GB 64 APAGAWA NA TAKWIMU ZA mchezaji mpya wa SIMBA STEVEN MUKWALA | HAPA SIMBA TUMELAMBA DUME

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 45

  • @lonesomekabora5547
    @lonesomekabora5547 3 หลายเดือนก่อน +8

    Kama chama ana ukubwa huo wananchi wanaokata keki na kuweka Mabango watuambie hapa ni Timu gani nyingine kubwa imempa ofa zaidi ya Yanga? Aziz ki kala ofa tatu kubwa feisail anaofa za moto kubwa kumuwekea Chama mabango ni dalili za wananchi kuogopa ukubwa wa Simba katika nafasi ya tatu, sasa wasubirie tujaze vikapu vya makombe msimu ujao

    • @OvinusOsward
      @OvinusOsward 3 หลายเดือนก่อน

      Apo umenena Asante

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 jipe Moyo

  • @Dastanikasanda
    @Dastanikasanda 3 หลายเดือนก่อน +3

    Ukiona mwana chama wa simba au shabiki anapiga kelele chama kuondoka ujuwe huyo ana ujinga wa kumtosha. Tena nimamruki wa kudum..nyoooo. mfuate. Hakuna mkubwa kuliko simba. Pumbavu zenu. Nitabaki na simba yangu daima.

    • @allykagawa
      @allykagawa 3 หลายเดือนก่อน

      100%

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 3 หลายเดือนก่อน +4

    WACHEZAJI HAWANA MAKOSA , WAO WANATUMIA DAMU na WANATAFUTA MAISHA , SHIDA YA SIMBA NI UONGOZI.. KIONGOZI SERIOUS LAZIMA WALIOKO NYUMA YAKE WAWE SERIOUS

    • @MohamedMshiti
      @MohamedMshiti 3 หลายเดือนก่อน

      Muongo wewe ila viongozi wetu wako pouw

  • @yusuphabsaid8151
    @yusuphabsaid8151 3 หลายเดือนก่อน +2

    Chama Simba walichelewa kumla kichwa

  • @SamwelyMartine-to4ki
    @SamwelyMartine-to4ki 3 หลายเดือนก่อน +2

    Chemalone shondo 😂😂😂 hii imeendaaaaaaaaaaaa

  • @ernestkamata2555
    @ernestkamata2555 3 หลายเดือนก่อน +1

    Unachokiongea ni sahihi, watu wanaongea juujuu tu, lakini kiwango cha chama na pesa anayoitaka haviendani kabisa

  • @ShaabanMfalme
    @ShaabanMfalme 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe huna unalijua unabwabwaja si ulisema chama akisaini YANGA unaacha kuishabikia simba uko

  • @ZubedaAlly-k9y
    @ZubedaAlly-k9y 2 หลายเดือนก่อน

    Yaani ww hunanikosha Sana ata mm nimefurahi kuondoka kwa chamana saido pia ata inonga

  • @JacobMwamabhise
    @JacobMwamabhise 2 หลายเดือนก่อน

    Namini Simba ijayo itakuwa bola sana miaka 25 kushuka chin hapo sawa

  • @SHABANIABEDI-qt1vw
    @SHABANIABEDI-qt1vw 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa anafaa kua msemaji anajiamini

  • @DavidRobert-q5c
    @DavidRobert-q5c 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ngoja tunywe mtoto nyama tutazikuta chini

  • @Joicejafet
    @Joicejafet 3 หลายเดือนก่อน

    chama hatuna haja nae kachoka aende tu uko

  • @Dastanikasanda
    @Dastanikasanda 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wamfuate kama imewauma

  • @ANTONINDOMBA
    @ANTONINDOMBA 2 หลายเดือนก่อน

    muache aende chama yey ni nani

  • @RomwadMhagama
    @RomwadMhagama 3 หลายเดือนก่อน

    Wefala unatupotosha

  • @RomwadMhagama
    @RomwadMhagama 3 หลายเดือนก่อน

    Wefala unatupotosha

  • @RomwadMhagama
    @RomwadMhagama 3 หลายเดือนก่อน

    Wefala unatupotosha

  • @jseventz
    @jseventz 3 หลายเดือนก่อน

    mamluki

  • @ShaabanMfalme
    @ShaabanMfalme 3 หลายเดือนก่อน

    KAA KIMYA ACHA WATU WENYE MAPENZI NA SIMBA WACHANGIE HOJA WEWE HUNA HOJA ZENYE MASHIKO KWA KIFUPI WEWE NI SHABIKI MAANDAZI

  • @chillogeorge1383
    @chillogeorge1383 3 หลายเดือนก่อน

    Juzi tu walikuwa wanautukana uongozi wao kuwa ni mbovu, leo anamshutumu mchezaji aliekuwa anapambania timu yake na maslahi yake binafsi.
    Hivi ni mtu gani anaejitambua atakuwa mstaarabu palipo na uongozi mbovu???
    Wakulaumiwa ni mzazi na sio mtoto.

  • @drallan6879
    @drallan6879 3 หลายเดือนก่อน +1

    unafiki;chama Leo munaona ni Nani?

    • @saidhassan3181
      @saidhassan3181 3 หลายเดือนก่อน

      Hahahaa chama leo kazaliwa

  • @PhinidyShaban
    @PhinidyShaban 3 หลายเดือนก่อน

    Tunaitaji vijana saizi siyo simba hile wakifika dk 70 wamechoka

  • @EliasCosmas-qp6gn
    @EliasCosmas-qp6gn 3 หลายเดือนก่อน

    Asante Sana GB64 Kwa hamsa yako wazee hatuwataki tena tunataka vijana wanao kimbia 😂😂😂❤❤❤Simba mwaaaah 🤪

  • @JumaJumanne-b6b
    @JumaJumanne-b6b 3 หลายเดือนก่อน

    Da kaka gb64 kwann tuskujengee sanam kaka nakula mpaka nakuombe uishi miaka ming

  • @monicachacha455
    @monicachacha455 3 หลายเดือนก่อน +1

    mungu ibaliki simba

  • @BejaoneAtupele
    @BejaoneAtupele 3 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂

  • @OmariSaidi-r1k
    @OmariSaidi-r1k 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hii imeendaaa

  • @abdullramadhanii626
    @abdullramadhanii626 3 หลายเดือนก่อน

    Umekula rushwa wrweee kuwekwa ndani kumefanya uponeee

  • @SirajiRashidi
    @SirajiRashidi 3 หลายเดือนก่อน

    Aliempa chama jina la mwamba wa rusaka sio baraka kapewa na enock bwigane

  • @muhamedjaffar5653
    @muhamedjaffar5653 3 หลายเดือนก่อน

    Gb 64nakubailisha ww sio 64.ww ni 512 gb

  • @WilsonMwambonek
    @WilsonMwambonek 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ahaa gb umebalikaa

  • @GerfansiBakari
    @GerfansiBakari 3 หลายเดือนก่อน

    chamade anataka ufaza bora aondoke

  • @CharlesMchina-hm6yj
    @CharlesMchina-hm6yj 3 หลายเดือนก่อน

    I've hzi xajili zitakuwa na tija

  • @EdwinSimba-j9x
    @EdwinSimba-j9x 3 หลายเดือนก่อน

    Gb 64 unaupiga mwingi uko sahihi

  • @JacobMwamabhise
    @JacobMwamabhise 2 หลายเดือนก่อน

    Simba nguvu moja

  • @DeusiMorisi
    @DeusiMorisi 3 หลายเดือนก่อน

    Madampo yanakata keki

  • @spencersambo469
    @spencersambo469 3 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤🎉 simba yetu

  • @SalumAuka
    @SalumAuka 3 หลายเดือนก่อน

    Yanga bingwa tena

  • @KennedyGiti
    @KennedyGiti 3 หลายเดือนก่อน

    good brother

  • @allykagawa
    @allykagawa 3 หลายเดือนก่อน

    👏👏GB64