Haya maisha doto we jikubari kwan kwao makazuramimba wanapaonyesha af mjin nimjin tu asikudanganyemmtu ndiomana mrume wamungu alitoka maka kwenda madina alivipita vijiji vingi tu mbona hajakaa chamsingi kuheshimiana tu ila wanavijiji tunawavumiliasana
Baba levoo sio mwanaume jinsia nyengine Hana akili kweli ikaseme ukazaa na mwanaume mwanzako yule choko achana nae hamna kitu askikupijishe kelele hamna kitu
Watu wengi tunashindwa kutofautisha nini maana ya tajiri,ni hivi utajiri sio kuwa na pesa nyingi mfukoni,utajiri ni kuwa na uwezo wa kupanga mipango ya kuingiza yani maarifa ya kupata yani pesa kuiita na ikaja kuituma na ikakubali sio kutembea na mabulungutu mfukoni huo sio utajiri
“Nipige kioo nivunje ujue ni gari yangu” 😅😂
Hapo nimechoka
Dotto keto nakuelewa mwanangu toka enzi izo nakuona kinondoni unapiga Debe adi Leo big up Sana Kaka.
Kumbe alikuwa mpga debe
⁶I
Tupo live dotto magari nahapa ipo choko huyo babalevo salute ninja dotto magari
Haya maisha doto we jikubari kwan kwao makazuramimba wanapaonyesha af mjin nimjin tu asikudanganyemmtu ndiomana mrume wamungu alitoka maka kwenda madina alivipita vijiji vingi tu mbona hajakaa chamsingi kuheshimiana tu ila wanavijiji tunawavumiliasana
Jeshiiiiiiiiiiiiii.dotoo
Nacho mpendea mwamba huu hana upande sijui NLM sijui Konde gang sijui wasafi sijui kings apo utatukusanya mze baba nakufurahia sanaa
Baba levoo sio mwanaume jinsia nyengine Hana akili kweli ikaseme ukazaa na mwanaume mwanzako yule choko achana nae hamna kitu askikupijishe kelele hamna kitu
Doto wachane brother
Sio pazia, Dotto anaishi chooni chumba Giza katikati kimetengwa na shuka kutenga chumba na sebule.
Sawa Kodi analipa mwenyewe halipiwi na mwanamme mwezake
❤wakuache mara mia
Oya mtt wa kzmkaz wape makavu hao makocho 🎉🎉😮
Nakubal brother
Dotto magari mzima kuliko mapuwa anaye sifiya mali ya mwanaume mwenzake kuliko kujisifiya mali yake
Hawakuwez kutoka mteja mpaka kulipa kod me najua iyo broda sio rahis wakuacheeee hao machoko
Afazali umejikubali❤❤
Dotto❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😅😅😅😅😅😅
Jump jump no position 😂
Doto anamtihan mkubwa kubishana na mashoga kazisana
Nice
Dotto ❤😂
Baba levo shoga asimuumize kichwa dotto
Wengi wasafi mashoga tunajua
Watu wengi tunashindwa kutofautisha nini maana ya tajiri,ni hivi utajiri sio kuwa na pesa nyingi mfukoni,utajiri ni kuwa na uwezo wa kupanga mipango ya kuingiza yani maarifa ya kupata yani pesa kuiita na ikaja kuituma na ikakubali sio kutembea na mabulungutu mfukoni huo sio utajiri
Wamuache doto 😅
Ila ukija kwetu kizimkazi hatuvai misarabaaa uwachee bandarini usije nao hukuu Doto
Makocho mboni wapo huko
Wee magali wahambie ukweli pumbavu hao
JAMAA ANAJITAMBUA SANA
Saf
Dotto kibali unaishi karibu na chooni
Doto nakuku bali lakini usivae msalaba kama wewe muislamu sasa ndo unamaanisha nini?
Ila kweli wakiongozwa na Lokole group lao moja😂😂😂
Dotto magari anaongea sana kapigwa kwenye mshono panauma
Aliongea darasa, Nan mjanja, mzawa alochoka au shilole alojipata kutoka igunga
Acha dharau mtoto wa kike hii Dunia tunapita
@@sidemashine7168 welcome Dotto magari kwenye ulimwenguwa wambeya na bado hujasema mpaka useme
Hawa kuwezi
Oya broo inabid wakupe ktengo cha kuatumbua wasio na mkole maana wapowengi atakwetu wapo
Msalaba shingoni kaka yangu uku unaswali
kaka mchane mshamba huyo
dotto dotto kaka wewe ni OG.....baba lavo.. ni chiziiiiii,,,,,,,,,,,
Ilaa mahann wadau huyu dott mwislm mbn kifuan kwake kabeba zigo la msl7
Hahahaaa
hahaha
Kee basisiodoto uyo nimendekamaanaishichooni
Iforensa brother na ukiitajika utaitwa...
Wengi wa meLEFT ma GROUP
🤣😂eti naweka vipi pamnzia kati nimecheka kifala
Kweli anakaa chooni ana mpango anajiona fala tu
Unaeza zaliwa dar na Bado ukaonekana fala, wakuja wakaja beba kiwanja chako 🤣🤣
ujue tunechoka kusikiliza au kuona habari ya Doto kila siku mnakazi yakubadilsha tarehe tu
Stop watching are they forcing you? 😏
Njoo uojiwe wewe
Bunda hilo lakupiga picha nalo daily anatuonesha hyo iyo tumia hela wacha ubakhili sio tu kupiga picha nalo
Ela zinafanana
Mfanyaaa biasharaaa huanapesaaa kilaaa sikuuu so kuamuelewa wewe na comnt zko
Unavaaa mislabelled mbwa ww
Doto unasema ukweli na uhalisia wa maisha.
Huyu sio mu Islam anava musalaba
kwani msalaba dini?
Mbona huwa anasemaga yeye msilamu hafu anamsalaba
Huo sio msalaba ni Alama ya kujumlisha
Subhannallah watu wadunia dini jina
Uwe muislam uwe mkriso wote kwa mungu sawa Sisi afrika msituretee matabaka muacheni