"SAFARI YA MATESO": NILIZAMIA SOUTH AFRICA KWA MIGUU/ NILITEKWA NJIANI/USIKU/ NILIJUTA (S02EP02"D ")
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 ก.ย. 2024
- Malume...Kijana wa kitanzania anae jaribu bahati yake maishani kwa kufanya safari ya kuingia nchini Afrika Kusini kwa magendo, safari inayo mgharimu na kuacha kovu lisilofutika maishani...... karibu hii ni MBANGA
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24news@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24Tz
⚫️ Facebook: @dar24news
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Maishayangu #Baharia #Uzamiaji
Kasoro simulizi haijapangiliwa kwa series hujui namba moja ipi ,mbili ipi na kuendelea.
inaboa sana haina namba hujui namba ngap
Nikajua peke yangu TU ajapnga kujua namb Moja hivi au 2 hivi ajandika
Yani hapo ndio kazingua
Jamaa energy yako yakusimulia imekua bora sana trip hii, chukua tano
Sio pow yanii hii story ya huyu mjomba inanihusu mpka sometime nacheka yaniii tulijimwaga kama huyu jamaa lkn hatukufanikiwa kufika south
Nice msg kuna kitu Cha kujifunza kupitia huyu mwamba
Safari za south, true tumeathirika wengi , tumetembea njia moja tokea mueda mpaka maputo, Ila hapo boda ya katembe wenzio tumetembea kwa miguu tu siku nzima,, kwa kushindia mikate migumu, paluuu,
Nakubali kazi nzuri
Hyu jamaa anachosema nikwer kabisa hajakosea maana me na Mjomba angu nae alienda hko mweda alienda kwa pikipiki nauli 70000, mtu mmoja tena mwaka Jana Tu, lkn alinambia hela Zippo, changamoto ndo kama hizo
Twende kazi ndani ya mbanga
Uyo dogo yupo sahii na kingine police wa Mozambique awatupendi watanzania iyo tabia wanayo mpakaleo yani nikweli tupu namie kwenye izo safari miaka ya 90 imenikuta sana siyo maramoja
Njia ngumu sana hiyo ya Mocambique
Kwel noma
Maisha ni safari ndefu tusikate tamaa vijana hu ndio muda wa kutafuta
stori zako hazina namba unakosea sanaaaa
Nice
Safi kamkubwa
Dizonga Ola Ola