ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

JAMAA CHIEF GODLOVE ANAEJISIFIA KUWA NA HELA INASEMEKANA ANAWEKA VIBAO ILI AONEKANE ANA HELA NYINGI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2023
  • Mambo yamezidi kuwaka huko mtandaoni watu wanazidi kuweka ushaidi kuwa ChiefGodlove hana Pesa.
    ...........................................................
    Contact Us : 0742447854
    -------------------------------------------------------------------------------
    Instagram rickmediatz...
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Facebook / rickmediatz
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Website www.rickmediatz.com
    -----------------------------------------------------------------------------------

ความคิดเห็น • 124

  • @adambunduki4524
    @adambunduki4524 10 หลายเดือนก่อน +6

    Daaa! Ukiangalia kwa haraka huwez gungua da! Ila watu kwa kuchunguza noma

  • @allykhalfan9513
    @allykhalfan9513 9 หลายเดือนก่อน +1

    Duhhhhh sio poa Hongera ndugu mtangazaji kwa kutujuza kitu ambacho tulikuwa hatukijui

  • @youngchoppa-ik9uo
    @youngchoppa-ik9uo 4 หลายเดือนก่อน

    devo king nampendasana

  • @chachamarwa7286
    @chachamarwa7286 9 หลายเดือนก่อน +3

    wabongo kwa kuchunguza tuko makini aisee

  • @Shuugan
    @Shuugan 10 หลายเดือนก่อน +3

    Amna kitu apo ila ata kuji brandi ivo ni moyo na niviji senti pia 😂😂😂

  • @hermanarron5341
    @hermanarron5341 10 หลายเดือนก่อน +4

    Michezo ya kwetu Tunduma hiyo 😅

  • @FastpayMauzo
    @FastpayMauzo 10 หลายเดือนก่อน +3

    Sauti ya mtangazaji mbaya.
    Kama sio pesa sinatuhusu nini na ww igiza Kama nae anaigiza

  • @user-ub2sm5vy2z
    @user-ub2sm5vy2z 10 หลายเดือนก่อน +3

    Naijua iyo

  • @omarkioko3602
    @omarkioko3602 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hebu jiulizeni ...mshawahi ona Bakhresa ama mtoto wake akipanga Hela namna hio !? Na akiamua kupanga Hela zake ....bunge la Tanzania litajaa noti na Bado zikose za pa kuwekwa

  • @bobchillax8300
    @bobchillax8300 10 หลายเดือนก่อน +4

    mwamba anmuonea wivu mwana...mwana ana vumba bhanaa

  • @user-tp2mw3kn1s
    @user-tp2mw3kn1s 10 หลายเดือนก่อน

    Nipesa izo

  • @mussa4413
    @mussa4413 10 หลายเดือนก่อน +2

    Kweli Siyo Hela.

  • @user-mk6vm8ub2u
    @user-mk6vm8ub2u 10 หลายเดือนก่อน +3

    Huyo jamaa anapesa kweli

  • @faidhacute
    @faidhacute 10 หลายเดือนก่อน +3

    Hakuna cha kuona wivu ukwel kuwa huyu jamaa hana pesa na mwenyew kasema

  • @KhadijaMussa-wf9up
    @KhadijaMussa-wf9up 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mtangazaji punguza mbwembwe kwenye habari, unachefua yaan m2 anakosa ham ya kuendelea kusikiliza

  • @YusterTitus-vz1cq
    @YusterTitus-vz1cq 10 หลายเดือนก่อน +2

    Kwani watu wameona kuwa pesa ni nini labda kama tunakufa tunaziacha unazitambia nini ni upuuzi tu

  • @iamk2me
    @iamk2me 10 หลายเดือนก่อน

    Amna ukiwa na pesa nyingi ukizirekod Hua zinagoma Wakati mwengine 😂😂😂

  • @hermanarron5341
    @hermanarron5341 10 หลายเดือนก่อน +9

    Michezo ya kwetu Tunduma hiyo 😅 hatari sana

    • @kichbosanga2188
      @kichbosanga2188 10 หลายเดือนก่อน

      Wanatunduma wote tukutane hapa

    • @wozanawewoz979
      @wozanawewoz979 10 หลายเดือนก่อน

      Pamoja na Nakonde😂 nilipita uko nimekumbuka mbali nikabadilisha na vipaundi vyanguu😂

  • @mohamedsheikh6618
    @mohamedsheikh6618 10 หลายเดือนก่อน +1

    Amekosa adabu Magu amekufa, angekuwepo nidhamu ingepatikana meenyepesa tangu lini kujitangaza, ana Bank nyumbani kwao? Serikali iko likizo au? Huu ni ujinga na hila za utapeli, kwa kazi gani yaliyo nayo?

  • @jeffyjerry8129
    @jeffyjerry8129 10 หลายเดือนก่อน +7

    Jamaa pesa anayo sema watu wivu tu

    • @adambunduki4524
      @adambunduki4524 10 หลายเดือนก่อน

      Ndio pesa anayo ila angalia vizur upande wa kushoto kwako kwenye hilo burungutu elfu 10 imejikunja kibao kimeonekana

    • @ricklandennis
      @ricklandennis 9 หลายเดือนก่อน

      Hana hela bro wenye hela hawana mbwembwe hizo na kwann anatumia nguvu kubwa mpaka vibao

  • @fabian1212
    @fabian1212 10 หลายเดือนก่อน +8

    Dada unaongea sana unabore na kiingereza chako cha mchongo

    • @jeffyjerry8129
      @jeffyjerry8129 10 หลายเดือนก่อน

      Kweli ana zingua

    • @manajr9155
      @manajr9155 10 หลายเดือนก่อน

      Anakera hasa, mm nikimsikia yeye kwenye habari zao Tyr najuwa hapa hamna kitu. Dada mbona wenzako hawabwabwaji hivyo

  • @aswaneliphas2271
    @aswaneliphas2271 10 หลายเดือนก่อน

    Asawan Elphas from KENYA acheni wivu hizo ni pesabana

  • @Mtazyinstrumental
    @Mtazyinstrumental 10 หลายเดือนก่อน +4

    Usikute anawatapel watu

  • @omarkioko3602
    @omarkioko3602 9 หลายเดือนก่อน

    Huyo fala tuu ...Hana Hela zozote maskini mlala hoi ...pesa haioneshwi ...pesa inajotoa yenyewe ...na ukiona mtu anijisifu Yuko na pesa jua huyo ni panya wa kanisani ama bangunangu

  • @ChescoMwakipesile
    @ChescoMwakipesile 7 หลายเดือนก่อน

    Bas itakuw ata izo stalee sizakwer

  • @rayt984
    @rayt984 9 หลายเดือนก่อน +2

    FAKE IT UNTIL YOU MAKE IT🎉🎉🎉

  • @GodfreyJames-zt6ig
    @GodfreyJames-zt6ig 6 วันที่ผ่านมา

    Sisi tunamjuwa huyo mpaka kwake ni tapeli tu

  • @djscobo8381
    @djscobo8381 10 หลายเดือนก่อน

    Cretivity dooh pink manilla paper

  • @fidembembela3010
    @fidembembela3010 5 หลายเดือนก่อน

    Ela anazoo

  • @user-tr6gd1sj5w
    @user-tr6gd1sj5w 9 หลายเดือนก่อน

    Izo pesa bhana

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 10 หลายเดือนก่อน +2

    ila jamaa anatupiga kwakwer mweny hela hajitangazi kwanz ili iweje kwa mfano 🙄🙄

  • @karimjuma4019
    @karimjuma4019 10 หลายเดือนก่อน

    Ela mchezo kwan

    • @HamzaSaid-qc1mu
      @HamzaSaid-qc1mu 10 หลายเดือนก่อน

      Acha ushirikina Kuna kufa

  • @user-gw7qs2zx2i
    @user-gw7qs2zx2i 9 หลายเดือนก่อน

    Dr kweli atamimi nimeamini siyo zenyewe

  • @showejikinjekitile5942
    @showejikinjekitile5942 10 หลายเดือนก่อน +3

    Oya rick kausha izi mambo zitakukata KWA sababu hazita kuongezea wafatiliaji ivi awe anahela ama hana hela nyinyi kinapungua nini ama kinaongezeka nini

    • @saidkanji9882
      @saidkanji9882 10 หลายเดือนก่อน +1

      Wajinga Kuna vingi vya kufanya

  • @alisakasukulu1784
    @alisakasukulu1784 10 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂😂

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula2227 9 หลายเดือนก่อน

    Mwenye Pesa uwa hajionyeshiii huyo ana mawazo ya kimasikin

  • @RichimondEliaUgwego
    @RichimondEliaUgwego 4 หลายเดือนก่อน

    Maskini mbwa takataka, Wana Wivu, lakini Mimi ninachojua Chief Ana pesa nyingi Sana, Sasa Acheni wivu nyie maskini,kenge,😔✌️

  • @3venture180
    @3venture180 9 หลายเดือนก่อน

    Iringa mpaka dar sio safari rahisi acha awatishie mbao za kwao😂

  • @ZackyFlavour-po3os
    @ZackyFlavour-po3os 10 หลายเดือนก่อน +1

    Jamaa anahela kweli ila anazidishaga mbwembwe anapesa ya kawaida sio kama anavyo aminisha watu

    • @akimanaarlene851
      @akimanaarlene851 10 หลายเดือนก่อน +1

      Hana pesa ni fake za attetion😅😅😅

  • @timothntanwa1990
    @timothntanwa1990 4 หลายเดือนก่อน

    Hizo ni pesa JAMA anaheha

  • @erastomgimba4176
    @erastomgimba4176 7 หลายเดือนก่อน

    Oi amna k2 apo

  • @emmanulvictory507
    @emmanulvictory507 9 หลายเดือนก่อน

    Sas wew kama hujui kama ni kweli. unatangaza nin ??

  • @NdayishimiyeAmissi-el4vr
    @NdayishimiyeAmissi-el4vr 16 วันที่ผ่านมา

    Matajiri wana pitiya wakati mgumu ki noma, wew unae sem ni mbao katu tengenezey na wey tuone, ao kiki izo?

  • @liboriusbabile1197
    @liboriusbabile1197 9 หลายเดือนก่อน

    Ginimbi 😂😂😂😂😂

  • @user-dk2we4yj3z
    @user-dk2we4yj3z 10 หลายเดือนก่อน

    Kama hujuiii kaaa kmyaa bhax mwandixh wa habari cjui nyingi utafungwa

  • @chibudenga8977
    @chibudenga8977 10 หลายเดือนก่อน

    Uyoo mAku tu

  • @user-ie1cw1yo8k
    @user-ie1cw1yo8k 10 หลายเดือนก่อน

    Hela Freemason

  • @_pr2yq
    @_pr2yq 9 หลายเดือนก่อน

    Hizo pesa bwana watyu wanawivu sana ukipata pesa mchawi ukiwa maskini ugishugulishi sasa afanye nn kila mmoja anautafutaji wake sasa kaweka vibao ajaweka ayawahusu acheni ushamba😂😂😂😂😂

  • @saxannjo6173
    @saxannjo6173 10 หลายเดือนก่อน

    ACHEN UVIVU NA WIVU.... TAFUTEN HELA.. UPUUZ

  • @mordeetz
    @mordeetz 9 หลายเดือนก่อน

    Popa tunduma apa

  • @NicholausMziray
    @NicholausMziray 12 วันที่ผ่านมา

    Muacheni ale maisha kapambana kaondoka kwenye umaskin so muacheni kajitafuta kajipata

  • @saidipara4134
    @saidipara4134 10 หลายเดือนก่อน

    Kulia kupokezana.😅😅

  • @farajamelchior4578
    @farajamelchior4578 10 หลายเดือนก่อน

    Hahaha jamaa muongo uyo

  • @Janja20b-o-y
    @Janja20b-o-y 6 หลายเดือนก่อน

    Kweli kama ni Pesa mbona Sisi atupatiye anipe kwanza njo nijuwe ni Pesa

  • @vicentmapunda3146
    @vicentmapunda3146 10 หลายเดือนก่อน

    Anatak kumuiga tekash 😂😂😂 utachanip msamba

  • @WeremaSagati-ft7ez
    @WeremaSagati-ft7ez 10 หลายเดือนก่อน

    😅😂😂😂😂😂

  • @omarmwabege
    @omarmwabege 9 หลายเดือนก่อน

    Yote yanini kujitafutia husuda za bure?!

  • @seiffakir8694
    @seiffakir8694 10 หลายเดือนก่อน

    Pesa ya Tanzania ovyoo

  • @mjumbewakristo8677
    @mjumbewakristo8677 10 หลายเดือนก่อน

    Hamna hela humo

  • @dallahone2274
    @dallahone2274 หลายเดือนก่อน

    Wazee wa ku zooom😳😳😳😳🤣🤣🤣🤣

  • @kichbosanga2188
    @kichbosanga2188 10 หลายเดือนก่อน

    Aisee watu wanachunguza

  • @andersonruhenda9081
    @andersonruhenda9081 9 หลายเดือนก่อน

    Pesa kidogo hizo ukitakakujua geuza kwenye dollar ndiyo utajua hunapesa kijana

  • @alphanlukombe3774
    @alphanlukombe3774 6 หลายเดือนก่อน

    Sio za kweli anaweka vibao

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 9 หลายเดือนก่อน

    Jamaa pesa anayo si izo kazidondosha tumeona kuna wengine ata mia hawana

  • @fredricksabick-hi1fl
    @fredricksabick-hi1fl 10 หลายเดือนก่อน +1

    Wenye pesa hawaoneshi😂

    • @elizabethmasitsa6537
      @elizabethmasitsa6537 10 หลายเดือนก่อน

      Hakuna siku wataonyesha kabisa pesa zao ni vile wata hawajui

  • @jameskilasa759
    @jameskilasa759 10 หลายเดือนก่อน

    Na hayo magar anayotumia yote ni fek ya kuzungusha subir tra waone

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 7 หลายเดือนก่อน

    Nyie vp tafuteni pesa hizo ni pesa kwani pesa haziwezi milikiwa na binadam?

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 10 หลายเดือนก่อน

    Nanyie tafuten sio nyoko nyoko tu

  • @ChrisMwambeje
    @ChrisMwambeje 10 หลายเดือนก่อน

    Vibao aiseee

  • @user-mx3eg1qj1e
    @user-mx3eg1qj1e 10 หลายเดือนก่อน

    Ana kipi cha kumuingizia pesa

  • @zahororashid-tw3hz
    @zahororashid-tw3hz 10 หลายเดือนก่อน

    Huna hela mzee acha kuvimba na kiini macho kibao kinaonekana kbsa icho umeweka rangi ya waridi

  • @BonnyMwajombe-iu7hb
    @BonnyMwajombe-iu7hb 4 หลายเดือนก่อน

    Pesa anayo mabwege nyie

  • @bienvenukichambaomar5067
    @bienvenukichambaomar5067 10 หลายเดือนก่อน +1

    Unaongeya saaana dada

  • @pedeize4987
    @pedeize4987 10 หลายเดือนก่อน

    Jama kawa maarufu sasa

  • @HamisMagazi-nn7bd
    @HamisMagazi-nn7bd 10 หลายเดือนก่อน

    Huyu mchizi kumbe boya 2. Tulijua huwa ananoti kumbe tapeli nyoooo

  • @user-nx1jz6ox2b
    @user-nx1jz6ox2b 9 หลายเดือนก่อน

    Je hatakama vbao unaweza rngana nae

  • @meckiphasonmorewa2944
    @meckiphasonmorewa2944 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mnazingua jamaa anapesa kwel

    • @selemanmaganga-le4zg
      @selemanmaganga-le4zg 10 หลายเดือนก่อน

      We Mkewe mpaka utusibitishie" Sisi watoto tuliozaliwa mjini tunaijua hiyo michezo.

  • @mafuja1991
    @mafuja1991 9 หลายเดือนก่อน

    Huyu ana ndangu,pesa za majini au ana jini ambaye anampatia hizo pesa

  • @zamidually744
    @zamidually744 10 หลายเดือนก่อน

    Chief umemtoa mond trending

    • @Nalitumpaboy-dm4tk
      @Nalitumpaboy-dm4tk 10 หลายเดือนก่อน

      Acha ufala mwenye hela ajitangazi kma kwl why aifute video

  • @mkutiamani
    @mkutiamani 10 หลายเดือนก่อน

    Sema asaiv dadaangu unaweka vionjo vya kuongea mpka unakela duuuh

  • @showejikinjekitile5942
    @showejikinjekitile5942 10 หลายเดือนก่อน +6

    Apa akili ndio inatakiwa tumia akili zako zote. Ila weka akiba ya akili ivi inawezekana mutu atumie bibao pesa kudanganya watu ili apate nini kaonyesha malangapi anatoa msada KWA watu na watoto yatima. Ivi ile full track shinga nakatoa KWA watu wangapia acheni kuchafuafua watu nyie media

    • @basekekasusu3186
      @basekekasusu3186 10 หลายเดือนก่อน +2

      Ww huna akili angalia hela OG kaifunga mara moja na hayo mambao kafunga marangap

    • @FastpayMauzo
      @FastpayMauzo 10 หลายเดือนก่อน +1

      Kama Anaigiza na wao si waigize??? Achen kukatisha watu tamaa mbwa Ninyi

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 10 หลายเดือนก่อน

      Muongo usipoteze muda wako kumfatilia

    • @ricklandennis
      @ricklandennis 9 หลายเดือนก่อน

      Kwann ww akili yako haifanyi kazi, huoni katika ya hizo hela Kuna ranga ya pink nyingi hakuna maandishi. Nyie ndio maboya mnauziwaga sabuni badala ya simu huwezi hata kushughulisha ubongo wako kutambua kitu unachokiona kwa macho

    • @geraldbajile7564
      @geraldbajile7564 9 หลายเดือนก่อน

      Yeye kaona hii ndio stahiri ya kujipatia kipato kwa kuwadanganya wajinga mwisho wa siku maisha yake yanamuendea

  • @samwelmarty6759
    @samwelmarty6759 9 หลายเดือนก่อน

    Hela hiyo acha ujinga

  • @boyfalao6594
    @boyfalao6594 10 หลายเดือนก่อน

    Kumbe wasenge mko wengi ivi mnashindwa kufanya yenu mnabaki na majungu acheni usenge taftenk zenu

  • @Mtazyinstrumental
    @Mtazyinstrumental 10 หลายเดือนก่อน

    Si ndo content hela anaga kila cku uwaga nacoment kwao

  • @user-vc5wo3sn7r
    @user-vc5wo3sn7r 10 หลายเดือนก่อน

    Huyo jamaha Hela anazotu😝

  • @user-jz7bu5ps1j
    @user-jz7bu5ps1j 10 หลายเดือนก่อน

    Acheni ujinga uwowivi zile pesa

  • @robertkigelulye9717
    @robertkigelulye9717 10 หลายเดือนก่อน

    Mshamba tu uyo wenye huwa hajitapi km yeye !

  • @user-fh5on7bb7z
    @user-fh5on7bb7z 9 หลายเดือนก่อน

    Nyinyi kama hamna hela bakieni namajungu yenu kenge nyee mwachani kijana atambe fanyeni kama anavo fanya yeye mbaa nyiee tokeni magetoni mkatafute hela tafuteni hela musitafute umbeya

  • @Caston_kayaka
    @Caston_kayaka 9 หลายเดือนก่อน

    Anafanya kazi gani yeye

  • @Rajabu56
    @Rajabu56 5 หลายเดือนก่อน

    Niunge

  • @joycemfuru4752
    @joycemfuru4752 10 หลายเดือนก่อน

    Wivu hujielewi

  • @kanukanute1514
    @kanukanute1514 10 หลายเดือนก่อน

    Utawala w magufur akuna upumbavu Kama hu,but pia hy jamaa anatkiw apimwe akil

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco8350 10 หลายเดือนก่อน +1

    Umekuwa sio mtu wa kujiamini cku hiz wakat unasimulia kitu then acha hizo I don't know ni Bora kuacha kurusha hizo story girl

  • @user-gc3zj4rf3m
    @user-gc3zj4rf3m 10 หลายเดือนก่อน

    Iyo sio hela k😊weli jamsa muongo😅😅😅😅😅😅😅

  • @user-ex7iy5rt6i
    @user-ex7iy5rt6i 9 หลายเดือนก่อน

    The problem you speak a lot

  • @allysinge7096
    @allysinge7096 10 หลายเดือนก่อน

    LKN KAMA KWNY KILA KIBAO KUNA SH ELFU 10, BADO PESA NYINGI MNOOO, WE UNAZANI IVYO VIBAO VIPO VINGAPI

    • @visionally975
      @visionally975 10 หลายเดือนก่อน

      😅 mil 4 laki 5

  • @alikidungura9419
    @alikidungura9419 10 หลายเดือนก่อน

    Huy kma anapesa hasa anazo ziharibu bas Watu wa serekali weshaingilia kati

  • @hermanarron5341
    @hermanarron5341 10 หลายเดือนก่อน +1

    Michezo ya kwetu Tunduma hiyo 😅

  • @Saaa235
    @Saaa235 10 หลายเดือนก่อน

    Jama pesa anayoila sioiyo anayotuonesha mitandaoni naongezea vitu bana anatupigaaaaa

  • @user-xu9mg8zr8x
    @user-xu9mg8zr8x 8 หลายเดือนก่อน

    Izo ni pesa sema ni wivu tu