Silabi / Unda Silabi/Kiswahili/ Silabi za Kiswahili

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ก.ย. 2024
  • Silabi ni tamko, ambapo sauti za lugha hutamkwa mara moja na kwa pamoja. Kama vile
    b+a=ba
    b+e=be
    b+i=bi
    b+o=bo
    b+u=bu
    ba, be , bi, bo na bu ni silabi za kiswahili ambazo zimetengenezwa kutumia sauti za kiswahili (Konsonanti na Irabu)
    b ni konsonanti, na a ni irabu… Ukiziunganisha unapata silabi ba!
    Tazama video ya sauti ili ujikumbushe
    • Sauti za Kiswahili//Ko...

ความคิดเห็น • 8

  • @ka_dot_p
    @ka_dot_p 9 หลายเดือนก่อน +3

    Asante Sana mwalimu🎉

    • @kiswahili-
      @kiswahili-  9 หลายเดือนก่อน +1

      Karibu🙏

  • @mukuzikelvin
    @mukuzikelvin 5 หลายเดือนก่อน +2

    Kazi nzuri sana

    • @kiswahili-
      @kiswahili-  5 หลายเดือนก่อน

      Asante sana🙏

  • @cynthiadoreen
    @cynthiadoreen 9 หลายเดือนก่อน +1

    This is really nice.
    Thanks for this

    • @kiswahili-
      @kiswahili-  9 หลายเดือนก่อน

      Asante kwa kutazama 🙏

  • @tiktokonyt2024
    @tiktokonyt2024 5 หลายเดือนก่อน +1

    the music is destructive please reduce the volume next time

    • @kiswahili-
      @kiswahili-  5 หลายเดือนก่อน

      Thank you for the feedback. Which part?