Allahumah Ameen , Jazaqallah kheir Shk. Hamza Mansour , Allah akubariki na ajaalie ujumbe huu uwe ni sababu au moja ya sababu ya kutufanya tuwe wenye kubadilika.
Jazakallah khayrah oustadh, na hii ndio hali ya Maulamaa wetu wa leo, kila siku raddi na kukafirishana, mbaya zaidi wanayafanya haya katika mitandao ya kijamii na hili hupelekea upenyo kwa makufar kuzidi kupata chance ya kutuangamiza sie waislam.. may the almighty Allah forgive us and grant us Jannah at any rank among its ranks even if not jannat firdaus 😭😭😭😭😭inshallah
Amiin ya rabb. May Allah grant u more en more knowledge concerning our deeen. Alhamdulilah always for ur mawaidha. Allah akbar it really soothing our hearts en increases our iman as well. Alhamdulilah for being a Muslim. May Allah grant U sheikh Mansoor the very best of your knowledge Ma sha Allah! Happy to be among ur followers.
Kama tungekuwa tunapata khutba nzima ingekuwa kheri,, coz hii khutba ilikuwa na ujumbe mzito sana, iyo ni summary ty, lkn sheikh Hamza wallah hii khutba ilitugusa sana🙏
Kweli kabisa masheikh inawahusu hii masheikh wengi sana wao kwa wao wanasemana vibaya huyu anaongea hivi ijumaa hii yule ijamaa ijayo anajibu yale yaliyojiri ijumaa iliyopita yote kisa mskiti wa sheikh fulani unajaa kuliko wangu au watu wanamlenda sheikh fulani huu mtihani hasaa
Mashallah,, Sheikh Mwenyezi Mungu akuzidishie
Allah akujalie sheikh hamza ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ ujumbe umenijenga Sana Allah akuzidishie
Allahumah Ameen , Jazaqallah kheir Shk. Hamza Mansour , Allah akubariki na ajaalie ujumbe huu uwe ni sababu au moja ya sababu ya kutufanya tuwe wenye kubadilika.
Allahummah Ameeen. Jazaqallah kheir shk.Hamza mansour Mola akubariki.
Mashaallah tabarakaah
Shukran mawaiza mazuri ❤
Ma shaa Allah
Mwenyezi mung amjalie mwish mwema na amlinde nama hasadi
MashaAllah Allahuma bariq
Jazakallah khayrah oustadh, na hii ndio hali ya Maulamaa wetu wa leo, kila siku raddi na kukafirishana, mbaya zaidi wanayafanya haya katika mitandao ya kijamii na hili hupelekea upenyo kwa makufar kuzidi kupata chance ya kutuangamiza sie waislam.. may the almighty Allah forgive us and grant us Jannah at any rank among its ranks even if not jannat firdaus 😭😭😭😭😭inshallah
Amiin ya Rabb.
Amiin🤲🤲😭😭😭😭
Aamiin
Allaah Subhana Wata'ala akuhifadhi sheikh Hamza umesema ukweli
Mashallah kwa ukumbusho❤❤
Subhanallah 😭😭😭
Jazaka Allahu kheri
Améen 🤲 ya Allah
ماشاء الله
Manshaa Allah Allah atupe mwisho mwema 🤲🤲🤲🙏😭😭😭😭
Alla akuweke atupewisho mwema
Mungu atukubalie maombi yeti inshaallah
Masha Allah
Amiin ya rabb. May Allah grant u more en more knowledge concerning our deeen. Alhamdulilah always for ur mawaidha. Allah akbar it really soothing our hearts en increases our iman as well. Alhamdulilah for being a Muslim. May Allah grant U sheikh Mansoor the very best of your knowledge Ma sha Allah! Happy to be among ur followers.
Rabiie Zidna elimah 🤲 Warzqunah Fahamah.., Allah Akuhifadhi dunian Na. Kesho Akhera uwe Miungoni Mwa waja Wake wema Inshaallah
Allah atujalie kwa mioyo enye utulivu
MashaAllah
Mashaallah baraka llahu fiyk
Masha Allah sheikh Hamza Allah akuhifadhi 🤲
ماشاالله
maashaallah maashaallah 🙏🙏
Assalamu alaykum warahmatullah wabarakatu
Kama tungekuwa tunapata khutba nzima ingekuwa kheri,, coz hii khutba ilikuwa na ujumbe mzito sana, iyo ni summary ty, lkn sheikh Hamza wallah hii khutba ilitugusa sana🙏
Kweli kabisa shekeih
Kwakweli hali imekuwa mbaya kwa wanazuoni wetu .kwa mwendo huu tutaipata dola ya kiislam kweli
Kweli kabisa masheikh inawahusu hii masheikh wengi sana wao kwa wao wanasemana vibaya huyu anaongea hivi ijumaa hii yule ijamaa ijayo anajibu yale yaliyojiri ijumaa iliyopita yote kisa mskiti wa sheikh fulani unajaa kuliko wangu au watu wanamlenda sheikh fulani huu mtihani hasaa
Kweli hasa
Twaibu
Masha ALLAH