Hi bado tutandamana tu ata kmya kmya police hawajui sheria wananchi wap wakaseme..uko bungeni wabunge wakitoa hoja turia anapnga sasa wananchi wap wakaseme
Kidoogo naendelea kukiamini chombo chenu maana waandishi wengi sasahiv wa nchi yetu wanatia kinyaa ukisikia wakizisifia serikali na na maovu take utachoka, katiba imeeeka wazi kua Rai anakua na washauri wanaolipwa na Ila Sheria Ina sema pamomoja na ushauri wao pia Sheria hiohio Nina sema halamiki kuutumia huo ushauri anaweza shauriwa vizuri Ila anaweza kuuacha huo ushauri nakutumia akili yake huo ndio ubovu wa katiba na Sheria zetu,
Raisi kasema serikali yake Ina interegensia kubwa, na interegensia kubwa Ni bwana msiba bwana Yona wachalinze makonda na shehe mwaipopo, watu waio faa boblia inasema watu wazushi waongo wahaini wachochezi watu walio na moto wa kichawi kwenye nchi ili iungue, raisi akiwaamini hao nchi itateketea. Mie najifika kwenye handaki la Yesu
Tanzania kila mmoja anajua, hakuna anaejua sheria wala haki. Ni sheria ya Baharini samaki mkubwa anamla mdogo. Wajinga ni wengi sana. Polisi hawajui kazi zao, wanajiona magwanda yao njaa ndo sheria. Nchi yenye dhulma. Kwani Raisi bwege? Hapimi anachoambiwa? Au ndo ktk hao wajinga wenyewe. Anaendeshwa ovyo na anakubali. Rais si muadilifu. Uongozi unatakiwa uwe muadilifu
Raisi ana akili za darasani hana maarfa ndiyo maana wana mugeuza wanavyo taka
Tuaitaji chaadema kuutanga maandamano ya nchi nzima zianzie kila kitongoji TUONE haw polisi
Siku zote ya kuambiwa na changanya na nako ila rais inatakiwa achukue maoni ya wananchi ili tujenge taifa kuliko kuangali ya upande moja
Hi bado tutandamana tu ata kmya kmya police hawajui sheria wananchi wap wakaseme..uko bungeni wabunge wakitoa hoja turia anapnga sasa wananchi wap wakaseme
Kidoogo naendelea kukiamini chombo chenu maana waandishi wengi sasahiv wa nchi yetu wanatia kinyaa ukisikia wakizisifia serikali na na maovu take utachoka, katiba imeeeka wazi kua Rai anakua na washauri wanaolipwa na Ila Sheria Ina sema pamomoja na ushauri wao pia Sheria hiohio Nina sema halamiki kuutumia huo ushauri anaweza shauriwa vizuri Ila anaweza kuuacha huo ushauri nakutumia akili yake huo ndio ubovu wa katiba na Sheria zetu,
Na yeye ni mtazamo yake kama nyie mnavyotoa mitazamo yenu inayoegemea upande wa serikali pasipo kuchambua kwa hali halisia
Wasafi mnaanza kupoteza ethics ya chombo cha habari.
Kwann
Raisi kasema serikali yake Ina interegensia kubwa, na interegensia kubwa Ni bwana msiba bwana Yona wachalinze makonda na shehe mwaipopo, watu waio faa boblia inasema watu wazushi waongo wahaini wachochezi watu walio na moto wa kichawi kwenye nchi ili iungue, raisi akiwaamini hao nchi itateketea. Mie najifika kwenye handaki la Yesu
Wangekua na intalejensia wangejua mbowe kalala wapi😂
Hii ni redio ya comedy? Maana siielewi ndugu zangu
Saiv imeanza anza kujirekebisha kidogo zamani huwezi kutamani kusikiliza
Washauri hewa hao ipo day kitanuka tu
Wajina Bora angesikiliza ushauri wa wananchi kuliko hawa washauli wake
Kumbe kakitenge haka jui hata kusoma kiingereza
Psychology imemsumbua😂😂
Tanzania kila mmoja anajua, hakuna anaejua sheria wala haki. Ni sheria ya Baharini samaki mkubwa anamla mdogo. Wajinga ni wengi sana. Polisi hawajui kazi zao, wanajiona magwanda yao njaa ndo sheria. Nchi yenye dhulma. Kwani Raisi bwege? Hapimi anachoambiwa? Au ndo ktk hao wajinga wenyewe. Anaendeshwa ovyo na anakubali. Rais si muadilifu. Uongozi unatakiwa uwe muadilifu
Na yeye ni mtazamo yake kama nyie mnavyotoa mitazamo yenu inayoegemea upande wa serikali pasipo kuchambua kwa hali halisia