Jenifer Kyaka & Hemed Suleiman MKWE 1
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024
- Jenifer Kyaka & Hemed Suleiman
Familia nyingi hukubwa na ugovi baina ya wazazi na wanandoa na watoto wao, ugomvi baina ya wazazi na watoto wao umepelekea kuzuka kwa visa,chuki,na mpasuko mkubwa kuhusishwa na imani potofu na ushirikina.
hii 👆 movie ni nzuri lakini haina sauti ya waigizaji bali sauti ya beat tu.kama tuko pamoja gonga like zangu hapa
Movie ni nzur lakn saut za kuongea aisikik tunasikia kinanda ahsante hemed Suleiman na Jenifer kyaka kwa Kaz nzur
Asanteni kwa vinanda na vipaza sauti😢
Hivi wabongo lini mtakuwa serious kwenye kazi zenu, muvi nzuri sound kelele tupu mara dj mix mara inamute Yan hamkui tu
Hii movie nliichek 4yrs ago na 2021 nkaitafuta sana xkuiona, leo naiona yasema 1month ago mbna🤷♀️ na part 2 iko ap🥺🥺
SASA MBONA NI MZIKI TU SAUTI HAMNA
Hio hii music yao sijapenda tunataka kusikia maneno
raha ya kuangalia move usikie wanacho ongea ila tunsikia vinanda tyu
Msomaj comment kwanza hii siangalii nasikia hakuna saut😂😂
Movie nzuri sana but mume tu tia aibu upande wa sauti,,, bongo rekebisheni sauti bwana!!!
Wekeni part2 this is one of the best Bongo movie😊naipenda Sana Ila inanilizaga Sana😫
Tunataka sauti ya washiriki sio muziki, imeniboo Ata siangalii tena 😏😏😏😏😏😏
Tunataka sauti ya washiriki
Alaf emed anapenda kuakt na uyu tunu mnapendeza ataivyo nawapnda
Uyu mama jamani ninamupenda saaaaaaaaana mama mkwe wangu ❤nakupenda muno
Wow beautiful ❤️❤️
the movie is good but we dont hear voices
Hii movie itakuwa waliiandaa kwaajili ya viziwi na mabubu
😂😂😂😂😂😂😂😂mungu anakuona
Movie tokea mwanzo hadi mwisho ni music only!!
Banaeee waboa mpaka basi
I hate this muted scenes😢😢😢😢 to make it worst it’s very loud😢😢😢😢😢😢
Mbona hakuna sauti? Lkn movie nzuri i❤ it.
Alie edit hii movie ananikwaza...watu wa bongo movie mmekariri sound track huko background Yan limuvi linapiga kelele saut znainguliana kwa Haya Huwa hamyaon kabla ya kupost hizi kazi....mnajiharbia wenyew halaf kesho mseme watanzia sio wazalendo hawaangakii movie zenu....mi nmeipenda hii movie ila siangalii nimepoteza mb Zang Bure tu naskia kelele tupu watu wakiongea nyie mnaweka sound track . ....kama hamuez kazi achen kutupistia ujinga ujinga bwana.....
Mbona sehemu zingine sauti haipo?
mnafanya nagnga simuu itoe sautii lakin daa enyway iko sawa move
Suleiman uwanga unatoa movie tamu lakini hili iliharibiwa na ,,,sauti hamna ni wimbo
Mbona Hamna sauti.mi nko hapa kuskiza manenos Wala sikuangali movements
Sauti hamuna, utamu wa movie ni kuskia watu wanasemaje😏😏
Ssa hii movie bila sauti ilkwa na maana gani kuiweka huku tafadhalini launch before ikuwe official ndani ya youtube
Move inafundisho sana hii jamani aya maisha haya yapo kabisa asanteni sana kwakufundisha jamii
Wale tunao soma comments ndo tuangali moves tujuane
Mh mna yumba mtuludishie mb zetu
aki amna sauti😊
na wewe sijui kaka ou binti mwenye hii channel bongo cinema. jirekebishe bana. movie zako nyingi bana zina ubovu wa sound? ao izi views zetu tuzibebe kwenye channel nyingine?😡😡😡😡
Jamaniiii sautiiiyyy tienii tuleteeniiiiiyyyyy,nyenginee akaaaa,,
Wasenge nyie mbona amna sauti sasa mnatuekea muziki
Kindly guyz simchange hii tabia! !!,,,, movie bila sauti? Hatujasomea sign laguage plz?
Hemd wap part 2 nice move
Futeni hii movie coz sisi twataka kusikia maneno si music. Hata ileti shangwe. Nyie actors musirudi kwa hio studio tena
Tutumieni hemed sul weiter
Wooooh ❤❤❤🎉🎉
jaman apo to wamearbu lakn move kali
Jamanii Anna anatumia huawei
hii part 1 mushafeli na sauti sijuwi iyo part maana ata sikuimalizia imeniboo sehemu nyingine akuna sauti
Sijatizma na wala sitazmai tena km Hamna sauti
Kaz nzur ila saut hakuna
Saut mmezingua san jmn
Mm sipendi kuangalia sinema bubu nimechoka km hamjarekebisha situpi mb zangu bure
Labda smu zenu znashds mbona saut nikubwa jaman
Part 2 pliiiz
Sio ukubwa wa sauti kuna sehemu sauti hakuna ni kama mabubu.
Asanteni
Movie gani ambay Haina sauti
Dj unazingua kinom bna unazidisha
Kwakwel movie nzr ila sauti hkn shd nn 7:03
Hamna ishu kaz mbovu cc hatuna shida ya mzik tunataka tuskie kaz
Kwakwel movie nzr ila sauti hkn shd nn
Movie nzri bt mume boesha sauti
Nimeipenda hiyo
Mnaweka movie nzuri lkni sauti mbovu.
Congratulations
According 2me u guyz think ur the only producing movies online, , coz this is my third complain on ua movie. Am a kenyan bt complaining frm Somalia Kismayu.
By the way mko na shida na voice to your movies, it's almost zote? !!!!
Bora niangalie Hollywood zangu
Move nzuri sana
Kila mmoja analalamikia sauti hivyo bc sioni haja ya kutazama
Kama hamupo tayari musiweke
Movie poa but sauti hapo ndio mwatuboesha
Film nzuri sana kabisa
Mmeferi sauti bhana
jamani movie nzuri sauti hakuna ,part two basi twataka
Dahhhhh nilikuwa naitafuta kwa ham Sana hiii
Sauti plz
Sautiiiiii hamuna
Sasa munaweka miziki ya nn badala yakuweka sauti mnakazana na mamiziki tu
Mbona sauti mmekata kata Sana
Filamu iko sawa lakini sauti
Wbogo mna boo mziki uko juu huskii chochte
Filamu nzuri nltee party 2
Mutania film nzuri lakini sauti hakuna
Ovooo bila sauti ndio maana hamwendi mbele
Mnaficha nn kwenye saut wakat nyiny ni wasanii wakubwa?
Nyinyi watuwangu je vous aimes plus forte
Mziiki tu sauti hamna
Yani mnaboa kweli na misauti yenu, hivi mnakuwa na mtu wa sauti na mnamlipa Kwa ujinga huu
Tuleteen part 2 bt volume munatuboo iko vzr sna ❤️❤️
Saf san
Muvi mzuri lakini sauti hainogi
Siku hizi naona n movie zote hazina sauti
Film nzuri sauti hakuna kwanini???
Wanazinguwa kinoma.
Sauti mnazingua mivi kali
Movie nzuri lkn miziki mingi hatusikii wanaongea nn
Bongo rekebishen move nyingi zenu sauti tatizo
Sauti sijapenda
Kwa nini hamna saiti
Mbona sisikii chochote ni mziki tu🤔🤔🤔🤔
sauti mnakwama_ wapi
Mnaona sana
Mwendelezo lini
Sauti jamani
Hana sauti lkn mbne
Mwaboo n sauti
Mnaboa sana
Sauti kubwa
Hiyo volume wapi hatimusikiii
Jitaidini sauti
Bien
part 2 plz