Ukombozi kwa ajili ya nafsi za watu
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 เม.ย. 2023
- Ibada Hii Ilifanyika Kanisa La Vuka Yordani Kisongo Waya - Jijini Arusha Tanzania na kuongozwa na @Bishop Elibariki Sumbe Mwangalizi na Askofu Mkuu Wa Makanisa Ya Grace Evangelical Church Tanzania (G.E.C.T)
Follow Our Social Media Pages :
/ bishopelibarikisumbe
/ bishopelibariksumbe
tiktok.com/BishopElibarikiSumbe
/ bishopsumbe
Website
Vukayordani.Org
LIKE | COMMENT | SHARE.
UBARIKIWE.
#VukaYordaniChurch #KisongoWaya #ArushaTanzania
Amen amen Mungu wangu nisaitia nifunguliwe katika jina la yesu 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Amina neno li hai tena lina nguvu
Nimesikiya mwenyezi mungu akubariki nitalifanyiya kazi
Mungu unifunguwe na uongo na wizi ili nami uniyinuwe 🙏
Ee Mungu naomba uniondolee roho ya uzinzi ndani yangu. Amina
Eeee mungu wangu usinipite
Mungu unifuguwe kwa mabaya yangu , kama vile fitina uzizi,na yegine ninayo
Ameeeen 🙏🏼🙏🏼
Ameeeen 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Amen amen
Mungu naomba katk jina la yesu utumishi uje wa kweli kwangu napenda kuokoa watu na kuwaombea mungu nione namimi
Bwana yesu asiwe
Ee Mungu niondolee hilo roho na uagent ndani mwangu
Mungu azidi kikuli zaidi MTUMISHI AZIDI KUKUINUA KWA VIWANGO VIKUBWA.
Ee Mungu Baba nisaidie nishinde kwa jina la Yesu Christo Mwokozi wetu 🙏
Mungu msaidie eddy nmgonjwa anaumwa na tombo na kutapika mponye n jesus Christ
Ameen
Tukomboe familia yetu Baba kwani mapito ya nafasi zetu ni mengi mno.tunaimani Baba
Mungu utusaidie sana wenyewe hatuta weza