Kila anacho kiongea ni mawazo yanayo toka kwenye akili yake. Hayana ukweli hata kidogo Kwaiyo mchukulieni kama mjinga flani aliye kosa la kufanya . Huyu ataishia kukaa mbele ya kamera mpaka ataacha na kwenda kutafuta kazi nyingine
@@aidanmtabe3552huyo ni nabii tapeli Hana lolote.nawaomba someni maandiko msibaki kutapeliwa na manabii wa uongo,mtu yeyote anayekwenda kinyume na neno la Mungu unapaswa kumwogopa sana.
We acha udini baba wa taifa alikemea yaani sie tunataka kiongoz Yoyote we ni shetani kila saa romankatolic hubiri watu waokoke waache dhambi sasa uongozi Kwa taarifa yako anayeamua amweke nani awe mlokole muislam au mkatolic ni mungu tu hizo chuki zako zitakumaliza polepole usifinishe watu 😂😂😂😂😂😂😮
Wanao sikiliza unabii huu inawezekana Ni wachache Sana mwombeni Mungu awape hekima namna gani unabii huu uenee nchi kwa mkono wa Mungu
Mtumishi, jitahidi sana kuhusisha mafundisho na neno la Mungu,pia jitahidi kuomba Mungu akifundishe kupitia roho wa Mungu,
Tatizo umekariri, na unacoment usicho kijua,huyo roho mtakatifu mwenyewe humjui ,
Amen Prophet Mungu akubarki pia
Wewe pepo mchafu nilishakukemea.
Huna roho wa Mungu, pepo yuko ndani yako.
Acha kulitaja jina la Yesu
Haridi toka lini ukamkemea mwenye Kristo
Safi nabii
Mtumishi una maana hata tarehe uliyotupa ya unyakuo huenda itabadilika kama tarehe uliyotutajia ya dar kubadilika
Kweli Mimi unanichekeshaga tuu nikikuona ama kweli nabii Musa duh dar kuangamia imegomea wapi?
Ukweli wewe mtaona
NAENDELEA KUSEMA HAKUNA NABII HAPO,HUYU ANATAFUTA MAMBO YAKE MWENYEWE NDIYO MAANA ANAISHI KWA KUBAHATISHA
Muongo Sana Kwanza huo unabii kampa nani
Leo ni tarehe 29 bado siku mbili 😂
Kila anacho kiongea ni mawazo yanayo toka kwenye akili yake. Hayana ukweli hata kidogo
Kwaiyo mchukulieni kama mjinga flani aliye kosa la kufanya . Huyu ataishia kukaa mbele ya kamera mpaka ataacha na kwenda kutafuta kazi nyingine
Huyu jamaa nitaanza kumwelewa baada ya tar 1 mwezi wa 6😂
😂😂😂😂 kibwetere
Kasema Kuna Nini?
HUYU NABII WA UONGO ALISEMA MTOKE DAR MWEZI APRIL KUNA MAFURIKO, NA ALIPOSHINDWA AKASEMA MWEZI WA 5 ,HUYU HANA MUNGU
Soma vizur kipeperushi kiliandika mwez wa 5 sio wa nne
@@aidanmtabe3552
Mtetee sana, na mwezi huu 5 hakuna mvua kama nabii Dar es salaam haitakumbwa na hayo, wewe na huyo tapeli wote muokoke
@@aidanmtabe3552huyo ni nabii tapeli Hana lolote.nawaomba someni maandiko msibaki kutapeliwa na manabii wa uongo,mtu yeyote anayekwenda kinyume na neno la Mungu unapaswa kumwogopa sana.
Manford hajui kusoma 😂hata hekima ya Mungu umekosa unacoment bila kufikiri 😂mtamjua Mungu kwa lazima Endelea kuitaman hasira ya Mungu utaiona
😂😂 Tukumbushe Dar itaangamia lini mkuu mbona watu bado wanadunda.
Kibwetere huyu nyie😂😂😂
Muoooooongo
Wakatolik peke yao wanaoabudu Mungu mmoja
Acheni maswali ya kijinga.
@@Gaynor1234 ujinga wa maswali uko wapi, watu wasiulize AMA??
Bila shaka atakuwa Dr Gwajima
Makonda labda 😊
Sanduku la agano itakuwa amepoteza ufunguo toka mwezi wa tano hajapata😂
Amen
🌍Mim mpaka kwamza Dar iangamie maana sikwelew kwa sasa😂.
Hata Mimi
Kibwetere huyu
Mungu niwalehema sana
KUKOSA MILIONI KUMI MCHEZOOO....
Nass,waislam ,tunahitaji,maraisi,masheikhe,😂
Punguza maneno utafungwa. Taharuki hatuzitaki.
Atutaki walokole waongo
Amin
We acha udini baba wa taifa alikemea yaani sie tunataka kiongoz
Yoyote we ni shetani kila saa romankatolic hubiri watu waokoke waache dhambi sasa uongozi Kwa taarifa yako anayeamua amweke nani awe mlokole muislam au mkatolic ni mungu tu hizo chuki zako zitakumaliza polepole usifinishe watu 😂😂😂😂😂😂😮
Mafuriko yanasemaje na kuangamia
🙏🏾
Tuko pamoja mussa
Tunataka Dini ya Serikali
Unafaham ni nini maana ukristo
Amen