Mji wa yerusalemu unatambulika kama mahali patakatifu
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 24 ธ.ค. 2022
- Mji wa Jerusalem unatambulika kama mahali patakatifu katika dhehebu la uyahudi. Maelfu ya waumini hukifika hapa kufanya maombi. Stephen Letoo alizuru mji wa jerusalem nchini Israel na kutangamana na waumini katika ukuta wa hekalu unaotajwa kwenye bibilia na sasa anatupa simulizi kuhusu aliyoshuhudia.
You will never be the same my brother in Jesus name
I like this journalist. No. 1 kenya and East Africa
Congrates Stephen..I will be in Israel June,2023 God willing
Amen Amen, natumai umekumbuka wakenya wote kwa maombi siku hii takatifu
Subhanallah
Wewe ana yako 🤣🤣🤣🤣
@@patrckimmo3597 ay hapana, how i wish😄
God Almighty bless you letoo for stepping your feet in the holy land of God Almighty blessings ahead of you in Jesus name Amen
Nice coverage @Steve Letoo 🥰. Am Revisiting the history to read more about the place
Wow! This is great i love it@ Steve Lettoo thanks tu sana
asipokuwa mweslamu hakubaliwi maombiyake mbaka atakaye Kiri kwa moyo naulimi kwamba hapana mwala apasae kwabudiwa kwahaki isipokua Allah na Muhammad nimtume wake na yesu nimtume wake sio mtotowa Allah Wala hakufa Wala hakusulubishwa na mwisho waislamu wanao Fanya cityzen Ali na mkewe nawasalimia asalamaleykum warahmatullahi wabarakat Kisha nawapa nasaha hafai kusema nimeombewa na asiyekua mweslamu Kisha aitikiye hio ati amen hioni bida so tufwate mafunzo ya kislamu na Quran na Hadith za mtume wetu mohamad salallahu aleyhiwasalam shukrann
Good work Stephen letoo,life will not be the same again 2023.more blessings
🤣
The sweets sound of letoo Kenya well represented
Letoo namba one kenya mzima
Free Palestine ❤️❤️
Aiiii weee hii dunia mta tuoyesha mambo. Wenye atuwezi fika Jerusalem ama mecca atutaigia mbinguni.?? I thank GOD he answers my prayer in my room.
😂😂😂🤣🤣🤣🤣
Letoo ningekuwa mtoto ungenifanya nikuwe mtangazaji aki,may God bless you abundantly
Letoo you're my best journalist especially on your coverage
I like it Royal Media, kudos
Steven Letoo aliingia hadi kaburini 😅😅😅 wueeh . well done lakini
Napenda hii flow ya taarifa ya letoo keep it up bro
Good coverage guys, very nice. Thanks a lot
I like this from Steven letoo
Here from TikTok
You really make me happy 😁
Congratulations our Reporter
Kwa hiyo yesu hakuwahi kuingia kanisani, huko yerusalemu hakuna kanisa
From TikTok ❤❤
It's a lesson for Africa to preserve our beliefs and keep them for our generation .
Last time I was in Israel I loved it
Wacha uongo kumaninazako Mmbara ww
May the grace of God in the Highest, His Holy Son Jesus Christ and the Holy Spirit spread out to the whole world. 🙏
This is total bondage and idolatry, I just texted without having watched the video as I was led by the Spirit but oh my, total idolatry as the Spirit speaks truly, oh I cry I cry i cry truly it's in bondage with her children, sodom and Egypt truly for they don't know Jesus Christ for the Way is as simple as Christ to be Holy and Righteous a child of God, justified freely by the Grace that is in His Son Jesus Christ. Oh this is idolatry my God my God my God
Wow! By Steve letoo
Upto day yesu anasurutiwa
aki letoo kazi safi bro maaa supa pi tuko safi
The Best Coverage
Letoo you well done coverage🙏🙏💪
Kama niya Palestine waende wachukue Jerusalem is the city of God Galatians 4_26
Good work Letoo
Good work Steven Letoo
Good work 👍
Woow this amazing ...
Letoo to the world 🌍🔥
This boy called LETOO❤
Wakenya na kusema ni Wakristo utadhani ni Waisraeli, unafki tupu Kenya. Dini ya Ukristo ni ya wa israeli sio ya mataifa. Ndio sababu israeli hawatambui Ukristo
Palestine hyo ni ya waislamu mayahudi wameuteka
I proud to be a Christian
Awesome
Proud catholic,
Letoo ope ua prayers were answered
Capital city of Palestine!!
01:00 Quran maa Shaa Allah
Iyo Simu yako ilikua imetoka kenya so uliombea kenya mzima ama uliandika jina kenya 🇰🇪 lakini maombi ilifika
Take my word President will recommend him for presidential press unit.
Amen
Leto umekuwa mjinga sana sasa🤣🤣🤣🤣nakutumia number yangu
Nice coverage but lie on phone .
Hh acha uongo letoo
Daah hii kali ya mwaka Letoo 🤣Yani watu walioko ndani ya simu wote waeza waombea ,Sasa wale walobakia Kenya huezi waombea?🤣🤣🙏
Ombea wakenya wote
Mbona sasa Uli delete no yangu ??..
Nothing like that happened. Wafrika tunakuanga tumebebwa Kama mafala.
We umeona waafrica tu but hukuona wengine sivyo?
Ukweli
Umeniombea na mim au namba yngu ulifuta
Leto❤❤❤
🤣🤣🤣Naomba namba yako ukienda tena uniombee
Someone to tell letoo it's called Bali la Shamu sio Bali ya red sea.
Jerusalem is the capital city of Palestine.
So whose capital
Soma historia usikuwe mjinga ivo
Last Night I visited Israel kwa Ndoto
tom daktari brought me here🤣🤣
Badala ya kuabudiwa M/Mungu wanaabudu kuta haaa hebu kuweni Waislamu wacheni ibada za masanamu na ukuta
Swala la imani ngumu mnoo kwani waislam mnozunguka alkaba mnaiabudu
@@adkajisi4536 Kwani wewe hukuona mna masanamu karibu kwa uislamu
Oh Steve take my no plz pia majina huzikatia pia kama uko na jina Joyce nimebarikiwa
😂😂Dunia ina mambo lukumbalukumba Dunia hii ina mambo Lukumbalukumba
I wish ningekuwa kwa hiyo simu aki
Pole sana
The Jerusalem that now is Spiritually is called Egypt and Sodom for it's in bondage with her children and unholy for they rejected Christ Jesus and crucified their Messiah whom the Law and Prophets spake of and they hated Him without a cause. The Heavenly Jerusalem which we wait for however by Faith is of the free and Holy for it's of the redeemed by the Blood of the Precious Lamb of God which has been justified and declared righteous by the Righteous Judgment of God, nevertheless a remnant of Israel shall be saved, but the Jerusalem that now is in bondage and not holy and so I don't know how people read the Scriptures because opening the Bible is not opening the Scriptures.
Our Lord Jesus cometh quick!
Glory to God and to the Lamb who has Dominion forever and ever,
Amen!
Ninyi mko sawa kweli??mbona mnachanganya stori ?au mmepewa hongo?
Hizi stori zinakaa za binguni😂😂
Lulu hiyo kicheko🤣🤣🤣
Yesu hajakufa
Kweli yupo hai na anaishi milele.
alifufuka
Watu wanaabudu ukuta na masanamu badala ya kumwabudu Mungu. This is crazy
Sasa wewe. Huwe unaenda hekaluni kuomba na unajudge wanwoomba kando ya ukuta hahaaa
Lkn tuambianeni ukweli mnaabudu masanamu kwani hamuoni ama?
@@sophiajuma6798 Na vile Muslims huzunguka makah... Adi wanapaka mafuta iyo pia ni sanamu ama
It's their faith
Ooooh ndio maana ukua unaeleza nn inaendelea ndio ulete news
Sawa bna tuombee sote
😂🤣😂☝🏾
My next visit 🙏🙏🙏
Me too God willing
Palestine still insist ni yao
Hakuna kitu
Jerusalem capital city of Palestine eti Israel . don't think of it
Palestina walinyakua kitambo kutoka kwa israeli
Amen Amen
Lakini ulinyakuliwa
After the coming of Jesus, ALL these are a waste of time and resources. A country can not be holy but our hearts and so deeds... These are ignorance and lack of knowledge of God... John 4:21-24 "Jesus said to her, “Woman, believe Me, the hour is coming when you will neither on this mountain, nor in Jerusalem, worship the Father. You worship what you do not know; we know what we worship, for salvation is of the Jews. But the hour is coming, and now is, when the true worshipers will worship the Father in spirit and truth; for the Father is seeking such to worship Him. God is Spirit, and those who worship Him must worship in spirit and truth.”
Ni tukufu kwa waisilamu
Jesus is Lord!!
Amen!
No he's not, he's a messenger of God
Halaf humjatofautisha hao wanaofanya hija sio wakiristo ni wayahadu. Kwenye makabur hapo ndo ukristo, Wakrsto na wayahud hawapatan
Those who are against this video as per comments and say that it's slavery, really? Even the other religion were brought by Arabs to Africa. The later religion claims that Israeli state began in 1948. It's true I understand your point but why don't you speak of other ways of existence of Israeli state? According to Biblical, Quran, UN declaration? Historical backgrounds?
Lies, Jerusalem is in Palestinian land, not Israel.
So mungu ya wakristo ambaye ni yesu Kuna kaburi lake 😂😂😂....it beats logic hata Kama Huna akili
Sasa huyu anaongea nini umesikia mtu mwengine anaongea kama wewe,waslamu uwa mwajifanya wazuri saana na hakuna kitu.
@Mustafa noor so wewe ni Mkristo unaitwa Mustafa
Yesu mgani alizaliwa jerusalem? Hii ujinga iliisha
Lazima uko na ya Jemtai Ngoin ni supuu wako
Jerusalem sio Israel ni Palastine, Israel walifika uko 1942, kabla ilikuwa Palastine tupu
Uwuongo. Najua unachokisema. I know that too. Now you only talked of creation of Israeli state. Why did you leave other views of creation of Israeli state?
Soma historia kaka
Usijidanganye
Its palestine not israel
It's Israel not Palestine.
Kasome history ndo uje uongee
@Jamaal Mallo itanifaa na ? If itvwill put food on my table then yes nitaenda soma
Wongo tupu
Ni gani ya ukweli
uongo ni wewe
Kazi mzuri letoo hope umeombea wakenya wote
Dunia inamambo😂
Uongo nao. Imagine yesu alikua musilamu . Luka :4.16 yesu ameingia sinagouge. Miskiti ya wayahudi .
Hebu uni show mwandiko akisema yesu ameingia hekalu ..
Uongo nao Yesu hajawahi sema shahada Wala msikiti ni wa wayahudi na sio waislamu.waislamu wametokea miaka mia SITA baadaye baada ya Muhammad kutokewa na mashetwani Kisha Khadija kamwambia aseme yeye ATI yeye ni nabii was Mungu hata yeye mwenyewe alijua ni mashetwani.Allah SI Mungu was kweli Kwa sababu mbona anaingia moto alafu ahera itasema imejaa kulingana na Biblia shetani ataingia Motoni sasa unajua Allah ni nani.
@@nickyliz5261 Mungu akuongoze ujiunge na uislamu na usome usilamu na uelewe sio kungoja pastor akusomee bibilia mtapotea fungueni macho haya
Synagogue ni ya wayahudi si msikiti
Usikuwe mjinga kwa vitu unaona na unapinga
Sasa na wewe ni myahudi pimbi wewe unajifanya myahudi jinga kabisa wewe