HAPA NDIPO ULIPO LIKOROGA KAA KIMYA | SHEIKH MSELEM BIN ALY

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 31 พ.ค. 2024
  • #AdilTV

ความคิดเห็น • 48

  • @user-tl8bh7qz2h
    @user-tl8bh7qz2h 22 วันที่ผ่านมา +1

    Assalam alaykum kwangu ndo shekh wangu wakwangu allah akulinde❤

  • @BinomariMussa
    @BinomariMussa 11 วันที่ผ่านมา

    Naam shekh allah akupe umri mrefu nasi tufaidike allah akujaalie mwisho mwema.

  • @maftahmusa9513
    @maftahmusa9513 หลายเดือนก่อน +6

    اسال الله ان يجعلك خيرا في الدني والأخر يا شيخ

  • @HajiMasmenti
    @HajiMasmenti หลายเดือนก่อน +5

    Upo sahihi shekh mselemu asant sana shekh

  • @masumaihashim9310
    @masumaihashim9310 8 วันที่ผ่านมา

    YESU MWENYEWE ALIKUWA MUISLAMU, ALISALI MSIKITINI, ALITAWADHA, MUULIZE ASKOFU ANTHON LUSEKELO WA KANISA KUU LA UBUNGO ANAETHIBITISHA YESU HAKUWA MKRISTO.

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze7311 หลายเดือนก่อน +2

    ManshAllah cheikh wetu

  • @Edson-qi2si
    @Edson-qi2si 26 วันที่ผ่านมา

    Mashallaa shekh unatuelimisha sana jazaka Allah

  • @haroubmsellem9879
    @haroubmsellem9879 หลายเดือนก่อน +6

    Mashaallah

  • @saidhassan5669
    @saidhassan5669 หลายเดือนก่อน

    Jazakumullah khairah

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816 หลายเดือนก่อน +6

    Mungu amevaa mabuti ya dhahabu Yuko juu ya mbingu ya Saba ameketi.Allah atusamehe Kwa kweli.😢😢😢

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 หลายเดือนก่อน +2

      We chizy kweli M'mungu hafanani na chochote kile. Wewe ulimuona wapi kavaa viatu vya dhahabu???

    • @KhamisOmar-kt4kz
      @KhamisOmar-kt4kz หลายเดือนก่อน +1

      Ww sio muislam wacha ujinga kakate viuno kanisani

  • @salimabdallah5176
    @salimabdallah5176 หลายเดือนก่อน

    DHIKRI FIKRI SHUKRI SUBRI

  • @S.SWarfa
    @S.SWarfa หลายเดือนก่อน +4

    Ma Sha Allah

  • @kombowadi3035
    @kombowadi3035 หลายเดือนก่อน +2

    Mugu atujaliye na moyo waimani kwasote

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 หลายเดือนก่อน +1

    Assalamu alykum warhatuallah wabarakatuh

    • @gyeong5972
      @gyeong5972 หลายเดือนก่อน +1

      Wallykum Salaam Warhamatullah Wabarakatuh

  • @user-qt9tp9ph6l
    @user-qt9tp9ph6l หลายเดือนก่อน +8

    Samahani shehe mselem najuwa hujakosea hapa ilo neno kama ulo likosea kidogo.

    • @maftahmusa9513
      @maftahmusa9513 หลายเดือนก่อน +3

      Neno lipi kakosea shekh?

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 หลายเดือนก่อน

      Mbona husemi hilo neno wewe hpa tulione nugu wewe

    • @mohammedmussa7378
      @mohammedmussa7378 หลายเดือนก่อน

      Mjinga asiejua ujinga wake anazidi ujinga

    • @mohammedmussa7378
      @mohammedmussa7378 หลายเดือนก่อน

      Khaswah

    • @mohammedmussa7378
      @mohammedmussa7378 หลายเดือนก่อน +2

      Hii mitandao kuna wajinga wengi kuliko wajuzi na wakisikia darsa kama hizi wao kazi yao kukosoa ilihali hawana ujuzi navyo hivyo wanavyokosoa na hawajaanza wao walianza makuraishi huko nyuma

  • @AishaSelemani-mp9zc
    @AishaSelemani-mp9zc หลายเดือนก่อน +1

    🪴

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 หลายเดือนก่อน +2

    Ila kunbukeni piaa kuwa lazima mtapelekwa jehanamu kabla ya kwenda peponi, Yani lazima mkafike jehanam😂😂 nikisomaga hiyo Aya mpaka nashangaa.....Yani mnapelekwa jehanamu kabla ya peponi. Hakika Yesu atosha

    • @AbuuAnuwar-ip7dr
      @AbuuAnuwar-ip7dr หลายเดือนก่อน

      Hiyo Aya inapatikana katika Bible gani yamwafrika au?😄😄

    • @profs.a5412
      @profs.a5412 หลายเดือนก่อน

      @@AbuuAnuwar-ip7dr 🤣🤣 nilijuaa tu ambao hamjuii utakuja kubisa, hiyo ni Aya ya Quran yenu mjombaaa, Yani lazima mpelekwe kwanza jehanamu kabla ya kuokolewa huko😂 sema dini yenu , halali ni dini ya majini piaa

    • @AbuuAnuwar-ip7dr
      @AbuuAnuwar-ip7dr หลายเดือนก่อน

      Labda kwenye bible ndo inapatikana hiyo Aya

    • @AbuuAnuwar-ip7dr
      @AbuuAnuwar-ip7dr หลายเดือนก่อน

      Maana Sisi kwetu Hakuna Aya zaajabu ajabu mara yesu nabii, mara mungu, mara Mwana wamungu, mara mbumbumbu, kitabu kinachanganya kama bangi mpaka wenyewe hamjuwi Yesu nimungu au Mwana wamungu🤣🤣

    • @profs.a5412
      @profs.a5412 หลายเดือนก่อน

      @@AbuuAnuwar-ip7dr sema wewe ndio hujuii Kama ipo kwenye Quran yenu, na tatizo ni kwamba nyiee mnakrem Quran na sio kuelewa...mtu unakaa unaimba kitabu afu huelewi unaimba nini, tukiwastuaa Kama mnaimba na Aya za ajabu ajabu ..ndio mnaanza kubishaaa, tukiwaonyeshaa ....mnaanza kutukanaa😅 mjomba jehanam lazima mkafike kabla ya kwenda peponi, na Sina uhakika Kama utakapofikshwa Kule jihanamu mtatoka kweli, nahisi shetani kawapiga chenga hapoo