JAPHET ZABRON - FT AMBWENE MWASONGWE -MANENO MAZURI (SMS SKIZA 5430280 TO 811)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
- Genre : Gospel
Artists: Japhet Zabron
Song : Maneno Mazuri
Songwriters :Japhet & Ambwene
Audio : Modern Music (Nsajigwa Mordecai)
Studio : Creative Sound (CS)
Video : Dr Crix
Company : New Era Films
Cont.
Po Box 56
Kahama,Shinyanga
Tanzania.
+255755778378
+255711744091
Email:zabron56@gmail.com
Nilichovutiwa nacho zaidi ni kuwa, kumbe Msabato na Mlokole wanaweza kuungana na wakaimba wimbo mmoja na ukapendeza hakika. Huu ndiyo Ukristo, tupinge ubaguzi wa Madhehebu ndani ya Ukristo. Hongereni sana kwa wazo hili.
Imeandikwa sio dini itakayokupeleka mbinguni bali kuishi maisha yampendezayo Mungu . Zaidi ni Neema yake Bwana.
Tunapishana tu siku ya kuabudu na sikukuu za kidini hapo ndipo pana kelele ,maana msabato kashika sheria na mlokole kashika wokovu na siku ya kufufuka Yesu
@@mariamidrisa1359 hakika na si siku ya kuabudu
Wote tu watu wa Mungu
"Msalaba" hauna mipaka,ukijua thamani ya msalaba utofauti wa madhehebu si kitu,yesu aliwahi kuulizwa,"mwalimu kuna watu wanatoa pepo kwa jinalako,yesu akajibu,"wasio kinyume nanyi mpo pamoja nao.
Wimbo mzuri na unaonitia moyo wakati nipo chini, ata Kama mimi ni mtumishi kwa njia ya uimbaji huu wimbo ni sehemu ya maisha yangu. 👏🙏
Huu wimbo utaishi milele na mikele kama unakubaliana nami piga like za kutosha
🗣Nimerudia huu wimbo Mara 50 nahuu ndio wimbo wangu bora wa mwaka🔥🔥🔥🔥
Who is still here watching, gonga like tuwanenee watu maneno mazuri🥰🥰🥰
Hivi mziki huwa una nini jaman??, kuna saa unahamia mahali kwa muda kama vile sio duniani, unahisi aman hata kama uko katikati ya magumu, kuna saa unasikia kasauti kazuri kanashusha mizigo mizito moyoni aaaaah na hiyi melod na bit composer imegusa sana moyo wangu. Mbarikiwe sana na Mungu. Nyimbo zenye ujumbe wa hv ni chache sana siku hizi. Mungu azidi kuwatumia. Glory to God.
Amen amen
Hakika wimbo unaujumbe mzuri mbarikiwe mwende mbali ila msipotee yani nimeona wimbo umekuwa mfupi cjui Kwa sababu ni mzuri sana
Amin Amin
@@ujasiriamalijitegemee345 Mbalikiwe kwujumbe mzur
Muliyahesabu makosa ya mtu, ehh Mungu nipenguvu 😭😭😭😭 kiukweli wimbo huu unazungumuziya Maisha yangu yaaani hakuna tofauti😭😭, Mungu uwe nani siku zote😢😢. Asante kwa wimbo muzuri wimbo wakutiya nguvu. Mungu wangu akuinuwe zaidi🥰🥰🥰🥰
Wimbo huu una upako zaidi,MUNGU awatumie zaidi na zaidi kwa ajili ya utukufu wake🇰🇪🇰🇪
Nyimbo zako zina i jenga imani yangu sana mno. Mbarikiwe na Bwana. Nawapenda sana toka Goma, DRC 🇨🇩 ❤
Huu wimbo nausikiliza kwa siku hata mara 10 the best song ever👋🤲💘💘
Wimbo bora wa mwaka🕺🏽 pongezi kwako bro Japheti Zabron
Nice song yanibariki kweli nipo Gulf
Mungu akubariki kwa wimbo huu umenitia moyo sana.
Mungu akubariki Sana unanibariki sana
Ubalikiwe kwa huduma
@@michaelkamaghe5046 l
Mungu awaongoze mfike mbali ila msipotee, ukristo hunia mamoja
Duh nyimbo zako ni tiba kubwa sana ya moyo, ulicho nifurahisha kwenye hii nyimbo ni kumsirikisha fundi
From Khon kaen- Thailand nimemtafakari sana Mungu kupitia ujumbe wa wimbo huu kwa machozi. Yesu awabariki sana
Nabarikiwa nikiwa Oman Asante wapendwa kwa ujumbe
Ooh wimbo umenifariji sanasana Mungu azidi.kuwainua watumishi.mpoo.juuuuu
Mungu...akubariki...saaana..mtumishi...japhet
Ndivyo walivyo watu. Asante kwa wimbo wenye maadili
Wanadamu hatubadirikake kweli mahubiri kila siku tuna yasikiya kupitiya nyimbo zawaimbaji na tuna soma kila siku bibliya takatifu ila roho zetu mungu. Uwe na tusamehe kila dakika eeee mungu tupendane tungali hai
Wimbo nzr jamn nikiusikiliza nafarijika ndani ya moyo wangu Mungu awabariki watumishi watu bwana
Mwambie mtu mazuri yake wakati angali hai ili aweze kusikia mwenyewe. Ujumbe mzuri sana. Mungu akubariki JZ
Nimebarikiwa sana kwa wimbo, nimebarikjwa zaidi kuwaona role models wangu wakiwa wamefanya collaboration...Hakika najifunza
Sauti za dhahabu,,
Huu ndio Ukristo, tukatae kutengwa na madhehebu
Muwanenee watu wenu maneno mazuri.... woow... 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Wao wimbo mzuri sana barikiweni aaimbaji na mnaosikia wore sifa kwa Mungu Mkuu!!!
Kaka kazi hii imetulia hata wewe umeona 😁
Wimbo mzuri sana huu
Ni wimbo wa kuponya magonjwa ya aina mblimbli pia ni wimbo unatupa rehema na baraka zinamiminika kwetu Mungu awakumbke kwny kz yenu mharikiwe kutoka kibaha
Wimbo mzuri sana yaani bhebhe nsobha wemba mmmmh Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu.Mungu azidi kukutumia vyema kwa kazi yake.AMEN
Nimependa wimbo nimebarikiwa MUNGU awe nanyi hadi ukamirifu wa dahari
Daaa! umejua kukonga Moyo ndg Hongera kwa wimbo mzuri
Ambwene wewe napendaga kukufwata wakati nikiwa na njaa kwa sababu nikisha shiba nyimbo zako sizielewagi ! Wewe ni jembe mungu akuzidishie Asante 100 💯
I show love💕 from rwanda 🇷🇼
Nimebarikiwa sana huu wimbo nimejifunza mambo mengi mbarikiwe na kazi yenu mungu azid kuwainua
Mtumishi Umebarikiwa.. natumai Siku moja nitatumikia Mungu pamoja nawewe..
Asante Jehova kwa muunganiko huu haleluyaaa
Hahaha Sauti zao ooooh. Hawa jamaa ni Nguli haswa. Zabron salute.
Natamani huo mwimbo ungekuwa hata na Dak 10hivi mana unagusa moyo balaa ,,, dah! Sifa za mtu nzuri hunenwa wakati akifa "" Hongera Japhet Zabron
Kaka hongera sana, huu nikiusikiliza najifunza kitu, na ni wimbo wa kufikirika, Big up bro
Duuu kweli tunapata vya jikoni hatutakuwa na cha kujitetea MUNGU ATUSAIDIE
MBARIKIWE SANA
Mungu atutunze pamoja tuendelee kuwafurahia ila mmefanya Jambo zur kushilikiana watu tunaamini wasabato hawapendi kuchangamana mungu awatunze
Kwakweli huu wimbo ni mzuri una ujumbe mzuri Sana Mungu awabariki Sana watumishi na endeleeni na unyenyekevu huohuo hakika Roho mtakatifu atukuzwe Sana
A good song indeed, what an emotional melody. Pass my Congratulations to the beat composer.
Niseme namshukuru Mungu kwa ajili ya vijana wawili hawa wanyenyekevu wimbo huu na uwe manukato mbele za Bwana
Ndio binadamu sio wazuri wanapenda kusema mabaya tu mzuri yake sio tija kwao lakini mungu anawaona atalipa.
Eee mungu nisamehe dhambi zangu, huu wimbo umenibark sana.
Wimbo huu hakika Utaishi siku zote hakika hakika Bwana Ametenda Nanyi Wana WA Mungu Mkuu Mwenye Enzi Zote Kwa Damu Ya Masii Kristo Mfalme Yesu WA Uweza Na Uzima
Mungu anawapenda nanyi mzidi kudumu katika Imani yake Wapendwa mlitubariki mnoo mtaa wa kibamba 💖
Amen,tutawamiss sana
@@japhetzabron1881 sisi pia
Yaan kabla sijamaliza nimeipenda
nimeipenda song hii niliskia mwanzo kwa radio 47 waah kusema kweli asubui hiyo ya kipindi cha nuru na mama eva ya saa kumi subui ...had to download the song
Asantee Kwa wimbo mzuri mmenibarisana Japheth na Ambwene Asantee kwakutukuza ki lmani maana nimejikuta nimekuwa jasiri zaidi Kwa ajili ya Mungu
Wimbo wangu pendwa
Mubarikiwe watumishi wa Mungu🙏🙏
Nabarikiwa sana kaka Japheth & ambwene Mungu azidi kuwainua ili ulimwengu ubarikiwe
The place that you Zabron use to shoot your songs looks gorgeous keep it up atleast you are showing that our God is not poor mugu awabariki na awape hekima
Mungu awabariki na awape nguvu na hekima
Kaka mungu akubariki sana aendelekukupati ufunuo mengi akuangazie daima barikiwa sana zabron
Hongera kwa hekima ya kuungana na kuimba wimbo huu unao ujumbe wa Yesu Christo mkombozi wa watu wa tabaka mbalimbali. Mungu akusidizie hekima.
Ulivyopokea tu kk Ambwene had machoz yamenitoka hongera kwakipaj kizur unasaut yakumtoa nyuki pangon
I wish one day niwe kama hawa kaka zangu.....my prayer for god
Wimbo huu ni mubaraka saba kwangu, siwezichoka kuisikiliza,,,,Mungu akujalie kwenye utunzi huu
Mbalikiwe saana jaman wimbo mzuri sana Mungu awatie nguvu mzidi kuitangaza injiri
Oh Ambwene unatuliza watu wazimaa
Mungu akutiye nguvu, umenijenga moyo kwakweli.
Mbarikiwe na Mungu wa tumishi wa Bwana
mkubali kushughulishwa na mambo manyonge,,,,wimbo mzur sana mbalikiwe sana
Huu wimbo unastahili kubeba tuzo.
MUNGU akukumbuke kama unavyo mtumikia kwa njia ya nyimbo "ZENYE MATUMAINI" hongera sana.
That lyrics i met my self in heaven already playing with Angels, dancing wow so amazing, unfortunate I realise am still on Earth having stay home challenge, gooosh even this will be over in Jesus name, thnx you made my day.
Wimbo mzuri san mungu awa tie nguvu Zaid👏👏
Kweli wanenee watu wote mema na siyo mabaya,barikiwa watumishi
Am blessed watching from Dubai.may the Almighty bless you all.🙏
Hakika tuwa neneee watu ma neno mazuri na bwana akubariki msikilizaji utafakari ujumbe huu kwa making nawe utabarikiwa
Jamani kristo azidi kuwabariki watumishi. Wa krsto asanteni sana
Amen bro from kenya. A good song and encouraging. Like your songs.
Jamani huu wimbo naupenda sana nausikiliza kila mda mbalikiwe waimbaji 🙏🙏 mwambieni mtu wema wake bado yuko hai sio msubili akishakufa
I don’t know kama ni Mimi tu nimesikiya maneno mazito yaliyomo katika huu wimbo. God bless you guys Ambwene you are fantastic
Nakuona Ambwene Mwasongwe ajae ubarikiwe mno
There is nothing uplifting like lyrics that Attest the true word of God.
MUNGU akubariki sana mdogo Wangu, tunamshangilia MUNGU kwa kukutumia kwa namna Hii ya pekee. Barikiwa sana
Hakika haki ya mnyonge ipo mikonon mwako Mungu
Brother Zabron, unajua kunibariki sana. Nakumbuka toka enzi zile umekuja Nyarugusu until today, naona Mungu anatenda makubwa sana. Natamani kupata mawasiliano yako tufanye jambo kaka.
God bless u big bro Abwene,,Japheth u are just amazing🙏🙏
NICE song's blessing listening to you guys here in Kenya
Nimejenga san nao wimbo Jana mungu akufanyiye wepesi kk unaye.tunga.nyimboizo
Waimbaji bora,wimbo bora barikiwen.
Hakika ni vyema kusema mazuri ya mtu angali hai kuliko kusubiri aondoke duniani.
Best song ever, nimeusikiliza zaidi ya mara 10, Mungu azidi kuwainua zaidi. Nimeona ukongwe wa Ambwene katika ubora wake, Big up Brother👍
This song has true messages. God bless you all ❤🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰🥰🥰🥰🥰🥰😍😍😍😍😍😍
Can't get enough of this song it's real blesses me🙏
Ablesd man of God.thax japheth.from kenya
Wimmbo wangu pendwa sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
Pole kwa wapedwa wetu😂😂😂😂😂rest in peace lovery brother marco
Barikiwa sana mtumishi wamungu utukumbusha
Nabarikiwa Sana na wimbo huu
Wimbo mzuri sana mn wamekutana mafundi wa kuimba nyimbo za injili
Wimbo wenye viwango huu, well done brethren
Mob love from Kenya my friend Japheth keep going keep going Japheth...it's a nice song nice set up...good voices...you are blessed dear.....
Onyesha upendo kwa kila mtu.
Maana MUNGU ni upendo.
Hallelujah?
Wimbo mzuri sana naupenda nikiusikiliza unanifariji sana mbalikiwe kwa umoja wenu
Bros Japhet & Ambwene more grace to you. You are such a blessing
Goood
Wimbo unatia moyo Sana mungu awabariki sauti zuri
Ongeleni sana wa Sda wenzangu.Sauti litokalo Burundi.
Barikiwa sana Kila ninapousikiliza huu wimbo