Jinsi ya kujua refurbished iPhone OG! Na used za mtaani! Active & Non active!

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 27

  • @mohammedmansoor1958
    @mohammedmansoor1958 ปีที่แล้ว +4

    Hongera mzee umeupiga mwingi 👏🏽

  • @starjay3052
    @starjay3052 ปีที่แล้ว +3

    nakubali kaka mana tunadanganywa sana na wauza cm ila tatizo chengine bongo elimu mtiani

  • @hassanabuu6
    @hassanabuu6 ปีที่แล้ว +1

    Big up from Zanzibar got you, dude

  • @shadrack747
    @shadrack747 ปีที่แล้ว +2

    Thankful

  • @FranckDaniel-o2m
    @FranckDaniel-o2m ปีที่แล้ว +2

    Oy ebu tuendelee na Vita ya urusi na marekani bhana nakubali Sana uchambuz wako mzee

  • @hamzamujawimana5589
    @hamzamujawimana5589 ปีที่แล้ว +2

    Mwamba 🙌🙌🙌 asante sanaa

  • @PraygodLyimo-w6z
    @PraygodLyimo-w6z ปีที่แล้ว +1

    Asante sana Mungu akubariki kaka

  • @KukuVillage
    @KukuVillage ปีที่แล้ว

    Hizo transition za mwanga mnatuumiza macho

  • @gigoyrn4394
    @gigoyrn4394 ปีที่แล้ว +3

    Leo umeupga kma modric

  • @princedion2915
    @princedion2915 ปีที่แล้ว

    Nisaidie kitu ivi kwanini iphone zingine ni OG kabisa ni bland new kabisa ila ukiweka line ya 4G inaandika NO SIM ila ukiweka line ya 3G ina soma shida ina kuwa UPDATE au ninini 🙏

  • @ObbyBernard-ir9wt
    @ObbyBernard-ir9wt ปีที่แล้ว +2

    Brother inabidi nikutafute Kwan hicho ndo kinanikwamisha kununua Hy simu Kwan feki nying xn

  • @kulwanzobe7657
    @kulwanzobe7657 ปีที่แล้ว +1

    Asee mda wa kuelezea hautoshi natamani urudie tena

  • @saidfhamad
    @saidfhamad ปีที่แล้ว +4

    PUTIN YUKO WAPI??

  • @chamyfx9377
    @chamyfx9377 ปีที่แล้ว +1

    Kuna watu wapo hapa na hawakuelewi na hawakuamini na wanaendelea kupigwaa🤣🤣🤣

    • @djsma255
      @djsma255 ปีที่แล้ว +1

      😂😂😂

  • @christophekyandaza1113
    @christophekyandaza1113 ปีที่แล้ว

    Je t'aime mon ami

  • @brayanelissa4210
    @brayanelissa4210 8 หลายเดือนก่อน

    Brother hiyo program inafanya kazi kwenye simu zoteeh au ni Iphone peke yakeeh tu

  • @ramamrutu4914
    @ramamrutu4914 ปีที่แล้ว

    Kaka mimi naomba kujua jinsi ya kuweka pre order ya i phone naomba kujua na website yake

  • @danielshauri6390
    @danielshauri6390 ปีที่แล้ว

    Naomba namba zako

  • @erickmuli1030
    @erickmuli1030 ปีที่แล้ว

    Je hizo process zote za kujua active or refublsh zinatgemea internet au offline?

  • @iganizarichard8197
    @iganizarichard8197 ปีที่แล้ว

    Kama ni kwenye simu ukiweka sim card ina maana itakwambia tayari ni unactive... Ukitumia imei no.ya box, inawwzekana mtu katumia tu box jingine ..elimu kidogo mkuu

    • @djsma255
      @djsma255 ปีที่แล้ว

      Hizo ni sinario tofauti tofauti, na kupata uhakika chukua imea # weka kwenyw hio app nilio elezea utapata jibu la uhakika

  • @iganizarichard8197
    @iganizarichard8197 ปีที่แล้ว +1

    Swali langu kuu ni je iyo emai no. Unaweka ile ya kwenye box au ya kwenye simu?

    • @simbaphonez
      @simbaphonez ปีที่แล้ว

      Zote Zinafanana, imei number ya Kwenye Box na imei number ya kwenye Simu Zote Zinafanana, so wamekurahisishia tuu!

  • @experienceafrica6905
    @experienceafrica6905 ปีที่แล้ว

    Mimi simu yangu imeibiwa na IMEI nunayo nimewapa polisi naona hawasaidii bado sijaiona, nifanyeje wadau? #fusetech

    • @simbaphonez
      @simbaphonez ปีที่แล้ว

      Kwa Hapa Tanzania Ukipotelewa Na Simu ni Changamoto kuhudumiwa hata ukienda Kituo cha Police! Nafikiri Tusibiro Technology iongeze Kidogo Tutakuwa tutakuwa tunauwezo wakuitafta wenyewe! Kwa njia rahisi zaidi

  • @NoelahOmmy
    @NoelahOmmy ปีที่แล้ว

    Iphone 11 macho matatu sh ngp