Silabi / Unda Silabi/Kiswahili/ Silabi za Kiswahili
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ก.ย. 2024
- Silabi ni tamko, ambapo sauti za lugha hutamkwa mara moja na kwa pamoja. Kama vile
b+a=ba
b+e=be
b+i=bi
b+o=bo
b+u=bu
ba, be , bi, bo na bu ni silabi za kiswahili ambazo zimetengenezwa kutumia sauti za kiswahili (Konsonanti na Irabu)
b ni konsonanti, na a ni irabu… Ukiziunganisha unapata silabi ba!
Tazama video ya sauti ili ujikumbushe
• Sauti za Kiswahili//Ko...
Asante Sana mwalimu🎉
Karibu🙏
Kazi nzuri sana
Asante sana🙏
This is really nice.
Thanks for this
Asante kwa kutazama 🙏
the music is destructive please reduce the volume next time
Thank you for the feedback. Which part?