"SAFARI YA MATESO": NILIZAMIA SOUTH AFRICA KWA MIGUU/ NILITEKWA NJIANI/USIKU/ NILIJUTA (S02EP02"B")
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2024
- Malume...Kijana wa kitanzania anae jaribu bahati yake maishani kwa kufanya safari ya kuingia nchini Afrika Kusini kwa magendo, safari inayo mgharimu na kuacha kovu lisilofutika maishani...... karibu hii ni MBANGA
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24news@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24Tz
⚫️ Facebook: @dar24news
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Baharia #Safariyangu #Mbanga
Uwe unaaandika part1 na part2 ili mtu aelewe atazame ip iliokuwa tayar maana kuna wengine ndio tunajiunga leo hik kipind chako so uwe unachambua vzr
Miyeyusho sana, ila content nzur
Siwezi nika liski maisha yangu kisa kwenda South Africa
Yaa uwezi because we mtoto wa kike na una majukumu istoshe unakaa home
Mzee baba story inachelewa sana fanya back to back
Safari bila mipango hiyo
Hii move umebugi siew nikitka nitafute namb 1 sihii pati
Story Tamu Sana
Naona mwamba kawakia kwenye gia maana alikuwa slow sana now kachangamka🤣🤣🤣🤣😂😂
Ahahhhhhhhh noma
😂😂😂😂😂😂
safari ndo hii🤣🤣
Maisha simchezo aisee
Jamani hizi comment zetu za mtuandikie Kama ni part one au part 2 ama part 3 mnaziona dar24?
Kwer dunian kil k2 kinagawnywa kwa muda
Daaaah iyo njia sitoisahau aisee..nilpata shida nying kufika South Africa ila namshukul Mung nipo Tanzania.vijana wenzangu msipate tamaha ya kwenda uko sio kuzuri kabisa
Usitishe watu dizonga hoya hoya
Wewe mtoto wamama wezio tuna magali na nyumba tushanunua
@@rasdee7474 dizonga oya oya Kulala nje au vp?
Au kupiga mchomoko ndio oya oyaaa acha kuwakanyagisha watu
@@manyotaskipper5765 kulala nje kupiga mchomoko ndio viwanjani sio kula vitumbu vya moto na usawa auweleweki
@@rasdee7474 acha kutia watu ujinga wewe ujanja gani huo waambien watu Ukweli uanataka wayakanyage kama ulivyoyakanyaga wewe wafagashe kwenye madustbin
Duuu porenisana ndo maisha
Yeah kanjani wena malume Wana WA dizonga tupo mfeto
story tamu ila mbk wiki hd wiki da weka kila siku
Tupia story yote ili mtu aweze kucheki kadri anavyoweza, sasa mfumo huu munakata mzuka!!!