MIRAJI: AMCHOMOLEA BETRI KIBU DENIS"UONGOZI USIMBEMBELEZE" | WACHAMBUZI WASIWAPOTEZE SIMBA NI MOTO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
  • JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
    KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.

ความคิดเห็น • 142

  • @JolotaErastoJuma
    @JolotaErastoJuma 2 หลายเดือนก่อน +6

    Miraji anajua kuchambua mpila 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @Khaleed5767
    @Khaleed5767 2 หลายเดือนก่อน +10

    Mwenye kujua mpira na kuelewa ndiye anayeweza kumwelewa MIRAJI.. Ila ukiwa mtu mnafiki / chawa / kiroboto / kunguni / mpenda sifa huwezi kumwelewa MIRAJI hata siku moja...
    THIS TIME UBAYA UBWELA TUU...

    • @SimonAmon-dr8xw
      @SimonAmon-dr8xw 2 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa 🙌🙌🙌

  • @kilimanistudio
    @kilimanistudio 2 หลายเดือนก่อน +4

    Upo sawa kabisaaa adhabu kali itumike ilifundisho

  • @AhmedMsellem-v3e
    @AhmedMsellem-v3e 2 หลายเดือนก่อน

    Bravo bro miraj

  • @beatricembunda6168
    @beatricembunda6168 2 หลายเดือนก่อน +3

    Denis angefuata taratibu hangezuiwa Simba ni timu kubwa inajielewa .Hamtaamini Simba itachikua UBINGWA Mungu ameliona Hilo.

  • @raymondsekabigwa5907
    @raymondsekabigwa5907 2 หลายเดือนก่อน +19

    Kama kasaini na kapewa vyote hivyo ashitakiwe mwizi kama mwizi mwingine

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 หลายเดือนก่อน +1

      perfect

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 2 หลายเดือนก่อน +3

      Kibu anadai madeni ya nyuma,semeni ukweli😂😂😂yeye sio fala

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 2 หลายเดือนก่อน +2

      Kolo wametangaza ubaya ubwela... kibu akaanza na wao wenyewe..

    • @AngelmackieCharity
      @AngelmackieCharity 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@errydeo8865 mwiko umekaa vibaya eeh

    • @omarkipotwile9052
      @omarkipotwile9052 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@errydeo8865 kama kweli mbona hajayaweka wazi?

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 2 หลายเดือนก่อน +7

    Kunawatu wanawadanganya wachezaji wetu kibu Denis nae nmeshamwona anakili zakitoto Apewe azabu mpaka ajutie .naamini tumezungukwa namaadui wengi sana Miraji unaongea kwauchungu hata Mimi inaniuma sana kwakitendo anacho tufanyia kibu

    • @ezzepuritykamwene2121
      @ezzepuritykamwene2121 2 หลายเดือนก่อน

      Kma hataki kuchezea simba aseme,, hii sio ujinga

    • @JumaJux-fn3ff
      @JumaJux-fn3ff 2 หลายเดือนก่อน

      Atumtak tena

  • @salomethomas6469
    @salomethomas6469 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hili li miraji linajua ball sanaa

  • @idrissamohd
    @idrissamohd 2 หลายเดือนก่อน +2

    Big up bro miraji

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kibu Denis akifeli alikokwenda kama kweli basi amepoteza alichokitegemea na hata akipokelewa na timu kana Yanga na Azam atakuwa anatokea bench

  • @JK-uq1tv
    @JK-uq1tv 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mpira wa Kibu Denise umeishia Simba hata fanikiwa tena kwa namna alivyoondoka Simba kihuni kabisa.

  • @JosephTibu
    @JosephTibu 2 หลายเดือนก่อน

    SIMBA NGUVU MOJA🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @PeterJustin-ke5mk
    @PeterJustin-ke5mk 2 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu ni mwizi ashtakiwe na ikibidi afungiwe asicheze tena na alipe garama zote mjinga huyu

  • @davidsebastian661
    @davidsebastian661 2 หลายเดือนก่อน +2

    Akili za kikongo/msaliti mkimbizi😂😂😂

  • @BADILIJUSTUS-fs3oo
    @BADILIJUSTUS-fs3oo 2 หลายเดือนก่อน +1

    Acheni kibu Denis akafanye trials huko Norway nyie simnamsimanga mara e hafungi anagoli moja kama hana maana kelele za nini sasa vipi angekuwa duchu kelele tusingesikia tulieni wachezaji ni wengi sajirini mwingine namba ya kibu Denis

  • @HgguHhij
    @HgguHhij 2 หลายเดือนก่อน +4

    Malamoja nimekuelewa kibu kayakanyaga

  • @ShukruMakoko
    @ShukruMakoko 2 หลายเดือนก่อน

    Kweli 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ellymwinuka9827
    @ellymwinuka9827 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mkome Anavyo tuvunjia nidham feitoto Mlikua mnacheka Mnalo ilo😂😂

  • @simonzelote5998
    @simonzelote5998 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hapo umeongea ila tatizo yawezekana aliondoka kwa sababu ya viongozi wa Simba Mimi Kama Mimi try again simwaamini

  • @SULEIMAN-l8v
    @SULEIMAN-l8v 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hawa wachezaji wengi wa kitz ni washamba

  • @geraldbagole4494
    @geraldbagole4494 2 หลายเดือนก่อน +1

    Haruna Moshi.Bobani alishaenda huko Norway Simba hawakumzuia.Offer ikija ya kiulayaulaya. Uongozi chukueni,wachezaji wapo wengi.

    • @NathanLukambinga
      @NathanLukambinga 2 หลายเดือนก่อน

      Boban alifuat utaratb ndo maan aliruhusiw. Kibu hajafuat utartb

  • @saidmasoud9004
    @saidmasoud9004 2 หลายเดือนก่อน

    Problem ya Tz ni wapole mno kupitiliza huyu Kibu asilikua mkimbizi. Hata passport kapewa na nchi ya Tanzania. Tanzania wanaweza withdraw citizenship yake.

    • @israelnibigira4990
      @israelnibigira4990 2 หลายเดือนก่อน

      Kwani kibu katoka nchi gani?ila nauliza tu

    • @saidmasoud9004
      @saidmasoud9004 2 หลายเดือนก่อน

      Mkimbizi kutoka Congo​@@israelnibigira4990

  • @experymassawe3521
    @experymassawe3521 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kibu aludishe pesa Fata mpanzu biashara iishe

  • @AbuuBakari-g9i
    @AbuuBakari-g9i 2 หลายเดือนก่อน

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @MchaJuma-l5u
    @MchaJuma-l5u 2 หลายเดือนก่อน

  • @johnmwita9370
    @johnmwita9370 2 หลายเดือนก่อน

    Kweli milaji apewe adhabu kali

  • @godfrey3926
    @godfrey3926 2 หลายเดือนก่อน

    Kibu Dennis kaja na ushamba hapa, sasa ngoja afungiwe miaka 3 bila mshahara then ataona maana na mikataba ni nini

  • @NassorSalekhe
    @NassorSalekhe 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo aekwe juu hyo miakayakemiwili aliosaini

  • @AzizMangara
    @AzizMangara 2 หลายเดือนก่อน

    Angekuwa mtanzania Tungemsamehe, ila kwakuwa mkimbizi huyu anyooshweee. Mbaka ajue. Hii ndo Tz.

  • @Yangaone-h8j
    @Yangaone-h8j 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mrundi yule mmeshampa uraia sasa anaanza kuwadengulia

    • @idiidi-rq5gk
      @idiidi-rq5gk 2 หลายเดือนก่อน

      Mlundi mwenyewe paka ww

    • @Yangaone-h8j
      @Yangaone-h8j 2 หลายเดือนก่อน

      @@idiidi-rq5gk Kolo wahedi matusi yanatoka wapi kwani mimi nimetukana hapo, dunduka walkutupwa ww

  • @VictorBatista-k1u
    @VictorBatista-k1u 2 หลายเดือนก่อน

    Kweli kabisa au kibu apigwe lisasi kabisa

    • @LindaMbilinyi
      @LindaMbilinyi 2 หลายเดือนก่อน +1

      😅😅😅😅😅umenihlchekesha shabik mwenzio wa Simba hapa

  • @jamessakaya1890
    @jamessakaya1890 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sisi kama wana simba tumeumia snaaa..simba tuna vita kubwa snaaaa....ndani na inje...ila siku zote mti unaopigwa mawe ndio wenye matunda..

    • @miyongatz7283
      @miyongatz7283 2 หลายเดือนก่อน

      wewe mti mwingine una nyoka

  • @ezekielmwakajila3790
    @ezekielmwakajila3790 2 หลายเดือนก่อน

    Walikwepo kina Morison wapo wapi😂

  • @PhillRenard
    @PhillRenard 2 หลายเดือนก่อน

    Au alongwe uyoo tapeli

  • @JumaJux-fn3ff
    @JumaJux-fn3ff 2 หลายเดือนก่อน

    Kibu asirudi tena asante mungu kibu hanaga akili

  • @wimranpatrick
    @wimranpatrick 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kibu ubwela magoma rastaman vibration @ na el buga is back

  • @HassanDonyoa
    @HassanDonyoa 2 หลายเดือนก่อน

    Kwa hakika kibu mtovu wa nidhamu na anatumiwa na watu

  • @beatricembunda6168
    @beatricembunda6168 2 หลายเดือนก่อน

    Msifananishe suala la Kibu na Feitoto,Kibu kaiibia Simba Fei alikuwa analalamiki masilahi ambayo hakuyapata,Kibu amepewa Kila kitu.

  • @danielelikana2615
    @danielelikana2615 2 หลายเดือนก่อน

    Viongozi wangemuacha tu aondoke! Kibu hana jipya..ni mchezaji wa kawaida sana! Hana maajabu yoyote!!

  • @EdwinAmbakisye-li4zq
    @EdwinAmbakisye-li4zq 2 หลายเดือนก่อน

    Kibu aliambiwa mkimbikizi Simba ikafanya juu chini.mpaka akaitwa mtanzania kumbe ni tapeli naomba uongozi umpe adhabu.kali

  • @AbbasyMdabwa
    @AbbasyMdabwa 2 หลายเดือนก่อน

    Maramoja, nakupa asilimia 98 ukosahihi sana kwenye mpera

  • @AdnaneisufomomadeMomade
    @AdnaneisufomomadeMomade 2 หลายเดือนก่อน

    Kibu Denis .masikini. sio utoto ni masikini

  • @JumaJux-fn3ff
    @JumaJux-fn3ff 2 หลายเดือนก่อน

    Kibu kwanza mkimbizi jmn chama atutese na kibu pia fukuza mbwaaa

  • @lutiak7618
    @lutiak7618 2 หลายเดือนก่อน

    Miraji umenena vyema kabisa

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA 2 หลายเดือนก่อน

    Waandishi fanyeni Tafiti ili muulize maswali mazuri kuliko kuuliza maswali mepesi hadi unaonekana hujasoma na huna taaluma ya uandishi bora

  • @elkanangosha9588
    @elkanangosha9588 2 หลายเดือนก่อน +3

    Tunaanza kuona kwanini kibu alikuwa anakosa magoli ya wazi,hawa ndiyo walikuwa maluki Kibu asirudi Simba

  • @noelmushi9912
    @noelmushi9912 2 หลายเดือนก่อน

    Awesu awesu mmemchukua bila kuwahusisha KMC Leo kibu kaenda Norway bila kuwaambia mnapiga keleeeeleeeee.

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania 2 หลายเดือนก่อน

    Mwizi huyo ashitakiwe.

  • @joelsaganya4077
    @joelsaganya4077 2 หลายเดือนก่อน

    Mimi simdai Kibu arudishe pesa ya watu akatafute malisho bora, ni haki yake, mbona fresh tu.

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kibu mkimbizi yule kutokea kongo ana tabia za kikongo achaneni nae

  • @doreenkambanga9510
    @doreenkambanga9510 2 หลายเดือนก่อน

    Mmmmh miraji hujaachakupiga makofi😂is

  • @didierilombe5572
    @didierilombe5572 2 หลายเดือนก่อน

    Alijilipa pesa zake ambazo ka wadai

  • @SULEIMAN-l8v
    @SULEIMAN-l8v 2 หลายเดือนก่อน

    Imefika wakati wa ubaya ubwela hizi tvonline zinazoanzisha uzushi Simba izishitaki mahkamani

  • @MartinWekesa-c2x
    @MartinWekesa-c2x 2 หลายเดือนก่อน

    Mkuki kwa nguruwe ni mtamu,kwa mwanadamu ni mchungu😂😂😂😂

    • @malietamaliet
      @malietamaliet 2 หลายเดือนก่อน

      Costal geita kmc imewarudia 😂😂😂hii kweli ni siji ya zuchu na mpunga wa mo kala walikua bize na magoma imewatokea puani

  • @DrNdii
    @DrNdii 2 หลายเดือนก่อน

    Wakati hersi akisema mikataba iheshimiwe,sio mambo na huruma wakati wa fei toto mlisemaje, Acha uzalendo ufanye kazi

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 2 หลายเดือนก่อน

    Kibu asishitakiwe, fesal alikuwa alilipwa fedha, mkataba ulifungwa lakini nyie mlimshabikia kuwa Yangs wamwachie akatafute maisha. Sasa na nyie mwambieni kibu arudishe fedha halafu aendelee na maisha yake. Halafu nyie pia mna mapungufu na migogoro na wachezaji, mna hayo kwa aweso, lawi, Yule wa geita, kagoma, shidaaaaa. Mlipomtetea fesal mlifikiri mazuri sana, ya kibu mnaona uchungu, huo ndiyo ubaya ubwela, lakini msisahau kuna udugu umala.

  • @JosephAnangisye
    @JosephAnangisye 2 หลายเดือนก่อน

    Hakuna mchezaji mkubwa kuliko timu wamuulize yaya toure yaliomtokea pale man city

  • @SalmaHasuman
    @SalmaHasuman 2 หลายเดือนก่อน

    Ubaya ubwela mlikuwa mnafurahiya nyie issue ya fei na yanga Leo kikowapi

  • @mlungumasaba1786
    @mlungumasaba1786 2 หลายเดือนก่อน

    Hata B DORTMUND ilifugwa na katimu ka Tailand

  • @IddyMrisho-g8x
    @IddyMrisho-g8x 2 หลายเดือนก่อน

    Kwani wakati hakuwepo tulipungukiwann aondoke2 ndokosi ra chama hyo atoke

  • @Saidaabdu
    @Saidaabdu 2 หลายเดือนก่อน

    Kibu ni mwizi astakiwe, sheria ifate mkondo wake

  • @saidkasonta3174
    @saidkasonta3174 2 หลายเดือนก่อน

    Yule hatuwezi kumsamehe kamwe!? Amefanya dharau iliyopitiliza!! Kwanini alisaini mkataba? Kwanini alipokea pesa!? Amepoteza Kila kitu Kwa Simba! Hatumtaki!! Tunataka pesa zetu! Na apewe adhabu itakayomfanya awe na adabu siku nyingine!!!

  • @JumaJux-fn3ff
    @JumaJux-fn3ff 2 หลายเดือนก่อน

    Kibu simpendag

  • @monicaalex7714
    @monicaalex7714 2 หลายเดือนก่อน

    sio nidhamu tu pia kafanya utapeli huitaki Simba ila unaitaka pesa yake.Huyo ni wa kupelekwa mahakamani kabisa sio tu adhabu ya kiutawala.

  • @JosephTibu
    @JosephTibu 2 หลายเดือนก่อน

    MIMI NASEMA AENDEZAKE

  • @izackwiliblod1472
    @izackwiliblod1472 2 หลายเดือนก่อน

    Mm nigekua idiamini kibu ningepg risasi

    • @DarliotonTumaini
      @DarliotonTumaini 2 หลายเดือนก่อน

      Ubaya ubwela ndohiyo komeni

  • @IddyMrisho-g8x
    @IddyMrisho-g8x 2 หลายเดือนก่อน

    Asipewenafasi yakuharibu tim yetu amechoka atoke2 kwanza hatumtaki

  • @ushiwamarandu7433
    @ushiwamarandu7433 2 หลายเดือนก่อน

    kibu siyo mtanzaniaaaa....!

  • @SalminTenga-fx6wi
    @SalminTenga-fx6wi 2 หลายเดือนก่อน

    Uyo kibu actuchanganye wanasimba .cmba yetu IPO sawa kibu ni tapeli Cha mcng arudshe mafao au kwa vile cc hatuna shida .tumpe azabu ya kukaa nje au tumfungie ndani na nje kwa muda wa miaka miwili aliosaini .cc tupo imara Sana

  • @babycandycharles7816
    @babycandycharles7816 2 หลายเดือนก่อน

    Ubaya ubwela umewarudia teali na bado utarudi ubaya ungine mkubwa tu

  • @BilaliRamadhani-iq1mb
    @BilaliRamadhani-iq1mb 2 หลายเดือนก่อน

    Uyo kibu ninani waaachane nae tu simba ni clabu bana sio ya mtu ila tu wamnyoshe iwe fundisho kwawengine

  • @SaidMana-dp4et
    @SaidMana-dp4et 2 หลายเดือนก่อน

    Kibu achukuliwe hatua kali arudishe mali zote za simba kisha mfukuzeni hatumtaki hana nidhamu hafai kabisa adhabu kali achukuliwe na afukuzwe hatuna shida nae

  • @SalumSevingi
    @SalumSevingi 2 หลายเดือนก่อน

    Kibu ni mwizi mkubwa .

  • @PeterMbinga-v7t
    @PeterMbinga-v7t 2 หลายเดือนก่อน

    Miraji mzee wa kupiga mabega 😅

  • @eliudmwangoka6036
    @eliudmwangoka6036 2 หลายเดือนก่อน

    Kibu ni limbukeni TU muache aondoke

  • @AhmedMsellem-v3e
    @AhmedMsellem-v3e 2 หลายเดือนก่อน

    Nguvu moja

  • @EliaTish
    @EliaTish 2 หลายเดือนก่อน

    miraji tunakubali unaga baya

  • @jumakasim8784
    @jumakasim8784 2 หลายเดือนก่อน

    Kwa fei hamkusema iwe fundishio malipo ni hapa hapa

    • @feisalmohamed2848
      @feisalmohamed2848 2 หลายเดือนก่อน

      Waliongea sana ya fei ,sasa imerudi kwao ,walisemaga tunamwonea mtoto 😂😂

    • @MartinWekesa-c2x
      @MartinWekesa-c2x 2 หลายเดือนก่อน

      Ubaya ubwela 😂😂😂😂😂

  • @HappyEel-wg4qx
    @HappyEel-wg4qx 2 หลายเดือนก่อน

    Acha uongo

  • @idrisahamimuhasani5717
    @idrisahamimuhasani5717 2 หลายเดือนก่อน

    Maramoja kibu denis kamchafua

  • @RabsonSalmon-ys7bf
    @RabsonSalmon-ys7bf 2 หลายเดือนก่อน +1

    Miraji magoma Nina kuita mala mbili pia Nina taka nikuereze ivi"!? UBAYA UNYOKOOOOOOOOO😢 Uyo kibu anawadai pesa zake zanyuma ko kajilipa

  • @harrymasetta9659
    @harrymasetta9659 2 หลายเดือนก่อน

    Miraji wewe ni Mwalimu BORA sana wa mpira wengi ni wachambuzi KANJANJA.!!!!!!!

  • @samsonkingdom-xc8cg
    @samsonkingdom-xc8cg 2 หลายเดือนก่อน

    Bado amjasema mpaka mseme

  • @AyubuJuma-df4pn
    @AyubuJuma-df4pn 2 หลายเดือนก่อน

    Kwa jirani kumeanza kuchangamka.

  • @hashimbakari4670
    @hashimbakari4670 2 หลายเดือนก่อน

    Mkimbizi ni mkimbizi tu.

  • @samsonkingdom-xc8cg
    @samsonkingdom-xc8cg 2 หลายเดือนก่อน

    Mlimsapoti Fei Leo zamu yenu nyooo na bado wewe sikuizi umeamua kujivua heshima mpaka unajiita magoma

  • @NemesMasawe
    @NemesMasawe 2 หลายเดือนก่อน

    Wamnyooshee wanini

  • @feisalmohamed2848
    @feisalmohamed2848 2 หลายเดือนก่อน

    Ahaa ile ya fei toto mlisema tunamwonea...imehamia kwenu sasa kudadadeki 😂😂😂😂😂 usimtukane mamba......acheni kumwonea mwacheni aende

    • @masudymnonge4983
      @masudymnonge4983 2 หลายเดือนก่อน

      Kuna popote alipsema kama kibu hataku kucheza simba au taarifa yoyte Ile?? Unapoongea angalia mchzaj mwenyewe KASEMA nini🧠🧠🤯🤯

  • @farajasospeter9668
    @farajasospeter9668 2 หลายเดือนก่อน

    Makolo bhana fei wakat anaigomea yanga yalikua yanachekelea saiv yanalia sijui yanalia nn

  • @joshuasamson9618
    @joshuasamson9618 2 หลายเดือนก่อน

    Kibu ni Jambazi

  • @rogermabirwa
    @rogermabirwa 2 หลายเดือนก่อน

    Kutoka marekani familia yake himekutaniwa marekani bwana 😅😅

  • @yunussaleh4872
    @yunussaleh4872 2 หลายเดือนก่อน

    Miraji ana madini ya shule kabisa....

  • @charlesmtamala4912
    @charlesmtamala4912 2 หลายเดือนก่อน

    ubaya ubwela 😅😅😅😅😂

  • @evansmoshi1923
    @evansmoshi1923 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa afanywe mbuz wa kafara

  • @BahatiGodfrey-u2j
    @BahatiGodfrey-u2j 2 หลายเดือนก่อน

    Mjiraj wambie hao wasengewange wasio jua mpira

  • @GodfreyJames-zt6ig
    @GodfreyJames-zt6ig 2 หลายเดือนก่อน

    Kibu kayatimba Yan kwaujumla atapata matatzo makubwa sana

  • @DavidMessi-h9c
    @DavidMessi-h9c 2 หลายเดือนก่อน

    Anyaganywe ulai atakuja kusaliti hata timu yataifa.

  • @GasperMwaisa-rb1lf
    @GasperMwaisa-rb1lf 2 หลายเดือนก่อน

    Nyie makoro achan kubwabwa midomo yakwenu yamewafikia mnatoa macho mmesahau ya yanga na fei toto mbwa nyinyi

  • @STKMwihomeke
    @STKMwihomeke 2 หลายเดือนก่อน

    Kibu mhuni

  • @YahayaHussein-m8j
    @YahayaHussein-m8j 2 หลายเดือนก่อน

    Dirisha dogo huyoo jangwani, mtaona