RAY KIGOSI: MAMA KANUMBA ANALIA NJAA/ YALIYOMO NI BALAA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 173

  • @medysaid2704
    @medysaid2704 4 ปีที่แล้ว +26

    ALIEGUNDUA TOKA AONDOKE KANUMBA NA MZEE MAJUTO MAMBO YAMEMENYWEA AGONGE LIKE TWENDE SAWA KAZI KUJISIFIA SANA NAKUNYWA MAJI MENGI ILI KUWA MWEUPE

  • @farhatali682
    @farhatali682 5 ปีที่แล้ว +26

    Ww rey acha ushamba wa kusema mama kanumba analia njaa cio kauli nzuri hyo

  • @frankmalimba5539
    @frankmalimba5539 5 ปีที่แล้ว +10

    Kama we we umesikia kauli mbovu ya Rey gongs like yako hapa tweñde xwa

  • @mathildemwangaza109
    @mathildemwangaza109 4 ปีที่แล้ว +1

    Vincent kigosi hajaongea vibaya jamani mumusikilize vizuri , amesema mambo ya njaa sababu ya Muindi listen very careful. I like Vincent kigosi

  • @adoniamaseneje5669
    @adoniamaseneje5669 5 ปีที่แล้ว +4

    kama hujaskia
    movies ya gabo
    zigamba gonga like

  • @bahatikyeje766
    @bahatikyeje766 4 ปีที่แล้ว +2

    Nimemsikiliza rey zaidi ya mala tatu hajaonge kwa ubaya kabisa, ila watu mmemwelewa tofauti niliposoma coment nam nilichukia zana lkn sio, tusikilize vizuri na si kukurupuka kucoment.

    • @sylviah9666
      @sylviah9666 3 ปีที่แล้ว

      Kwenda huko...mbwa wewe....huyo n mzazi anaongelewa
      Angekuwa mamako ungesema hivi....mbwa koko ww

  • @tunufumakule5626
    @tunufumakule5626 6 ปีที่แล้ว +14

    Filam bongo ishajamba kanumba kaondoka na filam zake

    • @frankjully5457
      @frankjully5457 5 ปีที่แล้ว +1

      ww ndo unasema hivyo Muvi zipo kama kawa kwani kanumba nani ashakufa nakuoza zamani

    • @tunufumakule5626
      @tunufumakule5626 5 ปีที่แล้ว +1

      @@frankjully5457 kama kweli hayo unayosema mbona muvi haziendelei zinakuwa mbovu sana

    • @fatumaally9250
      @fatumaally9250 5 ปีที่แล้ว

      😂😁😀😂

    • @aishamother9943
      @aishamother9943 4 ปีที่แล้ว

      Kweli kabisa tunu umeongea point safi sana. Sasa huyu nae nani anaesema movie zipo ok zipo lkn hajivumi kama hawali pumbavu wewe

  • @shazdelacruz9800
    @shazdelacruz9800 6 ปีที่แล้ว +34

    First to comment wameongea cha maana wpi like zao

    • @barackapearson1837
      @barackapearson1837 5 ปีที่แล้ว +1

      aisee jamani na mm naweza kucheza filamu mnanisaidiaje mfano nina filamu inaitwa ushuhuda wangu

  • @barakakafurike5907
    @barakakafurike5907 5 ปีที่แล้ว +3

    All in all Kwa sasa Bongo move nivituko tu hakuna cha maana hapo

  • @najma3268
    @najma3268 5 ปีที่แล้ว +7

    Hapo umekosea ley kumumwambia mama wa mwenzio analia njaa alikuja kukuomba au kukulilia, yaan ww leo ni wakusema hivi hata angekuja kukulilia kwa ww unatakiwa kumstiri mama wa mwenzio

    • @abdullahrashid6297
      @abdullahrashid6297 4 ปีที่แล้ว

      Huyu Ray anajisahau sana, na yeye ndio alikuwa Best friend wa marehemu kanumba nao anamuongelea mama yake shombo
      Hapo ndio ujue Zimwi likujualo halikukuli likakumaliza kauli mbaya sana ameongea

  • @theearth5581
    @theearth5581 6 ปีที่แล้ว +5

    Nita ipataje iyo app kwenye iPhone 8

  • @umuvugaukurilaveritejustel2621
    @umuvugaukurilaveritejustel2621 5 ปีที่แล้ว +2

    Pachika na BARAGUMU pia bro from Burundi

  • @upendorobert7298
    @upendorobert7298 5 ปีที่แล้ว +8

    Kanumba aliondoka na movie zake, brothers mnajichosha tuu

  • @fakihassan2453
    @fakihassan2453 4 ปีที่แล้ว +5

    Ww rei ipo siku naww utalia sana achakiburi ndugu yangu kusema mama kanumba analia njaa sasa ww ndopakumsaidia kaka

    • @sadockmhinza699
      @sadockmhinza699 4 ปีที่แล้ว

      si ukweli lakini

    • @risperbonareri942
      @risperbonareri942 ปีที่แล้ว

      Very true just respect kazi ya kanumba mamake ako n haki ya mwanawe

  • @evalyinesalama2535
    @evalyinesalama2535 ปีที่แล้ว

    Nmependa tena sijaiona

  • @beatricelichoti1650
    @beatricelichoti1650 4 ปีที่แล้ว +5

    Nyote bure kabsaa, mutu akiwa na shida hamutaki kumsaidia, Rey sikupendi kwa tamko lako

  • @risperbonareri942
    @risperbonareri942 ปีที่แล้ว

    Wish kanumba was alive we miss you but ila tufanyaje hakuna .... ila Ray heshimu kanumba acha kuongea mbya heshimu mamake sana still tunamkumbuka kanumba ...

  • @lincnobel7299
    @lincnobel7299 4 ปีที่แล้ว +1

    Kanumba waz big minded ray mikorogo tu..

  • @gilibethkapelembe2108
    @gilibethkapelembe2108 4 ปีที่แล้ว +2

    Ajamusema vibay Ila amesema mwanzo awakutengeneza Mambo vozuli ya kibiashala kwaiyo mv za kanumba muindi ndio kazimilikk kibiashala .kwaiyo mama kanumba awezi kupata kitu chochte .Apo

  • @raymondmathayomsigwa8737
    @raymondmathayomsigwa8737 ปีที่แล้ว

    Nyie mnaye mkosoa Kigosi mnauelewa mdogo ameongea vizuri sana yaani ametoa maneno ya msisitizo

  • @ndoanirahaonlinetv5031
    @ndoanirahaonlinetv5031 4 ปีที่แล้ว +1

    Mama Wa Mwenzio ni Sawa na mama yako

  • @Chingagirl123
    @Chingagirl123 4 ปีที่แล้ว +2

    Wote mmeongea vizuri...lakini Ray bana usiseme mama Analia njaa sema wote tunalia njaa.Bongo movie kuendelea labda kanumba arudi aisee.badala ya kukazana kama nchi zingine ziingie zionekane Netflix ama showmax bado manashindana na mwindi.

    • @justinemachayi2936
      @justinemachayi2936 4 ปีที่แล้ว

      Ni kweli Ray midomo yako ime tosha asali kwaku tuaambia sisi wa Tanzania wenzako kuhusu biashara yako,lakini ulimi wako umekosea kwaku tuaambia kwamba mama kanumba Amelia njaa, njaa sio yamutu mumoja la ila njaa nijambo ya mutu wote ulimwengu mzima, huyo ni mzazi wetu sote akikuomba msaada msaidie kama mama mzazi wako, maana kanumba alikuwa rafiki wakaribu sana nawe,so huna uwezo wakumtangazia njaa.

    • @mohamedschaeublin7374
      @mohamedschaeublin7374 ปีที่แล้ว

      Hawafaidiki na Kazi walio fanya nyuma, is Facts Rey anacho Sema

  • @nemesmassawe7326
    @nemesmassawe7326 6 ปีที่แล้ว +1

    hongeraaa ray

  • @yusuphshija4052
    @yusuphshija4052 5 ปีที่แล้ว +3

    hio elfu 2 inawekwaje? tuone maelekezo vizuri

  • @vailethkinabo7961
    @vailethkinabo7961 4 ปีที่แล้ว +5

    Waza kabla hujatamka neno. Utazaraulika usimbeze mama wa mwezio. Ni kama mama yako alie kupa wewe usie lia njaa ndio kamnyima yy. Rekebisha kauli yako.

  • @mudric-dj7in
    @mudric-dj7in 6 หลายเดือนก่อน

    Tathinia wa film iko wapi???

  • @enockezekiel2276
    @enockezekiel2276 6 ปีที่แล้ว +5

    The 5 best actress in TZ 🇹🇿 1:Monalisa 2:Riyama 3:Thea 4:Johari 5: Lulu.

    • @hawaali8107
      @hawaali8107 5 ปีที่แล้ว

      Jaman nampenda JB mpaka naumwa niunganishieni

    • @allyyolam6110
      @allyyolam6110 5 ปีที่แล้ว

      According to you madam

  • @douglasradley6698
    @douglasradley6698 5 ปีที่แล้ว

    mimi niko burundi nina kipaji kwa kucheza filamu :::kigosi endelea utasonga mbele tena

  • @elicegelard5026
    @elicegelard5026 4 ปีที่แล้ว

    Mi nilivoelewa ray anamaanisha mama kanumba anahangaika kwasababu kazi za mwanae zinamilikiwa na muhindi

  • @mathildemwangaza109
    @mathildemwangaza109 4 ปีที่แล้ว

    Naomba mumusamehe Ray kama mumemusikia vibaya

  • @wauwetz8263
    @wauwetz8263 6 ปีที่แล้ว +29

    Ray unakosea kusema mama yake kanumba alia njaa haipendez wa kumsaidia ninyie apo

    • @williamchrispian1752
      @williamchrispian1752 6 ปีที่แล้ว +5

      Lazima aseme ili asaidiwe kwan ray peke yake ataweza msaidia maisha yote, lazma aseme hali ni ngumu peke yke hawez mbeba cku zote

    • @saumuhassan6365
      @saumuhassan6365 6 ปีที่แล้ว +1

      @@williamchrispian1752 True my dear

    • @wauwetz8263
      @wauwetz8263 6 ปีที่แล้ว

      Duuu

    • @pastorycharles683
      @pastorycharles683 5 ปีที่แล้ว

      wauwe tz

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 5 ปีที่แล้ว

      Ni kweli hapo umesema kaka mam wa kanumba ni kama mama yake pia mana walishibana Sana hata mim Ninaweza nikamsaidia mama wa rafiki yangu kama ana shida

  • @enockezekiel2276
    @enockezekiel2276 6 ปีที่แล้ว +6

    Hebu ntajie 10 actors best in TZ Unaokubali uwezo wao,,me kwangu 1: Kanumba 2:Tino 3:Richie 4:Ray 5:JB 6:Gabo 7:Hemed 8:Cloud 112 9:Dk cheni 10:Mlela.

    • @christinetimothy5805
      @christinetimothy5805 6 ปีที่แล้ว +1

      Enock Ezekiel ,haiwezekani kumtaja mtu ambaye alishakufa nakumchanganya na walio hai. Kanumba tutaendelea kumkumbuka.

    • @enockezekiel2276
      @enockezekiel2276 6 ปีที่แล้ว +1

      Kwahiyo kama hayupo na lake halipo..!!!?😏😏😏😏😏.. he's still the best in TZ... no matter where he's..

    • @waltergodwin2529
      @waltergodwin2529 5 ปีที่แล้ว

      Enock Ezekiel na Dude

    • @frankjully5457
      @frankjully5457 5 ปีที่แล้ว +1

      mtoe kanumba alishakufa he was the best ila sasa hivi hatuwezi muweka kuna wapya kina Rammy Galis ,na kina duma mtoe Dr cheni siku hizi haigizi mtoe na tino

    • @johnenock604
      @johnenock604 5 ปีที่แล้ว

      Weeeeee gabo wa kwanza 2 madebe

  • @j...876
    @j...876 6 ปีที่แล้ว +2

    Ray tumiya Runzuri za Eshima Si Eti ana liya nja, ila niviashara lazima vihuzikane kihalali

  • @geofreykilasi7354
    @geofreykilasi7354 5 ปีที่แล้ว

    Safi sana...tanzania mpya

  • @robbemanase9051
    @robbemanase9051 6 ปีที่แล้ว +1

    Ni MP TV ama ni nini? nimejaribu kutafuta kwnye app store , sipati hiyo app .

  • @aishazchilonga9988
    @aishazchilonga9988 5 ปีที่แล้ว

    Ivi ww ray unajiona naniii au unajikuta malkia sanae

  • @sadickrajabu1191
    @sadickrajabu1191 5 ปีที่แล้ว

    Pigen kaz nzuri tu watu tutanunuwa tu ila kwa sasa movies bado sana

  • @DAMUSAFI
    @DAMUSAFI 6 ปีที่แล้ว +1

    App hii huwezi kuiona kwenye iPhone or iOS

  • @phirmtv6095
    @phirmtv6095 5 ปีที่แล้ว +2

    MP TV iko Kenya?

  • @myself4128
    @myself4128 5 ปีที่แล้ว +6

    Huyo mama hana shukurani na haridhiki kwani anadhania alizaa nani hasa mfalme ama? Kanumba kanumba mtu keshakufa kila siku kelele mara mama kanumba hivi mara vile mara michango kama mnampenda nendeni mkamfukue basi?huyo mama nae atulie kama anaona mwanae hakutendewa haki akadai malipo bank sababu labda kuna hela aliachiwa kama hamna basi akae kimya tumechoka!!!

    • @rollrealgooap3015
      @rollrealgooap3015 5 ปีที่แล้ว +1

      Pachika na why me? From lwiche arts ktoka mkoani rukwa up coming wanajua sanaa wameitendea haki naiko trending

  • @sethkikapo
    @sethkikapo 5 ปีที่แล้ว +1

    me Nina kipaji cha uandishi wa filamu, naomba support yenu

  • @maritv3930
    @maritv3930 5 ปีที่แล้ว

    ray good acter

  • @fauzishma8033
    @fauzishma8033 4 ปีที่แล้ว

    Rey asema kweli mamake kanumba hana apati chochote kutokana na kazi za mwanawe kwa kazi zote zilikunuliwa na mhind angalau ametumia neno njaa lakini usikiliza vzuri alivio sema sio njaa hii ambao wengi wamelewa

  • @saidabdullah7273
    @saidabdullah7273 4 ปีที่แล้ว +1

    Kwa mimi nilivyomuelewa hajaongea kwa maana mbaya... ila kila mtu na uelewa wake

  • @geofreykilasi7354
    @geofreykilasi7354 5 ปีที่แล้ว +1

    Babu tufundishe tukawapige na sisi,kaka mi dar es salaam tu

  • @jumakapo9914
    @jumakapo9914 5 ปีที่แล้ว +2

    Wewe ray acha usenge wewe una ela au ushamba tu nani amekwambia mama kanumba analia njaa kanumba bado yupo juu sana

  • @happypa2027
    @happypa2027 4 ปีที่แล้ว

    Ila naona hajaongeya vibaya

  • @KimbaloEt-Ohms
    @KimbaloEt-Ohms 5 ปีที่แล้ว

    buku mbili tu?

  • @mamafranjovlog72
    @mamafranjovlog72 6 ปีที่แล้ว +2

    Subscribe kwenye chaneli yetu bonyeza picha itakuleta kwenye chaneli
    yetu kucheki ubuyu habari zoote za instagram , comedy na filamu zetu
    asanten

  • @maimborajabu9496
    @maimborajabu9496 5 ปีที่แล้ว +4

    KAMA UNAAMINI RAY BADO ANAKUNYA WATER BASI GONGA LIKE TUWE WEUPE

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 4 ปีที่แล้ว

      Mm naona kaacha mbona anafifia

    • @edsonshirima5208
      @edsonshirima5208 4 ปีที่แล้ว

      Rey hajakosea amezumgumzia mnagan ma kanumba ananufaika na kazi za mwanae akaona hakuna hiyo alijaribu kuelezea

  • @2mara_og186
    @2mara_og186 4 ปีที่แล้ว +3

    Achen kushabikia malehem Rey ameongea nn kibaya apo

  • @uwezomrpose8594
    @uwezomrpose8594 ปีที่แล้ว

    Sasa nyinyi munaweka rey kisha anaongeya uyu mupuuzi

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 6 ปีที่แล้ว +7

    duma anaongea kama mmama😀😀😀😂

    • @williamchrispian1752
      @williamchrispian1752 6 ปีที่แล้ว +2

      Kwan mmaama c mtu yaan wanawake ndio wakwanza kujiweka nyuma NA kujishusha NA kujitolea mifano mibovu na isio hai, halafu tukiifuatisha misemo hio utasikia " Wanawake tunadhalilishwa sana tunataka haki sawa" lakini wao wenyewe hawajikubali na wanajiangusha wenyewe, acheni matus yasio NA mwelekeo.

  • @rossefelix3126
    @rossefelix3126 6 ปีที่แล้ว +1

    bongo dare saal m ilikuwa Nouma sana

  • @ibrahimhaki4762
    @ibrahimhaki4762 5 ปีที่แล้ว

    Shida sio kuigiza kama mchaza mpira,shida ni uhalisia umewahi kucheza mpira mpaka uigize kama mcheza mpira tena wakimataifa,sio unacheza mpira kama kichekesho.

  • @SaphiloNoubith
    @SaphiloNoubith 5 ปีที่แล้ว +1

    Jamani munasema uongo MPtv Sio kila mwezi Movies Inaweka. Tunapoteza pessa zetu. Lini #BONGODARESSALAM itawekwa kwenye MPtv?

  • @dieudonnemto5722
    @dieudonnemto5722 5 ปีที่แล้ว

    Mm nataka hile movie ya kanumba msazi# je naweza nikaipata?

  • @davidpaschal778
    @davidpaschal778 6 ปีที่แล้ว +2

    ambao awana smart au family home!

  • @justinkendo1537
    @justinkendo1537 6 ปีที่แล้ว +2

    Sisi wa kahaji wa burundi na congo tuna maliza ngapi kutizama ivyo vipindi

    • @danielkonesongoi9394
      @danielkonesongoi9394 3 ปีที่แล้ว

      Rey acha sarau mama kanumba alii njaa ila kama analia njaa sumsadie

  • @KingaluSalumu-yv2vu
    @KingaluSalumu-yv2vu 6 วันที่ผ่านมา

    Sisi atuwi tufanye aje

  • @salmaothuman9762
    @salmaothuman9762 5 ปีที่แล้ว +4

    Sasa kama Amelia njaa msaidie acha kumsema mama wa mwezio unajiona duniani umefika mxueeeeeei

    • @helenamwaipopo967
      @helenamwaipopo967 5 ปีที่แล้ว

      Anajisahau sana ajui kuwa maisha yanabadilika ,sijawai msikia Ray akaongea maneno ya busara zaidi ya majigambo tuu

  • @munirayakoub3682
    @munirayakoub3682 5 ปีที่แล้ว +3

    Ley shika adabuyako angekuwa nimeamka yako ameambiwa ivyo ungejisikiyaje tuwe naa dabu nawazazi wawezetu safisha kariyako ukosefu wadabu mpumbavu weee

  • @danyakala
    @danyakala 6 ปีที่แล้ว +1

    Hii app inaweza kufanya kenya kweli?

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca 6 ปีที่แล้ว

    #50 on comments
    NILISHA JIPAKULIA APPLICATION, $3 KWA MWEZI. ILA NAOGOPA MANYAKUNYAKU, MATAPELI. NAOFIA USALAMA WA CADI YANGU.. NIGENUNUA MARAMOJA. 🤔🤔🤔
    Je personal information yangu itakua salama???

  • @givenkihongosi2396
    @givenkihongosi2396 6 ปีที่แล้ว

    Mbona hyo Mp online nimelipia hela ya mwez 7000 lkn bado wanakata mb zangu

  • @ogwangmakanya1234
    @ogwangmakanya1234 5 ปีที่แล้ว

    Kwa hiyo bongo dar es salaam haitaonywesha tena wasafi TV?

  • @salmaathumani8562
    @salmaathumani8562 4 ปีที่แล้ว

    Rey umekwisha ulikuwa unatumia nyota ya kunumba usimwambie mama wa mwenzio analia njaa kwenye media huyui hata mama ako atalizwa na nini leo kwa mama wa mwenzio kesho kwa mama ako sasa hivi huna soko kanumba kafa n.a. movie zake bongo movie imekufa mmebaki roho mbaya tu

  • @apeterpaulo7436
    @apeterpaulo7436 4 ปีที่แล้ว

    Huyo jamaa mwenye miwani ni tapeli

  • @hamzamussa8727
    @hamzamussa8727 5 ปีที่แล้ว +2

    INAMAANA HATUTAPA BONGO DSM HAPA WASAFI TV?

  • @venancebasil4656
    @venancebasil4656 6 ปีที่แล้ว

    ni idea ya netflix

  • @ndoanirahaonlinetv5031
    @ndoanirahaonlinetv5031 4 ปีที่แล้ว

    ukimdharau mama ya Mwenzio ni Sawa na mama yako

  • @evalyinesalama2535
    @evalyinesalama2535 ปีที่แล้ว

    Tutumien kwa. You Tube

  • @boniphacetv739
    @boniphacetv739 6 ปีที่แล้ว +4

    Movie siyo yako umeuzaje sasa

    • @williamchrispian1752
      @williamchrispian1752 6 ปีที่แล้ว +2

      Hio ni collabo kwahio lazima awe ambassador kwa upande wake ili ilete maana ya yeye kushirikishwa maana walitaka soko la hapa bongoland so ili kuliteka ni lazima wamtumie yeye mwenyeji, " hio ni market occupation technique"

  • @mussaabdiel9797
    @mussaabdiel9797 4 ปีที่แล้ว

    Nyie ndo wakumsaidia mama kanumba sasa sio sisi watafiti

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 5 ปีที่แล้ว +1

    ko kama sina smartphone...manake cwez waangalia!? poor you bongo movies

  • @athumanii
    @athumanii 6 ปีที่แล้ว

    Haipo kwenye app store

  • @blues4life633
    @blues4life633 6 ปีที่แล้ว +1

    Hio app inachajiwa data?

  • @irenenguta2893
    @irenenguta2893 6 ปีที่แล้ว

    Too many ads

  • @mcsimonmzungutv2084
    @mcsimonmzungutv2084 5 ปีที่แล้ว +3

    Duma hamna Msanii yaani 0 zero

  • @mropeamadeus5445
    @mropeamadeus5445 6 ปีที่แล้ว +1

    kitu nakukubali Duma uko smart

  • @mauwanaomi1153
    @mauwanaomi1153 6 ปีที่แล้ว +2

    Wekeni kwenye Netflix na sisi tuone tupo mbali 🇺🇸

    • @dullhemed6379
      @dullhemed6379 5 ปีที่แล้ว

      Mauwa Naomi

    • @abubakarikizamba8106
      @abubakarikizamba8106 5 ปีที่แล้ว

      Ah!!! Kwa Sanaa yetu, NETFLIX mbala saana huko 😊dah!! Labda baadae kidogo Dada ang

  • @ndoanirahaonlinetv5031
    @ndoanirahaonlinetv5031 4 ปีที่แล้ว

    Ni vyepesii n'a mama yako kudharauliwa

  • @puritympanga5927
    @puritympanga5927 5 ปีที่แล้ว

    Wewe.iki.ukoleo.namimi.nilikuwa.naikiniko.leo.nawewe.utakuwa.asati

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 6 ปีที่แล้ว

    Wall good Ray

  • @Francinegabriella
    @Francinegabriella ปีที่แล้ว

    Muwe munaweka filamu kwenye TH-cam bwan 😂

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 4 ปีที่แล้ว

    Tatizo lao walio wengi ni shule!!!

  • @frankmbawala7081
    @frankmbawala7081 5 ปีที่แล้ว +1

    Ray acha mbwembwe lini watz tumewahi kukusifia wewe ni mpiga kelele
    Alafu acha kumkashifu mama kanumba wakati nyie ndo mnanjaa baada ya bongo movie kupoteza mvuto na haitakuja kuwa kama kipindi kile kanumba yupo labda atokee mrithi mwingine nje ya nyinyi hapo
    Mkibaki hivo ataucheze na rambo wabongo hawanunui
    Kwaherini

  • @ndagiletv521
    @ndagiletv521 5 ปีที่แล้ว

    imekaa poa sana

  • @fauzishma8033
    @fauzishma8033 4 ปีที่แล้ว

    Hizo ni drama sio film

  • @michaelalbano3593
    @michaelalbano3593 5 ปีที่แล้ว

    Good keep on struggle to uplift our film

    • @husseinmatelephone6662
      @husseinmatelephone6662 5 ปีที่แล้ว

      Kibongo bongo siku hizi hamna jipya naona mnahangaika kujitangaza hovyoo

  • @mbunahchannel2179
    @mbunahchannel2179 6 ปีที่แล้ว +1

    wizi wa kisasa njoooni kwenye chanel yangu tucheke

  • @dyanatanz6574
    @dyanatanz6574 4 ปีที่แล้ว

    Mtu ukifiwa una zalilika jaman hasa kwa mtu ulie kuwa unamtegemea jaman. Wasanii wote hawa bila kanumba mbaka leo wangekuwa hawana hata chup. Ila mkumbuke na nyie kina Rey kwamba mnachungulia kabul wote nyie wasanii hakuna atakae ikwepa maut

  • @neemamabiki4496
    @neemamabiki4496 5 ปีที่แล้ว

    huyo ray sijawahi elewa movie zake anaforce tu kuigiza.alafu lugha zako ni chafu.

  • @gockoomzawa226
    @gockoomzawa226 6 ปีที่แล้ว

    tufubdshen jins Ya kutumia hyo app tumeipata App Lakn matumiz yake sjayaweza

  • @PetVMyinga
    @PetVMyinga 5 ปีที่แล้ว

    Yaani mimi nalipia mp TV halafu bado natumia mb zangu kuangalia ujinga huo samahani

    • @juliusjustin4813
      @juliusjustin4813 5 ปีที่แล้ว

      Achaaaa unaaaaa...mbona unapoteza mb zako na porn..achaaa unaaa wasapoti watanzani wenzio kwa kazi wanazojituma

  • @DAMUSAFI
    @DAMUSAFI 6 ปีที่แล้ว +1

    MPTV

  • @habibadhikr9406
    @habibadhikr9406 5 ปีที่แล้ว

    Duu wa Tanzania wote njaa acha hizo kaka mfano umwe hapo lazima utataka mchango

  • @boniphacetv739
    @boniphacetv739 6 ปีที่แล้ว +1

    We Ray sasa umewezaje kuuza mali ambae siyo yako wabongo acheni uongo

  • @wantedcarter1003
    @wantedcarter1003 6 ปีที่แล้ว

    👈👈👈

  • @جميلةجميلة-ع5ن1ق
    @جميلةجميلة-ع5ن1ق 6 ปีที่แล้ว

    Jb haaaaaaaaaa