Jenifer Kyaka & Hemed Suleiman MKWE 1

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024
  • Jenifer Kyaka & Hemed Suleiman
    Familia nyingi hukubwa na ugovi baina ya wazazi na wanandoa na watoto wao, ugomvi baina ya wazazi na watoto wao umepelekea kuzuka kwa visa,chuki,na mpasuko mkubwa kuhusishwa na imani potofu na ushirikina.

ความคิดเห็น • 145

  • @joelimujaro2542
    @joelimujaro2542 หลายเดือนก่อน +2

    hii 👆 movie ni nzuri lakini haina sauti ya waigizaji bali sauti ya beat tu.kama tuko pamoja gonga like zangu hapa

  • @shufaambata257
    @shufaambata257 ปีที่แล้ว +3

    Movie ni nzur lakn saut za kuongea aisikik tunasikia kinanda ahsante hemed Suleiman na Jenifer kyaka kwa Kaz nzur

  • @RehemaCharles-bc6fn
    @RehemaCharles-bc6fn หลายเดือนก่อน +2

    Asanteni kwa vinanda na vipaza sauti😢

  • @titusmoses7
    @titusmoses7 2 ปีที่แล้ว +4

    Hivi wabongo lini mtakuwa serious kwenye kazi zenu, muvi nzuri sound kelele tupu mara dj mix mara inamute Yan hamkui tu

  • @sharonchihunga8008
    @sharonchihunga8008 2 ปีที่แล้ว +4

    Hii movie nliichek 4yrs ago na 2021 nkaitafuta sana xkuiona, leo naiona yasema 1month ago mbna🤷‍♀️ na part 2 iko ap🥺🥺

  • @msaysha5886
    @msaysha5886 2 ปีที่แล้ว +7

    SASA MBONA NI MZIKI TU SAUTI HAMNA

  • @magdalinekenneth7238
    @magdalinekenneth7238 2 ปีที่แล้ว +1

    Hio hii music yao sijapenda tunataka kusikia maneno

    • @mkazahamisi8508
      @mkazahamisi8508 2 ปีที่แล้ว +1

      raha ya kuangalia move usikie wanacho ongea ila tunsikia vinanda tyu

  • @kabintmpase1544
    @kabintmpase1544 2 ปีที่แล้ว +15

    Msomaj comment kwanza hii siangalii nasikia hakuna saut😂😂

  • @maxameddheere1737
    @maxameddheere1737 2 ปีที่แล้ว +5

    Movie nzuri sana but mume tu tia aibu upande wa sauti,,, bongo rekebisheni sauti bwana!!!

  • @swaumkatuga7474
    @swaumkatuga7474 2 ปีที่แล้ว +1

    Wekeni part2 this is one of the best Bongo movie😊naipenda Sana Ila inanilizaga Sana😫

  • @susanchebet3298
    @susanchebet3298 2 ปีที่แล้ว +2

    Tunataka sauti ya washiriki sio muziki, imeniboo Ata siangalii tena 😏😏😏😏😏😏

    • @user-mo6or1wr8t
      @user-mo6or1wr8t 2 หลายเดือนก่อน +1

      Tunataka sauti ya washiriki

  • @sulesuburasubira6503
    @sulesuburasubira6503 2 ปีที่แล้ว +3

    Alaf emed anapenda kuakt na uyu tunu mnapendeza ataivyo nawapnda

  • @user-xc2ne8py8n
    @user-xc2ne8py8n 4 หลายเดือนก่อน

    Uyu mama jamani ninamupenda saaaaaaaaana mama mkwe wangu ❤nakupenda muno

  • @bitishoriziki1113
    @bitishoriziki1113 4 หลายเดือนก่อน

    Wow beautiful ❤️❤️

  • @user-ni9hn1cp4v
    @user-ni9hn1cp4v 2 หลายเดือนก่อน

    the movie is good but we dont hear voices

  • @agnessmpogole1434
    @agnessmpogole1434 2 ปีที่แล้ว +2

    Hii movie itakuwa waliiandaa kwaajili ya viziwi na mabubu

    • @user-vq1qx1dr4e
      @user-vq1qx1dr4e ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂😂😂😂mungu anakuona

  • @maxameddheere1737
    @maxameddheere1737 2 ปีที่แล้ว +3

    Movie tokea mwanzo hadi mwisho ni music only!!

  • @magdalinemwikwabe8655
    @magdalinemwikwabe8655 7 หลายเดือนก่อน

    I hate this muted scenes😢😢😢😢 to make it worst it’s very loud😢😢😢😢😢😢

  • @user-oi3of3ti7f
    @user-oi3of3ti7f 5 หลายเดือนก่อน

    Mbona hakuna sauti? Lkn movie nzuri i❤ it.

  • @black_queen_vibe
    @black_queen_vibe 5 หลายเดือนก่อน

    Alie edit hii movie ananikwaza...watu wa bongo movie mmekariri sound track huko background Yan limuvi linapiga kelele saut znainguliana kwa Haya Huwa hamyaon kabla ya kupost hizi kazi....mnajiharbia wenyew halaf kesho mseme watanzia sio wazalendo hawaangakii movie zenu....mi nmeipenda hii movie ila siangalii nimepoteza mb Zang Bure tu naskia kelele tupu watu wakiongea nyie mnaweka sound track . ....kama hamuez kazi achen kutupistia ujinga ujinga bwana.....

  • @samweltorai5049
    @samweltorai5049 ปีที่แล้ว

    Mbona sehemu zingine sauti haipo?

  • @fouzfouzz1137
    @fouzfouzz1137 ปีที่แล้ว

    mnafanya nagnga simuu itoe sautii lakin daa enyway iko sawa move

  • @kenogola3392
    @kenogola3392 ปีที่แล้ว

    Suleiman uwanga unatoa movie tamu lakini hili iliharibiwa na ,,,sauti hamna ni wimbo

  • @tyrt8790
    @tyrt8790 4 หลายเดือนก่อน

    Mbona Hamna sauti.mi nko hapa kuskiza manenos Wala sikuangali movements

  • @everlyneiminza5722
    @everlyneiminza5722 2 ปีที่แล้ว +1

    Sauti hamuna, utamu wa movie ni kuskia watu wanasemaje😏😏

  • @swalehabdulkarim4265
    @swalehabdulkarim4265 2 ปีที่แล้ว

    Ssa hii movie bila sauti ilkwa na maana gani kuiweka huku tafadhalini launch before ikuwe official ndani ya youtube

  • @maikomatei810
    @maikomatei810 2 ปีที่แล้ว

    Move inafundisho sana hii jamani aya maisha haya yapo kabisa asanteni sana kwakufundisha jamii

  • @RatiffaSeti-oh8hv
    @RatiffaSeti-oh8hv ปีที่แล้ว +1

    Wale tunao soma comments ndo tuangali moves tujuane

  • @josepheleteuskumburu6403
    @josepheleteuskumburu6403 2 ปีที่แล้ว +1

    Mh mna yumba mtuludishie mb zetu

  • @BrendaWabwoba
    @BrendaWabwoba 2 หลายเดือนก่อน

    aki amna sauti😊

  • @misscrypto481
    @misscrypto481 2 ปีที่แล้ว +1

    na wewe sijui kaka ou binti mwenye hii channel bongo cinema. jirekebishe bana. movie zako nyingi bana zina ubovu wa sound? ao izi views zetu tuzibebe kwenye channel nyingine?😡😡😡😡

  • @teachaish7143
    @teachaish7143 ปีที่แล้ว

    Jamaniiii sautiiiyyy tienii tuleteeniiiiiyyyyy,nyenginee akaaaa,,

  • @avituseradius3513
    @avituseradius3513 6 หลายเดือนก่อน

    Wasenge nyie mbona amna sauti sasa mnatuekea muziki

  • @anthonyndegwa997
    @anthonyndegwa997 2 ปีที่แล้ว

    Kindly guyz simchange hii tabia! !!,,,, movie bila sauti? Hatujasomea sign laguage plz?

  • @suleimankatana3909
    @suleimankatana3909 2 ปีที่แล้ว +2

    Hemd wap part 2 nice move

  • @sumaiyaali5130
    @sumaiyaali5130 2 ปีที่แล้ว

    Futeni hii movie coz sisi twataka kusikia maneno si music. Hata ileti shangwe. Nyie actors musirudi kwa hio studio tena

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp 5 หลายเดือนก่อน

    Tutumieni hemed sul weiter

  • @kiya0910
    @kiya0910 4 หลายเดือนก่อน

    Wooooh ❤❤❤🎉🎉

  • @Elizaclemess
    @Elizaclemess 6 หลายเดือนก่อน

    jaman apo to wamearbu lakn move kali

  • @mariamtambwe6823
    @mariamtambwe6823 2 ปีที่แล้ว

    Jamanii Anna anatumia huawei

  • @noushaddammam8805
    @noushaddammam8805 2 ปีที่แล้ว

    hii part 1 mushafeli na sauti sijuwi iyo part maana ata sikuimalizia imeniboo sehemu nyingine akuna sauti

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 2 ปีที่แล้ว +2

    Sijatizma na wala sitazmai tena km Hamna sauti

  • @KhadijaKhadija-ee5kr
    @KhadijaKhadija-ee5kr 2 ปีที่แล้ว +2

    Kaz nzur ila saut hakuna

  • @aishasaid3455
    @aishasaid3455 2 ปีที่แล้ว +1

    Saut mmezingua san jmn

    • @zahranmohd6713
      @zahranmohd6713 2 ปีที่แล้ว +1

      Mm sipendi kuangalia sinema bubu nimechoka km hamjarekebisha situpi mb zangu bure

  • @sulesuburasubira6503
    @sulesuburasubira6503 2 ปีที่แล้ว +2

    Labda smu zenu znashds mbona saut nikubwa jaman

  • @user-xr7zm6hv3e
    @user-xr7zm6hv3e 4 หลายเดือนก่อน

    Asanteni

  • @dagoberthtairo6357
    @dagoberthtairo6357 7 หลายเดือนก่อน

    Movie gani ambay Haina sauti

  • @lenardshukurujanuary1435
    @lenardshukurujanuary1435 2 ปีที่แล้ว

    Dj unazingua kinom bna unazidisha

  • @JanetJannet-gy4ef
    @JanetJannet-gy4ef ปีที่แล้ว

    Kwakwel movie nzr ila sauti hkn shd nn 7:03

  • @ukhtyaishamapozpba4173
    @ukhtyaishamapozpba4173 2 ปีที่แล้ว

    Hamna ishu kaz mbovu cc hatuna shida ya mzik tunataka tuskie kaz

  • @JanetJannet-gy4ef
    @JanetJannet-gy4ef ปีที่แล้ว

    Kwakwel movie nzr ila sauti hkn shd nn

  • @rahabpaul5618
    @rahabpaul5618 2 ปีที่แล้ว

    Movie nzri bt mume boesha sauti

  • @fridabondo3171
    @fridabondo3171 8 หลายเดือนก่อน

    Nimeipenda hiyo

  • @thabitiykitwana1271
    @thabitiykitwana1271 2 ปีที่แล้ว +2

    Mnaweka movie nzuri lkni sauti mbovu.

  • @muyeshishadrack740
    @muyeshishadrack740 2 ปีที่แล้ว +1

    Congratulations

  • @anthonyndegwa997
    @anthonyndegwa997 2 ปีที่แล้ว

    According 2me u guyz think ur the only producing movies online, , coz this is my third complain on ua movie. Am a kenyan bt complaining frm Somalia Kismayu.

  • @anthonyndegwa997
    @anthonyndegwa997 2 ปีที่แล้ว

    By the way mko na shida na voice to your movies, it's almost zote? !!!!

  • @titusmoses7
    @titusmoses7 2 ปีที่แล้ว

    Bora niangalie Hollywood zangu

  • @mohammedshunu8014
    @mohammedshunu8014 9 หลายเดือนก่อน

    Move nzuri sana

  • @alingoka6274
    @alingoka6274 2 ปีที่แล้ว +1

    Kila mmoja analalamikia sauti hivyo bc sioni haja ya kutazama

  • @NoIe-zq7jo
    @NoIe-zq7jo หลายเดือนก่อน

    Kama hamupo tayari musiweke

  • @aminasaid308
    @aminasaid308 2 ปีที่แล้ว +1

    Movie poa but sauti hapo ndio mwatuboesha

  • @solangerechol6881
    @solangerechol6881 2 ปีที่แล้ว

    Film nzuri sana kabisa

  • @zawadijulius8817
    @zawadijulius8817 2 ปีที่แล้ว

    Mmeferi sauti bhana

  • @irenebaya6296
    @irenebaya6296 2 ปีที่แล้ว

    jamani movie nzuri sauti hakuna ,part two basi twataka

  • @bekamusli85
    @bekamusli85 2 ปีที่แล้ว

    Dahhhhh nilikuwa naitafuta kwa ham Sana hiii

  • @agnesbochaberi5738
    @agnesbochaberi5738 ปีที่แล้ว

    Sauti plz

  • @OmanOman-ky2oo
    @OmanOman-ky2oo 2 ปีที่แล้ว +2

    Sautiiiiii hamuna

  • @hamisjumanne3431
    @hamisjumanne3431 2 ปีที่แล้ว

    Sasa munaweka miziki ya nn badala yakuweka sauti mnakazana na mamiziki tu

  • @kelvinmatenus380
    @kelvinmatenus380 2 ปีที่แล้ว +1

    Mbona sauti mmekata kata Sana

  • @muyeshishadrack740
    @muyeshishadrack740 2 ปีที่แล้ว

    Filamu iko sawa lakini sauti

  • @salmasaed4196
    @salmasaed4196 2 ปีที่แล้ว

    Wbogo mna boo mziki uko juu huskii chochte

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 2 ปีที่แล้ว

    Filamu nzuri nltee party 2

  • @fannyniyubahwe8847
    @fannyniyubahwe8847 2 ปีที่แล้ว +1

    Mutania film nzuri lakini sauti hakuna

  • @maryamkomba6720
    @maryamkomba6720 2 ปีที่แล้ว

    Ovooo bila sauti ndio maana hamwendi mbele

  • @zahakinchabili5797
    @zahakinchabili5797 2 ปีที่แล้ว

    Mnaficha nn kwenye saut wakat nyiny ni wasanii wakubwa?

  • @toshaecha7313
    @toshaecha7313 2 ปีที่แล้ว +1

    Nyinyi watuwangu je vous aimes plus forte

  • @collinsmwanuli5173
    @collinsmwanuli5173 ปีที่แล้ว

    Mziiki tu sauti hamna

  • @titusmoses7
    @titusmoses7 2 ปีที่แล้ว

    Yani mnaboa kweli na misauti yenu, hivi mnakuwa na mtu wa sauti na mnamlipa Kwa ujinga huu

  • @mwakaathumani4793
    @mwakaathumani4793 2 ปีที่แล้ว

    Tuleteen part 2 bt volume munatuboo iko vzr sna ❤️❤️

  • @SophiaMrembo-tl5zl
    @SophiaMrembo-tl5zl 11 หลายเดือนก่อน

    Saf san

  • @frolandunguru4489
    @frolandunguru4489 2 ปีที่แล้ว

    Muvi mzuri lakini sauti hainogi

  • @saudahamad7481
    @saudahamad7481 2 ปีที่แล้ว

    Siku hizi naona n movie zote hazina sauti

  • @awltany3545
    @awltany3545 2 ปีที่แล้ว +1

    Film nzuri sauti hakuna kwanini???

  • @sakinakhatibu1820
    @sakinakhatibu1820 2 ปีที่แล้ว

    Movie nzuri lkn miziki mingi hatusikii wanaongea nn

  • @clarisgambo7960
    @clarisgambo7960 2 ปีที่แล้ว +1

    Bongo rekebishen move nyingi zenu sauti tatizo

  • @ashaiddi6449
    @ashaiddi6449 ปีที่แล้ว

    Sauti sijapenda

  • @user-mo6or1wr8t
    @user-mo6or1wr8t 2 หลายเดือนก่อน

    Kwa nini hamna saiti

  • @dr.ayesigamfuriki2364
    @dr.ayesigamfuriki2364 2 ปีที่แล้ว

    Mbona sisikii chochote ni mziki tu🤔🤔🤔🤔

  • @mauwarashid4823
    @mauwarashid4823 2 ปีที่แล้ว

    sauti mnakwama_ wapi

  • @paskalhugi7888
    @paskalhugi7888 2 ปีที่แล้ว

    Mnaona sana

  • @KhadijaKhadija-ee5kr
    @KhadijaKhadija-ee5kr 2 ปีที่แล้ว

    Mwendelezo lini

  • @adijasalumu6452
    @adijasalumu6452 2 ปีที่แล้ว +1

    Sauti jamani

  • @jumaabdalla4699
    @jumaabdalla4699 ปีที่แล้ว

    Hana sauti lkn mbne

  • @janethraphael4893
    @janethraphael4893 2 ปีที่แล้ว

    Mnaboa sana

  • @benardmsafiri4648
    @benardmsafiri4648 2 ปีที่แล้ว +1

    Sauti kubwa

  • @evangelineirakoze7335
    @evangelineirakoze7335 2 ปีที่แล้ว

    Hiyo volume wapi hatimusikiii

  • @user-od6mu5yr4e
    @user-od6mu5yr4e 2 ปีที่แล้ว +1

    Jitaidini sauti

  • @bienfaitkamole858
    @bienfaitkamole858 2 ปีที่แล้ว

    Bien

  • @flowerskalumbwa668
    @flowerskalumbwa668 2 ปีที่แล้ว

    part 2 plz