LiveNaGee: UNAFIKI WA MAREKANI NA SIASA ZA DUNIA, AFRIKA TUNAJIFUNZA NINI ? Cheche za Afande Sele.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 54

  • @barakapeacemnazareth9227
    @barakapeacemnazareth9227 3 วันที่ผ่านมา

    I love the Asante sana2 Afande Sele our African man ❤❤❤❤

  • @faraho-n8b
    @faraho-n8b 6 วันที่ผ่านมา

    Asante sn kaka afande selle kila unacho kisema ni kweli
    Wa Africa wote lizima tushikamane tuachane na hao ma imbwa waondoke watoke warudi ma kwao tumechoka

  • @TibihikaGerad
    @TibihikaGerad 14 วันที่ผ่านมา +1

    Kaka una point sana

  • @FrankMkwabu
    @FrankMkwabu 4 วันที่ผ่านมา

    Kk umetisha sana

  • @siphifahashimu9723
    @siphifahashimu9723 8 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤ AFANDE❤❤❤❤

  • @allychilinga1958
    @allychilinga1958 19 วันที่ผ่านมา +3

    Mimi kwa upande wangu nimemuelewa sana kaka mkubwa Afande Sele 👊👊👊

  • @dieudonnekayobera933
    @dieudonnekayobera933 11 วันที่ผ่านมา

    From BURUNDI. Napenda TANZANIA kuna uhuru 100% . From BURUNDI 🇧🇮 Tunawapata

  • @sulaimanabdullah-qp8vs
    @sulaimanabdullah-qp8vs 19 วันที่ผ่านมา +4

    tanzania bado kuna viongozi wapumbavu wasiojielewa mpaka sasa

    • @madinidotcom
      @madinidotcom  18 วันที่ผ่านมา

      #taarifanamaarifa

  • @elioimer8423
    @elioimer8423 16 วันที่ผ่านมา +1

    Sio unafiki, Bali ni aina ya mbinu ya kutawala. Ulaghai, nguvu, na kila aina ya hila haijalishi.

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 19 วันที่ผ่านมา +1

    Respect America Afande Sele

    • @madinidotcom
      @madinidotcom  18 วันที่ผ่านมา

      #taarifanamaarifa

  • @FredrickFilbert
    @FredrickFilbert 19 วันที่ผ่านมา +3

    Ninacho shukuru sasa hivi watu wanajua tabia za Marekani na UNAFIKI wa Marekani

  • @hassangaddafi2347
    @hassangaddafi2347 16 วันที่ผ่านมา +1

    Putin baba leo🌹❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇰🇪

  • @muhitira
    @muhitira 18 วันที่ผ่านมา +1

    Kaka Afande poa sana kaka

  • @kalengashoppingcenter1108
    @kalengashoppingcenter1108 20 วันที่ผ่านมา +1

    Noma sana tujitambue wabeba mizigo kichwani

    • @madinidotcom
      @madinidotcom  18 วันที่ผ่านมา

      #taarifanamaarifa

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 20 วันที่ผ่านมา +1

    Safi sana

    • @madinidotcom
      @madinidotcom  18 วันที่ผ่านมา

      #taarifanamaarifa

  • @AdamKhatib-j3y
    @AdamKhatib-j3y 19 วันที่ผ่านมา

    🔥🔥🔥🔥

    • @madinidotcom
      @madinidotcom  18 วันที่ผ่านมา

      #taarifanamaarifa

  • @paschalcharles3617
    @paschalcharles3617 20 วันที่ผ่านมา +1

    Sawa bwana

  • @charlesadolf1062
    @charlesadolf1062 20 วันที่ผ่านมา +2

    Facts. Facts. African refugees are severe suffocating but today's Israelis and Ukrainian the UN and EU are getting full granted compared by African where illness hunger and homeless are magnificent huge

    • @JomoKilawe
      @JomoKilawe 20 วันที่ผ่านมา

      ✍️✍️🙏

    • @madinidotcom
      @madinidotcom  18 วันที่ผ่านมา

      #taarifanamaarifa

  • @MoinamoinaSaid
    @MoinamoinaSaid 16 วันที่ผ่านมา

    Marekani hangeweza kutawalia afrika kwa sababu marekani yenyewe alitawaliwa na mgereza bro ikiwa hujui

  • @SUPERMANAGERVIBEZ
    @SUPERMANAGERVIBEZ 15 วันที่ผ่านมา

    NIKO KIGALI RWANDA NAKUFITILIA MUNGU AKULINDE AFANDE SELE

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah439 18 วันที่ผ่านมา

    Kistevini nyenye

  • @PakatJames
    @PakatJames 17 วันที่ผ่านมา

    Afande Sele nakupa ruhusa ya kugombea ubunge kwa manufaa ya Taifa akili yako inahitajika bungeni.

  • @ZakariaJackson
    @ZakariaJackson 5 วันที่ผ่านมา

    Bado adui amjamjua nyie marekani aliwai kumtawala nani apa tumieni akili marekani anatumika tu amuoni ubaguzi wa watu weusi uko america wanatugawa kwa njia 3 udini ukabila na ugonvi wa kiistoria kwenye jamii zetu upandikiza visasi kwa watu waliowai kuumizwa

  • @OmmyOmario
    @OmmyOmario 15 วันที่ผ่านมา

    Una akili ila binadamu awaoni watakutafuta ukitoka

  • @happynesbaemuhappynes8813
    @happynesbaemuhappynes8813 19 วันที่ผ่านมา

    Kakaangu Yaani umenichekesha 😂😂😂 Free car uwiii ingekuwa karibu yangu ningekupa soda

    • @madinidotcom
      @madinidotcom  18 วันที่ผ่านมา

      #taarifanamaarifa

  • @AndrewTema-o5s
    @AndrewTema-o5s 19 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu nae muongo kagame nae anaendesha vita Congo kwa hiyo nae ana huruma na africa

    • @madinidotcom
      @madinidotcom  18 วันที่ผ่านมา

      #taarifanamaarifa

    • @MwakatunduAbdul
      @MwakatunduAbdul 17 วันที่ผ่านมา

      Kagame haendeshi vita congo mzee rwanda nzima ni km kinchasa tu hana rasilimali za kuendesha vita congo ni uongo

    • @afandechanel1507
      @afandechanel1507 14 วันที่ผ่านมา

      Kagame anatumiwa soon ata jitambua kwa sababu Trump atabadilisha mchezo

  • @bonifaceferdinand566
    @bonifaceferdinand566 20 วันที่ผ่านมา

    A free car 😂😂😂

    • @madinidotcom
      @madinidotcom  18 วันที่ผ่านมา

      #taarifanamaarifa

  • @MoinamoinaSaid
    @MoinamoinaSaid 16 วันที่ผ่านมา

    Unafiki wa marekani Kaka ? unajulikana mno sasa ? marekani anatambua kua kongo ina madume ambao wanaendesha Kongo na rasili mali Zao ndo wanamgeukia kagame sasa hivi miaka ngapi kagame alikua kuhiba madini za wakongomani nakufanya biashara pamoja ????

  • @MoinamoinaSaid
    @MoinamoinaSaid 16 วันที่ผ่านมา

    Komedi yake mpaka aliomba eti wafrika wakamsaidie kungombana na mh Putin unaona upumbavu wake ??inatuhusu vipi vita zake na urusia ??

  • @rosemarysulle9288
    @rosemarysulle9288 20 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂😂

    • @madinidotcom
      @madinidotcom  18 วันที่ผ่านมา

      #taarifanamaarifa

  • @bonifaceferdinand566
    @bonifaceferdinand566 20 วันที่ผ่านมา

    Tukipata watu 100 Kama afande sele mabadiliko kwenye nchi yetu lazima😂😂😂

    • @madinidotcom
      @madinidotcom  18 วันที่ผ่านมา

      #taarifanamaarifa

  • @MsangoDiesel
    @MsangoDiesel 20 วันที่ผ่านมา

    Afande kaongea kuhusu afya ya akili Ni tatizo kubwa watalamu wa afya ya akili waongezeke Ni tatizo itaokoa watu wengi

    • @madinidotcom
      @madinidotcom  18 วันที่ผ่านมา

      #taarifanamaarifa

  • @NoelNjementi
    @NoelNjementi 19 วันที่ผ่านมา

    Inachanganya udini nasiasa ajui chochote sere mziki wenyew umemshida

  • @JomoKilawe
    @JomoKilawe 20 วันที่ผ่านมา

    Da!!Hawa Majamaa Wa Tcra Na Basata Wanatia Aibu Aisee ..

    • @madinidotcom
      @madinidotcom  18 วันที่ผ่านมา

      #taarifanamaarifa

  • @NoelNjementi
    @NoelNjementi 19 วันที่ผ่านมา +1

    Istoria sele inampiga Chenga anachanganya vitu