KIMENUKA: MCHEPUKO WA MARCO WA ZABRON SINGERS AMEKUJA NA MTOTO MSIBANI ADAI URITHI WA MTOTO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 3.2K

  • @DanleyDon-vd7zd
    @DanleyDon-vd7zd 2 หลายเดือนก่อน +4

    Mmmmmmh!!!!! Kuna mambo chini ya jua!!! Mmh!!!! Pole San dear mama au mke halali WA Marco jipe moyo munguvhatokuach Wala hatokupungukia 💕💕💕💕

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 2 หลายเดือนก่อน +40

    Jamani msifikiri aliyekufa alikuwa mtakatifu kwa sababu yakuimba kwaya.
    Mungu ndie anajua mambo yake ya siri na yataonekanq wazi

    • @lucymlekachuma7879
      @lucymlekachuma7879 2 หลายเดือนก่อน +3

      Pamoja hatujakamilika ni biinnadamu sisi

    • @TunuMbega-g2y
      @TunuMbega-g2y 2 หลายเดือนก่อน +2

      Kabisaaa nipe tano ya juu😂😂😂 ndio waislam wamepitisha mke zaidi ya mmoja

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 2 หลายเดือนก่อน +4

      Ndio hatukatai ila kwanini asubili afe ndo aje kusema😮😮😮😮

    • @damarismokogoti1428
      @damarismokogoti1428 2 หลายเดือนก่อน

      Waaah nimeshangaa

    • @Jacksbalampa
      @Jacksbalampa หลายเดือนก่อน +1

      Sawa kwa nini asubili afe mbona hakusema mapema

  • @nifferyjoseph7399
    @nifferyjoseph7399 หลายเดือนก่อน +1

    Ahaaaaa🥳🥳Yataibuka mengi
    UKWELI ANAJUA MUNGU 🙌🙌

  • @ramadhankombe2643
    @ramadhankombe2643 2 หลายเดือนก่อน +236

    Acha ujinga!et mme wangu.uliolewa kwa ndoa?yaan mtu hajazikwa et ushaanza kudai urithi?na ww mwandishi ningekuwa karibu na ww ningekuchapa vibao.maana unahoji mambo ya kipuuz wakt watu wana majonzi.pumbavu sanaa.

    • @vailethmsogoth8235
      @vailethmsogoth8235 2 หลายเดือนก่อน +27

      Tena Kofi la kisogo Ili ku restore setting za ubongo koblaa kabisa😢

    • @simonogenche913
      @simonogenche913 2 หลายเดือนก่อน +1

      Ahk

    • @MashakaMagesa
      @MashakaMagesa 2 หลายเดือนก่อน +11

      Kwa kosa Gani Sasa yaani wakristo Sheria ya mke mmoja inawatesa sana mbona kwenye biblia Kuna Watu walioa wake wengi na Mungu akawabariki Watu hao

    • @ayelaeverlyn6373
      @ayelaeverlyn6373 2 หลายเดือนก่อน +10

      Hao ni wazimu wawili wamekutana wanataka kutrend wakati mbaya washindwe sana

    • @ayelaeverlyn6373
      @ayelaeverlyn6373 2 หลายเดือนก่อน +7

      ​@@MashakaMagesambona hakuja mapema mbona ungojee mtu afe ndo ujitokezee

  • @Nzambimanachantal
    @Nzambimanachantal 2 หลายเดือนก่อน +7

    😢😢yoooh mungu akulemu we mama hivi ukimucafuwa malehemu unajiskiaje? 😢na wewe mungu akulehemu pia

  • @JamesElias-s3r
    @JamesElias-s3r 9 วันที่ผ่านมา

    Kuwa na hofu ya mungu unauhasiri wa kusema Mme wangu ulifunganaye ndoa mke anayejulikana ni mmoja tu acha kumchafua mtumishi wa mungu ungekuwa na akili ungejitokeza ulivyosikia anamke saiv unadai mtaji ungekuwa mke mtaji ungepewa siku nyingi ndo mjifunze mnaoingiliaga ndoa za watu huna hata aibu ww Mama

  • @mamasia9741
    @mamasia9741 2 หลายเดือนก่อน +13

    We mpumbavu sikia tukupe habari. Sisi wa sabato hua hatunaga ndoa mbili ndoa ni moja tuu namke anae julikana ni mmoja mke wa marco na sio ww,,,,,kwanza ww tukuulize unawajua ata ndugu zake na kama ni kweli kwann asikutanbulishe ata kwa ndugu ata rafiki,,,,we dada katafute baba wa mtoto wako acha kumchafua mtumish wa mungu kwanza hufananii kabisa. Pole sana

    • @JosephmwitaJosephmwita
      @JosephmwitaJosephmwita หลายเดือนก่อน +1

      Kuweni makini na hayo maneno yenu huyu dada sio chizi,,usabato na matendo ya mtu ni vitu viwili tofauti

    • @JosephmwitaJosephmwita
      @JosephmwitaJosephmwita หลายเดือนก่อน +1

      Punguza kashifa kwa huyu mama mtumishi wa mungu unamjua

    • @peternjau752
      @peternjau752 หลายเดือนก่อน

      Pore sana mama

    • @harounmadulesi3608
      @harounmadulesi3608 หลายเดือนก่อน

      Nimecheka sana.... hafananii na nini?!?! Yaani umeuvaa uhusika wa marehemu?!?!

    • @reginacosmas868
      @reginacosmas868 หลายเดือนก่อน

      Niko na wew kabsa Hana akili yeye angekua ndo mke wa kwanz ingekuaje ni hv hakuna wake wawili kwa wakristo alambe lolo2 asituchoshe Kwan lazma atangaze

  • @brigethsauzand3926
    @brigethsauzand3926 2 หลายเดือนก่อน +34

    Yaani michepuko inavyopendaga kujipa Hadhi ya mke uwiii!!

  • @KulwaLudovick
    @KulwaLudovick 2 หลายเดือนก่อน +21

    Uyo mama na mtangazaji wote wapumbavu sana

    • @EmmyMtila
      @EmmyMtila หลายเดือนก่อน

      Kwanza walianzaje kumkaribisha msibani wangemburuza winji winji 😂😂

    • @Juliadajulianacrisanto
      @Juliadajulianacrisanto หลายเดือนก่อน

      Na lafu kuma tu

  • @EmmanuelLucas-of3pc
    @EmmanuelLucas-of3pc 2 หลายเดือนก่อน +62

    Huyu dada mjinga sana anatumiwa na Ibilisi kulichafua Kanisa la Wasabato Shida sio mali ila ametumwa kulichafua Kanisa la Mungu.😭😭

    • @EstherOkwon
      @EstherOkwon 2 หลายเดือนก่อน +4

      Angalia macho ilivyo simama kama mganga

    • @innocentfortunatus725
      @innocentfortunatus725 2 หลายเดือนก่อน +3

      Sasa kama ana mtoto wake ni vibaya, kanisa halihusiki kwani alikuwa malaika

    • @innocentfortunatus725
      @innocentfortunatus725 2 หลายเดือนก่อน +4

      Ujinga wake uko wapiii kusema ana mtoto wake au?

    • @EmmanuelLucas-of3pc
      @EmmanuelLucas-of3pc 2 หลายเดือนก่อน +3

      @@innocentfortunatus725 Hio sio kweli kama ingekuwa kweli angeenda wakayamaliza kifamilia sasa mtandaoni wamsaidie Nini kama hajatumwa na Ibilisi?

    • @PatriciaAkena
      @PatriciaAkena 2 หลายเดือนก่อน

      Shetani hana aibu anasema yeye ni mke haja olewa utakuanjee mke

  • @erickchaula5084
    @erickchaula5084 2 หลายเดือนก่อน +39

    We Dada mwogope mungu hizo Kiki zitakuponza

  • @raphsanjosempire
    @raphsanjosempire 26 วันที่ผ่านมา

    jamani, kinacho nisikitisha ni kwamba mda wote umekuwa naye hata kujaaliwa mtoto hajawahi hata siku moja kukutambulisha kwao au hata watu wake. kisha watu bado wanaomboleza wee tayari unataka urithi,,,,,balaa gani hii? Yaani binadamu wamekosa haya. Hata jinsi anavyoongea hana hata uchungu na marehem au familia yake. Huyu binti alitaka tu umaarufu na keshaipata ila kwa njia ya aibu na uongo.

  • @LEEMORO
    @LEEMORO 2 หลายเดือนก่อน +54

    Sema Kiki Zitawaumizaaa Wallah Nawaambia Umaarufu Utawaponzaaa kiki Zinawaumizaaaaaaaaaa

    • @greenberry254
      @greenberry254 2 หลายเดือนก่อน +2

      Huyu kunguni hana hata haya😂😂😂

    • @zebedayokatamaduni9676
      @zebedayokatamaduni9676 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂 Yaani hana lolote

    • @joycemachibya4380
      @joycemachibya4380 2 หลายเดือนก่อน +1

      Huyu mdada jinga ata akijitangaza hapati chchte
      Wanawake wanahangaika jmn unaiba mume wa mtu unajitangazaa 😂😂😂aloooo bongo bahati mbaya 😅😅

    • @zulphamushi3700
      @zulphamushi3700 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kama inakuuma mbn huna machozi macho makavu km gazeti la wiki kenge wew yaan huna hata hayaa kuhojiwa .unajiita mke hujulikan kwwnye familia 😂😂
      Bongo ukiwa na stress utakufa . Yan dada senge hili

    • @evertheobald1811
      @evertheobald1811 2 หลายเดือนก่อน

      Tanzania sihami kwakweli 🤔🤔🤔

  • @deboramuhoja1777
    @deboramuhoja1777 2 หลายเดือนก่อน +9

    Mdada jicho kavu, Hana hata haya!😢😢 Kwa nini hakujitokeza before😢 kuweni na hofu, God is watching,,,!

  • @NaomiKibona-y7f
    @NaomiKibona-y7f 2 หลายเดือนก่อน +12

    😭😭😭😢 Mungu anawaona atawalipa kwa wajati wake wew mwanamke na mtangazaji wake acheni kuchafua kanisa la Mungu

    • @JalinaIssaya
      @JalinaIssaya 2 หลายเดือนก่อน

      Acha ukuma

  • @RizikiMpallateongoogle
    @RizikiMpallateongoogle 2 หลายเดือนก่อน +4

    Nitafanya juu chini, mpaka mkamatwe mshatakiwe. Mdhibitishe hili, hizi tabia za kuchafua watu mnadhani ni jambo dogo sana, hii itakuwa mwisho. Jiandaeni kisaikolojia kushughulikiwa

    • @dee_ml
      @dee_ml 2 หลายเดือนก่อน

      Naam, this is good, wakamatwe yeye mwanamke huyu na mtoto, wakapime DNA ya mtoto pamoja na kaka wa marehemu, ikidhibitika vinginevyo sheria ichukue mkondo wake.

  • @barakabilatanguye
    @barakabilatanguye 2 หลายเดือนก่อน +27

    MJINGA MKUBWA SANA SANA WEWE...NYUMBA HAZIJAGAWIWA NA BADO HAJAZIKWA....KWANINI HAPO UKO SEHEMU FICHE HAPO SO MSIBANI

    • @SANGTINAGODETRUDMAKONYOLA
      @SANGTINAGODETRUDMAKONYOLA 2 หลายเดือนก่อน +1

      Waongo Hawa jamani sehem yenyewe na mtu mwenyewe hataongea yake anaonekana muongo

    • @meshacknyandongo577
      @meshacknyandongo577 2 หลายเดือนก่อน

      @@SANGTINAGODETRUDMAKONYOLA huyu dada kama mganga wa jadi vile

    • @missamirajiiddy7077
      @missamirajiiddy7077 2 หลายเดือนก่อน

      Sasa ujinga wake nini?

    • @missamirajiiddy7077
      @missamirajiiddy7077 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@SANGTINAGODETRUDMAKONYOLAndio maana Waislamu tunao zaidi ya mke mmoja, haya sasa michepuko kwenu ndio ruhusa. Haya wifi ndio huyo apewe haki yake

    • @emmanuelthomas1078
      @emmanuelthomas1078 2 หลายเดือนก่อน +1

      We mdada Mwongo jicho kavu kama la Ahmed Ally🤔

  • @HadijaHadijasyombu
    @HadijaHadijasyombu หลายเดือนก่อน +2

    Oh my goodness, bona wee mama ukuwai jitokeza ukiwa na ujauzito wake surely do ata bibiye ajue? Ata hauna huruma kabisaa unaumiza bibi ya mwenda zake ak!

  • @finaselemani
    @finaselemani 2 หลายเดือนก่อน +26

    Usijue iyo viipii!!
    Wakati marehemu alikuwa superstar duuh!!

    • @FrancesWatatu
      @FrancesWatatu 2 หลายเดือนก่อน +1

      Alaf mkavu na uyo anaemuhoji m wananiuzi

    • @SalmaMapoz
      @SalmaMapoz 2 หลายเดือนก่อน

      Muongo uyo mpumbavu sana

    • @Opral-e4q
      @Opral-e4q หลายเดือนก่อน

      Maybe they are just acting ​@@FrancesWatatu

  • @friminershayo5325
    @friminershayo5325 2 หลายเดือนก่อน +32

    Hizo story za kutengeneza kila siku watanzania mnakamatwa hamjifunzi....
    KINDLY POLICE KAMATENI HAO WOTE WEKA NDANI WAFUNGENI KABISA ILI WENGINE WAZIDI KUJIFUNZA BiG JOKES 😮

    • @SalomeCharles-dh7ml
      @SalomeCharles-dh7ml 2 หลายเดือนก่อน +1

      Huyu dada mchawi

    • @NdindaFlorence
      @NdindaFlorence 2 หลายเดือนก่อน

      Mimi nimkenya nanilikua namheshimu sana Marco. So waende dna wajue ukweli, mimi siamini, mtumishi wamungu alikua nataadhima kuu sana.Mungu wambingu ablaze roho yake pema peponi, kwafamilia yake poleni sana.

    • @BboossBILLY
      @BboossBILLY 2 หลายเดือนก่อน

      Uongotu

    • @jacsonbayyo3482
      @jacsonbayyo3482 2 หลายเดือนก่อน

      Naye ana haki mpeni mali kidogo

    • @jacsonbayyo3482
      @jacsonbayyo3482 2 หลายเดือนก่อน

      Msimtukane dada wa wa watu

  • @HadijaJoseph-d1g
    @HadijaJoseph-d1g 29 วันที่ผ่านมา

    Makubwa sabato kumbe munaowa wake wawili au alikuwa anadhini tu halafu alikuwa mtu wa mungu kweli duniya ina mambo

  • @frankmlalila1705
    @frankmlalila1705 2 หลายเดือนก่อน +82

    Acha usenge we malaya,,mchepuko tangu lin ukalis mali,,nchi ina visa hii

    • @missamirajiiddy7077
      @missamirajiiddy7077 2 หลายเดือนก่อน +1

      Usenge wake nini, kosa la marehemu kuwa na mchepuko. Marehemu alimuongopea kuwa hana mke

    • @NadyaSaid-w6e
      @NadyaSaid-w6e 2 หลายเดือนก่อน +3

      Hahaha

    • @AnnuGerelvas
      @AnnuGerelvas 2 หลายเดือนก่อน +2

      😂😂😂😂haki nacheka kwauchungu sana ila mungu tu atupe mwisho mwema

    • @mercywanjiru540
      @mercywanjiru540 2 หลายเดือนก่อน

      So you believe her??​@@missamirajiiddy7077

    • @mercywanjiru540
      @mercywanjiru540 2 หลายเดือนก่อน +2

      ​@@missamirajiiddy7077where was she ??while Marco was live??isitoshe she says that she never new Marco had a wife,media zipo , etc am Kenya bt awache ujinga

  • @user-jx8gf6pq9l
    @user-jx8gf6pq9l 2 หลายเดือนก่อน +59

    Achen kumdhalilisha mtumish wa Mungu...kapiga vita vyema kashalala mnaanza kuleta maneno...Mungu akuadhibu...

    • @hellenmachibya2681
      @hellenmachibya2681 2 หลายเดือนก่อน +2

      Huuu ni uongo,,,haiwezekani kuwa hujui kuwa ana mke,,,wewe ni mharibifu wa NDOA za watu,,,acheni kumdhalilisha mtumishi wa Mungu!! Sio make hivi unajuwa maana ya mke?

    • @hellenmachibya2681
      @hellenmachibya2681 2 หลายเดือนก่อน +1

      Ungekuwa mke angekuwa anawajibika,,,,iweje akusaidie kulea?

    • @chillogeorge1383
      @chillogeorge1383 2 หลายเดือนก่อน +3

      Wacha kuzuia OLE za Mungu zisiwafikie watu.
      Mtu anajulikana hadi kwa ndg wa marehemu, wewe umekalia kusema mtumishi wa mungu.
      We endelea kuona watu kwenye Tv na kuwaona majukwaani. Ni ujinga mkubwa, na kutokuijua biblia.
      Kuna mtoto alieachwa anahitaji kutetewa. Sio kila kitu ni kutafuta kiki mitandaoni

    • @BelladonaTz
      @BelladonaTz 2 หลายเดือนก่อน +3

      Hatumuoni msibani mmejifungia sehem tu mkome na mungu awalaani

    • @AnastaziaMazengo
      @AnastaziaMazengo 2 หลายเดือนก่อน +3

      Acha ujinga kumzalilisha wakati alizaa nnje na mtoto wake anahitaji elim namalezi lazima watoe iyo nidamu yako

  • @elizabethkiure865
    @elizabethkiure865 หลายเดือนก่อน

    Utasemaje mume wangu hata hujajulikana kwa ndugu hujapelekwa hata nyumbani eti mume wangu uwiiiii,aibu.unanipa hadhi ya mke kumba ulikuwa unaibia

  • @zainabumshana9466
    @zainabumshana9466 2 หลายเดือนก่อน +3

    Acha ujinga umalaya umekupoza ndo faida hiyo mjinga wew kuharibu ndowa zawatu

  • @FanuelSteven
    @FanuelSteven 2 หลายเดือนก่อน +23

    Unaongea kwa ujasiri dada lakin hunaakili vizuri kwenye kiki hii umekosea marco ulivyo kua ukimwona kwenye nyimbo kama sweet sweet alivyokuaakimkumbatia angel ulizan dada ake??

    • @hidayakiza9364
      @hidayakiza9364 2 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅😅 kwanza yy kila kitu hajui. Alikupigia kukwambia anaumwa hakunambia

    • @Restuta-j7w
      @Restuta-j7w 2 หลายเดือนก่อน +2

      Acha kutuchafulia Imani yetu wewe, sisi hatunaga wanaume wachepukaji wala wanawake, na ukiwaona basi nisabato jina tuu, sie wasafiri wakwenda mbingun, mwache mke wa marehemu atuliepo walao, mali tafuta zakwako. Au mtoto akapimwe DNA😊

    • @DeboraDaniel-zp7jl
      @DeboraDaniel-zp7jl 2 หลายเดือนก่อน

      Hahaaaa waambie ukweli na huyo mwandishi msenge tu

    • @mkamichacha166
      @mkamichacha166 หลายเดือนก่อน

      😂

  • @AdelinaPayovela-hv6dy
    @AdelinaPayovela-hv6dy หลายเดือนก่อน

    Wanawake kazi tunayo sasa unasema unajiita mke hata Kama hujaolewa ,swali unawezaje kuitwa mke wakati hujaolewa ww ulikuwa mchepuko hata ivo hatuna uhakika huenda umesetiwa ww

  • @wemachristian286
    @wemachristian286 2 หลายเดือนก่อน +4

    Mtangazaji ungetafuta jembe ukalime halafu hujui hata kazi yenyewe mnamdhalilisha MARCO wa watu kwa kutaka vijisenti vya hapa duniani kweliiii MUNGU ATAWAADHIBU SAWSAWA NA MNACHOFANYA

  • @MejNgoi
    @MejNgoi 2 หลายเดือนก่อน +12

    Marehemu nani mbona hutaki jina lake msenge sana wewe mwandishi mpuuzi sana yaani maelezo yako tofauti na kichwa cha habari narudia tena mwandishi msenge sijui kutukana lakini mwandishi malaya sana wewe mwandishi tena mpuuzi sana

  • @masterkey536
    @masterkey536 2 หลายเดือนก่อน

    Kazi nzito yesu tuhurumie

  • @johnmndeme8743
    @johnmndeme8743 2 หลายเดือนก่อน +38

    Nyie yaan hata huo mchezo hamjaucheza vizur mtangazaji hujui huyo Malaya AKO HAJUI KUIGIZA KENGE NYIE

    • @Esther-t3j2r
      @Esther-t3j2r 2 หลายเดือนก่อน

      Cjui nicheke ak

    • @GraceOldee
      @GraceOldee 2 หลายเดือนก่อน

      Awajaweza kabisa

    • @FrancesWatatu
      @FrancesWatatu 2 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂

    • @EliushindiPoul
      @EliushindiPoul 2 หลายเดือนก่อน

      Acha umalaya we dada samahani usimchafue😢

    • @Esther-t3j2r
      @Esther-t3j2r 2 หลายเดือนก่อน

      @@EliushindiPoul umenena ndipo👍👍👍👍👍👍👍👍

  • @niyuhirecharlotte112
    @niyuhirecharlotte112 2 หลายเดือนก่อน +37

    We malaya,toka shetani kati ka jina la Yesu.hivi njoo unaona kuj kutaj kam una mtoto na Marco we shetani,acha mtumishi wa Mungu apmuzik kwa amani.

    • @GlorryMariki-ee6dc
      @GlorryMariki-ee6dc 2 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂

    • @RonardoKatagara
      @RonardoKatagara 2 หลายเดือนก่อน

      ​@GlokwerryMariki-ee6dc

    • @fridagustaphmwenda6658
      @fridagustaphmwenda6658 2 หลายเดือนก่อน

      Kama ni kweli damu yake huyo mtoto atapewa haki yake

    • @LAZORANAILS
      @LAZORANAILS 2 หลายเดือนก่อน +2

      Wewe unayemtetea huyo mtumishi wako ulikuwa kwenye moyo wake? Acha hizo, watumishi wengi wanawatoto nje ndoa

    • @stellanyagoe2073
      @stellanyagoe2073 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@LAZORANAILSwaaah kumbe hakuna mtakatifu Hadi Marco Ako na mpango wa kando

  • @patriciamuganda4498
    @patriciamuganda4498 2 หลายเดือนก่อน +2

    Yaani mtumishi wa Mungu anaweza kujishusha na kuwa na mwanamke wa type hii? Si kwa Usabato tunaoujua ukihubiriwa.

    • @TunuMbega-g2y
      @TunuMbega-g2y 2 หลายเดือนก่อน

      Kwenye k watu wanazama tu

  • @MWAMPAMBA
    @MWAMPAMBA 2 หลายเดือนก่อน +11

    Aeleze vizuri aseme tuu ya kwamba kabla marco hajao yeye alikuwa na mahusiano naye ila baada ya marco kuoa ndipo mahusiano yao yakavunjika . Sitaki kuamini kwamba marco wakati anahuduma anamtumia Mungu Alikuwa anamcheat

    • @esthergloryshine322
      @esthergloryshine322 2 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa

    • @hidayakiza9364
      @hidayakiza9364 2 หลายเดือนก่อน

      Point

    • @RehemaMmole
      @RehemaMmole 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

    • @AnnaPaul-n6r
      @AnnaPaul-n6r 2 หลายเดือนก่อน

      kwani hapo lajabu lipi kwani malehem alikuwa malaika kwahiyo mtu asiongee ukweli??

    • @RegulaShirima
      @RegulaShirima 2 หลายเดือนก่อน

      Huyu dada ni mpumbavu.hamna ukwe ndani yake.
      Anatafuta kiki ilinayy aonekane mtandaoni.
      Mbona hata chozi hana

  • @zittamwambanga87
    @zittamwambanga87 2 หลายเดือนก่อน +38

    Acheni bibi ya marehemu azike mumeo kwa Amani. JIHESHIMU MWANAMKE.

    • @naomimwahosi8177
      @naomimwahosi8177 2 หลายเดือนก่อน

      Anatafuta laana.

    • @AmonBora-ve5si
      @AmonBora-ve5si 2 หลายเดือนก่อน

      Ten ajiheshmu haswaaaa ety mume wake hat hakajielew haka

  • @KiluwaCompany
    @KiluwaCompany หลายเดือนก่อน

    Jaman zinging nikiki watu wanatafuta umaharuf kwanjia yamtandao

  • @Joycenaomi7
    @Joycenaomi7 2 หลายเดือนก่อน +52

    Mungu awaadhibu wewe na mutangazaji 😢zababu tanzania 🇹🇿 ninyi mumezidi sana 😭😭😭 mufe mukiojiana 😭😭😭

    • @chillogeorge1383
      @chillogeorge1383 2 หลายเดือนก่อน

      Chukua kama funzo, ikiwa kweli unataka kuishi maisha ya kumpendeza MUNGU.
      Ukizuia watu waseme, itamaanisha kuwa unatumika na shetani kukandamiza kweli ya Mungu isiwafikie watu

    • @Esther-t3j2r
      @Esther-t3j2r 2 หลายเดือนก่อน

      Ukweli na iwe ivo ,,,,cjui ak MUNGU ama nisemeje?

    • @marymwatsum98
      @marymwatsum98 2 หลายเดือนก่อน +1

      Nyie wa Tz hamna haya kwahuzuni hyo mtu unatoap nguvu yakujitokeza mara hii from Kenya sijapenda ak

    • @EstherMutiso-t2f
      @EstherMutiso-t2f 2 หลายเดือนก่อน +1

      Aky matakataka

    • @betty-uq4sw
      @betty-uq4sw 2 หลายเดือนก่อน +1

      Nop apo naona mtakazaji Hana shida juu yeye tu ni mtumwa yeah Hana shida mwenye shida ndio uyo mama apo

  • @VicysebaNyambeta
    @VicysebaNyambeta 2 หลายเดือนก่อน +26

    Mhhh Yan mfiwa ndo anakuwa na uso mkav Kama nn, araf ww Marco alvo maaruf usmjue mke wa wake kwel mungu anawaona

    • @vailethmsogoth8235
      @vailethmsogoth8235 2 หลายเดือนก่อน +3

      Haon hata aibu et mume jaman

    • @felistermichael979
      @felistermichael979 2 หลายเดือนก่อน +2

      Makubwa

    • @ReginapauloSamila
      @ReginapauloSamila 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kabisa yaani mtu marufu Kama huyo husijue Kama anamke he michepuko daini haki mapema kabla wajafariki duuh hii kali

  • @MariaJoseph-l9p
    @MariaJoseph-l9p 2 หลายเดือนก่อน

    Lakini ni kweli

  • @IreneShadrack-p6c
    @IreneShadrack-p6c 2 หลายเดือนก่อน +12

    Ulaaniwe wewe dada unawezaje kumchafua mtumishi wa mungu

    • @maryiamdenah7187
      @maryiamdenah7187 2 หลายเดือนก่อน

      Ako na ujinga mwingi ata kuigiza halijui alie fiwa hawi ivi linakera na lisura lipana kama nn mungu n samehee ila lipuziii

    • @JemimahNyangasi
      @JemimahNyangasi 2 หลายเดือนก่อน

      @@IreneShadrack-p6c hapa hamna laana ni mungu atusamehetu, ukristo kamili ningumu,iyo make wapili,shida ni kujifichatu...

    • @Yoelfabian
      @Yoelfabian 2 หลายเดือนก่อน

      Eti hajui kama ameoa ila watu bhana kuwa na akili watu wanaomboleza afu wewe na mambo ya ajabu iv uoni aibuu

  • @JemimahNyangasi
    @JemimahNyangasi 2 หลายเดือนก่อน +15

    Wanadamu ukristo ngumu kweli,mungu atusaidie sana na atupe uvumilivu wanawake wote, shetani ni mwongo,,,,me from Kenya utamwamini nani,kama wakristo ni hao,maaaaajabutu Kwa kafiri kama Mimi,men still men

    • @nasinyariengera6458
      @nasinyariengera6458 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kwani unaposema utamwamini nani yeye mtume, nabii au ni binadamu wa kawaida mwenye kipawa cha uimbaji!? Binadamu wote sio wakamilifu ndio maana tukapewa toba! Tulishaonekana ni wakosefu ..hamjasikia mchungaji kafumaniwa au shekhe ,ustadh kaharibu mahali! Tusihukumu tumuachie Mungu hata unapokuwa kwenye ibada fuata neno linasema nini sio yule muendesha ibada anaesoma neno anafanya nini!

    • @dianamvuzwa-eh9ov
      @dianamvuzwa-eh9ov 2 หลายเดือนก่อน

      Yani huu anamuchafuwa tu nakuchafuwa ukristu lakini shetani Hana nafasi

    • @robertkaseko9596
      @robertkaseko9596 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kuwa makini usipende kuamini kila kitu. Hii ni mbinu ya adui shetani kulidhoofisha kanisa. Jifunze kwa hayati Prophet TB Joshua, Usishangae hata akifa Mtumishi wa Mungu mkubwa leo watatengeneza skendo kama hizi wakijua kabisa kuna wakristo wakisikia hivi watakata tamaa wokovu

    • @MINISTERBAHATIMPUME-px4pf
      @MINISTERBAHATIMPUME-px4pf 2 หลายเดือนก่อน

      Shida ni kufuta kitu chema alichokifanya Marco, kwanini asiende huko kwenye familia aje huku mtandaoni, angetuambia basi mtoto wake amekataliwa aweke na ushahidi,, wewe Dada na mtangazaji wako mwogopeni MUNGU acheni kiki

  • @ceedanstan6780
    @ceedanstan6780 หลายเดือนก่อน +1

    Hahi hili jitu halina hat aibu mimacho sasa kuyazungusha ulikuwa wap zamani umechanganykiwa maisha huna lolote

  • @AnitaNamutosi
    @AnitaNamutosi 2 หลายเดือนก่อน +12

    Iyo mim siwezi amini uyo mwanamuke asiaribie mujugaji safari yake ya mwisho ashidwe katika jina la yesu

    • @mkmkj7425
      @mkmkj7425 2 หลายเดือนก่อน +1

      Huyu ni fala sana

  • @ElizabethJackobo
    @ElizabethJackobo 2 หลายเดือนก่อน +8

    Kilichokupeleka nimalitu Mungu atawanyosha

  • @PhilisNabalayo-i6u
    @PhilisNabalayo-i6u หลายเดือนก่อน

    Hii ni kweli

  • @hakizimanaviolette1564
    @hakizimanaviolette1564 2 หลายเดือนก่อน +12

    Shalom, nakumbuka kuna mmama huko Rwanda anakuja kwa mtumishi wa Mungu agasema anamtoto wake kwer niuongo, Mungu wasamehe waongo niwengi

    • @marthakibona
      @marthakibona 2 หลายเดือนก่อน +1

      Ulichukua majukumu gani wemwanamke kualibundoa yawatu

    • @ElBlancaÔg
      @ElBlancaÔg 2 หลายเดือนก่อน

      Uyo nimushenzi kbs zamani amekuwa wap lofa san

  • @LidyaWilliam-k2u
    @LidyaWilliam-k2u 2 หลายเดือนก่อน +18

    Jamani ata wiki alijaisha duuu pole mke wamalehem michepuko mnatuumiza jamani maumivu juu ya maumivu

  • @elizabethkiure865
    @elizabethkiure865 หลายเดือนก่อน

    Duuh bila aibu unatamka kuwa ni mume wangu,na unaonaje sasa hata kuugua kwake hajakujulisha ugonjwa uone jinsi unavyojiaibisha,kwakweli hapo unatafuta tu mtaji

  • @LucyJohn-co2di
    @LucyJohn-co2di 2 หลายเดือนก่อน +23

    Dada pole umepotez@ mwenyehaki ni Mke wandoa enderea kutafut danga mwingne😂😂😢😢😢

    • @FaizaChama
      @FaizaChama 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂 hatari sana damu ya watu arudishe,,,, ili akadange vzr,,,, ila hopo kunaukweli sema dada yetu kajichanganya. Rudisha damu ya watu,,, wanaume kudanga ni haki yao

    • @fridagustaphmwenda6658
      @fridagustaphmwenda6658 2 หลายเดือนก่อน

      Kama ni kweli mtoto wa huyo marehemu atapata haki yake

    • @BeatherDkson
      @BeatherDkson 2 หลายเดือนก่อน +1

      Umeona eeeeeeh hana akili zero brain

    • @mukeragabilodiana9391
      @mukeragabilodiana9391 2 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂

    • @kambakambatena6878
      @kambakambatena6878 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@fridagustaphmwenda6658haki gani

  • @saumumganga7981
    @saumumganga7981 2 หลายเดือนก่อน +5

    Mtoto atakuwa,na Mungu atamuongoza zaidi,kikubwa dada asiwe anaongopa,watumishi wa Mungu wana upendo

  • @GladysGogo-u3b
    @GladysGogo-u3b หลายเดือนก่อน +1

    Yaweza kua ni ukweli Yuko na mtoto wake mbona Mimi sijaenda hapo nikadai Niko na mtoto muache kumtetea Marco anae jua Siri zake ni MUNGU

  • @CellestineFikirini-do8xc
    @CellestineFikirini-do8xc 2 หลายเดือนก่อน +13

    Sasa unadai ni mume wako na kwao haujapelekwa...acha tamaa😂😂😂😂😂

    • @AfirenAfiren
      @AfirenAfiren 2 หลายเดือนก่อน +1

      Akisema mume wangu nasikia kutabika😂😂

    • @fatmaalnabhani3609
      @fatmaalnabhani3609 2 หลายเดือนก่อน +1

      Mume wako vp na hujaolewa jamani? 😮😮

    • @mercywanjiru540
      @mercywanjiru540 2 หลายเดือนก่อน +3

      Huyu angekuwa Kenya to ungemnyorosha vizuri

    • @CheroRotich
      @CheroRotich 2 หลายเดือนก่อน

      Mume wake kiaje,aaje ujinga huyo mwanamke

  • @AliceMoraa-nb4cs
    @AliceMoraa-nb4cs 2 หลายเดือนก่อน +8

    Huyo mwanamke Ako n ujinga sana ningekuwa karibu ungetoka mbio bila kiatu kwa mguu,,mshenzi ww komaaa😊

    • @AmonBora-ve5si
      @AmonBora-ve5si 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kam alivyokom ziwa la mama ake tena asituuchoshe

    • @AliceMoraa-nb4cs
      @AliceMoraa-nb4cs 2 หลายเดือนก่อน +1

      @@AmonBora-ve5si kweli kabisa

  • @elizabethkiure865
    @elizabethkiure865 หลายเดือนก่อน

    Tena wanamchafua Yesu wetu

  • @hakizimanaviolette1564
    @hakizimanaviolette1564 2 หลายเดือนก่อน +9

    Wanalipwa pesa ili wahalibu mtumishi wa Mungu,

    • @alunekyusa4905
      @alunekyusa4905 2 หลายเดือนก่อน +1

      Tamaa ya huyu dada,lakini waimbaji wa sasa wake wanawake ni malaya sana hadi kichefuchefu hawamuogopi hata Mungu wanao Matha kwenye nyimbo zao

    • @hakizimanaviolette1564
      @hakizimanaviolette1564 2 หลายเดือนก่อน

      @@alunekyusa4905 nihatar, lakiki basi atuone hata sms kweny sim ili tuamini

  • @ujumbekwawaulimwengu
    @ujumbekwawaulimwengu 2 หลายเดือนก่อน +6

    Mme wako haunata haya kweli eti unadai mali Dunia kwili imefika ukingoni hatakuogopa dhambi hakuna,eti mme wangu ushindwe we malaya kwajina la Yesu kazi yako kutamani wa ume za watu Mungu anakuona

  • @JacobOduor-py8iu
    @JacobOduor-py8iu 24 วันที่ผ่านมา

    Si ukweli

  • @mariaikombe7839
    @mariaikombe7839 2 หลายเดือนก่อน +5

    Huyu mama hana hata uchungu wa kufiwa na mme yupo kimaslahi zaidi Mungu anamuona

    • @avelinabaluhya2804
      @avelinabaluhya2804 2 หลายเดือนก่อน +2

      Kwani hujui michepuko unatafutaga nini kwenye ndoa za watu

  • @TheopistaAloyce-ht8kr
    @TheopistaAloyce-ht8kr 2 หลายเดือนก่อน +8

    Mmeshindwa kuigiza kabisaaaa duh!! Kweli dunia siyo mbaya binadamu ndiyo wabaya!!!!!

  • @UwizeyimanaJoseph-t6j
    @UwizeyimanaJoseph-t6j 24 วันที่ผ่านมา

    Pole sana

  • @FabianJeremiah-p3t
    @FabianJeremiah-p3t 2 หลายเดือนก่อน +8

    Uko mpumbavu emu acheni kumchafua kaka wa watu mke utakuwa wewe pumbavu jicho lenyewe kavu mmeona kuna hera tu mmeanza choko choko kumsumbua huyo dada emu muacheni amlilie mume wake

    • @Imaniamockgmail
      @Imaniamockgmail 2 หลายเดือนก่อน

      ♥️🙏🎉

    • @AmonBora-ve5si
      @AmonBora-ve5si 2 หลายเดือนก่อน

      Mke kachunda hiv hajui hadh za wake nn?ety million 3 na laki 6 ndo ampelek kayumba na atafut danga lingn😅😅😅

  • @ChristinaMsongole-v7i
    @ChristinaMsongole-v7i 2 หลายเดือนก่อน +11

    Du ,jamani huyu msichana huna aibu hata kidogo mungu anakuona, alafu hizo Mali hazikuhusu kama ulishindwa kumiliki akiwa hai imekula kwako

  • @MatrobaMatilani-nz2cc
    @MatrobaMatilani-nz2cc 2 หลายเดือนก่อน

    Wewe mwanamke unachafua jina la marco

  • @ErnestJams
    @ErnestJams 2 หลายเดือนก่อน +4

    hiiii nchi sihami ata kwa bundukii

  • @matildamati9222
    @matildamati9222 2 หลายเดือนก่อน +10

    Mbona watu mnadhalilisha maana ya neno MKE,
    1. je ana hati ya ndoa, 2. anafahamika ukweni
    3. Kwa desturi za ukristo mke ni mmoja tu ss yy anajiitaje mke na ili hali marehemu ana ndoa ya kikristo tayar.
    Hapa msema kweli ni DNA tu na mengine yataendelea bde

    • @angeldanniel2041
      @angeldanniel2041 2 หลายเดือนก่อน

      Serikal inatambua mke endapo kaishi nae kuanzia miez 6 kwaiyo anahaki ya kudai

    • @RodahAdonice-dz4sm
      @RodahAdonice-dz4sm 2 หลายเดือนก่อน

      Msikie anavyokazana ety mume wangu 😂 wacha kimrambe ajiandae kulea mwenyewe alishazoea vinono na mume wa mtu

    • @yasminoluoch169
      @yasminoluoch169 2 หลายเดือนก่อน +1

      Serikli hutaMBUa mke mkubwa tu

    • @yasminoluoch169
      @yasminoluoch169 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@angeldanniel2041NOPE SI kweli huyu ni mchepuko si mke halali

    • @gloriaanaclet6860
      @gloriaanaclet6860 2 หลายเดือนก่อน

      Acheni ujinga. Mnajua maana ya mme nyie? Kiki za kijinga.kabisa.

  • @timemwamasage4058
    @timemwamasage4058 2 หลายเดือนก่อน

    Kama kweli itajulikana na watamchukua mtoto wao..lkn sio kupewa urithi mchepuko hanaga urithi...na kama ni miaka6 kweli lazima ndugu watakua wanamjua,au labda kama alitangulia kabla hajaoa hilo pia linawezekana

  • @JackieLuhembe
    @JackieLuhembe 2 หลายเดือนก่อน +12

    Tafta za kwako achana na maswala ya urithi dada Kwan mtoto mmja unashindwa kumhudumia 😂😂

  • @FridaChavala
    @FridaChavala 2 หลายเดือนก่อน +28

    Wewe mwanamke kama unataka Kiki Mungu akupe mkuki

    • @lydiadaudi4076
      @lydiadaudi4076 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 mbona mkuki 😂

    • @vailethmsogoth8235
      @vailethmsogoth8235 2 หลายเดือนก่อน +1

      Tena wa motooo

    • @JeannetteManirambona-o6m
      @JeannetteManirambona-o6m 2 หลายเดือนก่อน

      Sema naishiwa

    • @nyalerehema-ug4lu
      @nyalerehema-ug4lu 2 หลายเดือนก่อน

      Kweli dadangu 😂😂😂😂😂😂

    • @annette4656
      @annette4656 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂kabisa

  • @sarahrange1919
    @sarahrange1919 20 วันที่ผ่านมา

    jamani ww mwandishi ulisoma chuo gani?mana naona kama huna sifa ya kuwa mwandishi au ww uko kiudaku zaidi!!

  • @EliwadaKikoti
    @EliwadaKikoti 2 หลายเดือนก่อน +6

    Yan we mwandishi ningekuwa na uwezo nngekufunga maisha yako yote acha ujinga pumbavu mkubwa ww aspewe hana chet cha ndoa ndo sheria yetu wakristo

    • @furahammari
      @furahammari 2 หลายเดือนก่อน

      Dada kuwa na hofu ya Mungu,acha kumchafua mtumishi.takataka ya shetani

  • @violambeche2531
    @violambeche2531 2 หลายเดือนก่อน +31

    Wewe ni malaya tu

    • @JacksonMutinda-jw5qw
      @JacksonMutinda-jw5qw 2 หลายเดือนก่อน +1

      Ata sura nmalaya tu

    • @enocknyakundi-et6ve
      @enocknyakundi-et6ve 2 หลายเดือนก่อน

      Ata kuongea kwake mjinga mkuu nkt

    • @verinicamartin6420
      @verinicamartin6420 2 หลายเดือนก่อน +3

      Siyo malaya kwani kuzaa sikupo wanaume wangapi wamezaa nje ya ndoa msimtukane kwa hilo jamani

    • @verinicamartin6420
      @verinicamartin6420 2 หลายเดือนก่อน

      Wanaume wanashindwa kujitambua sababu kuogopa wake zao lakini wanaume wengi wanawatoto nje sana mtoto ana dhambi gani matusi mengi tu mtoto baraka tulitambue mlete kwangu nimlee wakimkataa umeongea ukweli wanaume jisimamie sana swala la watoto nje unakufa ndo wanakuletea mtoto sema mapema bila haibu

  • @NafunaBassy
    @NafunaBassy หลายเดือนก่อน

    These r total lies may God have mercy coz how comes that she didn't know the man was married yet updates are everywhere

  • @TOMNYEREZA
    @TOMNYEREZA 2 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu dada njaa kali kweli duh!!!!!! Hata.mwandishi amekula dili siamini kama ni profesional wa kazi yake.hiyo, wa kristo tuna mke mmoja tu, ndo ana tambulika, au ulijitongozesha akakukataa??????

  • @helenamagile4999
    @helenamagile4999 2 หลายเดือนก่อน +6

    Mmmh dunia nishushe nipumzike , mwanamke mwenye akili zako timamuma huwezi fanya huu ujinga,

  • @MariamMwakyoma
    @MariamMwakyoma 2 หลายเดือนก่อน

    Unanitia asira ww Malaya mm ningekupiga msiba ungehamia kwenu

  • @angelaminde1247
    @angelaminde1247 2 หลายเดือนก่อน +6

    Hii dunia hii Mungu tu ndio anajua kesho tuu

    • @gloriavenesa5543
      @gloriavenesa5543 2 หลายเดือนก่อน +1

      Rest in peace mar6😂❤❤❤

    • @gloriavenesa5543
      @gloriavenesa5543 2 หลายเดือนก่อน +1

      Muke wapili Ako na makosa angesema mapema3

    • @gloriavenesa5543
      @gloriavenesa5543 2 หลายเดือนก่อน +1

      😅😅

  • @CatherineBahati-j1i
    @CatherineBahati-j1i 2 หลายเดือนก่อน +4

    Mchawi wewe kwenda huko Malaya wewe mtu hata hajazikwa unadai TU mahari ni kama kifo chake kinamfurahisha mjinga sana wewe

  • @WinnShangali
    @WinnShangali 2 หลายเดือนก่อน

    Ooooh..mhhh..

  • @barakabilatanguye
    @barakabilatanguye 2 หลายเดือนก่อน +9

    UONGO MKUBWA NYIE MNAONA HAPO NI MSIBANI????? NA WEWE MALAYA ULIKUA HUONI KAMA ANAIMBA NA MKE WAKE

    • @vailethmsogoth8235
      @vailethmsogoth8235 2 หลายเดือนก่อน

      Shangaa na ww anafany na komwe

    • @barakabilatanguye
      @barakabilatanguye 2 หลายเดือนก่อน

      @@vailethmsogoth8235
      Kajinga ako ka Malaya.....

    • @kenedymusaukavithi
      @kenedymusaukavithi 2 หลายเดือนก่อน

      Huna nitoroka na nikifa ndio unakuja kudai no mliachana ,kaa kitako sister😂

    • @SGIT-jd6fg
      @SGIT-jd6fg 2 หลายเดือนก่อน

      Hivi kwann mnapenda kuchafua watu kwa maslahi yenu hadi marehemu mnachafua kusudi lenu ni nini?

  • @samuelmhuli
    @samuelmhuli 2 หลายเดือนก่อน

    Kweli duniani kuna wehu

  • @josephdeus9995
    @josephdeus9995 หลายเดือนก่อน

    Alikutambulisha kwa ndugu yeyote

  • @MonicahMareri
    @MonicahMareri หลายเดือนก่อน

    Shukuru mungu amekuachia chombo cha kumtuliza Mungu

  • @ElizabethFrederick-m4d
    @ElizabethFrederick-m4d 2 หลายเดือนก่อน

    Mshenzi kweli wew

  • @Mankambowembowe
    @Mankambowembowe หลายเดือนก่อน

    Ukitongozwa uliza mama acha kupelekesha kizozoo mume wa mtu na kma mchepuko unataka nn embu muache mwenye ndoa yake atulie Sasa jmn

  • @SitephanoMwambogolo
    @SitephanoMwambogolo 2 หลายเดือนก่อน

    Ama kweri

  • @ChrissJongo
    @ChrissJongo 2 หลายเดือนก่อน

    ivi ni ya kweli haya

  • @ZilperTrizah
    @ZilperTrizah 2 หลายเดือนก่อน

    mbona unakuwa mjinga dada kwann unakubali kudanganyika na marafikizako tafutapesa hata sisi nimasingle mother ila tunaishi pambanatu

  • @MPELWACLEMENT
    @MPELWACLEMENT หลายเดือนก่อน

    Shindwa kwa jina la yesu

  • @SagalaFarah
    @SagalaFarah หลายเดือนก่อน

    Ww Malaya mnapenda kujukua Wanaume wawatu Sana,😢😢😢😢😢😢😢

  • @shashiromarceline
    @shashiromarceline 2 หลายเดือนก่อน

    Bona..munataka.kufa muta..pingwa.na.
    Mungu..mutangojwa.ukoma..m.unaaibisho.mamaiti.

  • @judithkirenga9977
    @judithkirenga9977 2 หลายเดือนก่อน

    Miaka sita inamaana anaushahidi wa picha, messages na mashahidi pia,Kama hana huyu dada awekwe ndani vimada wengine wajifunze

  • @Mankambowembowe
    @Mankambowembowe หลายเดือนก่อน

    Ajielewiiii

  • @NEKEJIDONGE-zt9bz
    @NEKEJIDONGE-zt9bz 2 หลายเดือนก่อน

    Hii hatari kwanini mtu afe ndo ujitokeze kwanini hukudai haki zamani

  • @SaimonTanganye
    @SaimonTanganye 2 หลายเดือนก่อน

    Wewe huna haki kama mke ila kama kweli umezaa nae mtoto ni lazima apewe haki yake

  • @ATUPOKILEMbilinyi
    @ATUPOKILEMbilinyi หลายเดือนก่อน

    Nimeamini.kwamba.shetani.yupo.kazini.kwa.ajili.ya.kuwachafua.wasanato..

  • @projestuskabaka-ym6ps
    @projestuskabaka-ym6ps 2 หลายเดือนก่อน

    Inamana hamuamini? Kamaanaye mtoto nje yandoa kwa sababutu marehemu alikuwa muimba kwaya? Aya mambo yapo na kwadunia ya Sasa nimengitu

  • @NkwimbaMakoye
    @NkwimbaMakoye หลายเดือนก่อน

    Jipe moyo mke harali mungu yupo atakushindia mama😢😢😢😢

  • @phaustineokitwi7043
    @phaustineokitwi7043 หลายเดือนก่อน

    Mungu akusameha saaana

  • @HubertKiowi
    @HubertKiowi หลายเดือนก่อน

    Ww pambana tu na maisha

  • @Ericana-il7nu
    @Ericana-il7nu หลายเดือนก่อน

    Makubwa! Siri sirin