PROFESA MBELE AWASHANGAA WASHAURI WA RAIS

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 ก.ย. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 18

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    Raisi ana akili za darasani hana maarfa ndiyo maana wana mugeuza wanavyo taka

  • @juliuszakayo6771
    @juliuszakayo6771 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Tuaitaji chaadema kuutanga maandamano ya nchi nzima zianzie kila kitongoji TUONE haw polisi

  • @RamadhaniKitala-gx6wc
    @RamadhaniKitala-gx6wc 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Siku zote ya kuambiwa na changanya na nako ila rais inatakiwa achukue maoni ya wananchi ili tujenge taifa kuliko kuangali ya upande moja

  • @MsNajma-j7e
    @MsNajma-j7e 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Hi bado tutandamana tu ata kmya kmya police hawajui sheria wananchi wap wakaseme..uko bungeni wabunge wakitoa hoja turia anapnga sasa wananchi wap wakaseme

  • @juliuszakayo6771
    @juliuszakayo6771 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Kidoogo naendelea kukiamini chombo chenu maana waandishi wengi sasahiv wa nchi yetu wanatia kinyaa ukisikia wakizisifia serikali na na maovu take utachoka, katiba imeeeka wazi kua Rai anakua na washauri wanaolipwa na Ila Sheria Ina sema pamomoja na ushauri wao pia Sheria hiohio Nina sema halamiki kuutumia huo ushauri anaweza shauriwa vizuri Ila anaweza kuuacha huo ushauri nakutumia akili yake huo ndio ubovu wa katiba na Sheria zetu,

  • @EllenWaigama
    @EllenWaigama 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Na yeye ni mtazamo yake kama nyie mnavyotoa mitazamo yenu inayoegemea upande wa serikali pasipo kuchambua kwa hali halisia

  • @PROSPERMAZIGO
    @PROSPERMAZIGO 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Wasafi mnaanza kupoteza ethics ya chombo cha habari.

  • @emmanuelmwakyoma5746
    @emmanuelmwakyoma5746 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Raisi kasema serikali yake Ina interegensia kubwa, na interegensia kubwa Ni bwana msiba bwana Yona wachalinze makonda na shehe mwaipopo, watu waio faa boblia inasema watu wazushi waongo wahaini wachochezi watu walio na moto wa kichawi kwenye nchi ili iungue, raisi akiwaamini hao nchi itateketea. Mie najifika kwenye handaki la Yesu

    • @philemonsnyanda9450
      @philemonsnyanda9450 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Wangekua na intalejensia wangejua mbowe kalala wapi😂

  • @ZaidAKissinza
    @ZaidAKissinza 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Hii ni redio ya comedy? Maana siielewi ndugu zangu

    • @philemonsnyanda9450
      @philemonsnyanda9450 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Saiv imeanza anza kujirekebisha kidogo zamani huwezi kutamani kusikiliza

  • @RamadhanAthuman-d4c
    @RamadhanAthuman-d4c 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Washauri hewa hao ipo day kitanuka tu

    • @RamadhaniKitala-gx6wc
      @RamadhaniKitala-gx6wc 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Wajina Bora angesikiliza ushauri wa wananchi kuliko hawa washauli wake

  • @wanainchitvrdc6705
    @wanainchitvrdc6705 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kumbe kakitenge haka jui hata kusoma kiingereza

    • @VIPSwahili
      @VIPSwahili 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Psychology imemsumbua😂😂

  • @Queen-be1uf
    @Queen-be1uf 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Tanzania kila mmoja anajua, hakuna anaejua sheria wala haki. Ni sheria ya Baharini samaki mkubwa anamla mdogo. Wajinga ni wengi sana. Polisi hawajui kazi zao, wanajiona magwanda yao njaa ndo sheria. Nchi yenye dhulma. Kwani Raisi bwege? Hapimi anachoambiwa? Au ndo ktk hao wajinga wenyewe. Anaendeshwa ovyo na anakubali. Rais si muadilifu. Uongozi unatakiwa uwe muadilifu

  • @EllenWaigama
    @EllenWaigama 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Na yeye ni mtazamo yake kama nyie mnavyotoa mitazamo yenu inayoegemea upande wa serikali pasipo kuchambua kwa hali halisia