🚨Kesi ya Simba na coastal Union imesikilizwa sakata la Lawi,Yaliyojitokeza kwenye kesi

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ส.ค. 2024
  • #football #alikamwe #yangafc #yangasc #yangatv #youtube #ahmedally #simba #simbaislive #simbatanzania

ความคิดเห็น • 12

  • @charleskuyeko1660
    @charleskuyeko1660 หลายเดือนก่อน +3

    Masharti ktk mkataba huo yalikuwa zaidi ya malipo. Kulikuwa na Sharti pia la Coastal Union kumpeleka mchezaji Simba akapimwe afya kabla ya mara tu baada ligi keisha. Pamoja na kuwa sehemu kubwa ya malipo Lawi hawakumpeleka kupima afya.Sharti hilo hamlizungumzii. Ninyi mnajidai ni wajuzi wa kila kitu na kuwahukumu Simba kuwa wanamakosa lakini kiukweli hamjui chochote zaidi ya uandishi wa habari. Ndiyo maana kesi hamkuletewa ninyi muamue bali zimefuataa taratibu na sheria zilizopo. Mnapaswa kuwa wasikilizaji kama sisi na si kuwa waamuzi na kuwasema wenzenu kwamba wako unprofessional.

  • @twahakabajemi9716
    @twahakabajemi9716 หลายเดือนก่อน

    Hili ndo tatizo la club ndogo kujifanya chawa wa timu nyingine kubwa huwa mnawaachia ushindi waachieni na mchezaji

  • @mwanangusana
    @mwanangusana หลายเดือนก่อน

    Katibu wa Coastal Union yupo smart sana😂

  • @JumaSuleiman-np3eb
    @JumaSuleiman-np3eb หลายเดือนก่อน

    Wachambizi bhana

  • @PrinceMgambwa-h7r
    @PrinceMgambwa-h7r หลายเดือนก่อน

    Mbona hamjawahoji viongozi wa simba

  • @edsonleonci5113
    @edsonleonci5113 หลายเดือนก่อน +1

    Miye ni mwananchiiiiiiiii …. Ila makolo wana haki na mchezaji huyo …..
    Ila kwenye kesi hii watashindwa kutokana na viongozi wa TFF wana vina saba na Coastal union …!!
    Msisahau huyo mchezaji ata kadi nyekundu ya Lawi ilifutwa dhidi ya YANGA …!!

  • @drallan6879
    @drallan6879 หลายเดือนก่อน

    ulizeni lawyers tamaa ni watu wa coastal

  • @drallan6879
    @drallan6879 หลายเดือนก่อน

    huyu mzee wa coastal hajitambui case wamepoteza

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 หลายเดือนก่อน

    Ukisema Tamaa hata wachezaji pia wanahusika. Uzuri ni kwamba TFF sio ccm wanaweza kusimamia haki,Mchezaji anaweza akawa kajikanyaga na Costol pia wamejikoroga ila kwa Simba hawana hata doa,wajitathmini kisha wajilipue wenyewe kumaliza huu mchongo

  • @silasjacob-j2l
    @silasjacob-j2l หลายเดือนก่อน

    acha ujinga kwahio pesa mliyopokea toka simba mlikopeshwa au?

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 หลายเดือนก่อน

    Hawa wazee hawakupaswa kufika huku 7bu wanatia huruma mno ilibidi wasije mtandaoni ili simba wawahurumie na kuwaachia 7bu ni mchezi muhimu kucheza kwao,pengine hata wangempewa kwa mkopo 7bu Simba kwa kikosi chake sasa ataanzia banch au kucheza half tu. Kwann hawa wazee wamechagua ubabe na wanaijua sheria vema watungaji wao na wakanyagiaji wao,siku wao wakija kuvaa viatu vya Simba itakuwaje?

  • @drallan6879
    @drallan6879 หลายเดือนก่อน

    wameingia mtegoni mwa panya