ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
JAMAA CHIEF GODLOVE ANAEJISIFIA KUWA NA HELA INASEMEKANA ANAWEKA VIBAO ILI AONEKANE ANA HELA NYINGI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2023
- Mambo yamezidi kuwaka huko mtandaoni watu wanazidi kuweka ushaidi kuwa ChiefGodlove hana Pesa.
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
Daaa! Ukiangalia kwa haraka huwez gungua da! Ila watu kwa kuchunguza noma
Duhhhhh sio poa Hongera ndugu mtangazaji kwa kutujuza kitu ambacho tulikuwa hatukijui
devo king nampendasana
wabongo kwa kuchunguza tuko makini aisee
Amna kitu apo ila ata kuji brandi ivo ni moyo na niviji senti pia 😂😂😂
Michezo ya kwetu Tunduma hiyo 😅
Sauti ya mtangazaji mbaya.
Kama sio pesa sinatuhusu nini na ww igiza Kama nae anaigiza
Naijua iyo
Hebu jiulizeni ...mshawahi ona Bakhresa ama mtoto wake akipanga Hela namna hio !? Na akiamua kupanga Hela zake ....bunge la Tanzania litajaa noti na Bado zikose za pa kuwekwa
mwamba anmuonea wivu mwana...mwana ana vumba bhanaa
Nipesa izo
Kweli Siyo Hela.
Huyo jamaa anapesa kweli
Hakuna cha kuona wivu ukwel kuwa huyu jamaa hana pesa na mwenyew kasema
Mtangazaji punguza mbwembwe kwenye habari, unachefua yaan m2 anakosa ham ya kuendelea kusikiliza
Kwani watu wameona kuwa pesa ni nini labda kama tunakufa tunaziacha unazitambia nini ni upuuzi tu
Amna ukiwa na pesa nyingi ukizirekod Hua zinagoma Wakati mwengine 😂😂😂
Michezo ya kwetu Tunduma hiyo 😅 hatari sana
Wanatunduma wote tukutane hapa
Pamoja na Nakonde😂 nilipita uko nimekumbuka mbali nikabadilisha na vipaundi vyanguu😂
Amekosa adabu Magu amekufa, angekuwepo nidhamu ingepatikana meenyepesa tangu lini kujitangaza, ana Bank nyumbani kwao? Serikali iko likizo au? Huu ni ujinga na hila za utapeli, kwa kazi gani yaliyo nayo?
Jamaa pesa anayo sema watu wivu tu
Ndio pesa anayo ila angalia vizur upande wa kushoto kwako kwenye hilo burungutu elfu 10 imejikunja kibao kimeonekana
Hana hela bro wenye hela hawana mbwembwe hizo na kwann anatumia nguvu kubwa mpaka vibao
Dada unaongea sana unabore na kiingereza chako cha mchongo
Kweli ana zingua
Anakera hasa, mm nikimsikia yeye kwenye habari zao Tyr najuwa hapa hamna kitu. Dada mbona wenzako hawabwabwaji hivyo
Asawan Elphas from KENYA acheni wivu hizo ni pesabana
Usikute anawatapel watu
Huyo fala tuu ...Hana Hela zozote maskini mlala hoi ...pesa haioneshwi ...pesa inajotoa yenyewe ...na ukiona mtu anijisifu Yuko na pesa jua huyo ni panya wa kanisani ama bangunangu
Bas itakuw ata izo stalee sizakwer
FAKE IT UNTIL YOU MAKE IT🎉🎉🎉
Sisi tunamjuwa huyo mpaka kwake ni tapeli tu
Cretivity dooh pink manilla paper
Ela anazoo
Izo pesa bhana
ila jamaa anatupiga kwakwer mweny hela hajitangazi kwanz ili iweje kwa mfano 🙄🙄
Ela mchezo kwan
Acha ushirikina Kuna kufa
Dr kweli atamimi nimeamini siyo zenyewe
Oya rick kausha izi mambo zitakukata KWA sababu hazita kuongezea wafatiliaji ivi awe anahela ama hana hela nyinyi kinapungua nini ama kinaongezeka nini
Wajinga Kuna vingi vya kufanya
😂😂😂
Mwenye Pesa uwa hajionyeshiii huyo ana mawazo ya kimasikin
Maskini mbwa takataka, Wana Wivu, lakini Mimi ninachojua Chief Ana pesa nyingi Sana, Sasa Acheni wivu nyie maskini,kenge,😔✌️
Iringa mpaka dar sio safari rahisi acha awatishie mbao za kwao😂
Jamaa anahela kweli ila anazidishaga mbwembwe anapesa ya kawaida sio kama anavyo aminisha watu
Hana pesa ni fake za attetion😅😅😅
Hizo ni pesa JAMA anaheha
Oi amna k2 apo
Sas wew kama hujui kama ni kweli. unatangaza nin ??
Matajiri wana pitiya wakati mgumu ki noma, wew unae sem ni mbao katu tengenezey na wey tuone, ao kiki izo?
Ginimbi 😂😂😂😂😂
Kama hujuiii kaaa kmyaa bhax mwandixh wa habari cjui nyingi utafungwa
Uyoo mAku tu
Hela Freemason
Hizo pesa bwana watyu wanawivu sana ukipata pesa mchawi ukiwa maskini ugishugulishi sasa afanye nn kila mmoja anautafutaji wake sasa kaweka vibao ajaweka ayawahusu acheni ushamba😂😂😂😂😂
ACHEN UVIVU NA WIVU.... TAFUTEN HELA.. UPUUZ
Popa tunduma apa
Muacheni ale maisha kapambana kaondoka kwenye umaskin so muacheni kajitafuta kajipata
Kulia kupokezana.😅😅
Hahaha jamaa muongo uyo
Kweli kama ni Pesa mbona Sisi atupatiye anipe kwanza njo nijuwe ni Pesa
Anatak kumuiga tekash 😂😂😂 utachanip msamba
😅😂😂😂😂😂
Yote yanini kujitafutia husuda za bure?!
Pesa ya Tanzania ovyoo
Hamna hela humo
Wazee wa ku zooom😳😳😳😳🤣🤣🤣🤣
Aisee watu wanachunguza
Pesa kidogo hizo ukitakakujua geuza kwenye dollar ndiyo utajua hunapesa kijana
Sio za kweli anaweka vibao
Jamaa pesa anayo si izo kazidondosha tumeona kuna wengine ata mia hawana
Wenye pesa hawaoneshi😂
Hakuna siku wataonyesha kabisa pesa zao ni vile wata hawajui
Na hayo magar anayotumia yote ni fek ya kuzungusha subir tra waone
Nyie vp tafuteni pesa hizo ni pesa kwani pesa haziwezi milikiwa na binadam?
Nanyie tafuten sio nyoko nyoko tu
Vibao aiseee
Ana kipi cha kumuingizia pesa
Huna hela mzee acha kuvimba na kiini macho kibao kinaonekana kbsa icho umeweka rangi ya waridi
Pesa anayo mabwege nyie
Unaongeya saaana dada
nataka ku joinfreemason
Jama kawa maarufu sasa
Huyu mchizi kumbe boya 2. Tulijua huwa ananoti kumbe tapeli nyoooo
Je hatakama vbao unaweza rngana nae
Mnazingua jamaa anapesa kwel
We Mkewe mpaka utusibitishie" Sisi watoto tuliozaliwa mjini tunaijua hiyo michezo.
Huyu ana ndangu,pesa za majini au ana jini ambaye anampatia hizo pesa
Chief umemtoa mond trending
Acha ufala mwenye hela ajitangazi kma kwl why aifute video
Sema asaiv dadaangu unaweka vionjo vya kuongea mpka unakela duuuh
Apa akili ndio inatakiwa tumia akili zako zote. Ila weka akiba ya akili ivi inawezekana mutu atumie bibao pesa kudanganya watu ili apate nini kaonyesha malangapi anatoa msada KWA watu na watoto yatima. Ivi ile full track shinga nakatoa KWA watu wangapia acheni kuchafuafua watu nyie media
Ww huna akili angalia hela OG kaifunga mara moja na hayo mambao kafunga marangap
Kama Anaigiza na wao si waigize??? Achen kukatisha watu tamaa mbwa Ninyi
Muongo usipoteze muda wako kumfatilia
Kwann ww akili yako haifanyi kazi, huoni katika ya hizo hela Kuna ranga ya pink nyingi hakuna maandishi. Nyie ndio maboya mnauziwaga sabuni badala ya simu huwezi hata kushughulisha ubongo wako kutambua kitu unachokiona kwa macho
Yeye kaona hii ndio stahiri ya kujipatia kipato kwa kuwadanganya wajinga mwisho wa siku maisha yake yanamuendea
Hela hiyo acha ujinga
Kumbe wasenge mko wengi ivi mnashindwa kufanya yenu mnabaki na majungu acheni usenge taftenk zenu
Si ndo content hela anaga kila cku uwaga nacoment kwao
Huyo jamaha Hela anazotu😝
Acheni ujinga uwowivi zile pesa
Mshamba tu uyo wenye huwa hajitapi km yeye !
Nyinyi kama hamna hela bakieni namajungu yenu kenge nyee mwachani kijana atambe fanyeni kama anavo fanya yeye mbaa nyiee tokeni magetoni mkatafute hela tafuteni hela musitafute umbeya
Anafanya kazi gani yeye
Niunge
Wivu hujielewi
Utawala w magufur akuna upumbavu Kama hu,but pia hy jamaa anatkiw apimwe akil
Umekuwa sio mtu wa kujiamini cku hiz wakat unasimulia kitu then acha hizo I don't know ni Bora kuacha kurusha hizo story girl
Iyo sio hela k😊weli jamsa muongo😅😅😅😅😅😅😅
The problem you speak a lot
LKN KAMA KWNY KILA KIBAO KUNA SH ELFU 10, BADO PESA NYINGI MNOOO, WE UNAZANI IVYO VIBAO VIPO VINGAPI
😅 mil 4 laki 5
Huy kma anapesa hasa anazo ziharibu bas Watu wa serekali weshaingilia kati
Michezo ya kwetu Tunduma hiyo 😅
Jama pesa anayoila sioiyo anayotuonesha mitandaoni naongezea vitu bana anatupigaaaaa
Izo ni pesa sema ni wivu tu