Watanzania 🇹🇿 Tumechagua Maisha magumu sana kwa Nini? 1: Tumechagua Maisha ya Kuongea Sana Kisiasa Kwenye Mpira ⚽ hatuambizani Ukweli 2: Tumechagua Maisha ya Kusifiana kwenye hakuna hata kama kuna makosa yamefanyika sisi tunasifiana tu. 3: Tujengeni Utamaduni Wa Kuwaendeleza Vijana Wetu Wanaofanya Vizuri Kwenye Umri Mdogo Kwenye Mashindano Mbalimbali Wanaoshiriki na Kuleta Mafanikio Tanzania 🇹🇿
Akuna wajambuzi apo. Je wewe unawenza kila siku amko bora wewe kuwa kocha sasa. Acha kubwatukambwatuka. Unaweza kucheza acha mdomo.? Umesha fungwa tu 🇨🇩
Bro umeongea ukweli kabisa na tupunguze dharau wachezaji,🇬🇷🇬🇷🇹🇿
Daaah jama anaongea vizuri sana
Uko vizuri kaka tatizo yenu mlileta zalau sana mbele ya mchezo
Shauri ambayo Mimi ni mkongomani kutoka Lubumbashi nimewapatia ni kusema muendelee kutafuta wachezaji wenu ma inchi ya ulaya
Kufungwa kubaya sana
Kweli Samata sio kitu mbele ya Mayele. Na Meshaki haiwezi mlinganisa na feitoto
Hii aibu kwa tanzania serikari inachangia hatuna mfumo wa mpira
Tunahitaji kocha kutoka njee ya nchi moroco co kocha anasifa ganii tusileane mpira coudugu tulete makocha kutoka njee
Ambokile msema kweli
AMBOKILE ACHA UJINGA UNAWASEMA WACHEZAJI VIBAYA NDY MAANA WACHEZAJI HUWA WANAOMBA KUSTAAFU SOKA KWENYE TAIFA LAKE
TUSIWAKATISHE TAMAA WACHEZAJI WETU
Watanzania 🇹🇿 Tumechagua Maisha magumu sana kwa Nini?
1: Tumechagua Maisha ya Kuongea Sana Kisiasa Kwenye Mpira ⚽ hatuambizani Ukweli
2: Tumechagua Maisha ya Kusifiana kwenye hakuna hata kama kuna makosa yamefanyika sisi tunasifiana tu.
3: Tujengeni Utamaduni Wa Kuwaendeleza Vijana Wetu Wanaofanya Vizuri Kwenye Umri Mdogo Kwenye Mashindano Mbalimbali Wanaoshiriki na Kuleta Mafanikio Tanzania 🇹🇿
Wewe ambokile acha mdomo mbwana ndo kazi ya watanzania tu mdomo mwingi sana 🇨🇩
Akuna wajambuzi apo. Je wewe unawenza kila siku amko bora wewe kuwa kocha sasa. Acha kubwatukambwatuka. Unaweza kucheza acha mdomo.? Umesha fungwa tu 🇨🇩