GIGY MONEY AFUNGUKA MAZITO/ AMKUMBUKA MAREHEMU RUGE -"A - Z CHANZO cha UGOMVI WAKE na DIVA.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2022
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - บันเทิง
Gigymomey kwakweli yuko real sanaa 4sure!
Kama Unakubali tuna mjua Akili yake Gigy money gonga like hapa ili twende Sawa.
Chawa nimemwelewa sana bg up sana gigy always uko real
Giggy kama ambae anataka kupigana na sauti...i do stand with giggy coz diva ni mnafiki sana
Gigy ukipaka make up unakomaa, sura linakuwa bayaaa usipake make up bwana
diva ni mkorofi sana
Huyo diva kweli n mchonganishiiiiiiii
Sisi Wakenya hatujui kesi ni nini lakini we stand na Gigi,Bibi ya Mganga hapana tambua 🇰🇪🇩🇪🎤
Jiongele Mwenyewe sio wakenya wote.
@@sabihasalim942 sasa wewe!us we joking toa Makasiriko hapa!
@@chibandamwende3676 hahahahaha
Where are you mo-J 😂😂 gigy bhana ,she is fighting with voice 😂😂
Gigy is a big child ,always shouting and picking fights ,no control of emotions at all ,it paints a very bad image of her,( let her learn not every action requires a reaction) Bure we could or be enemies juu lazima mtu akwanzike in one way or another but how u handle that shows ur character
Msenge ww unajikuta mjuaji enh?
Manina zako
Ww unajua anayopitia uyo dada? Unamjua diva ww?
Am no responsible for ur frustration u are like gigy very vulgar and uncouth I won't engage with u ,grow u
Have you ever heard of term "white lotus"? Bora Giggy anakuchana hadharani kuliko yule anaekuua huku akitabasamu na maneno mazuri
Wasafi, yaani haifai kuruhusu interview kama hii iendelee hewani. This is so unprofessional.
Mbona kawaida
Kwa upuuzi uhuu mtakua mnafungwa Kila mwaka.mnatakiwa kua na mahadili ya habari
Hawajielew hawa
Mambo kama haya huwezi kuyakuta TBC wala AZAM wala ITV sasa hapo mtu akitoa matusi mtayafutaje?
Kabisa na izi stesheni nyingine ni shida tupu,na ndio mana hata viongozi wa serikalini wanatoka,AZAM,T.B.C na I.T.V, izi ni stesheni za vijiwe vya umbea TU.
Hii tv ni ya uchonganishi
Mh gigy kwa kweli
Masha nar
Hili kweli chizi, Sasa unagombana na Sauti kwenye simu..?...boya hili demu..!
🤣🤣🤣🤣 anataka apigane na saut
Hasira
Gigy utoto mwingi bado hajakua maana kucontrol emotion zake tu mtihani😂
Mtoto anaenda leba?Ujinga2 ndo unaomsumbua na kuto kujitambua kuwa ye ni nani?.Ila usiniqmbie at utoto.
Mtafungiwa kwa uzembe wenu wa kutaka kushindana na radio nyengine kwa kufanya upuuzi
Hapa ndipo tanzania tuone na kusikia hii kauli ya gigy money aliosema yeye amuingizie mshara lakini yeye anae muingizia mshahara baadae anapelekwa police diamond na uwongozi wa WCB HUYU DIVA AONDOLEWE WASAFI KWANZA HANA AKIFANYACHO ZAIDI YA KUZIVUNJA NDO ZA WATU NA KUTENGEZA UHASAMA KWENYE MAHUSIANO MENGI
Huyu gigy si mtu wa maelewano anapenda kuongea hovyo hajielewi kuna siku alimpoga mtuzima ni mkuu wa kijiji walimpiga walimtukana sana hayo mama kweli mwanamke mzuri hawezi kujituliza akatunza maisha yake ali mtukana mama yake kwa sababu ya mtoto wake jamani huyo anahitaji kueleshwa maisha ya ustaarabu sio kubwata bwata
We kuma kibuyu
Mnamuharibia diamond Simba chibu dangote media yake jamani,kumbukeni mshawahi kumuharibia
Kweli davi davi kipindi cha umbea. Siku hizi 😂
Huyo chawa anapepea nn hyo ni bangi haipepew🤣🤣🤣
Kelele ya kwanza kwa chawa Masha 😃😃😃,chawa anafanya kazi yake kwa ufasaha!!
😀😀😀😀😀
Hhhhhh
Nyie diva ni mnafki jaman mfatilien mtagundua hilo......huyu nae uropokaji umezid hatakama anahaki inaweza isionekane😌
Atoke wasafi aende ICU jamn😀😀😀😀
Kama walishakula tango moja si rahisi tofauti zao kuisha kirahisi😀😀
haahaahaahaa
Mhhh noma
Gigy kashakua Star mkubwa alafu anapoelekea atapotea kwenye game watu watamkimbia Gigy or Mama Mayra acha tabia za manzese ushakua Star kila siku kutukana watu mtandaoni c vizur you have to change Gigy
Kipindi hichi Cha dida na kile Cha diva vifungiwe havina maadili ni vya kishenzi
Yes
Mke wa mganga kuanzia leo acha na watoto unaona unavo zalilishwa na hao watoto
Gigy bangi zishamuathiri aibuu hii jaman vipind Kama hivi vyann hii redio isipojifunza itafungiwa maaadili ziro
Gigi anamatatizo ni kichaa mlopokagi mtoeni inje
Kama wewe ni mtu mzima hakuna Cha kusikiliza hapa.. 🇰🇪
Asa we umefata nini hapa au unaleta ushoga wa Kenya apa
Huyu mwanamke haezi fanya inta kama mtu mzima kila siku anatolea watu mauchungu zake coz alihalibu life yake....ningekuwa na yangu station.. huyu angekuwa anaionea viu sasa... Nkt chenzi yy...
Giggy is like black American. 😅😂😂😂😂
Diva achakupeleka wenzio police sijambo zuri kabisa.
Mashaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣
Acha matisho Wewe Kuna Sheria
Diva mgombanishi mnoooooooooo
Ila niffer kichwa sana aiseee jana aliongea vizuri na Diva kwenye kipindi nilimuelewa
Kuaibishana tu watoto wa kike.wajuwa km washiba ndio hivo lakini km wangekuwa na njaa sidhani km wangekuwa hapo
Kiukweli huaga namuona Gigy kama mtovu adabu, kisunzi mno, ila kwa attitude ya diva wallahi ww Diva ni mbaya sana na ww sio mwanadamu kabisa!! Sencerely ww kujua kizungu unawadarau mno watanzania wenzako! Kuna siku Diamond alikutukana mno clouds mbona hukumtafutia mwanasheria wako, leo amekuwa boss wako!!
Ww diva unajielewa utaki kumuongelea alafu unawaita Malaya na unatupia maneno ww mtu mzima ovyo
Kile ni kipindi cha Diva ni cha Mapenzi kweli?
Gigi wasikufitie na maisha Yako ,mwwnyewe yake yanamshind
Ila did a mbaya sana,
Uyu gigy bangi tu
Gigy anapenda ukweri I like u girl
I love me some gigy she z too real nyie🥂🥂🥂🥂🥂
hahahahaha chawa kama masha ni poa sanaaaa b levo fanya hvyo kwa mondiiii
Sema kama wanachochea bifu jomon
Akili ya Gigy tunaijua, but with Diva I stand for Gigy. Huwezi peleka mtu police, interview zako at one point or the other na watu anajua wana tu issue, they are young it’s there right kukwaruzana kidogo. Diva kigangula needs to keep off these young girls. Let them handle themselves. In “Gigy’s voice”kipindi chake cha mapenzi mbona story za waja .
😂😂😂 nataka chawa km masha
Ila tusiaseme tu gigy anashindwa kuji control ila diva hua anakosea kwenye kipind chake haongelei tena mapenz ila anakua anashindanisha watu nakuongelea watu sana
Wanawake ni wanawaketu
Jaman mashalove mbona kama maziwa yanatka kudondoka cyo kwa nyonyo hiyo
Its time wassfi muache kuingiza takataka humo ndani mnajishusha hadhi
Na wawe na watangazaji wenye credibility siyo kutumia Mic kijinga
Hivi kile kipindi cha lavi davi ni cha mapenzi au umbea na ugombanishaji tu
Mmmmh!!
Kingereza cha gigy 😭😂😂 embu nicheke
Nyie Masha🤣🤣
Gigy hana subra
😂😂😂😂😂yani naishiwa,poleni wapatanishaji
Am 🇹🇿 interveiw nzur Idrisa kitaa et umeyatafuta mnayatafuta tena😅😅😅😅😅gigi anachangamsha lakin wapatanisheni yaishe wateme nyong'o ibilis apite enough madada
Masha ni bodigard wa gigy ao?
Interview ina saut kali yaan huyo dida anatangaza anapiga kelele masha na yeye anapayuka yaan mpk kichwa kinakuuma. 🙌🏾 hawa sjui wamesomea wapi Journalism hawajui kabisa ku monitor saut zao kwenye mike
Gigy yuko real ila hawa wanafiki unaweza ukawauwa
Ila vpindi vingi vya wasafi ni vya uchonganishi na umbea
Ngumi ziruke
Watu wanapenda kujichokonoa mapua
Diva binti na gigi nae atakuwa nae
Kwanini vituo vya radio na tv vya Tanzania kazi ni kuongelelea watu masengenyo? Inamaana watangazaji wa Tanzania wanafanya kazi wasiyoijua, kazi ya journalist ni kutangaza, kipindi cha kuburudisha, na mpaka awe amesomea hile kazi ya utangazaji, lakini Tanzania ni masengenyo kwa studio kwasababu wanachukua vitu kwa street, imagine wasafi mzima hakuna journalist mwenye ana chet cha ujournalist na ndio mana hawajui kazi yao ni nini, si mkuje Kenya mujionee kazi ya tvs stations na radio station nini,
Hamna professionalism wanapeana kazi Kwa kujuana na nani anajua kuongea au amemsadia vip. Pia kukosa contents
Chawa anapepea hapo, ila gigy ni bangi uyu dada ajiangalie sana
Gigi hana akili, bado anamihemko ya kitoto
Mbona kina masha wanaonekana kama wanaogopa hahahaaa
Kingerezaaaa 😂😂😂😂😂😂
Uyu huwa anashida mno
Mnyonge mnyongeni ht km ana hasira anaongea cn ila km kakosewa na yy ni mtu wa hasira ndo maana huwa hivyo ila watu km giy huwa ni watu wenye roho nzuri cn na huyo nimuongea ukweli ndomaana na hiyo hasira ndo alivyo mtu km huyo ukimjua hakupi shida utaenda nae sawa na yy kakosewa giy ndomaana akawa hvyo na hasira
Nashindwa kuelewa kwanin wanaendelea kumtumia Gig,tabia mbaya,kiropo ropo
Program nzima niiya kudhalilishana mbona media za nchi zengine hawana Program l hizi za kitoto
Gigy anavuta bangi aiseee
Huyu Malaya Yan jitu haribadiliki tu, diva yuko perfect sana hata uongeaji wake tu
Sasa umalaya wake ni upi?? Au unafikiri kila mtu yuko kama ukoo wenu?
Na msiwakutanishe hao watu wawili plz hakuna salama hapo
Dg
😂😂😂dida yuko busy anacheza na feda😂😂😂😂😂😂😂muda wowote kinaweza kuwaka💔
Diva kwel anazingua saiv kpnd chake kimekua cha umbea umbea anakeraa
Natamani mumtoe diva mumuweke MoJ pale tobaaaaaaa
Diva she's a winner 🏆 gigy tulia ww mtoto wa mitaan una maelezo sana
Diva ni big Bully , always ana try to justify her self ata kwenye interviews zake utasikia "kama Mimi " hizo terms zinakuaga nyingi mno as if she is trying to prove a point watu wamjue Kwa namna anayotaka ajulikane.
In Chinese term tumwite white lotus , ni mtu anaejipaint as righteous and always the victim
Na Giggy ana lose Kwa Diva cuz hajui kufake , anapanik kirahisi ndio mana anaonekana mgomvi yeye
matako kwa matako wanajua
🤣🤣🤣🤣
Gigi upo kama mimi huogopi dudu wala mende
Mimi napita
Mbona GIGY uso manjano km FIONA wa shrek ?
Khaaa
Ukitaka kuchukiwa penda kuwa mkweli
Uandawazimu + uchizi÷ ujinga × upuuzi =(upumbavu.)✓%
Muwe mnatafuta watu wakuhoji kweny vipindi mxieeeeeeeew
Ttzo gigy qnadakia Yan hawaelewan m spendi kiukweli
Gigi tatizo ni bangi na stress