Ajuza Raia Wa Sweden adai kutapeliwa na mpenziwe kijana huko Diani
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- Ajuza moja wa Raia Wa Sweden Anahangaika Katika Mji Wa Diani Kaunti Ya Kwale Baada Ya Kufilisika akiwa kwenye bahari ya mapenzi na kijana mmoja mwenyeji wa diani #CitizenNipashe
Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
Follow us:
citizentv.co.ke
/ citizentvkenya
/ citizentvkenya
plus.google.co...
/ citizentvkenya
She should call her embassy in Nairobi, they will help her.
Nobody help
Jameni huyu kijana atafute kazi amlishe mzungu😨😁😁eti sio besiness minded stupid man
Seek help from your Embassy in Nairobi. They should help you. Sorry for your situation.
Kumbuka mungu anakuona.umejinice na pesa zake sa zimeisha.....utaki kumsaidia.
Kwa hivo we ni wale wakusahau kuna Leo na kesho uijui.chenye umefanyia huyo mama ata wewe utafanyiwa ivo, ivo.ata ikiezekana watalii wawe wakitembelea Tz na Inchi zingine ndo mtafute kazi.mnaharibia Kenya ladha.....sa wageni tayari wataogopa kutembea Kenya.
Utajua hujui mama
When I move
You
Move jst lyk that😂😂😂
Like seriously ? This woman is of the same age to this guy’s mom am worried y do people dont fear God
Felistas Maina I am asking myself the same question. It seems that we love money more than our lives
Felistas Maina why can’t she fear God?
She need to go to Sweden Embassy and tell her story. You guys Need to help her get access to her embassy. And this Guy need to be arrested, otherwise it will cause a black eye on Kenyan Tourism industry.
Well, should be easy, go to Swedish embassy and say u lost your passport, get a temperary travelling document and go home for treatment
Haha you know right ' it's the easiest way out of the country as a foreigner
Ati Hamisi ???? Hahaaaaa.
Huyu ni mwangi .
binben martin 😂😂😂😂😂
binben martin hapo umesema hamna cha Hamisi huyu aende kwa Embassy yao Nairobi watamsaidia tu.
Pole mama. Ole wake mwizi Hamisi.
only mwangi can do such act. every man loves money.
😂😂😂😂😂
Mwangi tiga ngoma maani,,,
Ati hamisi !!
binben martin 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣aki kii
😀😀😀😀😀😀
Hahaha
binben martin 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Haha lol
Pls pls try to be more human than judge mental with U seak comments. Shit happens in life.. Who are U to judge her than trying to help her.
aaaha aha kenyans you,re so talented
Wewe kijana enda ukatafute kazi wacha ujinga
Kweli. Vi jana wameharibika
Sherry Keya safi sana ww mkenya, i'm Tanzanian
Mwangi hajafanya poa
@@micamathew6433 yes
Pwani kazi ndio hiyo..getting a mzumgu is winning a jack pot.
Pole sana mama mzungu Mungu atakuonekania. Na madem wa kenya pia muache kuturingia. Kuweka pesa mbele. Nimetafuta dem for 15yrs kila dem ataka financialy stable wakati yy hana hata kazi. Leo hii niko qatar kazi je vile hamna kitu niwaambiaje nanyinyi.badilikane tabia
Kiparty Kenya me too nataka chali, am ready to go please nitafute we talk Hadija
kiparty kenya me too natafuta chali nitafute we talk
Nikipanda sishuki saa hii vile uko catar ukija watakupenda manake uko na pesa pole lakini dunia imekua mbaya hakuna uaminifu
Hatari but all in all omba mungu akupe mke wa ndoa maana ...
😂😂😂ati vibabu na vinyanya
Pili pili usio ila yakuwashia nn
We nae vp umetoka usingizini😏
amouna nyale vishosho😂😂😂😂😂😂
amouna nyale vishosho😂😂😂😂😂😂
amouna nyale
Hahahahahaha
Kweli there is no romance without finance, struggle continues choma bangi na kukaranga wanyanya or be a man uende kazi!
Duh some people just won't learn. How could you spend everything you have to this kind of men who even dont respect you?its so sad
@Ali Ali Mungu akuongoze
This guy is mean....not so fair ripping off this woman....
Do u know how kenyans/africans suffer
andy gal he did the right thing
Vibabu na vinyanya😂😂😂😂😂
i am very sorry for that oldwoman god bless her
Self blame
Kumbe na wazungu wako na ujinga😅😅
Kulala na nyanya sio mchezo. ....hamisi amejaribu
😄😄😄
🤣🤣🤣🤣 mjaja kamau sio hamisi
Haaa haa vi babu n vinyanya aah jameni good one
Doesn't she have any friends or relatives back home? 50k is not a lot of money.
Be a lesson to others older women looking for love
Aende embassy y kwao atapata usaidizi
A very good lesson to this woman, imagine someone coming all the way from Sweden because of sex
😂😂😂😂😂😂😂
Noma sana
noma aki
Kamcheka ajuza yule jamani babu swaleh juzi ulikuwa unauza figo yako daah! kajisahauwisha! Haya!
Aisha Hussein nyani haoni kudule na maskini akipata matako hulia bwata saa hii anacheka taka kabisa ameniuthi
Nyani haoni kudule
this is interesting
😂, you always reap what you sown.
Mombasa kuingia rahizi kutoka tatizo
kinyee ee👌👌👌👌 mtajuwa hamjui pesa usiyoitolea jasho pole🚶🚶🚶🚶
mombasa iko na wenyewe ukiibeba na mgongo itakubeba na kichwa😂😂😂😂😂😂
Kijana mwenye ana heshima unatoa mama ako nguo na unamtexa cuz pesa simeisa toka sasa ukajifanyie job
Wonders
Does anyone know what came out?
she came to kenya in the name of love now she has nothing even food she want to sell her fone so that she can get something to eat to make the matter worst she took a loan in a bank they hold her passport she is even sick she is seeking medical treatment
@@wambuianne6847 so is she still in Kenya? She wont find money here especially now with Corona who will help her.
about still in Kenya I dnt know cause this vedio it for long ago 2yrs I think she got help through Sweden embassy
swedish embassy should help her.
Hahahaha utakula huu na hasara juu vinyanya na vibabu na pita mbio mimi
God bless that woman
Waa!na ww ulifaulu kuuza figo
Bure sana!!!
Vijana hawana hata utamaduni, wameutupilia mbali. Hivi vibabu na vinyanya vinamagonjwa ya
zinaa. Ambayo hayakwatuki mwilini hata kwa dawa ya tembe au sidano. Jihatharini na mchunge jamii zenu mwaweza kuwaletea familia zenyu maradhi na fedheha.
@Ali Ali umefika huku nako,kutusi watu,base ni wapi vile?we ni.bwigi.wa matusi lakini bwege kiakili..
noma sana.
@Ali Ali Go sodom and gomora.
Mmmmmm God have Marcy
Swaleh anamcheka and the last time I checked he was advertising his kidney
😂😂😂 ati "kero ya vibabu na vinyanya vya uzunguu....."
Wacheni ujinga.kama ni msapele angekua missing in action
Mwenyezi Mungu (Allah) katuonya tusikaribie zinaa mpaka tutakapo funga ndoa. Kwani zinaa ni uchafu na pia uchangia ufukara
Swaleh si wewe ulifilisika pia hivyo ukataka kuuza figo?
vibabu na vinyanya Kweli😂😂😂😂
Geraree here👋👋👋
Nice video 👍
Kazi ipo jamani mié napita nduki💃💃💃💃💃
Uwiiii pole dia hii ndo watu mweusi utaipenda
Wee mjinga sanaaa mwana mke.niwa kukonturoriwa
Very sad
Wewe mrasta...uta pata Karma...mwizi wa pesa na pia mwizi wa roho...
Wewe ingekua huyo kijana nimbaya angekua ashamhepa huyo shosh. But imajin ako nae. Huyu kijana nimvumilivu
Jamani😭😭
Huyu hamisi wa diani hata kiswahili si chakidigo aseme niwawapi lkn sio diani 😆
Huyo nimjakuja na jina LA Kiislamu
Geryenge
😂😂😂😂😂Aty vibabu na vinyanya
Mapenzii
Go to your Embassy
Nyanya na libido iko juu kama farasi.Jinga yeye atajua Malindi ni Mali ya Hindi ambayo hutumbukia Hindi.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mmmh!
Wewe mdoi mamboyako tisa wenzako watapatapa we wawainjoi😂😂😂😂😂😂
😁nao wakome bwana mbon ata sisi tunataperiwa ivyoivyo n hao wazungu
malieth nyoni 😃😃😃
At least he did not abandon her. Ingekua dem angekua ashamtoka
Microwave generation that doesn't want to earn clean money instead chasing their grannies what a disgrace😱😧😭hope she gets help
This is so sad. Going hungry ain't a good thing
Aende ubalozi wa Sweden jamani, km wakimbizi na watu wengine wako huku wanakula ela za kodi buree jamani yeye anateseka huko. Nasave jina kesho nijaribu kuuliza wamfate mtu wao aisee. Hii ya wazee kwenda afrika isharushwa kwenye magazeti ya Sweden, wanaenda Zambia, Kenya n.k kutafuta mapenzi bila kujua wenzao wanatafuta pesa.
This lady is nt a sweden native. She looks like she comes east europe
Pole sana!
These demons are the biggest oppressers and thieves. Kharma 🤣
Nko na wangu hapa ametulia tu habanduki hasikii..na hataji kwao..asema hapa kwetu sasa tunauza samaki pamoja.
Wewe weh bana unatumia lugha mbaya hapa tafathali!! ... *Vibababu na vinyanya "🤔🤔
Wololololo,,,kismat
Balaaa....
Hallo huyu jamaa si Mu coast huyu ni kamau beste yangu.beste yangu alingiwa na uvivu wa maisha ya kufanya kazi ya pesa za ubwete na sasa zimeisha pesa na maisha ndio yamekua magumu.Tafuta kazi ulishe bibi,bibi ndio baraka yako beste.
Funny...how the guy says the old lady isn't bussness-minded...where the fuck is his progress....
Subz Ommy 😂😂😂😂
Looks like Facebook love hehehe
Hamisi!!!! Wee Njoro tiga wanaa mani!!!
😆😆😆 hii ni kiboko ya ajuza yaan jamaa anasema kbs ati ni hakuweza kumshauri wafanye investment
Woi
Poor her!
Santa Mdoe ankula huu na Sara juu”
Ahahahaa... Aty hata ukim-cheki 😂
waaaah
Kuwait mvuvi broo
Why is she supporting an able bodied young man? Ati "i have to sell clothes and telephone so we can eat??? There's an ocean he can go fishing and you'll eat!" I have no sympathy 50,000 kshs is only 500 Euro. Let him pay for his way too....nkt
Yani sitaman kusikia Africa ana jishusha hazi kiasi hiki kumfanyia unyama baada ya kuwasaidia watu sasa yeye Hana hata kitu kama kijana wa Africa wekeza basi
Si aende swedish embassy Sweden haitupi raia wake
Maskini sio vizuri
Hamisa mwenyewe aiii hata Mimi maskini I can't, very untidy
Mam mungu uko utarudi hom
THE THING IS, SHE IS AN ADULT AND UNFORTUNATELY SHE LOST HER RATIONAL MIND WHEN SHE GOT INVOLVED WITH HARD DRUGS AND BECAME ADDICTED, KWELI MOMBASA RAHA .THE LOCALS JUST WANT A GOOD TIME THEY NEVER CARE ABOUT THE OLD AGE TOURISTS.
Vijana, karibuni huku kwetu Haydom Tanzania tugange njaa.
hahhahaahha raster man goes skilar
Aslani wa Africa ni waizi sana sio kenya tu Tanzania pote Uganda hizo ndo style zao kudanganya vi bibi vya kizungu juu wapate pesa hatta ulaya ndo ivo ivo tabiya zao ni wavivu kila kitu wanataka kwa urahisi.
utajua hi ni kenya
Hahaha funny
Sorry for that Africa have no chance for women even we same no. Chance only open your eyes and think twice Africa is Africa🤔