MAGOMA AONYWA MIAKA 7 GEREZANI INAMNYEMELEA "APIMWE AKILI ZITAKUWA ZIMERUKA MASHABIKI TUMSAMEHE TU"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ก.ย. 2024
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
TH-cam : www.youtube.co...
Tiktok. www.tiktok.com...
No way!😮 Huyu mzee kwann hayupo bungeni? Level ya waziri Fulani hivi! Dah! High capacity 🧠
Kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
This Gentleman is talking sense, mahakama za Bongo zinaendeshwa kwa rushwa.
Duh kusaga angalia usije ukawakimbia wadudu huku chuga tunakutegemea💪💪
Aliye enda na hati za saini sio Magoma ila yule aliyeenda kuwakikisha Yanga ndio ametoa hati hizo za saini
Kwa nn asaini wakati Wahusika walikuwepo?
Zingatoa fodgery documents ni kosa kisheria
Maamuzi na hatua alizochukua Magoma si sawa; pia hakimu aliyehukumu kwa haraka kiasi hicho, naye anatisha! Nchi hii Kuna kesi nyingi, na wahusika wanapata athari kubwa lakini Bado kesi zao hazifikii hukumu ya haraka kama ilivyopelekwa hii! Unaweza kufikiri na kuhisi hakimu yule huenda ana maskahi na jambo hili dhidi ya Clab ya Yanga.
Yupo sawa magoma huyu dingi mwingine ushabiki unamtesa
Point
Yaani mnao mtetee magoma eleweni vizuri ,mnamponza msaidieni Kwa ushauri atagungwa bure
Kweli wanamponza
Ww mzee upo vzr sana
Huyo hakimu aliyesikiliza kesi ya upande mmoja atakuwa ni dunduka tu
Hakimu atakua koio lazima 😂
sawa
mzee umeongea point sana
Wejukuu na watoto wa magoma wamemkana magoma watampiga makofi kama huna hela waombe pesa familia wakusaidie
Kweli mzee huyo hakimu wa kesi ni simba ndiomana wakatoa ushindi huyo mzee magoma choko
Huyo mzee magoma akapimwe akili ya nini ? Kipimo ni tayari kilishaonekana yeye kukaa kwenye nyumba ya udongo hadi umri huo mpaka inataka kumuangukia Mnataka kupima nini tenaa ?
Mbele ya mahakama Yanga ni sawa na dodoma jiji football club, hakuna timu kubwa wala ndogo mahakamani
Mzee uko vizur
Uyu mzee ktk hoja alizozitoa zote fact tena kwenye hoja ya yanga kufungua miradi mbali mbali apo mm namuumga mkono aise
Mzee amepaniki😂😂😂
Aah kumbe ukiwa utopolo ni lazima uwe ccm na ukiwa ccm ni lazima uwe uto😂
MAGOMA ANAHOJA ASIKILIZWE😂
Msikilize umpe mama ako amzalishe mdogo wako mwenye utaahira kama yeye
Kutumika kuna hasara zake hivi magoma unashindana na umaa au ujitambui
Kwel kabisa mwenyekiti anaongea ukweli kabisa magoma asituchanganye tuangalie mechi yetu kesho na mechi zingine
Washabiki wa magoma hamna akili mchukuweni mtu wenu mumpe cadi na ndoo mgeni rasmi simba day
No Simba no Yanga no Yanga no Simba kwa hiyo mashabiki bora wa Simba na Yangu endeleeni na utulivu na upendo mpira ni burudani.
Mzee,umemuelewa,maoma?
Unajificha kwenye amani
Mama wa taifa
Verication of documents
Chama cha mapinduzi
*******Kimeumana*******
Magoma hoyeeeee
ndugu yangu umeandika vizuri sana ila hueleweki unachotaka ni nn?
Huenda wewe ni wale vijana wa GZ wa kenya mnapenda vurugu sio Amani
Naomba ticket ya ndege nina kitambuisho cha Nida😂
Magoma tumpe dudu baya ampatie punch 3
We mzee kale Sato na sangara tuondolee kelele ..mzee magoma wanamuelewa wenye hekima zao nakuhusu kuweka ndani napimwa akili angalia usipimwe wewe mzee ...
Huyu mzee hana hoja wala hekima, ana ushabiki tu.
Kweli kabisa
Jenga hoja na wewe ili tujue na wewe akili unazo
Kaa utulie mzeee
Hawa ndo waliishusha toto yetu
Mzee,umepewa,sh,ngapi,unasema,Kama,Nani,unaingilia,Uhuru,wa,mahakama,,nenda,na,mahakaman,ukamshitaki,magomaa,acha,kupwata,tu
HUYO HAKIMU ALIYETOA HUKUMU NADHANI NI SIMBA KWASABABU HUWEZI KUSIKILIZA UPANDE MMOJA KISHA UNATOA HUKUMU NA BILA KUHOJI WEWE NIKAMA NANI? UNAYEISHITAKI YANGA
Mahakama imekosa uadilifu. Je ilijiridhishaje hati ya wito iliwafikia walalamikiwa je walikataa kusaini au ilikuwaje
TKUKURU ICHUNGUZE HILI SAKATA WALA RUSHWA WOTE WACHUNGUZWE WANACHAFUA MAHAKAMA
mzee punguza jazba ongelea kitu anacho kiitaji magoma na magoma sio adui wa mpir
Kwahili mahakama ilaumiwee. Mahakama imeshidwa kufanya kazi yake ki profesional
Huyu mzee ana kitu
Magoma tuisikia sauti yako unaamini giza ila zama hizo zimepitwa na wakati SAlama yako waombe viongozi wote wa Yanga msamaha umekua kituko
Mbona yanga mambo yenu mnapenda sana kuishirikisha serikali? Kwahiyo mnataka kututhibitishia kua hiyo timu yenu ni ya serikali. Na wewe Mzee kumbe ndio maana umekua mwenyekit wa mtaa yanga huko mbele mtamkumbuka magoma
Magoma atakumbukwa na family yake pamoja na madunduka wakati uo akinyea debe
kusaga TV na mtangazaji mnamkosea hugo mzee, yeye sio mshabiki ni mwanachama acheni kupotoshaji.
Revision of case ndani yake unakuta uwakilishi batili Hakimunaendesha kesi kumbe wahusika batili hii ni hatari
Huyu Hakim nae kilaza magoma kilaza, pumba
Yanga wote wakapimwe,wanasomewa bajeti.halafu wanaambia matumizi mengineyo ni tsh ___huwa ni yapi hayo matumizi kimahesabu.wanashangilia tu.magoma mjanja,na amepimwa akili na mahakama.
Uyu Mzee n mropokaji tu aeleweki
Huyo mzee ni mropokaji akikwambia acha viroba vya mchana utamlaumu kweli
WAZEE WENYE AKILI NDIO HAWA,NDIO MAANA WATU WANASTAAF WANAREJESHWA KAZINI,AKILI KAMA HII UNAIPOTEZAJE?
Uyu mzee mpumbav anataka kutrend toa hoja kama magoma. Magoma ana hoja za msingi .acha kupewa baasha na kutetea upuuzi.uyu mzee amepanik
Malezi mabovu sio kosa lako
Adabu hainunuliwi malezi na madawa ya kulevua ni tatizo
Mzee ana ongea pwent sana magoma umefeli tatizo ujasoma
La muhimu atumiwe kitu kidogo hapo Abu umenena.
Uyomwandi nimchonganishi
Huyu kapewa rushwa na yanga tuko pamoja na magoma mpaka kieleweke
Ndeleeni kumponza😅
Goli zilikuwa saba safari hii zitakuwa 9 endeleeni kudandia basi
Hakimu naye jibu kabisa Kuna jambo
Apewe maua yake huyu mzeee
inaoneka magoma kaenda kudai haki kwenye kundi la nyuki
Hivi wewe mwandishi umekosa maswali ya hoja? Kama una hoja au swali sahihi usiulize swali mnatupotezea muda.
Tatizo lenu hoja hamjibu.
Ujibiwe vipi tena, wkt kura imepigwa wengi wapi.
Sasa wewe mtu mmoja vipi utashindana na wengi?
@@mussammanga7791 kwa hiyo mnashindana na maamuzi sahihi ya Mahakama?
@@phchouseprintmwanza8123 Lini mshtakiwa alikwenda kwenye kesi?
Ushabiki wa kipuuzi huyu mzee hana lolote!
Wewe mwenye lolote mbona umevaa gauni
Wote,mkapimwe,akil,ni,Nina,mashaka,sana,na,wewe
We ndo akili huna huyo kashashinda iyo miaka unamfungaje nenda kapindue hukumu tuone unaongea chamaana hapa unatupigia kelele tu
Kama una adabu utanielewa tuache vilevi
Pole sana mtu upeo mdogo huoni mbali bora uendelee kuvaa gauni
Kumbe ni timu ya wazee sio ya wananchi😂😂😂
Unachekesha sana! Hiv kujua kiingereza ni usomi? Du bongo hatar sana
Umekosa yakusema ongea wewe kijaluo
Ushamba wa fikra
Pole malezi vilevile acha vilevi