GIGY MONEY AFUNGUKA MAZITO/ AMKUMBUKA MAREHEMU RUGE -"A - Z CHANZO cha UGOMVI WAKE na DIVA.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2022
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 144

  • @tbwayjunior8947
    @tbwayjunior8947 ปีที่แล้ว +14

    Gigymomey kwakweli yuko real sanaa 4sure!

  • @samsonhaule3647
    @samsonhaule3647 ปีที่แล้ว +27

    Kama Unakubali tuna mjua Akili yake Gigy money gonga like hapa ili twende Sawa.

    • @marymolel800
      @marymolel800 ปีที่แล้ว

      Chawa nimemwelewa sana bg up sana gigy always uko real

  • @bekatv1009
    @bekatv1009 ปีที่แล้ว +11

    Giggy kama ambae anataka kupigana na sauti...i do stand with giggy coz diva ni mnafiki sana

  • @reenyaysher7639
    @reenyaysher7639 ปีที่แล้ว +13

    Gigy ukipaka make up unakomaa, sura linakuwa bayaaa usipake make up bwana

  • @sakinaomary7207
    @sakinaomary7207 ปีที่แล้ว +4

    diva ni mkorofi sana

  • @zakhiamsuya4922
    @zakhiamsuya4922 ปีที่แล้ว +4

    Huyo diva kweli n mchonganishiiiiiiii

  • @chibandamwende3676
    @chibandamwende3676 ปีที่แล้ว +13

    Sisi Wakenya hatujui kesi ni nini lakini we stand na Gigi,Bibi ya Mganga hapana tambua 🇰🇪🇩🇪🎤

    • @sabihasalim942
      @sabihasalim942 ปีที่แล้ว +1

      Jiongele Mwenyewe sio wakenya wote.

    • @chibandamwende3676
      @chibandamwende3676 ปีที่แล้ว +2

      @@sabihasalim942 sasa wewe!us we joking toa Makasiriko hapa!

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr ปีที่แล้ว +2

      @@chibandamwende3676 hahahahaha

  • @paschalmushilu1485
    @paschalmushilu1485 ปีที่แล้ว

    Where are you mo-J 😂😂 gigy bhana ,she is fighting with voice 😂😂

  • @JUSTWANGUI
    @JUSTWANGUI ปีที่แล้ว +18

    Gigy is a big child ,always shouting and picking fights ,no control of emotions at all ,it paints a very bad image of her,( let her learn not every action requires a reaction) Bure we could or be enemies juu lazima mtu akwanzike in one way or another but how u handle that shows ur character

    • @flackomasterbaddest4155
      @flackomasterbaddest4155 ปีที่แล้ว +1

      Msenge ww unajikuta mjuaji enh?

    • @flackomasterbaddest4155
      @flackomasterbaddest4155 ปีที่แล้ว

      Manina zako

    • @flackomasterbaddest4155
      @flackomasterbaddest4155 ปีที่แล้ว

      Ww unajua anayopitia uyo dada? Unamjua diva ww?

    • @JUSTWANGUI
      @JUSTWANGUI ปีที่แล้ว

      Am no responsible for ur frustration u are like gigy very vulgar and uncouth I won't engage with u ,grow u

    • @lifeofyuri4020
      @lifeofyuri4020 ปีที่แล้ว

      Have you ever heard of term "white lotus"? Bora Giggy anakuchana hadharani kuliko yule anaekuua huku akitabasamu na maneno mazuri

  • @sistersade9039
    @sistersade9039 ปีที่แล้ว +15

    Wasafi, yaani haifai kuruhusu interview kama hii iendelee hewani. This is so unprofessional.

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr ปีที่แล้ว

      Mbona kawaida

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 ปีที่แล้ว +10

    Kwa upuuzi uhuu mtakua mnafungwa Kila mwaka.mnatakiwa kua na mahadili ya habari

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 ปีที่แล้ว +9

    Mambo kama haya huwezi kuyakuta TBC wala AZAM wala ITV sasa hapo mtu akitoa matusi mtayafutaje?

    • @salimabakari8617
      @salimabakari8617 ปีที่แล้ว

      Kabisa na izi stesheni nyingine ni shida tupu,na ndio mana hata viongozi wa serikalini wanatoka,AZAM,T.B.C na I.T.V, izi ni stesheni za vijiwe vya umbea TU.

    • @dullahtechtz3422
      @dullahtechtz3422 ปีที่แล้ว

      Hii tv ni ya uchonganishi

  • @esthermande8976
    @esthermande8976 ปีที่แล้ว +4

    Mh gigy kwa kweli

  • @esthermande8976
    @esthermande8976 ปีที่แล้ว +2

    Masha nar

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 ปีที่แล้ว +13

    Hili kweli chizi, Sasa unagombana na Sauti kwenye simu..?...boya hili demu..!

    • @auntmakochela4202
      @auntmakochela4202 ปีที่แล้ว +1

      🤣🤣🤣🤣 anataka apigane na saut

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr ปีที่แล้ว +1

      Hasira

  • @TradersEasyWay
    @TradersEasyWay ปีที่แล้ว +16

    Gigy utoto mwingi bado hajakua maana kucontrol emotion zake tu mtihani😂

    • @juniorsmart2546
      @juniorsmart2546 ปีที่แล้ว

      Mtoto anaenda leba?Ujinga2 ndo unaomsumbua na kuto kujitambua kuwa ye ni nani?.Ila usiniqmbie at utoto.

  • @dullahtechtz3422
    @dullahtechtz3422 ปีที่แล้ว +1

    Mtafungiwa kwa uzembe wenu wa kutaka kushindana na radio nyengine kwa kufanya upuuzi

  • @veronicapeterluvingo458
    @veronicapeterluvingo458 ปีที่แล้ว +2

    Hapa ndipo tanzania tuone na kusikia hii kauli ya gigy money aliosema yeye amuingizie mshara lakini yeye anae muingizia mshahara baadae anapelekwa police diamond na uwongozi wa WCB HUYU DIVA AONDOLEWE WASAFI KWANZA HANA AKIFANYACHO ZAIDI YA KUZIVUNJA NDO ZA WATU NA KUTENGEZA UHASAMA KWENYE MAHUSIANO MENGI

  • @abdulab6202
    @abdulab6202 ปีที่แล้ว +9

    Huyu gigy si mtu wa maelewano anapenda kuongea hovyo hajielewi kuna siku alimpoga mtuzima ni mkuu wa kijiji walimpiga walimtukana sana hayo mama kweli mwanamke mzuri hawezi kujituliza akatunza maisha yake ali mtukana mama yake kwa sababu ya mtoto wake jamani huyo anahitaji kueleshwa maisha ya ustaarabu sio kubwata bwata

  • @christinaonditi9341
    @christinaonditi9341 ปีที่แล้ว +3

    Mnamuharibia diamond Simba chibu dangote media yake jamani,kumbukeni mshawahi kumuharibia

  • @reynaaalrawahi4137
    @reynaaalrawahi4137 ปีที่แล้ว +4

    Kweli davi davi kipindi cha umbea. Siku hizi 😂

  • @estherkimario7940
    @estherkimario7940 ปีที่แล้ว +7

    Huyo chawa anapepea nn hyo ni bangi haipepew🤣🤣🤣

  • @officialmarco182
    @officialmarco182 ปีที่แล้ว +7

    Kelele ya kwanza kwa chawa Masha 😃😃😃,chawa anafanya kazi yake kwa ufasaha!!

  • @jacquelineadrian6436
    @jacquelineadrian6436 ปีที่แล้ว +1

    Nyie diva ni mnafki jaman mfatilien mtagundua hilo......huyu nae uropokaji umezid hatakama anahaki inaweza isionekane😌

  • @hidayashabani5897
    @hidayashabani5897 ปีที่แล้ว +2

    Atoke wasafi aende ICU jamn😀😀😀😀

  • @beatricejohn1659
    @beatricejohn1659 ปีที่แล้ว +4

    Kama walishakula tango moja si rahisi tofauti zao kuisha kirahisi😀😀

  • @dickperfect9647
    @dickperfect9647 ปีที่แล้ว

    Mhhh noma

  • @nellymtambo8432
    @nellymtambo8432 ปีที่แล้ว +1

    Gigy kashakua Star mkubwa alafu anapoelekea atapotea kwenye game watu watamkimbia Gigy or Mama Mayra acha tabia za manzese ushakua Star kila siku kutukana watu mtandaoni c vizur you have to change Gigy

  • @lulually5209
    @lulually5209 ปีที่แล้ว +3

    Kipindi hichi Cha dida na kile Cha diva vifungiwe havina maadili ni vya kishenzi

  • @janethsamwel1494
    @janethsamwel1494 ปีที่แล้ว +2

    Mke wa mganga kuanzia leo acha na watoto unaona unavo zalilishwa na hao watoto

  • @estherkimario7940
    @estherkimario7940 ปีที่แล้ว +2

    Gigy bangi zishamuathiri aibuu hii jaman vipind Kama hivi vyann hii redio isipojifunza itafungiwa maaadili ziro

  • @adijaniyonkuru9731
    @adijaniyonkuru9731 ปีที่แล้ว +7

    Gigi anamatatizo ni kichaa mlopokagi mtoeni inje

  • @marysaituni4584
    @marysaituni4584 ปีที่แล้ว +4

    Kama wewe ni mtu mzima hakuna Cha kusikiliza hapa.. 🇰🇪

    • @ilovejesus666
      @ilovejesus666 ปีที่แล้ว +2

      Asa we umefata nini hapa au unaleta ushoga wa Kenya apa

  • @njiokafaith6305
    @njiokafaith6305 ปีที่แล้ว +2

    Huyu mwanamke haezi fanya inta kama mtu mzima kila siku anatolea watu mauchungu zake coz alihalibu life yake....ningekuwa na yangu station.. huyu angekuwa anaionea viu sasa... Nkt chenzi yy...

  • @mariamtambwe8665
    @mariamtambwe8665 ปีที่แล้ว

    Giggy is like black American. 😅😂😂😂😂

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 ปีที่แล้ว +1

    Diva achakupeleka wenzio police sijambo zuri kabisa.

  • @aminamgaya7511
    @aminamgaya7511 ปีที่แล้ว +3

    Mashaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣

  • @siamollel6051
    @siamollel6051 ปีที่แล้ว +3

    Acha matisho Wewe Kuna Sheria

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 ปีที่แล้ว +2

    Diva mgombanishi mnoooooooooo

  • @agnesshonga7570
    @agnesshonga7570 ปีที่แล้ว +8

    Ila niffer kichwa sana aiseee jana aliongea vizuri na Diva kwenye kipindi nilimuelewa

  • @rukkynassor2279
    @rukkynassor2279 ปีที่แล้ว +1

    Kuaibishana tu watoto wa kike.wajuwa km washiba ndio hivo lakini km wangekuwa na njaa sidhani km wangekuwa hapo

  • @jumamganda2819
    @jumamganda2819 ปีที่แล้ว

    Kiukweli huaga namuona Gigy kama mtovu adabu, kisunzi mno, ila kwa attitude ya diva wallahi ww Diva ni mbaya sana na ww sio mwanadamu kabisa!! Sencerely ww kujua kizungu unawadarau mno watanzania wenzako! Kuna siku Diamond alikutukana mno clouds mbona hukumtafutia mwanasheria wako, leo amekuwa boss wako!!

  • @wardamunguakuzidishew9399
    @wardamunguakuzidishew9399 ปีที่แล้ว +2

    Ww diva unajielewa utaki kumuongelea alafu unawaita Malaya na unatupia maneno ww mtu mzima ovyo

  • @KasminaCreation
    @KasminaCreation ปีที่แล้ว +3

    Kile ni kipindi cha Diva ni cha Mapenzi kweli?

  • @mspwjjjso6261
    @mspwjjjso6261 ปีที่แล้ว

    Gigi wasikufitie na maisha Yako ,mwwnyewe yake yanamshind

  • @mammam4701
    @mammam4701 ปีที่แล้ว +1

    Ila did a mbaya sana,

  • @reenyaysher7639
    @reenyaysher7639 ปีที่แล้ว +2

    Uyu gigy bangi tu

  • @michaelmymy1307
    @michaelmymy1307 ปีที่แล้ว +1

    Gigy anapenda ukweri I like u girl

  • @doubleu951
    @doubleu951 ปีที่แล้ว +1

    I love me some gigy she z too real nyie🥂🥂🥂🥂🥂

  • @sportsextra4795
    @sportsextra4795 ปีที่แล้ว

    hahahahaha chawa kama masha ni poa sanaaaa b levo fanya hvyo kwa mondiiii

  • @zaituniabdallah1948
    @zaituniabdallah1948 ปีที่แล้ว +2

    Sema kama wanachochea bifu jomon

  • @mmary70
    @mmary70 ปีที่แล้ว

    Akili ya Gigy tunaijua, but with Diva I stand for Gigy. Huwezi peleka mtu police, interview zako at one point or the other na watu anajua wana tu issue, they are young it’s there right kukwaruzana kidogo. Diva kigangula needs to keep off these young girls. Let them handle themselves. In “Gigy’s voice”kipindi chake cha mapenzi mbona story za waja .

  • @azarajsalum2117
    @azarajsalum2117 ปีที่แล้ว +2

    😂😂😂 nataka chawa km masha

  • @azarajsalum2117
    @azarajsalum2117 ปีที่แล้ว +1

    Ila tusiaseme tu gigy anashindwa kuji control ila diva hua anakosea kwenye kipind chake haongelei tena mapenz ila anakua anashindanisha watu nakuongelea watu sana

  • @jumamkongowe2272
    @jumamkongowe2272 ปีที่แล้ว +1

    Wanawake ni wanawaketu

  • @farajaphilipo8844
    @farajaphilipo8844 ปีที่แล้ว

    Jaman mashalove mbona kama maziwa yanatka kudondoka cyo kwa nyonyo hiyo

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 ปีที่แล้ว +1

    Its time wassfi muache kuingiza takataka humo ndani mnajishusha hadhi

    • @clementiddi5708
      @clementiddi5708 ปีที่แล้ว

      Na wawe na watangazaji wenye credibility siyo kutumia Mic kijinga

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 ปีที่แล้ว +1

    Hivi kile kipindi cha lavi davi ni cha mapenzi au umbea na ugombanishaji tu

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia5674 ปีที่แล้ว

    Mmmmh!!

  • @Thebaddest255
    @Thebaddest255 ปีที่แล้ว

    Kingereza cha gigy 😭😂😂 embu nicheke

  • @irenekweka7905
    @irenekweka7905 ปีที่แล้ว

    Nyie Masha🤣🤣

  • @bintimwakumanya6127
    @bintimwakumanya6127 ปีที่แล้ว +1

    Gigy hana subra

  • @solangebagal3496
    @solangebagal3496 ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂😂yani naishiwa,poleni wapatanishaji

  • @ucjvvjcjjvih9934
    @ucjvvjcjjvih9934 ปีที่แล้ว

    Am 🇹🇿 interveiw nzur Idrisa kitaa et umeyatafuta mnayatafuta tena😅😅😅😅😅gigi anachangamsha lakin wapatanisheni yaishe wateme nyong'o ibilis apite enough madada

  • @kaburaakbar4838
    @kaburaakbar4838 ปีที่แล้ว

    Masha ni bodigard wa gigy ao?

  • @latifahyusuph1071
    @latifahyusuph1071 ปีที่แล้ว

    Interview ina saut kali yaan huyo dida anatangaza anapiga kelele masha na yeye anapayuka yaan mpk kichwa kinakuuma. 🙌🏾 hawa sjui wamesomea wapi Journalism hawajui kabisa ku monitor saut zao kwenye mike

  • @naimamkude4997
    @naimamkude4997 ปีที่แล้ว

    Gigy yuko real ila hawa wanafiki unaweza ukawauwa

  • @julianamushi3392
    @julianamushi3392 ปีที่แล้ว +1

    Ila vpindi vingi vya wasafi ni vya uchonganishi na umbea

  • @oyay2821
    @oyay2821 ปีที่แล้ว

    Ngumi ziruke

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr ปีที่แล้ว

    Watu wanapenda kujichokonoa mapua

  • @wardamunguakuzidishew9399
    @wardamunguakuzidishew9399 ปีที่แล้ว +1

    Diva binti na gigi nae atakuwa nae

  • @shakila3982
    @shakila3982 ปีที่แล้ว +2

    Kwanini vituo vya radio na tv vya Tanzania kazi ni kuongelelea watu masengenyo? Inamaana watangazaji wa Tanzania wanafanya kazi wasiyoijua, kazi ya journalist ni kutangaza, kipindi cha kuburudisha, na mpaka awe amesomea hile kazi ya utangazaji, lakini Tanzania ni masengenyo kwa studio kwasababu wanachukua vitu kwa street, imagine wasafi mzima hakuna journalist mwenye ana chet cha ujournalist na ndio mana hawajui kazi yao ni nini, si mkuje Kenya mujionee kazi ya tvs stations na radio station nini,

    • @juniorshekaoneka9662
      @juniorshekaoneka9662 ปีที่แล้ว

      Hamna professionalism wanapeana kazi Kwa kujuana na nani anajua kuongea au amemsadia vip. Pia kukosa contents

  • @reenyaysher7639
    @reenyaysher7639 ปีที่แล้ว +3

    Chawa anapepea hapo, ila gigy ni bangi uyu dada ajiangalie sana

  • @agnesspetro6695
    @agnesspetro6695 ปีที่แล้ว +3

    Gigi hana akili, bado anamihemko ya kitoto

  • @fathiyaomar9009
    @fathiyaomar9009 ปีที่แล้ว

    Mbona kina masha wanaonekana kama wanaogopa hahahaaa

  • @user-nr4iq2sq7f
    @user-nr4iq2sq7f 19 วันที่ผ่านมา

    Kingerezaaaa 😂😂😂😂😂😂

  • @zurrychannel235
    @zurrychannel235 ปีที่แล้ว

    Uyu huwa anashida mno

  • @shadyaloaf8694
    @shadyaloaf8694 ปีที่แล้ว

    Mnyonge mnyongeni ht km ana hasira anaongea cn ila km kakosewa na yy ni mtu wa hasira ndo maana huwa hivyo ila watu km giy huwa ni watu wenye roho nzuri cn na huyo nimuongea ukweli ndomaana na hiyo hasira ndo alivyo mtu km huyo ukimjua hakupi shida utaenda nae sawa na yy kakosewa giy ndomaana akawa hvyo na hasira

  • @godfreylutengano9367
    @godfreylutengano9367 ปีที่แล้ว

    Nashindwa kuelewa kwanin wanaendelea kumtumia Gig,tabia mbaya,kiropo ropo

  • @aukarhassan2197
    @aukarhassan2197 ปีที่แล้ว

    Program nzima niiya kudhalilishana mbona media za nchi zengine hawana Program l hizi za kitoto

  • @boke9196
    @boke9196 ปีที่แล้ว

    Gigy anavuta bangi aiseee

  • @andiqueantonio3377
    @andiqueantonio3377 ปีที่แล้ว

    Huyu Malaya Yan jitu haribadiliki tu, diva yuko perfect sana hata uongeaji wake tu

    • @barikiwa22
      @barikiwa22 ปีที่แล้ว

      Sasa umalaya wake ni upi?? Au unafikiri kila mtu yuko kama ukoo wenu?

  • @christinaonditi9341
    @christinaonditi9341 ปีที่แล้ว

    Na msiwakutanishe hao watu wawili plz hakuna salama hapo

  • @fhgggffhg7721
    @fhgggffhg7721 ปีที่แล้ว

    Dg

  • @darryllowd3996
    @darryllowd3996 ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂dida yuko busy anacheza na feda😂😂😂😂😂😂😂muda wowote kinaweza kuwaka💔

  • @salmashaibu6074
    @salmashaibu6074 ปีที่แล้ว

    Diva kwel anazingua saiv kpnd chake kimekua cha umbea umbea anakeraa

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 ปีที่แล้ว

    Natamani mumtoe diva mumuweke MoJ pale tobaaaaaaa

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 ปีที่แล้ว +3

    Diva she's a winner 🏆 gigy tulia ww mtoto wa mitaan una maelezo sana

  • @lifeofyuri4020
    @lifeofyuri4020 ปีที่แล้ว

    Diva ni big Bully , always ana try to justify her self ata kwenye interviews zake utasikia "kama Mimi " hizo terms zinakuaga nyingi mno as if she is trying to prove a point watu wamjue Kwa namna anayotaka ajulikane.
    In Chinese term tumwite white lotus , ni mtu anaejipaint as righteous and always the victim
    Na Giggy ana lose Kwa Diva cuz hajui kufake , anapanik kirahisi ndio mana anaonekana mgomvi yeye

  • @shkjumaa8339
    @shkjumaa8339 ปีที่แล้ว

    matako kwa matako wanajua

  • @ilovejesus666
    @ilovejesus666 ปีที่แล้ว +1

    🤣🤣🤣🤣

  • @yasmeenaal4191
    @yasmeenaal4191 ปีที่แล้ว

    Gigi upo kama mimi huogopi dudu wala mende

  • @khadijakhadijambaruok8222
    @khadijakhadijambaruok8222 ปีที่แล้ว

    Mimi napita

  • @kiri5807
    @kiri5807 ปีที่แล้ว +1

    Mbona GIGY uso manjano km FIONA wa shrek ?

  • @zaitunimhina2715
    @zaitunimhina2715 ปีที่แล้ว

    Khaaa

  • @priscaphedrick5970
    @priscaphedrick5970 ปีที่แล้ว

    Ukitaka kuchukiwa penda kuwa mkweli

  • @fatmabhai2812
    @fatmabhai2812 ปีที่แล้ว

    Uandawazimu + uchizi÷ ujinga × upuuzi =(upumbavu.)✓%

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 ปีที่แล้ว

    Muwe mnatafuta watu wakuhoji kweny vipindi mxieeeeeeeew

  • @calvinchaula5941
    @calvinchaula5941 ปีที่แล้ว

    Ttzo gigy qnadakia Yan hawaelewan m spendi kiukweli

  • @zainabseleman306
    @zainabseleman306 ปีที่แล้ว

    Gigi tatizo ni bangi na stress