Silabi/ Silabi za Kiwahili/ Kiswahili/ Irabu/ Konsonanti
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ก.ย. 2024
- Silabi ni tamko, ambapo sauti za lugha hutamkwa mara moja na kwa pamoja. Kama vile
b+a=ba
b+e=be
b+i=bi
b+o=bo
b+u=bu
Miundo ya Silabi
1. Irabu pekee - u+a=ua
2. Konsonanti na Irabu - b+a =ba
3. Konsonanti pekee - m+pi+ra =mpira
4. Konsonanti + Konsonanti + Irabu - mwa+li+mu= mwalimu
5. Konsonanti+ Konsonanti + Konsonanti +Irabu - ki+chwa =kichwa
#swahili #jifunze #learnswahili
Shukran Kwa kazi nzuri utendalo, Bi Mercy
Asante sana ♥️
Kudos👏
Asante 🙏
thanks mwalimu faida sana
Asap
Sabalkheri!
Alheri