MIRAJI: AMCHOMOLEA BETRI KIBU DENIS"UONGOZI USIMBEMBELEZE" | WACHAMBUZI WASIWAPOTEZE SIMBA NI MOTO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
- JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.
Miraji anajua kuchambua mpila 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Mwenye kujua mpira na kuelewa ndiye anayeweza kumwelewa MIRAJI.. Ila ukiwa mtu mnafiki / chawa / kiroboto / kunguni / mpenda sifa huwezi kumwelewa MIRAJI hata siku moja...
THIS TIME UBAYA UBWELA TUU...
Kweli kabisa 🙌🙌🙌
Upo sawa kabisaaa adhabu kali itumike ilifundisho
Bravo bro miraj
Denis angefuata taratibu hangezuiwa Simba ni timu kubwa inajielewa .Hamtaamini Simba itachikua UBINGWA Mungu ameliona Hilo.
Kama kasaini na kapewa vyote hivyo ashitakiwe mwizi kama mwizi mwingine
perfect
Kibu anadai madeni ya nyuma,semeni ukweli😂😂😂yeye sio fala
Kolo wametangaza ubaya ubwela... kibu akaanza na wao wenyewe..
@@errydeo8865 mwiko umekaa vibaya eeh
@@errydeo8865 kama kweli mbona hajayaweka wazi?
Kunawatu wanawadanganya wachezaji wetu kibu Denis nae nmeshamwona anakili zakitoto Apewe azabu mpaka ajutie .naamini tumezungukwa namaadui wengi sana Miraji unaongea kwauchungu hata Mimi inaniuma sana kwakitendo anacho tufanyia kibu
Kma hataki kuchezea simba aseme,, hii sio ujinga
Atumtak tena
Hili li miraji linajua ball sanaa
Big up bro miraji
Kibu Denis akifeli alikokwenda kama kweli basi amepoteza alichokitegemea na hata akipokelewa na timu kana Yanga na Azam atakuwa anatokea bench
Mpira wa Kibu Denise umeishia Simba hata fanikiwa tena kwa namna alivyoondoka Simba kihuni kabisa.
SIMBA NGUVU MOJA🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Huyu ni mwizi ashtakiwe na ikibidi afungiwe asicheze tena na alipe garama zote mjinga huyu
Akili za kikongo/msaliti mkimbizi😂😂😂
Acheni kibu Denis akafanye trials huko Norway nyie simnamsimanga mara e hafungi anagoli moja kama hana maana kelele za nini sasa vipi angekuwa duchu kelele tusingesikia tulieni wachezaji ni wengi sajirini mwingine namba ya kibu Denis
Malamoja nimekuelewa kibu kayakanyaga
Kweli 🎉🎉🎉🎉🎉
Mkome Anavyo tuvunjia nidham feitoto Mlikua mnacheka Mnalo ilo😂😂
Hapo umeongea ila tatizo yawezekana aliondoka kwa sababu ya viongozi wa Simba Mimi Kama Mimi try again simwaamini
Hawa wachezaji wengi wa kitz ni washamba
Haruna Moshi.Bobani alishaenda huko Norway Simba hawakumzuia.Offer ikija ya kiulayaulaya. Uongozi chukueni,wachezaji wapo wengi.
Boban alifuat utaratb ndo maan aliruhusiw. Kibu hajafuat utartb
Problem ya Tz ni wapole mno kupitiliza huyu Kibu asilikua mkimbizi. Hata passport kapewa na nchi ya Tanzania. Tanzania wanaweza withdraw citizenship yake.
Kwani kibu katoka nchi gani?ila nauliza tu
Mkimbizi kutoka Congo@@israelnibigira4990
Kibu aludishe pesa Fata mpanzu biashara iishe
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
❤
Kweli milaji apewe adhabu kali
Kibu Dennis kaja na ushamba hapa, sasa ngoja afungiwe miaka 3 bila mshahara then ataona maana na mikataba ni nini
Huyo aekwe juu hyo miakayakemiwili aliosaini
Angekuwa mtanzania Tungemsamehe, ila kwakuwa mkimbizi huyu anyooshweee. Mbaka ajue. Hii ndo Tz.
Mrundi yule mmeshampa uraia sasa anaanza kuwadengulia
Mlundi mwenyewe paka ww
@@idiidi-rq5gk Kolo wahedi matusi yanatoka wapi kwani mimi nimetukana hapo, dunduka walkutupwa ww
Kweli kabisa au kibu apigwe lisasi kabisa
😅😅😅😅😅umenihlchekesha shabik mwenzio wa Simba hapa
Sisi kama wana simba tumeumia snaaa..simba tuna vita kubwa snaaaa....ndani na inje...ila siku zote mti unaopigwa mawe ndio wenye matunda..
wewe mti mwingine una nyoka
Walikwepo kina Morison wapo wapi😂
Au alongwe uyoo tapeli
Kibu asirudi tena asante mungu kibu hanaga akili
Kibu ubwela magoma rastaman vibration @ na el buga is back
Kwa hakika kibu mtovu wa nidhamu na anatumiwa na watu
Msifananishe suala la Kibu na Feitoto,Kibu kaiibia Simba Fei alikuwa analalamiki masilahi ambayo hakuyapata,Kibu amepewa Kila kitu.
Viongozi wangemuacha tu aondoke! Kibu hana jipya..ni mchezaji wa kawaida sana! Hana maajabu yoyote!!
Kibu aliambiwa mkimbikizi Simba ikafanya juu chini.mpaka akaitwa mtanzania kumbe ni tapeli naomba uongozi umpe adhabu.kali
Maramoja, nakupa asilimia 98 ukosahihi sana kwenye mpera
Kibu Denis .masikini. sio utoto ni masikini
😂😂😂😂
Kibu kwanza mkimbizi jmn chama atutese na kibu pia fukuza mbwaaa
Miraji umenena vyema kabisa
Waandishi fanyeni Tafiti ili muulize maswali mazuri kuliko kuuliza maswali mepesi hadi unaonekana hujasoma na huna taaluma ya uandishi bora
Tunaanza kuona kwanini kibu alikuwa anakosa magoli ya wazi,hawa ndiyo walikuwa maluki Kibu asirudi Simba
Kabsaaaa
Awesu awesu mmemchukua bila kuwahusisha KMC Leo kibu kaenda Norway bila kuwaambia mnapiga keleeeeleeeee.
Sawa wakala wa awesu awesu
Mwizi huyo ashitakiwe.
Mimi simdai Kibu arudishe pesa ya watu akatafute malisho bora, ni haki yake, mbona fresh tu.
Kibu mkimbizi yule kutokea kongo ana tabia za kikongo achaneni nae
Kweli mkimbiz
Mmmmh miraji hujaachakupiga makofi😂is
Alijilipa pesa zake ambazo ka wadai
Imefika wakati wa ubaya ubwela hizi tvonline zinazoanzisha uzushi Simba izishitaki mahkamani
Mkuki kwa nguruwe ni mtamu,kwa mwanadamu ni mchungu😂😂😂😂
Costal geita kmc imewarudia 😂😂😂hii kweli ni siji ya zuchu na mpunga wa mo kala walikua bize na magoma imewatokea puani
Wakati hersi akisema mikataba iheshimiwe,sio mambo na huruma wakati wa fei toto mlisemaje, Acha uzalendo ufanye kazi
Kibu asishitakiwe, fesal alikuwa alilipwa fedha, mkataba ulifungwa lakini nyie mlimshabikia kuwa Yangs wamwachie akatafute maisha. Sasa na nyie mwambieni kibu arudishe fedha halafu aendelee na maisha yake. Halafu nyie pia mna mapungufu na migogoro na wachezaji, mna hayo kwa aweso, lawi, Yule wa geita, kagoma, shidaaaaa. Mlipomtetea fesal mlifikiri mazuri sana, ya kibu mnaona uchungu, huo ndiyo ubaya ubwela, lakini msisahau kuna udugu umala.
Hakuna mchezaji mkubwa kuliko timu wamuulize yaya toure yaliomtokea pale man city
Ubaya ubwela mlikuwa mnafurahiya nyie issue ya fei na yanga Leo kikowapi
Hata B DORTMUND ilifugwa na katimu ka Tailand
Kwani wakati hakuwepo tulipungukiwann aondoke2 ndokosi ra chama hyo atoke
Kibu ni mwizi astakiwe, sheria ifate mkondo wake
Yule hatuwezi kumsamehe kamwe!? Amefanya dharau iliyopitiliza!! Kwanini alisaini mkataba? Kwanini alipokea pesa!? Amepoteza Kila kitu Kwa Simba! Hatumtaki!! Tunataka pesa zetu! Na apewe adhabu itakayomfanya awe na adabu siku nyingine!!!
Kibu simpendag
sio nidhamu tu pia kafanya utapeli huitaki Simba ila unaitaka pesa yake.Huyo ni wa kupelekwa mahakamani kabisa sio tu adhabu ya kiutawala.
MIMI NASEMA AENDEZAKE
Mm nigekua idiamini kibu ningepg risasi
Ubaya ubwela ndohiyo komeni
Asipewenafasi yakuharibu tim yetu amechoka atoke2 kwanza hatumtaki
kibu siyo mtanzaniaaaa....!
Uyo kibu actuchanganye wanasimba .cmba yetu IPO sawa kibu ni tapeli Cha mcng arudshe mafao au kwa vile cc hatuna shida .tumpe azabu ya kukaa nje au tumfungie ndani na nje kwa muda wa miaka miwili aliosaini .cc tupo imara Sana
Ubaya ubwela umewarudia teali na bado utarudi ubaya ungine mkubwa tu
Uyo kibu ninani waaachane nae tu simba ni clabu bana sio ya mtu ila tu wamnyoshe iwe fundisho kwawengine
Kibu achukuliwe hatua kali arudishe mali zote za simba kisha mfukuzeni hatumtaki hana nidhamu hafai kabisa adhabu kali achukuliwe na afukuzwe hatuna shida nae
Kibu ni mwizi mkubwa .
Miraji mzee wa kupiga mabega 😅
Kibu ni limbukeni TU muache aondoke
Nguvu moja
miraji tunakubali unaga baya
Kwa fei hamkusema iwe fundishio malipo ni hapa hapa
Waliongea sana ya fei ,sasa imerudi kwao ,walisemaga tunamwonea mtoto 😂😂
Ubaya ubwela 😂😂😂😂😂
Acha uongo
Maramoja kibu denis kamchafua
Miraji magoma Nina kuita mala mbili pia Nina taka nikuereze ivi"!? UBAYA UNYOKOOOOOOOOO😢 Uyo kibu anawadai pesa zake zanyuma ko kajilipa
Miraji wewe ni Mwalimu BORA sana wa mpira wengi ni wachambuzi KANJANJA.!!!!!!!
Bado amjasema mpaka mseme
Kwa jirani kumeanza kuchangamka.
Mkimbizi ni mkimbizi tu.
Mlimsapoti Fei Leo zamu yenu nyooo na bado wewe sikuizi umeamua kujivua heshima mpaka unajiita magoma
Wamnyooshee wanini
Ahaa ile ya fei toto mlisema tunamwonea...imehamia kwenu sasa kudadadeki 😂😂😂😂😂 usimtukane mamba......acheni kumwonea mwacheni aende
Kuna popote alipsema kama kibu hataku kucheza simba au taarifa yoyte Ile?? Unapoongea angalia mchzaj mwenyewe KASEMA nini🧠🧠🤯🤯
Makolo bhana fei wakat anaigomea yanga yalikua yanachekelea saiv yanalia sijui yanalia nn
Kibu ni Jambazi
Kutoka marekani familia yake himekutaniwa marekani bwana 😅😅
Miraji ana madini ya shule kabisa....
ubaya ubwela 😅😅😅😅😂
Huyu jamaa afanywe mbuz wa kafara
Mjiraj wambie hao wasengewange wasio jua mpira
Kibu kayatimba Yan kwaujumla atapata matatzo makubwa sana
Anyaganywe ulai atakuja kusaliti hata timu yataifa.
Nyie makoro achan kubwabwa midomo yakwenu yamewafikia mnatoa macho mmesahau ya yanga na fei toto mbwa nyinyi
Yamewarudiaaa😂😂
Kibu mhuni
Dirisha dogo huyoo jangwani, mtaona