UNITALENTSHOW|PERFOMANCE|SEASON 04|UNTOUCHABLE (NIT) - MNANIPATA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2024
- Ni msimu wa Nne wa mashindano haya ya Kuibua Vipaji kwa Wanavyuo wakiwa wanapambana kuondoka na 10M kwa mshindi wa kwanza,mshindi wa pili kusepa na 3M na mshindi wa Tatu kusepa na 1M
Endelea kufatilia Mashindano haya ambayo hukujia Kila Jumapili Clouds TV
INSTAGRAM: UNITALENTSHOW
TIKTOK: UNITALENTSHOW
PRODUCTION: MAROON ENTERTAINMENT COMPANY LIMITED
#kipajichakokiwandachako #unitalentshow #season04
Mwamba 🔥🔥🔥🔥untouchable
Watu kama hawa wapewe shavu jaman,G-nakoz G warawara plz🙏 ngoma moja na mwana hapa.
Unajua Hadi unakeraa🙌🙌 sichoki kukusikiliza
Umetisha kaka nakubali sana mwaka wako huu lazima utshe zaid
Anajua anajua tena🥰🥰
daaa mwamba noma sana + Tgunny tozzy
Hatariiiii sana🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ningepata haya mausia..wallai ningekua sahii mi ni billionaire
untouchable never disappoint 🙌🔥
Mshindiiii nakuona untouchable 🔥🔥🔥
Umetisha sana untouchable
Big Up Andrea, we proud of you.
Kaka unajuwa sana mwak wako huuuu
Polee, confidence imepotea baada ya last season kunyimwa taji.
confidence ipi iyo unayoisemea ww🤔🤔
Mwaka huu usipo chukua bro........ Naenda kushitaki
😂😂
Asiposhinda saiv mnalemu jambo🙌
Na tuzo mmemnyima dah🙌😢🙌
Next generation hip hop ipo mikono salama kwa untouchable
Young Embuka killer uyu jamaa namwona mbali xan unajua bro afu maidear kama yote sarut
Dope performance
Untouchable ni performer mzuri sana
This is already a hit song .. Hakuna Mroma mwenye stamina ya kubattle nawewe 😅
Nice job mr sks bebi
Jamaa anajua
Upcoming superstar ✨
Oyaaaa weeeeeeeeeee✊🏿✊🏿✊🏿✊🏿✊🏿✊🏿✊🏿✊🏿✊🏿✊🏿✊🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿
Asiposhinda naacha kufuatilia unitalent
Uyu jamaaa namkubali vibaya mno
Noma sana 🔥 🔥
Unaweza
daaah big up
Unajua man🎉
Untouchable 👏🙌
umeua kabisa big up
Umetisha Kaka 🔥
the first 1👍🏽
Hatr san
Umeua kinouma untouchable and rammie
he is badd💥💥Classic
nzuri mno
Unajua man
Bro chafu xn ✊✊ ww
Noma
Next big thing
Umetixhaaaaaaa kaka
Noma sana
If this guy didn't win ... there was a problem podium
Real Untouchable
Umetisha mzee
Tisha sana
sKs beib 🦅
Hyper 🤟
BRAVO 👏👏👏👏👏👏
Mkali huyu
NIT iwekwe course ya kuimba
BSS watching! after TGUN 😂😂😅
😄😄😄
Heeeh nit tujikusanyeeee apa kudadekiiii
Huyu jamaa ni mshindi by default
Ila ni fundi zaidi ya veta
✅✅✅
Tumekupata
Nacha flan ivi
Uko na flow hatari
Huyu mwamba basi tu
Inaitwaje hii
Nooooma
Untachable anajua mwamba big up sana kaza mzaz
#sksbeib🌍
Nilikuwa napendekeza kwenye haya mashindano waweke categories ili untouchable achukue best ruper
Bro hujawahi kuniangusha toka Ngoma yako Ile ya barua hadi hiii duuu hembu ngoja niicheki Tena maana haichoshi kutazama
Kitu kinachoniuzi kizazi Cha sasa wanatukana kwenye nyimbo alafu watu wanafurahia tu nI aibu kwa kweli ,Kuna sehemu amesema usigawe papa , lakini pia Kuna ule wimbo wa gigy money pia ,kizazi kinaharibikambele ya macho yetu.
Kwahy unataka msanii akitukana kweny nyimbo watu walie na wasicheke
Enheee! Kwaiyo siku hizi papa siyo Samaki tena ni tusi 🙌
@@peterchino3471 bro acha ujinga unakaa zako sebuleni na wazazi wako na dada zako ghafla unapigwa wimbo kama ule wa Gigi money ,bro ni aibu , maadili yanaporomoka kwa Kasi sana .
@@Bruno4cus kaka jiongeze hao wanatukana mfano nyimbo za WCB , wakina Gigi hao na kadhalika,watoto wanaiga ,hata ukikaa sebuleni na wazazi ni aibu ,sasa hapo majaji wanajichekesha tu Tena yenyewe ni wanawake pengine wana watoto ,wanasikia kabisa mtu anaimba anasema usigawe papa , hayo sio maadili yetu zamani haya mambo hayakuwepo leo hii wanatukana tu na zinapigwa kwenye TV, na watoto wanasikia na kukalili.
Sanaa ni uwanda mpana sana wa elimu kama utakuwa na mawazo negative lazima uwaze hivyo, Na hata tukisikiliza nyimbo za zamani huku tukiwa kwenye mawazo hasi kama yako basi tutaona matusi mengi tu ...Be positive@@isdorchuvu6280
Tumekupta jamaa, qaariii
Tumekupata