba)kazi yao kusifia na kufumbia macho maovu .wao kila kiongozi akijawanaegemea kwake nakuonakama aliepita akukidhi haja.
Saf kwanza nampa pongezi roma kuongea Nakuja kwenye point moja kwa moja .1. Kusoma hujui jata kuangalia picha huwezi ?? 2.usilolipenda wewe usimtendee mwenzako Kwa hyo hata tusipotendew haki tusiseme mhu mgu kwani kila mtu ana haki ya kuongea. 3.mungu hana kigeu kigeu je yanenaje maandiko ya Mungu. Jamani jaman lisilowezekana kwa binaadam kwa Mungu wetu lawezekana. Acheni upendeleo. Selekali ya awamu ya 5 nani Na ya sita nani lazima tumuogope.Mungu. anatuona.amen Mungu haziakiwi.
Roma gud gud ,I wish you to a leader of tz ,ata kama umahamaa endelea kukosoa huo utopolo unaofanywa il tusonge ,nakusapot ccm na andaz nachagua andaaaziiii
Mungu huyabadirisha mashauri ya mataifa, Mungu huyatambua makusudi ya watumishi, macho yake Mungu huwaelekea wenye haki na masikio yake husikia kilio chako!!!! Roma simama Mungu yuko pamoja nao waipendao kweli.
Hata mimi panapo uhai Nina mpango wakuhamia walau zanziba pindi mama akiongoza tena hii nchi. Bgap Roma mwenyezi mungu akulinde akupe umuri mrefu. Naumia pia Amin.
Roma unastahili kuwa mkuu wa hii nchi naamini ukipewa hii nchi lazima tusonge mbele jamaa sio mnafiki na wanafiki anawajua yupo juu sana ki sychology,viva ROMA viva
tuache umbamba mbamba.....mwanaharakati ni mwamba anasemaga kweli alafu akirudi nchini watamteka Tena Yan...nimemusi nyimbo zake za kiharakati kam Ile SAY TANZANIA
Roma mkatoliki mwenzangu respect kaka umenene na basata wakifungia Ngoma hii itakuwa Wana jambo lao. Ila Ngoma hii inaelimisha sana na walipoamkia wao we ushaamkia kitambo..Kaka ukirufi watakutesa we wachane ukwel.
Msimu huu ni msimu mzuri sana kwa kilimo cha mpunga nak..... Mngejielekeza ata huko ili mkuze uchumi weni na wa familia zinu, kuliko kushida mukiangaika na mitandao Mkifatilia mambo yasiyo kua na maana. "Ivi wewe ulichokifanyia utafiti au ulichokisema cha maana ni kipi katika clip yako" ??? Endelea kuhangaika na mitandao utakula mitandao
Wewe hukijui kiswahili Loma, lais, tumewaajili, huna lolote zaidi ya kuiharibu lugha yetu rudi darasani ukajifunze upya vinginevyo kalime migomba ulikozaliwa, ROMA ni jina kubwa kioo cha wapenda haki usilichafue kwa kuliita LOMA
Nikweli maana mama anauza mali za tz lakini kwao zanzibar hagusi najuato roma hawawezi kumpenda kwasababu ana wachana makavu nasiku zote usikubali kuficha uvundo
Watanzania hatuna umoja,, ata wandishi wahabali mulifikilie hili kwani mukiangalia mama samia hanakazi anayo fany hatuoni kipi anachokemea vitu vinapanda bei yeye amekaa tu ,,,, roma pamoja sana nyimbo hii imewagusa ,,,wa tanzania badilikeni msema kweli nipenzi wamungu
Watanzania hatuna umoja,, ata wandishi wahabali mulifikilie hili kwani mukiangalia mama samia hanakazi anayo fany hatuoni kipi anachokemea vitu vinapanda bei yeye amekaa tu ,,,, roma pamoja sana nyimbo hii imewagusa ,,,wa tanzania badilikeni msema kweli nipenzi wamungu 🏯🏯🏯
Nakupo ngeza sana Roma nipe liké yangu 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Ameongea ukwel
Kama unamkubali roma gonga like😅😅
Message sent. Mwenye Masikio na asikie na mwenye macho ataona baali mwenye mpumbavu na azidi kuwa mpumbavu. 🙏🙏🙏🙏🙋♂️
Roma wewe ni zaidi ya mwana sheria mungu akulinde na mengi kwasababu kichwa kisichokua na akiri nimzigo kwashingo😂🎉
Na tunaomba mungu amlindee Kwa ukweli wakee ,,,❤
Aki mungu ,mungu atupe watu kumi kama hao alafu tujueee
Mungu akulinde Roma nakubali kazi yako
Kama viongozi hawataki hayo yasemwe bas wabadilike kwan mbn hakuna ulazma wa wao kufany mamb mabaya an yasiyofaa. Walitumikie taifa ipasavyo🔥🔥
Acheni kumulalamikia Roma yup sawa2
Kama umetumia MB za Bure gonga like......mashabiki tunamjua Roma kuliko mchamnuzi😀😀😀
Hahahahaaaa kaka nikweli amekula MB zetu za bule
Ndo maana wanafungiwaga account kwasababu ya kuongea upuuzi ye mwenyewe sidhani ata kama anaelewa alichokiongelea
Mwandishi anaongea kama amekula vitunguu
Eti LOMA😂😂
Alafu sijapenta mchambuzi akiwa lafudhi yake ikiwa sio ya kiuandishi kwenye R anaweka L sasa inaboa kichizi .alafu anatulisha matango Pori😩😩
❤❤❤hongera roma kwa kuelimisha watanzania tunazidi kuteseka tu hatuoni chchote kwenye hii nchi wanaonufaika wachache xn❤❤❤tunakupenda roma
Thanks Roma zidi kuxema ukwel tz. Mpaka know hujatoka USA maana Ata mm mda c mwngi nitahama nchi.
Akiongoza tena,mama ntahamia sudani nikafe Kwa vita
Viongoz lazima wachukie Sabab yanawahusu
Unaambia bongo ki kubwa uzima tu
Roma umefanya maamz mazr xn.nawapongezen xn.mmewachana makavu.hii nchi inako erekea sio.hata mie nachagua andaz siwez kuchagua ccm.
Roma hai kwako blother pamoja sana nipe likes zangu 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Daima viongoz wa Tanzania hawatki kuambiwa ukwel. Roma kasema ukwel. Aongeze wimbo mwingne. Pamoja Roma
taarifa mpya
Safi sana kaka roma wewe ndio unasema kwel na kama hawajafanya kwanini waumieee 😂😂😂😂 imeumaa kaka kama ikiwezekana toaa wimbo tena kama huuu tena walieee
Roma pekee ndo huwa anawambia ukweli viongozi ili wajifunze kutokana na makosa yao wanayo yafanya
Roma mwache aitwe roma no one like u broo big up take thumb 👍
Wao Roma umesema kweli toboa serikali yetu haijui tunayo pitia wananch raisi magufuli tu ndo alikua sahihi na maisha ya wananch bigger up roma
Roma ali kaa, nakujipanga vizuri kutowa hiyo song, hakili anazo kweli kweli 🙏✍✍
Roma asante,.huwezikufananishwa na akina Mrisho Mpoto(mjomba)kazi yao kusifia na kufumbia macho maovu .wao kila kiongozi akijawanaegemea kwake nakuonakama aliepita akukidhi haja.
Acheni atusemeebhana nyimbo imetikisa tanzania❤❤❤
Roma uko sawa kaza dana buti mimi na kuunga mkono kaka
Msema ukweli mpenz wa mungu endelelea kutetea jamii kaka
Hongera sana kaka me nimtoto wa miaka 12 lakn huwa nakuelewa kupita maelezo nataman niwe kama wewe kaka umetisha sana🤜♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️💐
Namkubali sana Roma, wimbo alioutoa wa Nipeni maua yangu umegusa penyew Mungu amlinde na kumpigania,
Ndo kazi ya sanaa safi sana Roma
Saf kwanza nampa pongezi roma kuongea
Nakuja kwenye point moja kwa moja .1. Kusoma hujui jata kuangalia picha huwezi ?? 2.usilolipenda wewe usimtendee mwenzako
Kwa hyo hata tusipotendew haki tusiseme mhu mgu kwani kila mtu ana haki ya kuongea. 3.mungu hana kigeu kigeu je yanenaje maandiko ya Mungu.
Jamani jaman lisilowezekana kwa binaadam kwa Mungu wetu lawezekana. Acheni upendeleo. Selekali ya awamu ya 5 nani
Na ya sita nani lazima tumuogope.Mungu. anatuona.amen
Mungu haziakiwi.
Fact hao viongozi wanakwama sana
Roma unafaa kuiongoza nchi,wakati ujao ugombee au sio wanacomments.👋👏👏
Kweli bhana
@@kulwazunzu-dw2lf THANKS
Naupendasana ,,tumpe mauayake🎉❤❤❤
Roma Yuko vizur Sana ila sema mwenye haki huwa hapewi haki yke panapo stahiki mwacheni Roma awasemee wanyonge♥️♥️♥️♥️💪💪.
Wakija kufungia Ngoma hii toa konki zaidi y hii yaan kama moto na waunguee, nipeni maua yangu🎉🎉🎉
♥️♥️♥️♥️♥️Roma sema baba viongoz hawa wapo tuu hawajui mapito wanayopitia wananchi
Roma anastahili pongezi kiukweli.
Ni wimbo wakiarajati km nyimbo zingine2,,hukuna baya nimaono2 bigup broo
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤xn.
Brother tutetee wanyonge usiogope kufa maana site njia ni moja na bongo wasaniii wa kiume n watatu pekee Roma ney wa mitego na one six
Thanks 4 understand
Hiyo mwamba iko good
Kazi ya roma.
Haina makosa.😊
Roma gud gud ,I wish you to a leader of tz ,ata kama umahamaa endelea kukosoa huo utopolo unaofanywa il tusonge ,nakusapot ccm na andaz nachagua andaaaziiii
Kazi ya Muheshimiwa Raisi ni nzuri. Nashukuru kwa Amani tulionayo Tanzania 🇹🇿
unatombwa bila kuoga
Sema broo hyo ni sawa
Mungu huyabadirisha mashauri ya mataifa, Mungu huyatambua makusudi ya watumishi, macho yake Mungu huwaelekea wenye haki na masikio yake husikia kilio chako!!!! Roma simama Mungu yuko pamoja nao waipendao kweli.
Wew mwenyewe mchonganishi roma yuko vizuri
Loma tutetee wanyonge❤ too
Umeupiga mwingi roma maisha maref nakutakia🎉
Roma umetoa kitu kaka mungu akulinde wew na familia yako
Roma mungu akupe umri mrefu ili uzidi kutuamsha wananchi.
Upo vizur sana Roma waambie
Hata mimi panapo uhai Nina mpango wakuhamia walau zanziba pindi mama akiongoza tena hii nchi.
Bgap Roma mwenyezi mungu akulinde akupe umuri mrefu.
Naumia pia Amin.
Roma anaumia sana na nchi mwacheni awasemee wanyonge👍
Saluti Roma mwana jeshi arudi nyuma mbele kwa mbele jeshi la mtu mmoja
Me naona roma yuko saw anavhokiimba
Roma magufuli mdogo, asante kaka ubarikiwe sana🙏
Roma gud gud ,I wish you to a leader of tz ,ata kama umahamaa endelea kukosoa huo utopolo unaofanywa il tusonge ❤
The man whom I respect most
Roma unastahili kuwa mkuu wa hii nchi naamini ukipewa hii nchi lazima tusonge mbele jamaa sio mnafiki na wanafiki anawajua yupo juu sana ki sychology,viva ROMA viva
Kwri mzeee roma ni jiniaz
tuache umbamba mbamba.....mwanaharakati ni mwamba anasemaga kweli alafu akirudi nchini watamteka Tena Yan...nimemusi nyimbo zake za kiharakati kam Ile SAY TANZANIA
Nampenda sana ROMA popote alipo anisikie na mimi😊
Mungu akubalik roma vigogo wa selikalin wanajijua sema ndo washoroga wasingoke madalalan
mwanangu Roma wewe n'a nay wa mitego mungu awalinde kwa sababu hamuwasemei wa tz tu Ila munawasemeya Africa nzima wanangu.asanteni
I accept you brother for your work
Mgosi mwenzangu usiogope toa nyimbo kali kama hizo,2pop1 kak🎉❤
Nakubali Sana we roma nikichwa cha manaana kbs
Roma kurudi tz ni kujipoteza kama mwanzo alitekwa sasa hv cjui atafanywa nini baki huko huko kaka
Roma Yuko sawa kabisa mwanaharakati makini kama lack dube
Daaaa kakaaa hongela sana
Bongo bhana ukisema kweli wanakusema endelea kusema kweli broo💯
Vzur sana Roma ikiwezekana njoo hapahapa tanzania ukaimbe live mbele yao nimtu wamungu namungu akulinde Roma
Uyu Roma anijua nchi yetu
Msema kweli ni mpenzi wa mungu Roma mungu akulinde
Namuomba Sana mung ampiganie Roma asizurike kwakifpi namkubari San san
Hahahaaa remote ya msoga,,,roma big up sana kka
Kaka uposahihi sana mdau mkuu❤❤❤❤❤
Roma mkatoliki mwenzangu respect kaka umenene na basata wakifungia Ngoma hii itakuwa Wana jambo lao. Ila Ngoma hii inaelimisha sana na walipoamkia wao we ushaamkia kitambo..Kaka ukirufi watakutesa we wachane ukwel.
Ni mwamba kati ya miamba walio shindikana Namtakia maisha yenye kheri na Baraka Zaidi
Roma ni mtu aisee👏👏👏👏🍎❤️
Roma yupo sahihi
Mgosi mwenzangu usiogope toa nyimbo kali kama hizo,2pop1 kak🎉
Mungu akulinde kwa ajili yetu
Msemakweli sikuzote nimbaya lakin yulemuongo ndiekipenz Cha watu uko sawa kakayangu
Mwamba umetisha sana❤❤❤❤❤
😂🎉😂😅🎉😅🎉 😂,😊😂😅🎉😅🎉😅 ,,,
, ❤🎉😂❤🎉
Daa@aaaaa natamani ningekua malaika nikupe miaka 1elfu il sauti yako haitakua ya bure kbx ❤❤
Tunakutakia maisha malefu blaza uzidi kufanyayako kwalengo lakuwatetea. 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🌿
Roma usiache kuchana man!!
Mwamba muacheni atusemee🇹🇿🇹🇿🙌
Roma that my nakukubali xana brother and 1 we ni moto mama samia suluhu kuma yake anazingua
Msimu huu ni msimu mzuri sana kwa kilimo cha mpunga nak.....
Mngejielekeza ata huko ili mkuze uchumi weni na wa familia zinu, kuliko kushida mukiangaika na mitandao
Mkifatilia mambo yasiyo kua na maana.
"Ivi wewe ulichokifanyia utafiti au ulichokisema cha maana ni kipi katika clip yako" ???
Endelea kuhangaika na mitandao utakula mitandao
Asikuambie MTU bongo kikibwa uzima tu maana katika hii nchi Bora andazi tuu kuliko kituu
Wimbo haujavunja maadili ila kasema kweli kabisaa
Broo. Umetishaaa. B
🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹 chukua maua yako kaka napenda Sana kazi yako
Ndio Roma endelea kutufikishia ujumbe wanyonge kipaza saut Machinga na mama ntilie kitaa ni tabu tup
Wandishi wa bongo wapuuzi sana, andika ulivhonacho au unachoweza kuzungumzia, sio brabra2 wimbo Kila MTU anaujua hainahaja ya kurudia
Wewe hukijui kiswahili Loma, lais, tumewaajili, huna lolote zaidi ya kuiharibu lugha yetu rudi darasani ukajifunze upya vinginevyo kalime migomba ulikozaliwa, ROMA ni jina kubwa kioo cha wapenda haki usilichafue kwa kuliita LOMA
Nikweli maana mama anauza mali za tz lakini kwao zanzibar hagusi najuato roma hawawezi kumpenda kwasababu ana wachana makavu nasiku zote usikubali kuficha uvundo
Umetishaaaa sana broo
Pongezi kwake mana kuisema kweli nchi yetu tz co jambo la kitoto. There is no one like roma......❤❤🎉😂😂
Hongera sna roma mkatoloki aya sasa mbona wajamkamata huko aliko mbona kijana was chatting amehukumiwa jera kumbe masiki anaonewa sana
tunakukubali brother good bless your
Nakubali Roma up vizri
Roma Hana baya , kwenye wimbo Hamna baya pengine ta anzania itakomboka mungu ibariki Tanzania
Mawazo ya. Wasanii yapewe kipaombele Tanzania tuna uhuru wa kuongea kama kuna kitu kizur tukichukuwe tufanyie kazii
Kaka umetiasha sana
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂Roma ahsante sana mung azidi kukuweka
Safi sana.hii inamaana kubwa sana.tqnzania
Msanii kioo cha jamii bhana wametekenywa wametekenyeka na ukifungiwa wimbo huu nchi yetu itakuwa haina demokrasia
😊
Kabsa
roma ni atar xna isee pongez xana kwako kaka roma
Kwa sababu jeshi ndo Kila kitu katika Nchi na wamekaa kimya yawezeka a mambo Yako vizuri tutulie
Mwamba unatisha Sanaa pamojaa kwa ujumbe mkalii watakuerewaa tuu unacho maanisha ipo sikuu maneno yako wataja kuerewa nikipi unahitaji tuishi ❤❤❤❤❤❤❤❤
Roma tunakupenda Sana shikilia hphpo
Ninaupenda Wimbo wa roma mauwayangu
Viongozi was ccm wengi mafara sana Ila tunaomba mungu awatangulie kama alivyo mtanguliza magu maana hawataki kukosolewa
Tusemehee
Acheni ubabaishaji
Roma🌹💖👊
Anaitwa Roma sio loma
Hahahaaa
Watanzania hatuna umoja,, ata wandishi wahabali mulifikilie hili kwani mukiangalia mama samia hanakazi anayo fany hatuoni kipi anachokemea vitu vinapanda bei yeye amekaa tu ,,,, roma pamoja sana nyimbo hii imewagusa ,,,wa tanzania badilikeni msema kweli nipenzi wamungu
Watanzania hatuna umoja,, ata wandishi wahabali mulifikilie hili kwani mukiangalia mama samia hanakazi anayo fany hatuoni kipi anachokemea vitu vinapanda bei yeye amekaa tu ,,,, roma pamoja sana nyimbo hii imewagusa ,,,wa tanzania badilikeni msema kweli nipenzi wamungu 🏯🏯🏯
Kaka Roma nakukubar nhivo 2 Sina uwezo tuzo inakuhusu🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀
Kwani kaongea uwongo ni kweli kabisa usiopingika kati ya CCM na andazi kipo bora ? Bora andazi
Roma big up ❤❤❤❤
Tatizo nchi hii mnapendaga kusifiwa hatakama upuuzi ,Roma endelea kutusemea
Okay umetisha roma
Roma mama Yuko sawa ila walio chini yake wanafanana wao hawakuzaliwa na masikini ila cku Yao ipo