Mch Moses Magembe - HISTORIA YA KANISA I KIPINDI CHA PILI CHA KANISA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2025
- Ibada ya jumatano jioni katika kanisa la Pentecostal Commitment Church - Kinyerezi DSM Tanzania.
Somo: Sababu za kuteswa kwa kanisa
Andiko: Mathayo 16:18
Mnenaji: MCH MOSES MAGEMBE
Tarehe: 29.01.2025
Tumtakie BARAKA Mchungaji wetu kwa kuweka likes hapa
AMINA BABA TUPO PAMOJA SANA. ❤
Mtumishi wa Mungu Mchj MAGEMBE ninafurahishwa na mahubiri yako na naelekea kuelewa vema kwa msaada wa Roho mtakatifu pia barikiwa baba.
Mungu awabariki nawaombea kuwe na vifaa vya kisasa zaidi vya urushaji matangazo Ili KUEPUKA kukatika katika matangazo
MUNGU akubariki mchungaji magembe 🙏
Aminaaaaaaaaa PCC Mungu Awabariki sanaa We are Together and Unit
Mungu awabariki sana kwa kujali
God bless you pastor
Bwana wa majeshi azidi kukutumia
uishi mchungaji, sijawahi kulala kwenye mafundisho yako. Mungu azidi kukutumia kwenye kizazi hiki na cha baadae
Amina mtumishi wa MUNGU tuko pamoja
Amina
Amen amen
Aminaaaa
Amina baba napenda mafundisho yako mnooo
Asante baba kama inawezekana ukimariza history yakanisa tunaomba fundisho yavitambu kuanziya mwanzo paka Ezekiel mimi nimebarikiwa nafundisho zavitambu ubarikiwe ❤
Mubarikiwe sana wapendwa PCC, msiogope chapeni kazi ya Mungu kwa uwaminifu naye atakuwa upande wenu. Nawapenda!❤
Samahani ndugu naomba kuuliza , hivi PCC kirefu chake ni nini ?niliona pia siku nyingine wameandika RMM kirefu chake ni nini ?
Amen tupone baba
NAOMBA IT UTUSAIDIE DOWNLOADING YA HAYA MAFUNDISHO ILI TUPATE MTIRIRIKO MZURI WA MAFUNDISHO HASA HII HISTORIA YA KANISA, KUNA WATU TUNAFUATILIA NA TUNADOWNLOAD
Barikiwa sana
Amen