INATISHA ARUSHA;BALOZI AFANYA SHAMBULIZI "ADAI HAOGOPI POLISI YEYOTE WALA RPC MANA NI CHAMA TAWALA"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ก.ย. 2024
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
TH-cam : www.youtube.co...
Tiktok. www.tiktok.com...
Pole sana mdogo wangu"utapona ukiuwa kwa upanga utauliwa kwa upanga
Duuhh Inauma sana pole sana
Hao washuhulikiwe kabsa Mungu Yuko upande wako
Ubinadamu umeisha watu wamekuwa makatili sana Mungu tusaidie
SIKU MOJA CCM ITAANGUKA KAMA MAMBO YANAENDELEA HIVI
Pole sana kaka
Mungu ni mwema, mke alikua kanisani, maombi yalisaidia la sivyo angechomwa 😢🙏
Daaaa kweli ni shidaaa. Felix amekutana na shida, inauma .
Pole sana
Diwani maashallah Allah akusimamie kwenye ngazi yako upo na utu au ubinadamu safi mauwa yako 🎉🎉🎉
Dada jasiri sana hongera kwa kazi nzuri
Pole sana kijana, Mungu akupe wepesi, upone haraka .
Huyo Balozi ni jambazi hatari.
Safi sana diwani mpeni kijans haki zake
Mama samia chama chako kizuri ila watu au viongozi wako sio wazuri ccm oyeeeeeeee
Kupigwa ooyeeeee
Kutekwa oyeeeee
kuwawa oyeeeeeeee
Pole sana kaka hakikisha unapata haki yako na huyo balozi feki ashtakiwe
Daah kaka wawatu anngechomwa hivi hivi tar 23 jamani
Polesana jamani inatia uchungu Mungu atakulipia.
Pole sana ndugu
Pole sana nakumtaarfu mkeo ilikuwaje
Pole sana ndugu Mungu anaona
Huyo balozi achukuliwe hatua anatumia madaraka yake vibaya na kuchafua chama chake kwani chama chake hakiwezi kumtuma kufanya upuuzi huo
Hao.watu wafungwe.kukomesha mauaji yanayoendelea huko Arusha kuchoma watu Moto bila sababu pole Sana kaka
Pole sana, unapigwA nyumban kwako? Inamaana balozi hakufahamu?
Eti Chama tawala., kura yangu hampati nawaambia😢
Huu ni mtihani wallah wabillah
Nanyi mngechukua sheria yenu kumnyuka vizuri mwenyekiti ili ajifunze kufanya kazi yake vizuri
Dah inasikitisha sana mtu unaweza kuuwawa hivi hivi bila hatia
Fungilia mbali huyo baradhuli mwernyekiti mstaafu na mwanamke wake. Asipewe tena nafasi ya uongozi. Ccm muwachoke hawa wahuni Wanakiharibu sana chama
Naichukia ccm mpaka kufa maana wanafurahia maafa dhidi ya wengine mungu awalaani na yeyote wa uzao wangu akiwa ccm na alaaniwe na dunia iseme amina
Juzi gari imepasuka tairi watu wanabadilisha tairi,watu ghafla wakatokea,nakusema,wanateka watoto badilikeni jamani siyo vizuri!
Huyo balozi sijui mwenyekiti anajisifia kabisa chama tawala ndio chama cha uhalifu na kuvunja sheria na amani kuanzia ngazi ya chini daah🤔🤔ndo maana haki haipo, kila mtu anajichukulia sheria yake tu apendavyo masikini Tanzania
IPO siku yenu nyieee maccm
Usiwaache iwe fundisho kwa wengine wanao jichukulia Sheria mkononi
Watu wanafanya mabaya,halafu,wataja chama tawala huo ni ushamba, chama chamapunduzi hakipo ivo,nichama kitakatifu nachenye weledi!
Tanzania yangu😢😢
hali mbaya nchini
Must be compasated at least 5M sh to be a lesson to offenders. 😔
Yule dada ,nayule mzee,na bodaboda ndo waizi
Hiv kwanini babati wanakuwa hivyo,juzi tena wamepiga watu kunani?mbona mnakuwa watu wakuhisi watu kila mara,?kwa hiyo huko mtu hatakiwi kutembea huko?hadi vii gozi huko siyo wastaarabu sijuu wanachaguliwa nanani!!!
Hakuna Cha balozi hapo, Pepo la kuzimu, mliomfanyia huyu kaka mmetafuta laana na familia zenu, mlichopanda mtavuna, eti chama tawala mnasema ndo kimewatuma kufanya ivo? Diwani simamia kijana apate haki yake na huyo balozi feki aondolewe uongozi hafai kabisaa.
Sasa ikiwa viongozi wanachukua hatua wenyewe na raia pia wasikubali kuonewa, wakipigwa nao wapige tu
Kwa maana hiyo mtu aweza kuuwawa na kuchomwa moto kwakisingizio cha wizi bure tu bila hatia!bora tukutane na mnyama atakupisha upite kuliko binadamu, nilidhani wanao uwawa na kuchomwa moto ni vibaka kweli
Unajuaa mm n nanii imerudi vzuri na wakubwa wanaonea wadogo masikini wanapigwa na kunyanganywa ata kidogo waliccho nacho
Kaza Sauti na wewe,,,,Unaonhea kama mtotto wa Mwisho..pua haya ndio madhara ya kujichukulia sheria mkononi. Raia, Polisi, Wote sawa, Sheria mkononi. Hawa Raia hawana tofauti na Baadhi ya Polisi wanaofanya Extra Judicial Killings
Kupiga oyeeeee kutekwa oyeeeeekuuwawa oyeeeee lakini kudai haki mbaya 😢
Ndo watekaj chama tawala haina ubishi 😮😮😮😅
Hawa mi ccm nawachukia sana tena sana
Hapo ndiyo umeboronga eti chama cha ccm hakiko hivyo wakati wako hivyo
NCHI IPO SALAMA IPO SHWARI KABISAA. WATU WANAISHI KWA AMANI HAKUNA TATIZO LOLOTE MTU KWA MTU AMA KIFAMILIA .CCM OYEEEEEE
Kwa hali Sasa ya mungu tumuachie mungu ya kaithari tumuachie kaithari
Pole sana kaka
Pole sana