Asante sn kaka afande selle kila unacho kisema ni kweli Wa Africa wote lizima tushikamane tuachane na hao ma imbwa waondoke watoke warudi ma kwao tumechoka
Facts. Facts. African refugees are severe suffocating but today's Israelis and Ukrainian the UN and EU are getting full granted compared by African where illness hunger and homeless are magnificent huge
Bado adui amjamjua nyie marekani aliwai kumtawala nani apa tumieni akili marekani anatumika tu amuoni ubaguzi wa watu weusi uko america wanatugawa kwa njia 3 udini ukabila na ugonvi wa kiistoria kwenye jamii zetu upandikiza visasi kwa watu waliowai kuumizwa
Unafiki wa marekani Kaka ? unajulikana mno sasa ? marekani anatambua kua kongo ina madume ambao wanaendesha Kongo na rasili mali Zao ndo wanamgeukia kagame sasa hivi miaka ngapi kagame alikua kuhiba madini za wakongomani nakufanya biashara pamoja ????
I love the Asante sana2 Afande Sele our African man ❤❤❤❤
Asante sn kaka afande selle kila unacho kisema ni kweli
Wa Africa wote lizima tushikamane tuachane na hao ma imbwa waondoke watoke warudi ma kwao tumechoka
Kaka una point sana
Kk umetisha sana
❤❤❤❤ AFANDE❤❤❤❤
Mimi kwa upande wangu nimemuelewa sana kaka mkubwa Afande Sele 👊👊👊
pa1 sana
From BURUNDI. Napenda TANZANIA kuna uhuru 100% . From BURUNDI 🇧🇮 Tunawapata
tanzania bado kuna viongozi wapumbavu wasiojielewa mpaka sasa
#taarifanamaarifa
Sio unafiki, Bali ni aina ya mbinu ya kutawala. Ulaghai, nguvu, na kila aina ya hila haijalishi.
Respect America Afande Sele
#taarifanamaarifa
Ninacho shukuru sasa hivi watu wanajua tabia za Marekani na UNAFIKI wa Marekani
safi
Putin baba leo🌹❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇰🇪
Kaka Afande poa sana kaka
Noma sana tujitambue wabeba mizigo kichwani
#taarifanamaarifa
Safi sana
#taarifanamaarifa
🔥🔥🔥🔥
#taarifanamaarifa
Sawa bwana
Facts. Facts. African refugees are severe suffocating but today's Israelis and Ukrainian the UN and EU are getting full granted compared by African where illness hunger and homeless are magnificent huge
✍️✍️🙏
#taarifanamaarifa
Marekani hangeweza kutawalia afrika kwa sababu marekani yenyewe alitawaliwa na mgereza bro ikiwa hujui
NIKO KIGALI RWANDA NAKUFITILIA MUNGU AKULINDE AFANDE SELE
Kistevini nyenye
Afande Sele nakupa ruhusa ya kugombea ubunge kwa manufaa ya Taifa akili yako inahitajika bungeni.
Bado adui amjamjua nyie marekani aliwai kumtawala nani apa tumieni akili marekani anatumika tu amuoni ubaguzi wa watu weusi uko america wanatugawa kwa njia 3 udini ukabila na ugonvi wa kiistoria kwenye jamii zetu upandikiza visasi kwa watu waliowai kuumizwa
Una akili ila binadamu awaoni watakutafuta ukitoka
Kakaangu Yaani umenichekesha 😂😂😂 Free car uwiii ingekuwa karibu yangu ningekupa soda
#taarifanamaarifa
Huyu nae muongo kagame nae anaendesha vita Congo kwa hiyo nae ana huruma na africa
#taarifanamaarifa
Kagame haendeshi vita congo mzee rwanda nzima ni km kinchasa tu hana rasilimali za kuendesha vita congo ni uongo
Kagame anatumiwa soon ata jitambua kwa sababu Trump atabadilisha mchezo
A free car 😂😂😂
#taarifanamaarifa
Unafiki wa marekani Kaka ? unajulikana mno sasa ? marekani anatambua kua kongo ina madume ambao wanaendesha Kongo na rasili mali Zao ndo wanamgeukia kagame sasa hivi miaka ngapi kagame alikua kuhiba madini za wakongomani nakufanya biashara pamoja ????
Komedi yake mpaka aliomba eti wafrika wakamsaidie kungombana na mh Putin unaona upumbavu wake ??inatuhusu vipi vita zake na urusia ??
😂😂😂😂😂😂
#taarifanamaarifa
Tukipata watu 100 Kama afande sele mabadiliko kwenye nchi yetu lazima😂😂😂
#taarifanamaarifa
Afande kaongea kuhusu afya ya akili Ni tatizo kubwa watalamu wa afya ya akili waongezeke Ni tatizo itaokoa watu wengi
#taarifanamaarifa
Inachanganya udini nasiasa ajui chochote sere mziki wenyew umemshida
Da!!Hawa Majamaa Wa Tcra Na Basata Wanatia Aibu Aisee ..
#taarifanamaarifa
Istoria sele inampiga Chenga anachanganya vitu