Ibilis alishindwa kumuingia Daruweshi kutokana na uchamungu wake lakini alifanikiwa kumpoteza na kufa KAFIR pamoja na kufanya ikbada kwa muda wa miaka 60.
Hakuna watu mashetani kama wanawake hata afadhali huyo shetani kuliko wanawake kwanza wanawake wengi sana sheikh ndio wanaokwenda kwa waganga ndio maana wanawake wengi sana walitabiriwa kuingia motoni..
Innalilahi wa innailaih rajiun hakika tuzidishe istighfar kwa Allah"
Allah akuweke pamoja na mitume inshallah
Allah ukupe mwisho mwema manshaalh
Yaarab tujaalie mwisha mwema waja wako 🙌😥
Allaumma amin
Mashaallah mwenyezi mungu amjalie miogoni wale wanapata janatul firdos
Allah atukutanishe na mtume Muhammad saw
Audhubillah minna sheitwani rajiim😢
Subuhanallh yarabi tusama waja wako utuongoze katika njia ilio nyoka
Mashaa Allah sheikh othman
Mashallah shekh mwenyezi mungu akujalie umri mrefu
Mashallah Allah akulinde shehee othumani ❤❤❤
Allah s.w atupe khatma njema inshaallah
Nayakubali mafundisho yako,mungu akupe hekima zaidi.
Subhan Allah yaraab nakuomba niepushe Na matendo maovu nitende mema yaraab yanayokuoendeza Amiina 🤲
Mungu atujalie khatma njema Yaa rabbi
Allah akbar assistindo apartir de Moçambique aqui estou a prender muito seu Dawah sheik Othman
Mwezi mungu atusamehe
Allahum'ma ajirin minanali
Shekh hana kosa yeye anakopy tu Allah ndiyo kasema
Amaweyee
Allah akbar Allah akbar
Subhanna allah
Tukumbuke kumcha mwenye zimungu
Mheshimiwa unajua km waliotuzaa pia wanawake au unatukana tu,kwan kwa mganga mara ngap wanakwenda wanaume pia
Wapi ametukana ndugu
Hapa hajazungumzia wanawak kazungumzia bilis na vitimb vyake
Ndugu unaonekana unachuki na sheikh
mashaallah
Allah akupe hidaya kwa sote
22
Kumkwepa shetani ni kuacha matendo mabaya! Wa Hindi,wachina n.k: wengi wao wanaabudu masanamu mbona wameelimika kuliko waumini
Naww abudu jiwe
Hakuna watu mashetani kama wanawake hata afadhali huyo shetani kuliko wanawake kwanza wanawake wengi sana sheikh ndio wanaokwenda kwa waganga ndio maana wanawake wengi sana walitabiriwa kuingia motoni..
Kaka samahani ila sema astaghafiru lla kwaza kwa mola wako ww
Wanawake c mashentani tumeumbia cc itakua aje ni mashetani...sema baadhi kuna wabaya na kuna wazuri kama vile wanaume
Yani wewe, umekuja kujishisha hadhi hapa kwa kuskiza habari na vile Iblis yuafanya watu? Mwanzo wewe nani kakuzaa? Unataka Kusema hakuna wanawake wema humu duniani? Rekebisha kauli yako
Yani wewe, umekuja kujishisha hadhi hapa kwa kuskiza habari na vile Iblis yuafanya watu? Mwanzo wewe nani kakuzaa? Unataka Kusema hakuna wanawake wema humu duniani? Rekebisha kauli yako
Jamani tusomeni dini tusshmbuliani kauli ya kusema wanawake wingi wameonekana motoni haina maan ni wote, wapo wabaya n wap wazuri