SIKIA BALAA LA MSHAIRI FUMAU KWA ALI KAMWE/MANARA/AMTAJA ENG. HERSI/AL HILAL WATAKUFA MAPEMA SANA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
- Leo Octoba 5 Mpenja Tv tunakuletea Mahojiano na Msanii wa Mashairi Fumau Ally maarufu kama Fumau Mshairi ambaye ni shabiki wa Yanga.
.
Fungua video hii kupata uhondo wote wa Mahojiano haya.
Mwananchi unajua unajua unajua tena hongera sana kipaji bora💚💚💚💛💛💛
Na ana vibe balaaaaaa All the best bro tup pamoj
MashaAllah Allah barik kipaji umejaaliwa 💚💛
Masha allah allah akulinde na hasadi napenda sana mashairi haswaaah sauti ulizo zitumia umenikosha sana
MANSHAALLAH KIJANA BIG UP ENDELEA UNAWEZA 💛💛💛💛💚💚💚💚💚💯💯💯💯
Ma ashaallah allah azidi kukutunza
Ahsante mwanangu unakipaji Mungu akutangulie kwa kila hatuwa
Naaam naaam nmeinjoy hiii enterview🤣😋💃💃
UNA KIPAJI MDOGO WANGU MUNGU AKUBARIKI 💛💛💛💛💛
Masha Allah! Mkaka penda wewe uko vzry sana...BIG UP BROH!
Nimekuelewa sana Mswahili mwenzangu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hakika mjuzi hakika
Kazi njema kila la kheri kwenu nyote barikiwa Sana Yanga
Salute kwa walimu wako wa Kiswahili kwa kpalilia kipaji chako dogo.
Mungu akubarki kaka naamini utafika mbali coz unakipaji sana
Hongera Sana baba Ang Azam media mko wap mchukueni kipaja hicho Kiko wazwaz
Mungu akuongoze very talented
tunaaangalia ushindi jaman wachezaj wote niwetu na mupo ndani ya team yetu tukiliweka hilo haswaa wachezaj wetu tutafika mbali mnooo nasikiaga vibaya tukikosa goli alaf kuna mtu yuko kwenye nafasi na akupewa mpira inaniuma sn ila kwakua siko uwanjani.pingine ninavooona mm yy ajaona ila kuna wakt unamuona.mtu anaoma ata raadhi kwa mwezake.kwamba alimuona na.alijua pale kuna nani fanyeni kila nafasi kuwa dhahabu na tuitumie kwa umakini naona ninyi akina akina feisali na mayele faridi anaga baya kwenye kutoa pass ya magoli
Mashallah jmn nailudia tena eti🔥
Hiii hatar MaashaAllah
Nakupenda bure we kaka
Unafaa sana kuwa mtangazaji wa mpira Big up wako na tena sauti yako inafanana na baraka mpenja
Dogo uko vzr bhana Allah azidi kukusimamia katika malengo yko
Hiki ni kipaji cha kuzaliwa, hongera sana.
Nampenda sana
ManshaAllah kijana upo vzr 🇾🇹
Good good kijan upo vzr
Was mwanzo ku coment
Mtangazaj unasaut nzur nenda UPANDE tren uje kigoma STUDIO UTOE NYIMBO
Upo vizuri kijana
Upo vizur kijana
Nmekukubali
Nice talent!
Salute dogo 👊💚💛
So good
Mashallah 💚💛💚💛💚💛💚💛💚
Mimi n simba lakini sisi wanasimba wengi n mbumbumbu hatuna hicho kipaji cha ushairi😀😀😀😀😀
Mashaallah unakipaji kaka
Dogo yuko vema wako wapi Azam media wambebe huyu dogo, paji kubwa sana
Mashaallah famau
Hahaha .. karibu 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Brow unajua sana
Aisee huyu jamaa ni mwisho nimemsikiliza mpaka mwisho ,jamaa ana kitu kikubwa Sana mungu akusimamie
Kijana!kijana!
Wow 😳😳😳 Pambana unakipaji kikubwa sana
Daaaah noma san dogo unajuwaaash
Nimepena sana
Ubdul unaweza
Masha Allah
Please like
Hatar sana kijana
🤣 nakupenda sana dogo
Anakipaji sana
Yanga raha sana
Congratulatins dogo
Mbona kama kafanana na baraka mpenja
Ndotto zako zita timia inshaallah
🔥🔥🔥🔥🔥
👊👊👊🔥
Nakubal
Hapo kwa jemas samweli duuuu shikamooooooo
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ndio mambo umunaweza
Big up mwananchi walabu tuna wapigatu 4 kavu amini manenoyangu by kilosa moro
Yanga kuna vipaji jamaniiii
Kwa vipaji hivi haviendelezwi!?
tupo tumekusikia
Kwangu hii ndo interview bora uliyowahi fanya na mashabiki tangu msimu huu umeanza,naomba km inawezekana nimpate huyu kijana nimpe ticket ya VIP B ya kesho
5
Anakipaji jamaa
Tunakupat usiishie apo Tunga Zaid na Zaid IPO sk
🙏 eshima snaa Bro
YANG'AA weweeeee
😂😂😂😂👍
Huyu mwamba anabalaaa