Mfumo wa yanga ,ni ngumu Kwa chama kuanza,atulie Tu kuna michezo ataanza ila si Kwa matakwa Yake au ya ninyi watangazaji,tuna kazi naye Sana mbeleni Kwa sasa atulie Tu.
Chama anapaswa kufuata matakwa ya kocha gamond kwasababu uchezaji wake hauendani na mfumo wa kocha kama timu inahitaji matokeo ya ushindi Kwaiyo awe mpole
Huyo ninyi Wana yanga atawasumbua sana chama anatatizo kwa Sasa ambaro hata ninyi Wana yanga hamtariweza 1 huyo anaradhi Toka msimbazi kwa hiyo mkitaka Wana yanga acheze mpira hapo kwenu basi tuwafundishe mreteni kwanza msimbazi Kuna wazee hapo tupo tujue tunafanyaje hairoooo
Wana Msimbaziiii je mnaikumbuka sakata la Emmanuel Okwi na Yanga ilikuwaje je Lina utofauti wowote na hilo la Chama je nini kilitokea linganisheni wenyewe
Atoke kazi awez alud kwao kaxhakua mzeee
Hao Ni Simba Wanataka Kumyumbisha Chama Chama Tulia Jangwani Hao Makolo Wasikushgulishe Wanaumia Wewe Kuwa Mwana Jangwani
diamond na p ddy
Yaani huko huko na kwetu hatukutaki mkataa pema pabaya panamuita piamkataa kwao mtumwa👏👏👏👏👏
Aludi kwao akalime viazi mzee uyo
Chama ni mchezaji mzuri sanaa atulie atapewa nafasi nzuri
Anaweza asicheze hata mechi 2 ni matakwa ya kocha asifosi ,kama ni kuondoka ni mawazo yake
Leo ataanza
Asihofu amekuja kwenye chama kubwa😮❤😢😮😅😊😢🎉😂❤
Aonyeahe kiwango atapangwa, mchezaji humshawishi kocha kwa kuonyesha kiwango, siyo hana furaha aseme ni ngumu kupata namba.
Mshamba2 aende
kuwa na subra my bro cz mda wako utafk,
Mmmmmh sio kweli kwamba alikulupushwa hapana mwache asugue
Avumilie2
Poa Utacheza Na Utafunga Na Utatoa Assist Nyingi TU Ulia Broo Usiwasikilize Na Bado Mtamuongelea Sn Mwamba Wa LUSAKA
Mfumo wa yanga ,ni ngumu Kwa chama kuanza,atulie Tu kuna michezo ataanza ila si Kwa matakwa Yake au ya ninyi watangazaji,tuna kazi naye Sana mbeleni Kwa sasa atulie Tu.
Chama anapaswa kufuata matakwa ya kocha gamond kwasababu uchezaji wake hauendani na mfumo wa kocha kama timu inahitaji matokeo ya ushindi Kwaiyo awe mpole
Chamani mnafiki tu
Kama walikubaliana atapata namba first eleven inabidi waheshimu mkataba
Hata Akiondoka yanga bado tuna wachezaji wengi Koo uzuri wa yanga haina mda wa kubembeleza mchezaji bora tuu asepe njia nyeupe😂😂
Huyo ninyi Wana yanga atawasumbua sana chama anatatizo kwa Sasa ambaro hata ninyi Wana yanga hamtariweza 1 huyo anaradhi Toka msimbazi kwa hiyo mkitaka Wana yanga acheze mpira hapo kwenu basi tuwafundishe mreteni kwanza msimbazi Kuna wazee hapo tupo tujue tunafanyaje hairoooo
Kila poli Lina mfalme wake simba selengeti hawezi kwenda kutawala mikumi Wala ngolongolo
Akileta zake tutmwacha arud Kwa wasokuwa kiwango wenzake asitucitu peleke kama alivyokuwa akiwazalau makoro sii tunatak kumpandixh kiwango. Haraf yyee anajixhauwa
Lud ulikotoka bab hap ulipo ushapungua Sasa utazid kuwa moja
iliymbia wakae mezani na simba wazungumuz akakataa muache ssa asugue penchi
Wanayang walikiwa wanaishi na ndoto ya kuj kummiliki Cham wakio wemempat manen meng
Wana Msimbaziiii je mnaikumbuka sakata la Emmanuel Okwi na Yanga ilikuwaje je Lina utofauti wowote na hilo la Chama je nini kilitokea linganisheni wenyewe
Kwanz habar zenyew ni za jweli?
Aongeze bidii na pia abadilike kimchezo asimaind siku akianza afanye vizr au amshafishi kocha
Hiyo ndo bongo na bado aende ihefu
Hizo mechi zinamfaaa kucheza za kirafiki
Yanga ni matapeli tu chama katapeliwa bila kujijua
Avumilie tu urafi wake wa vihela ndiyo vimemponza.
hiiosio sahihi
Ngoja achome mahindi huko na ujinga wake akishidwa arudi kwao. Mubwa huyo Simba kuriko chama
aondoke tu
Kwan nyie wana habar mnashindwa kumuhoji ili tumsikie nasio kumuongelea kama ni marehemu
Acheen udhushi hao Makolo hawana lolote
Aludi tu kwamnyama
Ataendelea kukaa mbao ndefu Tuu
Mwacheni ale jeuri yake
No chama anataka pila Sambusa ke kuna pira gwaride hapo ngumu
uzushi wa kutafuta viewers
mbwaaaaaaaaaaaa akubwa
Hi ni moja ya zile channel unabofya vidoti vitatu... halafu NOT INTERESTED au DONT RECOMMEND CHANNEL
Aseme mwenyewe tumsikie mbona unasema wewe mwandishi
Arudi nyumbani Kwa mnyama
Apambane na wazee wenzake ss vijana hatumtaki
Acha uongo bwana
Hizo habari ni propaganda za uwongo
uyo chama atasugua matako yake san penchi kwa pakome uyu atakexha muno