Maradhi makubwa walio nayo majarani zetu hawana moyo wa kusaidiana wao kwa wao, ukiwa Kenya chako ni chako hakuna hata ku share na majirani, na ukiona wanasaidiana ni kwenye maandamano au kabila moja, waliomba katiba wamepata, waliomba Wapate Rais mpya wamepata, sasa hawamtaki wanataka Ruto ajiuzuru sasa hiyo ndio democracy ?? kwa jinsi Wakenya walivyo hata Mungu wa Mbinguni awashushie Malaika watauliza huyu Malaika ni wa Kabila gani? Nchi yao kwenye suala la ukabila ni beyond the repair, na dhambi ya Ukabila itawatafuna milele na sisi tunasema waache iwatafune tu viburi wakubwa, hata mtu awe Mcha Mungu kama sio kabila lao hawakutaki, vurugu zote hizi ni watu wa Raila Odinga ndio pasua kichwa, na ukizingatia sisi Luo hatuna asili ya Uwoga yaani South Sudan Moja hiyo hahahah Ruto atakuwa na wakati mgumu saana
Miaka ishaa anza kupita prezo anafanya kitu n uongo tu kubomolea watu nyumba ajenge za serikali inasaidia aje mtu wa chini? Wanatetea matumbo zao tu .garama iko juu karibu kiberiti inafika shilling sh10 n mungu tu
Maoni yangu ruto asitowe hukum yote ile inapaswa tu awasikilize.vijana bila kutowa humu yeyote kwa mtu.yeyote.yule kwa maana hii.ya kuleta usawa kwani msimamo wavijana wanaitaji wasikilizwe tu maoni yao.basi
wajinga sana ninyi wakenya mna bomoa nchi yenu mtabaki kuwa masikini wakipato nchi na fkira wacheni uzidisha hasara na umasikini taifa lakenya lina vijana mabangi matupu
Tumekuomba tukuje kwa taifa lenu mwuone shenzi type usilinganishe Kenya na huko kwenu sio bure mnakuja kuza mitumba Kenya we are very educated people utangoja sana☝️
Mungu amkumbuke jirani yetu Kenya jmni
Maradhi makubwa walio nayo majarani zetu hawana moyo wa kusaidiana wao kwa wao, ukiwa Kenya chako ni chako hakuna hata ku share na majirani, na ukiona wanasaidiana ni kwenye maandamano au kabila moja, waliomba katiba wamepata, waliomba Wapate Rais mpya wamepata, sasa hawamtaki wanataka Ruto ajiuzuru sasa hiyo ndio democracy ?? kwa jinsi Wakenya walivyo hata Mungu wa Mbinguni awashushie Malaika watauliza huyu Malaika ni wa Kabila gani? Nchi yao kwenye suala la ukabila ni beyond the repair, na dhambi ya Ukabila itawatafuna milele na sisi tunasema waache iwatafune tu viburi wakubwa, hata mtu awe Mcha Mungu kama sio kabila lao hawakutaki, vurugu zote hizi ni watu wa Raila Odinga ndio pasua kichwa, na ukizingatia sisi Luo hatuna asili ya Uwoga yaani South Sudan Moja hiyo hahahah Ruto atakuwa na wakati mgumu saana
Miaka ishaa anza kupita prezo anafanya kitu n uongo tu kubomolea watu nyumba ajenge za serikali inasaidia aje mtu wa chini? Wanatetea matumbo zao tu .garama iko juu karibu kiberiti inafika shilling sh10 n mungu tu
Looking good follow back done God bless you ❤❤🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇱🇷💖💖💖💖👀🙏🤳
ACHENI UKABILA NYIE WAKENYA,
Kenya Acheni ujinga Amani ni kitu muhimu sana vita isikie Kwa jirani
Wanaopata shida ni watu wa kipato
uweeeh kama utuaje na kenya yetu alaaah sisi ndio tunaumia hao wakikula sisi ndio kufinishi kumalo
@@miriamvihenda7408 ww upo home ùmetulia
Maoni yangu ruto asitowe hukum yote ile inapaswa tu awasikilize.vijana bila kutowa humu yeyote kwa mtu.yeyote.yule kwa maana hii.ya kuleta usawa kwani msimamo wavijana wanaitaji wasikilizwe tu maoni yao.basi
WAT Kama hamna Cha kucoment acheni ujinga wapuuzi nyinyi
Kanisa ni ya vijana?malezo yenu ya vijana yatawacost,hata wewe unayesema hauko salaama
Hawa vijana wako na wazazi kweliii,
wajinga sana ninyi wakenya mna bomoa nchi yenu mtabaki kuwa masikini wakipato nchi na fkira wacheni uzidisha hasara na umasikini taifa lakenya lina vijana mabangi matupu
Tumekuomba tukuje kwa taifa lenu mwuone shenzi type usilinganishe Kenya na huko kwenu sio bure mnakuja kuza mitumba Kenya we are very educated people utangoja sana☝️
Aliyewatuma vijana atafahamika
#ndovudentalclinic