Nilisema tu huyu bibi dai akirud bongo akimuona anainjoy na zuchu lazima akamtafute huyo kaka 😂😂 Yan kamfanya kama spea tail" huyu bibi akimuona mondi anakuwa chz lkn mond ndo Hana muda jmn Kwa Sasa kutwa yupo na zuchu
Jamaa akimsamehe huyo malaya atakua mpumbavu tena sana,Zari alitamka maneno makali mno,wala asisingizie pombe,alimaanisha alicho kisema na kudai zaidi kua wapo wanaume wengine kibao wanao mtaka.Shakib akimsamehe atadharaulika mnoo tena sana."Usisahau maneno makali uliotamkiwa na mtu,kipindi ana hasira au kalewa!Ujumbe ni ujumbe na umefika iwe kwa njia ya sim,au barua!
Huyo Zari alizamiria naaliyo yasema yalitok moyoni kabisa kijana amekaa kimya alijua atawewesek kumbe hana muda nae hata asisubutu kumsamehe nakumrudia huyo mama amezoea kuwa nakila mwanaume aendelee kujiuza
wanawake tuache ujeur km una pesa muheshim aliekustiri ,yaana unamdharau huyu kijana kisa daimond? mbon huyo d hajakuoa na hat kama ulizaa nae lazima uheshim mme wako na huyo dai anatakiwa awe na mipaka sio anakuja tu kisa ana pesa Looh wanwake sisi
Dai ameenda kwenye birthday ya mwanae by surprise nahisi kama kweli ni surprised hata Zari hakuwa anajua, na mumewe anamjua Mondi ni baba mtoto hapo kosa la Zari ni nini na huyo Mondi? Kosa la Zari ni kumsema vby mumewe lakini sio Mondi
Waliosema Hamisa ni sababu ya zari na diamond kuachana wapate somo hapa. Sasa hivi zari yupo single kwanini kama diamond anampenda zari asimchukue na kumuoa? Shenzi type diamond alivyomdate Hamisa kipindi hiko alikuwa alisha mchoka zari. Ona aibu hii zari anaomba msamaha kisa diamond Ali kuwa sababu. Zari anamtaka diamond arudi kwake ila diamond hamtaki period! Diamond akienda south ni kwa ajili ya kuona Watoto wake na KIKI.
Wanamuonea tu huyo hamisa maana aliachwa hadharani akawaacha zari na dai wakaendelea na maisha yao lkn walikuja kuachana na dai akaenda kwa tanasha lkn mpaka Leo Wana mlaumu hamisa huyu dada Bado anampenda sana dai na hiyo ndio sababu maana angalia sasaivi Kila dai anapokwenda sauz lazima agombane na mumewe
@@Bahati47sio kweli! Hawakuachana kwa sababu ya Hamisa wala, ya Hamisa Diamond alienda kumuomba msamaha kupitia watu ambao Zari anawahesimu na akamsamehe, Zari alimuacha Mondi aliposhikana shikana na Wema kwenye sherehe fulani. Hawa wanapendana sio kama Zari tu ndo anampenda Mondi kama umebahatika kuangalia ile show yao ya Netflix utajua ninachosema.
@@Bahati47sasa kama hamupend zari anakupenden nyie huyu pugi 😂haki unachekesha hilo so lakusema at hamupend anafata watoto haya huyo pugi anayependwa mbona kakataliwa na mtoto wake??? Pamoja na uganga wake tupwa kule mfyyuuu
Huwezi mchukiza na kumdharau mumeo kwa mtu mpita njia tu'Zari hajijui kama atumika kuiharibu ndoa na furaha yake mwenyewe, kila mwaka dai ataharibu maisha ya hawa wawili kwa kufanya haya! Atafanya haya kwa muda wa umuri wote wa Zari na shakeb iko wapi furaha yandoa?shakeb asimame kama mume azuie
kaona mondi amshuliki Yuko na zuchu ndio yuwatafakar amekosea mumew shenzi Sana mtu mzima hovyo usitrik kwenye ndoa utuli ukamueshimu mumeo mulienda mpak hajji kuomba mungu lakin bado ukakosa adabu
Ningekuwa me shakibu Wala nisingemsamehe,,,mwanamke aliyezaa na mwanaume mwngnee ni Kaz sana kuishi nae,wanaume wenzngu ushaur tu mwanamke aliyezaa ni hatar Kwa afya zetu
Yaani zali hana akili hivi unakumbuka huyo unae mwita mumeo alichokise? Alisema et wewe ni mama yake mzazi leo et unarudi kwake tena nabado ataendelea kukuzalilisha hivi huoni kama nilika la mwanao? Yule wakwanza?
Tanzanians that's why your radios don't for far.... Zari went to Jose's function she didn't go to Shakib.... respect Jose for paying Zari for her appearance
Umesema kaongea kwa uchungu, sasa kuna uchungu gani hapo? Mbona anaendelea kujitetea na kujikweza tu? Zari anajua kuna Professional Counselor, Kazi yao nikukusikiliza na kukupa mwongozo bora, hawa wana miikoya kazi na hawawezi kutoa mambo yako nje
Yani Dai ni mfanyabiashara tu, watu karibu wote hata huyo Zari na watoto anawatumia kwa KIKI, kama sio KIKI kwani akienda au wakija kumuona watoto, lazima aposti? Watu maarufu wangapi mambo yao binafsi ya familia never huyaoni popote.
Donc si baby dady vient à la fête de son enfant il faut insulté ton Mari hein, ça ne se fait pas , zari est la mère d'une fille,et elle doit servir d'exemple à ses enfants, Même si ShakiB n'apporte rien sur le table, mais elle savait cela et a 'accepter de l' épouser et de devenir sa femme au Yeux du monde et devant Dieu alors qu'elle respecte son serment et s'il ya problème dans la maison on ne vient pas les déballer sur la toile et diminuer son Mari, c'est pas un exemple à Suivre.... Elle demande pardon car elle sait qu'elle a outrepassé les limites ;
Zari atakuja kusababisha watoto wake wabakwe huyu kijana si wakutembea nae mineno ile halafu unarudiana nae unamuamini vipi na wanao wadogo na yeye asira zake akikurudi kwa mabaya kwa watoto jamani hana wooga Diamond chukua wanao
Zari she needs to grow up.... she is a drama queen 👸.
😂😂😂😂😂😂😂wanaume bado hamjajifunza kitu😂😂😂😂tafuteni pesa,heshima ya mwanaume ni pesa,ni hilo tu..bila pesa utafika umechoka🤣🤣🤣🤣
@@kekiplus1andonly jinsia ya kike pasua kichwa hakuna utakacho mlizisha Wacha maisha yaende
Huyu Zari alimtumiaga pia Diamond Black Rose, Lakini Mtoto wa Tandale hakutishika akamove on😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂husahau wewe
Diamond yuko buze na zuchu mahaba ndi ndi
Shakbu katulia kimya zari kaenda mwenyewe
Juu zari ndo alie kosa kwahiyo Yuko sahihi kuomba musamah
Ndoo unaume Sasa kwa brothe Shakbu
Unafanya mchezo nin zama hz za mashoga na wala chps wakumpelekea moto kma hyo kjana atamtoa wp
Nilisema tu huyu bibi dai akirud bongo akimuona anainjoy na zuchu lazima akamtafute huyo kaka 😂😂 Yan kamfanya kama spea tail" huyu bibi akimuona mondi anakuwa chz lkn mond ndo Hana muda jmn Kwa Sasa kutwa yupo na zuchu
Huyu jamaa akimsamehe ana matatizo😢
Jamaa akimsamehe huyo malaya atakua mpumbavu tena sana,Zari alitamka maneno makali mno,wala asisingizie pombe,alimaanisha alicho kisema na kudai zaidi kua wapo wanaume wengine kibao wanao mtaka.Shakib akimsamehe atadharaulika mnoo tena sana."Usisahau maneno makali uliotamkiwa na mtu,kipindi ana hasira au kalewa!Ujumbe ni ujumbe na umefika iwe kwa njia ya sim,au barua!
😂😂,,,😅😅😅
Huyo Zari alizamiria naaliyo yasema yalitok moyoni kabisa kijana amekaa kimya alijua atawewesek kumbe hana muda nae hata asisubutu kumsamehe nakumrudia huyo mama amezoea kuwa nakila mwanaume aendelee kujiuza
@@faridadondo2103anajua anacho fanya au anachotaka
Uyo shakibu nae kila siku anazalilishwa yan mond akienda South zari anamuona mumew ana thaman😢We Shakibu kuwa kama mwanaume uwe na msimamo
wanawake tuache ujeur km una pesa muheshim aliekustiri ,yaana unamdharau huyu kijana kisa daimond? mbon huyo d hajakuoa na hat kama ulizaa nae lazima uheshim mme wako na huyo dai anatakiwa awe na mipaka sio anakuja tu kisa ana pesa Looh wanwake sisi
Kwa kweli, yaani hii dharau ni vigumu sana mumeo kusamehe hata kama hujamuazirisha mbele ya watu
Dai ameenda kwenye birthday ya mwanae by surprise nahisi kama kweli ni surprised hata Zari hakuwa anajua, na mumewe anamjua Mondi ni baba mtoto hapo kosa la Zari ni nini na huyo Mondi? Kosa la Zari ni kumsema vby mumewe lakini sio Mondi
Mond pia ana tatizo unaendaje nyumba ya mke na mume bila ya taarifa
@@iktharsalum7440 hilo neno! Dhalau hiyo si anajua hana hela kama yeye na huyo mama mtoto wake 😂😂😂
Hili malaya kazidi laana msituletee hili mama chawi
Waliosema Hamisa ni sababu ya zari na diamond kuachana wapate somo hapa. Sasa hivi zari yupo single kwanini kama diamond anampenda zari asimchukue na kumuoa? Shenzi type diamond alivyomdate Hamisa kipindi hiko alikuwa alisha mchoka zari. Ona aibu hii zari anaomba msamaha kisa diamond Ali kuwa sababu. Zari anamtaka diamond arudi kwake ila diamond hamtaki period! Diamond akienda south ni kwa ajili ya kuona Watoto wake na KIKI.
Wanamuonea tu huyo hamisa maana aliachwa hadharani akawaacha zari na dai wakaendelea na maisha yao lkn walikuja kuachana na dai akaenda kwa tanasha lkn mpaka Leo Wana mlaumu hamisa huyu dada Bado anampenda sana dai na hiyo ndio sababu maana angalia sasaivi Kila dai anapokwenda sauz lazima agombane na mumewe
Yani Dai ni KIKI 💯
@@Bahati47 huyo bibi Malaya SEMA dai ndo hampend na dai kashajua udhaifu wa huyo bibi ndo mana amamfanyia makusud 😂
@@Bahati47sio kweli! Hawakuachana kwa sababu ya Hamisa wala, ya Hamisa Diamond alienda kumuomba msamaha kupitia watu ambao Zari anawahesimu na akamsamehe, Zari alimuacha Mondi aliposhikana shikana na Wema kwenye sherehe fulani. Hawa wanapendana sio kama Zari tu ndo anampenda Mondi kama umebahatika kuangalia ile show yao ya Netflix utajua ninachosema.
@@Bahati47sasa kama hamupend zari anakupenden nyie huyu pugi 😂haki unachekesha hilo so lakusema at hamupend anafata watoto haya huyo pugi anayependwa mbona kakataliwa na mtoto wake??? Pamoja na uganga wake tupwa kule mfyyuuu
Team zari😂wanakomeshwa na Zari mwenyewe🎉
Daah, kama mm kiukweli sirudi hata akinitokea malaika.😮
Na huyo shakibu akimsamehe ajiandae na dharau nyingine kubwa kuliko hiyo.
Shua, amove tu maana daah, aibu sana kampa yule mwanaume
😂😂😂
Anajua anacho fanya au anachotaka sio mjinga yule
inaonekana shakibu anapiga show vzr
Zari nakupenda ila umezidi kiasi kwa unavomfanyia huyu kaka ulikosea
😂😂😂😂😂
Huwezi mchukiza na kumdharau mumeo kwa mtu mpita njia tu'Zari hajijui kama atumika kuiharibu ndoa na furaha yake mwenyewe, kila mwaka dai ataharibu maisha ya hawa wawili kwa kufanya haya! Atafanya haya kwa muda wa umuri wote wa Zari na shakeb iko wapi furaha yandoa?shakeb asimame kama mume azuie
Mtu akikuonyesha tabia yake siku ya kwanza mwamini, huyu Dada ni mjasiliamali na anapenda tension saaana
Sio tension ...anapenda attention sana....
😂😂😂😂😂😂@@BenedictaMagantg
Miaka imeenda umedate huyu na uka date huyu inafika mahali unajiita mkutano unaona mimi ni mjinga
Muda wa kiki sasaivi atuna hajanao kwanini asiende kimya kimya mambo yao sisi yanatuhusu nini hao wanazingua leo hili kesho lile.
Huyo shakib ganda la ndizi litamponza angetafuta mwanamke atakae kua saizi yake wakupanga na kupangua atakae mpa amri akasikilizwa pale atajipotezea muda labda azae nae heshima itakuepo lkn ivyo ivyo zarau muendelezo
Mwanamme aliye kuoa muheshim kuliko ualiye kuzalisha nahajakuoa
😂😂😂😂yaan zari anazeeka vibaya kurudi kwa daimond ni ngum maana mzanzibar anakaba kila kona
sasa si aende kwa hao big boys wanaomtongoza.... ningekua shakib talaka ingetosha
Ningemlima 3😂😂😂
Hawapendi! Ukiwa na hela hana haja ya ku date jina au position hayo kwa wenye njaa 😂😂😂. Ukiwa na hela unachukua kile roho inataka ila aache mdomo
Watu ndo wanasema hasila hasala zari usiwape watu faida siku nyingine zari mana unajichoresha
"hasila" "hasala" kweli? Wewe vipi?😢
😂😂😂😂 @@Brunn-mh2bq
Hata iweje eshima ya mume Iko pale pale
Mwanamke akiwa na pesa kukuzidi tegemea kudhalilika mdawowote,
Sio wanawake wote😂😂😂😂😂 ila sema kuringa ndio sna tmeumbwa ivyooo😂
@@Sarah-e1o9k okey
kaona mondi amshuliki Yuko na zuchu ndio yuwatafakar amekosea mumew shenzi Sana mtu mzima hovyo usitrik kwenye ndoa utuli ukamueshimu mumeo mulienda mpak hajji kuomba mungu lakin bado ukakosa adabu
Kwani ni yeye alimualika Mondi bila kumwambia mumewe au Mondi alifanya surprise
Zari kaonanyege zimempada kichwani bora yende kumuomba shakibu kumuomba msama ,daimond hanamuda na wewe. Nimfanya biashara , na huyo bikidude wa zanzibar ,asubirie zamuyake , badahajafika yetu macho, 😂😂😂
Akimaliza zamu yake usubiri nawe zamu yako
🤣🤣🤣🤣
Mbona bi kidude😂😂😂
Eee umeona😂😂
Ukweli mchungu nyege si mchezo@@alzawahirabdallah2299
Hua nawaambia Mwanamke hata awe na mabilioni hawezi kua kitu chochote kama hana mwanaume na mwisho tu atadharulika na kusemwa vibaya katika jamii
Zari anamuone Sana uyu kaka daah
Huyu jamaa anakuwa BWEGE akimkubali tena Zari... Kwahiyo kila siku atakuwa anatukanwa, kununa na kuombwa msamaha
Ningekuwa me shakibu Wala nisingemsamehe,,,mwanamke aliyezaa na mwanaume mwngnee ni Kaz sana kuishi nae,wanaume wenzngu ushaur tu mwanamke aliyezaa ni hatar Kwa afya zetu
Ukikua utaelewa
@mtzhalisi2232 😂😂 kwa kweli
@@mtzhalisi2232😂😂😂😂😂 kabsa
Zari amechanganyikiwa na tulijua tuu kwamba ataomba msamaha baada ya kumthalilisha mume wake kwenye mtandao. she is confused and very immature.
I feel her
Miye zari ata afanye nini niko upande wake😂😂❤❤❤❤ yni adi wamuweee niko pmoja na yeye 😂😂😂😂
Zari anapenda kutombwa sana hawezi kukaa bila mwanaume,nahuyo Shakib bahati yake wameshafunga ndoa bila ivo angekua ameshabadili mwanaume mwingine
😂😂
Whisky ndio ililuwa inaongea iyo siku😂😂😂
Kama na muona meneja waka zari likimshuka baada ya mwamba kurudi kwa mkewe na wambea wote wasio penda penzi hili😂😂😂😂😂😂
Yaani zali hana akili hivi unakumbuka huyo unae mwita mumeo alichokise? Alisema et wewe ni mama yake mzazi leo et unarudi kwake tena nabado ataendelea kukuzalilisha hivi huoni kama nilika la mwanao? Yule wakwanza?
Acha kumzeesha mtoto wa zari, hajafikia ukubwa huo
😂😂😂😂chizi huyu ashawashwa
Hakuna uvumilivu kwa mwanaume asiyehudumia mwanamke wake au familia, tusidanganyane hapa . Keshachoka tuwape tu muda watatibuana tena
😅 nivizuri kusema yanayo kuuumiza kuliko kunyamaza yanakuumiza moyoni very good 😊👍 boss lady's
There's no life for this guy with zari.. Like a man need his own family kids i mean
Kazi ipo
It was just clout chasing..shes very immature
Jamaa anapiga nyapuu vbyaa
Niliona Shakib video nyingine akiwa na mdada mwingine anafurahia kweli hata anacheka muache mtoto wa wenyewe ulidhani atahangaika
Nyege zina mutesa mpaka anaona aende 2 kwauyo kibe10 wake😅
😂😂😂😂😂😂😂
Mm nising rud mana sio kwa kejel zile
Kweli kabisa, kwa hili zari amekosea
yote tisa, kumi mwanaume lazima umzidi mkeo kipato hili aliepukiki by any means wanawake tunachoka
Nimemuelewa zari Sana tu nanikwel kabisa wanachokisema
Kwani uyo kijana anaishi wapi
Nyoko kabisa huyo kaa na pesa zako
pumbu ni pumbu tu
. punguza ukari wa maneno
Shida wanawake wanaongea kwa hisia 😂😂
Tanzanians that's why your radios don't for far.... Zari went to Jose's function she didn't go to Shakib.... respect Jose for paying Zari for her appearance
What the hell is for far?😢
So your radios go far...where???..we don't even know them ..and you are in our pages
@Priv524 but Zari gives them contents so let them have views other celebrities are just boring and bloggers love drama because they sell
@@magzeeeehope was Zari, just she used fake account to comment, buuuh. 😂😂
Shakibu anabemendwa tu 😂😂😂😂
Huyu. Bituki naye. Tumechoka na stori zake😅
Kila sk kumdharau mumeo mwanamke mshenz uyu ata km ukiwa na pesa mpe heshima mumeo
Shakib akikusamehe Atakuwa Boya sana.
Alienda kwenye show ambayo alishatangaza kwenda muda tu kabla haya hayajatokea na washarudiana
Kiko wapi wale walio msapot kua alifanya sawa leo mmesikia mwenyewe kakiri kama alifanya makosa
Wangehachana ili nimuchukue ❤❤ 😢ata anitukane sinashida
Kkkkkkkk
Umesema kaongea kwa uchungu, sasa kuna uchungu gani hapo? Mbona anaendelea kujitetea na kujikweza tu? Zari anajua kuna Professional Counselor, Kazi yao nikukusikiliza na kukupa mwongozo bora, hawa wana miikoya kazi na hawawezi kutoa mambo yako nje
wanatafsiri wanavyojua wao ili wapate views
Acha kumuonea
Alafu wala ajifunza zari mwenzie amuaribia alafu mondi arudi kwa zuchu
Huyo bwana atamuuwa kwa sumu.
Shakibu fukuza uchafu tafuta saizi yako shakibu achana nahuo bitukinawo kaona diamond hana mdanayeye ndomana kajirudisha nyuma shenzi
Kiki tu huyu na attention
Dawa ya kuficha aibi ni kutafuta hela kuliko kuwa kibeteni kaka yenu njo ivo tu
Sio Ala ni Allah ebu taja ilo jina kwa adabu wee mwandishi mpuuzi!!
Acanicekemie
MI SIKUKATAI NG'O,,,NAKUKAZA,,HELA ZAKO NAKULA NA NNAYEMPENDA NITAKUWA NAE,,SHAKIBU USILITUPE ILO FUKO,,OSHA NYOTA BABA
😂😂
Yani Dai ni mfanyabiashara tu, watu karibu wote hata huyo Zari na watoto anawatumia kwa KIKI, kama sio KIKI kwani akienda au wakija kumuona watoto, lazima aposti? Watu maarufu wangapi mambo yao binafsi ya familia never huyaoni popote.
Donc si baby dady vient à la fête de son enfant il faut insulté ton Mari hein, ça ne se fait pas , zari est la mère d'une fille,et elle doit servir d'exemple à ses enfants, Même si ShakiB n'apporte rien sur le table, mais elle savait cela et a 'accepter de l' épouser et de devenir sa femme au Yeux du monde et devant Dieu alors qu'elle respecte son serment et s'il ya problème dans la maison on ne vient pas les déballer sur la toile et diminuer son Mari, c'est pas un exemple à Suivre....
Elle demande pardon car elle sait qu'elle a outrepassé les limites ;
Mjinga huyo zari ni kama.mbwa anatapika tena anakula tena shame
Diamond anapoitaji kutembelea watoto lazima aongea na shakbu sio aende kama kwake msege wewe
Ningekuwa shakibu nisinge mrudia maana katoswa na mondi ndo anajirudisha atafute mtotovmwingine tu aachane nauyo waote
Zari atakuja kusababisha watoto wake wabakwe huyu kijana si wakutembea nae mineno ile halafu unarudiana nae unamuamini vipi na wanao wadogo na yeye asira zake akikurudi kwa mabaya kwa watoto jamani hana wooga Diamond chukua wanao
Mm ni zali hii account yangu nyengine niacheni bna shakib wanguu wabongo is typing and deleting 😂😂😂😂
Iki kibibi kizeee nacho kimesha chosha watuuu kwa ujinga na kiki zikijinga