KISA CHA IBILISI NA DARUWESHI ALIYEFANYA IBADA MIAKA 60 //SHEIKH OTHMAN MAALIM

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025
  • Ibilis alishindwa kumuingia Daruweshi kutokana na uchamungu wake lakini alifanikiwa kumpoteza na kufa KAFIR pamoja na kufanya ikbada kwa muda wa miaka 60.

ความคิดเห็น • 52

  • @ahmedmsangi1653
    @ahmedmsangi1653 ปีที่แล้ว +4

    Innalilahi wa innailaih rajiun hakika tuzidishe istighfar kwa Allah"

  • @Osamaally
    @Osamaally 10 หลายเดือนก่อน +2

    Allah akuweke pamoja na mitume inshallah

  • @waynejohn2239
    @waynejohn2239 ปีที่แล้ว +3

    Allah ukupe mwisho mwema manshaalh

  • @Rehema-h6t
    @Rehema-h6t ปีที่แล้ว +6

    Yaarab tujaalie mwisha mwema waja wako 🙌😥

  • @SaladHassanAbdi
    @SaladHassanAbdi 11 หลายเดือนก่อน +2

    Mashaallah mwenyezi mungu amjalie miogoni wale wanapata janatul firdos

  • @MakaraniCherehani
    @MakaraniCherehani ปีที่แล้ว +4

    Allah atukutanishe na mtume Muhammad saw

  • @swabiaa1489
    @swabiaa1489 11 หลายเดือนก่อน +1

    Audhubillah minna sheitwani rajiim😢

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 ปีที่แล้ว +3

    Subuhanallh yarabi tusama waja wako utuongoze katika njia ilio nyoka

  • @Abdulsattar-gb1no
    @Abdulsattar-gb1no ปีที่แล้ว +6

    Mashaa Allah sheikh othman

  • @AasiyaHamisi
    @AasiyaHamisi ปีที่แล้ว +5

    Mashallah shekh mwenyezi mungu akujalie umri mrefu

  • @sadunabdallah7303
    @sadunabdallah7303 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah Allah akulinde shehee othumani ❤❤❤

  • @BIMIZEJUMA-il2ls
    @BIMIZEJUMA-il2ls ปีที่แล้ว +2

    Allah s.w atupe khatma njema inshaallah

  • @humphreysolo3331
    @humphreysolo3331 ปีที่แล้ว +3

    Nayakubali mafundisho yako,mungu akupe hekima zaidi.

  • @SalmaMohamed-z8e
    @SalmaMohamed-z8e 10 หลายเดือนก่อน

    Subhan Allah yaraab nakuomba niepushe Na matendo maovu nitende mema yaraab yanayokuoendeza Amiina 🤲

  • @umijawa6132
    @umijawa6132 ปีที่แล้ว +3

    Mungu atujalie khatma njema Yaa rabbi

  • @RachidAman-iy6kv
    @RachidAman-iy6kv ปีที่แล้ว +4

    Allah akbar assistindo apartir de Moçambique aqui estou a prender muito seu Dawah sheik Othman

  • @AthumanSefu-zh1ze
    @AthumanSefu-zh1ze 3 หลายเดือนก่อน

    Mwezi mungu atusamehe

  • @inearclassictz1233
    @inearclassictz1233 10 หลายเดือนก่อน +1

    Allahum'ma ajirin minanali

  • @mfamaumnyonge7500
    @mfamaumnyonge7500 ปีที่แล้ว +6

    Shekh hana kosa yeye anakopy tu Allah ndiyo kasema

  • @cabylake2320
    @cabylake2320 ปีที่แล้ว +3

    Allah akbar Allah akbar

  • @nasrahassan2260
    @nasrahassan2260 ปีที่แล้ว +3

    Subhanna allah

  • @salumuhassanisalumuhassani880
    @salumuhassanisalumuhassani880 ปีที่แล้ว +2

    Tukumbuke kumcha mwenye zimungu

  • @muhammadmuhammad299
    @muhammadmuhammad299 ปีที่แล้ว +5

    Mheshimiwa unajua km waliotuzaa pia wanawake au unatukana tu,kwan kwa mganga mara ngap wanakwenda wanaume pia

  • @AmiriIssa-rg7zg
    @AmiriIssa-rg7zg 10 หลายเดือนก่อน

    22

  • @sabdiduwil8436
    @sabdiduwil8436 ปีที่แล้ว +2

    Kumkwepa shetani ni kuacha matendo mabaya! Wa Hindi,wachina n.k: wengi wao wanaabudu masanamu mbona wameelimika kuliko waumini

  • @SamirHamza-l1r
    @SamirHamza-l1r ปีที่แล้ว +10

    Hakuna watu mashetani kama wanawake hata afadhali huyo shetani kuliko wanawake kwanza wanawake wengi sana sheikh ndio wanaokwenda kwa waganga ndio maana wanawake wengi sana walitabiriwa kuingia motoni..

    • @asuhramahamud1369
      @asuhramahamud1369 ปีที่แล้ว

      Kaka samahani ila sema astaghafiru lla kwaza kwa mola wako ww

    • @capello7623
      @capello7623 ปีที่แล้ว

      Wanawake c mashentani tumeumbia cc itakua aje ni mashetani...sema baadhi kuna wabaya na kuna wazuri kama vile wanaume

    • @layleyla
      @layleyla ปีที่แล้ว

      Yani wewe, umekuja kujishisha hadhi hapa kwa kuskiza habari na vile Iblis yuafanya watu? Mwanzo wewe nani kakuzaa? Unataka Kusema hakuna wanawake wema humu duniani? Rekebisha kauli yako

    • @layleyla
      @layleyla ปีที่แล้ว

      Yani wewe, umekuja kujishisha hadhi hapa kwa kuskiza habari na vile Iblis yuafanya watu? Mwanzo wewe nani kakuzaa? Unataka Kusema hakuna wanawake wema humu duniani? Rekebisha kauli yako

    • @Abdulsattar-gb1no
      @Abdulsattar-gb1no ปีที่แล้ว +1

      Jamani tusomeni dini tusshmbuliani kauli ya kusema wanawake wingi wameonekana motoni haina maan ni wote, wapo wabaya n wap wazuri