PART1:KIJANA ALIEFATA UTAJIRI WA KICHAWI WA KUJIMALIZA MWENYEWE/MACHO YAKE YAPO MGONGONI/UCHI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 135

  • @rebeccapmashauli2648
    @rebeccapmashauli2648 3 ปีที่แล้ว +16

    Wa kwanza Leo gonga like hapa kwa we ni mfatiliaji wa simulizi ixi

  • @sitikitsui2155
    @sitikitsui2155 3 ปีที่แล้ว +14

    Wa kwanza 254🇰🇪🇰🇪

  • @rasjamal9854
    @rasjamal9854 3 ปีที่แล้ว +6

    Big respect Davistar Mata umeenda deep sana unatufungua mambo mengi ktk upande wa pili

  • @mariamshabani6853
    @mariamshabani6853 3 ปีที่แล้ว +3

    Asente Sana broo

  • @momyusuf7731
    @momyusuf7731 3 ปีที่แล้ว +4

    Bro davistar hapo mulipo Kuna upepo mwingi hatusikii vizuri

  • @nurusalim846
    @nurusalim846 3 ปีที่แล้ว +3

    Asante davista kwa kutuburdisha na kutuelimisha

  • @farhathamdansalum9725
    @farhathamdansalum9725 3 ปีที่แล้ว +1

    Subhanah Allah, jamaa karogwa hadi jamaa wake wanamuogopa

  • @josephinemumbua159
    @josephinemumbua159 3 ปีที่แล้ว +4

    Mimi chenye najua maisha mazuri upatikama Kwa yesu sio Kwa mganga

  • @jumazia2184
    @jumazia2184 3 ปีที่แล้ว +5

    Oyaa Davis, punguza sauti ya radio inaboesha.🇯🇲🇯🇲

    • @nooor1120
      @nooor1120 3 ปีที่แล้ว +1

      Mr Mata zamaaani tumemwambia asitutilie hii music inaumiza maskio na hatuskii vzr saa nyengine na inabowa lkn......hatuskilizi🤪

  • @tamaraeliz7114
    @tamaraeliz7114 3 ปีที่แล้ว +5

    Sasa hizo pesa ni za nini? Bila mke bila watoto. Pole kaka Njoo kwa Yesu

    • @nashonandreas
      @nashonandreas 4 หลายเดือนก่อน

      YESU ndio kila kitu shetani hana nafasi

  • @njerimukami3112
    @njerimukami3112 3 ปีที่แล้ว +5

    From kenya

    • @lolguy-x9n
      @lolguy-x9n 3 ปีที่แล้ว

      wakenya kweli. kudoea ma bongo music tena sasa tuko huku kwa maajabu maajabu

  • @mwesigwaannte6751
    @mwesigwaannte6751 3 ปีที่แล้ว +2

    Thanks Davi Welcome back and Long time

  • @saidabdalla8996
    @saidabdalla8996 3 ปีที่แล้ว +4

    Ganda la ndizi alikuachi salama

  • @abdulhalimhumud1917
    @abdulhalimhumud1917 3 ปีที่แล้ว +2

    Pamoja mr Facts 🇸🇪🇸🇪

  • @mwamurekadenge2161
    @mwamurekadenge2161 3 ปีที่แล้ว

    Perfect story divester mata nakufatilia sana bro kipindi chako hongera sana bro

  • @euniceeunice7680
    @euniceeunice7680 3 ปีที่แล้ว +1

    Waganga Mungu anawaona yan waganga nyinyi mnashirikiana na shetani kualibu ulimwengu binadamu tumkatae shetani ni mbaya sana

  • @maureenmwende3515
    @maureenmwende3515 หลายเดือนก่อน

    Wah kweli kuna mambo ya ajabu

  • @kiri5807
    @kiri5807 3 ปีที่แล้ว +1

    jamani maisha magumu kila mtu voo hata huyo pesa anakuwa na maisha magumu kiupande mwengine ndio km hivyo unamkuta mtu tajiri lakini ana masharti au pengine mgonjwa .

  • @abdullahramadhan7442
    @abdullahramadhan7442 3 ปีที่แล้ว

    Mkali sana jamaa

  • @violinenyakara5028
    @violinenyakara5028 3 ปีที่แล้ว +3

    Siku hizi nachelewa ajabu, si mradi nimewatch, 🙈

  • @joshuatalu9596
    @joshuatalu9596 3 ปีที่แล้ว +2

    Kama kawa🇰🇪

  • @modricnoma3686
    @modricnoma3686 3 ปีที่แล้ว +1

    Wakwanza like hapa twende sawa 😃

  • @navorossy720
    @navorossy720 3 ปีที่แล้ว +1

    Jmn tumrudie mungu

  • @ahmedmohd3287
    @ahmedmohd3287 3 ปีที่แล้ว

    ✌pamoko D.M.

  • @salmamohammed5623
    @salmamohammed5623 3 ปีที่แล้ว +3

    Please tupunguzie mziki hatusikii kitu

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 3 ปีที่แล้ว

      Wchaaaaaaaaaaaa weeeeeeeeeee🤣🤣

    • @nurusalim846
      @nurusalim846 3 ปีที่แล้ว

      Mziki unakera davistar punguza please

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyo alirogwaaa kweli loo viungo vilibadilishwaaa jamani uchawi hatari

  • @davidkizito6900
    @davidkizito6900 3 ปีที่แล้ว +3

    Dunia ina Mambo jamani

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 3 ปีที่แล้ว +1

    Pole kijana

  • @leylahloo5863
    @leylahloo5863 3 ปีที่แล้ว +1

    Jameni suala langu kwani ukisema mulikuwa munashida kwani shida sisi binadamu tuko nazo jameni kitu sielewi kunawatu wakipata shida tu wanakimbilia kwa waganga siyo hivyo tumuombeni mungu namungu ndiyi wapeke Atatusaidia hakuna zaidi ya mungu

  • @hidayaalmanji6720
    @hidayaalmanji6720 3 ปีที่แล้ว +2

    Nimewahi Leo davi

  • @ayushsaeed1051
    @ayushsaeed1051 3 ปีที่แล้ว +2

    Mr fax ushapiga kura 😂naomba Aman nchi yangu🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @shammybeybe1825
    @shammybeybe1825 3 ปีที่แล้ว

    Napenda mwanya na Smile ya Davistar

  • @matheothomas1891
    @matheothomas1891 3 ปีที่แล้ว +3

    Mbonaa ckuu izii uhelewekii umalizii interview

    • @DavistarMataMediaDM
      @DavistarMataMediaDM  3 ปีที่แล้ว +5

      Zote nitaweka ila kuna tatizo la kuzimwa internet Tz Tz kwahiyo zote nishaziweka bado kuwa published tu

    • @schram569
      @schram569 3 ปีที่แล้ว

      Kaka Matheo Thomas unaweza ukanisaidiza number zako nikukute inbox nikuulize kitu ?

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 3 ปีที่แล้ว +1

    Hiyo shamba nikama haina rutubaa ndomana eka inatoa hixo gunia kidogo ungejiongezaa hata mbolea watu hutumia hiyo akili

  • @farhathamdansalum9725
    @farhathamdansalum9725 3 ปีที่แล้ว

    Mmbo hayo ni kufanya subra kuliko kwenda kwa waganga ama kutafuta vitu kiuchawi🇰🇪

  • @ayoubsanga7405
    @ayoubsanga7405 3 ปีที่แล้ว +1

    maswali mengiii mpka stor hainogiii

  • @farhathamdansalum9725
    @farhathamdansalum9725 3 ปีที่แล้ว

    Dhuuu, ukaja panda fisi

  • @kanyangezafaraniddi6518
    @kanyangezafaraniddi6518 3 ปีที่แล้ว

    Pamoja saan mtu wetu makini from🇨🇦🇨🇦

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 3 ปีที่แล้ว +3

    Hawa wachawi waliamini fisi ndousafiri wao loo kazi IPO nawachawi

    • @nurusalim846
      @nurusalim846 3 ปีที่แล้ว

      Wenzao wanapanda maprado wao wanapanda fisi

  • @credo7837
    @credo7837 3 ปีที่แล้ว

    🤔🤔🤔🤔

  • @farhathamdansalum9725
    @farhathamdansalum9725 3 ปีที่แล้ว

    Dhuuuu, gunia 3 miezi7 tena unapata 90,000

  • @theunseen.believe5672
    @theunseen.believe5672 3 ปีที่แล้ว +1

    I hope you've made a good decision in the ballot👊👊

  • @seadogs4460
    @seadogs4460 3 ปีที่แล้ว

    Sasa angalia mali huna wala huna tena nguvu za kiume,utajuta maishani mwako,utakuwa fukara,mbona ulivyo kuwa na mali hukumwona Davistar mata?mwiba wa kujichoma huwambiwi pole,you deserved that Bro

  • @kingwamaratz6062
    @kingwamaratz6062 3 ปีที่แล้ว

    Mmmmh jmn

  • @somoeawadh7774
    @somoeawadh7774 3 ปีที่แล้ว +1

    Goodluck story zetu hizi 😆😆😆

  • @ayushsaeed1051
    @ayushsaeed1051 3 ปีที่แล้ว +1

    Jongoo apandi mtungi daaaa majanga

  • @africandarling6925
    @africandarling6925 3 ปีที่แล้ว

    Dev Vp hupigaji wa kula Umepita salama

  • @khadijaomari9344
    @khadijaomari9344 3 ปีที่แล้ว +1

    sio poa kabisa

  • @kowuor_susan8894
    @kowuor_susan8894 3 ปีที่แล้ว +1

    Leo nimewai WA Kwanzaa

  • @LavazasBroadcast
    @LavazasBroadcast 3 ปีที่แล้ว +1

    Nice, you need a better microphone. Get a lapel.

  • @mariamm2724
    @mariamm2724 3 ปีที่แล้ว

    Pole kwa yote kijana, umejiuwa kisa unataka pesa za haraka hazipo aiseee piga kazi ndoo upate utajiri

  • @abdullahrashed4817
    @abdullahrashed4817 3 ปีที่แล้ว +1

    bora ya huku kuliko uchaguzi wa aibu duniani

  • @allykibabe8182
    @allykibabe8182 3 ปีที่แล้ว

    Mr fact on fire
    Daaah hiyoo kali
    Kudinda muhimu ww

    • @eshalibaba1195
      @eshalibaba1195 3 ปีที่แล้ว

      😀😀😀😀😀😀

    • @allykibabe8182
      @allykibabe8182 3 ปีที่แล้ว +1

      @@eshalibaba1195 kudinda ndo kila kitu

    • @eshalibaba1195
      @eshalibaba1195 3 ปีที่แล้ว

      @@allykibabe8182 😀😀😀yeye akutakaa...

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 3 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @allykibabe8182
      @allykibabe8182 3 ปีที่แล้ว

      @@pilimusa7770 au vp pili lazima udinde upate heshima..

  • @nusaebahkeis6774
    @nusaebahkeis6774 3 ปีที่แล้ว +1

    Hio mik wape hawo wakamate

  • @roseuwambe8089
    @roseuwambe8089 3 ปีที่แล้ว +1

    Duu pole yake kuuwa kituambacho ndio starehe kumbwa kuliko zote🤔🤔🤔

  • @ayoubsanga7405
    @ayoubsanga7405 3 ปีที่แล้ว

    htr

  • @farhathamdansalum9725
    @farhathamdansalum9725 3 ปีที่แล้ว

    Kk Davi, hii background sound uwe hauieki manake ipo na sauti kuliko maongezi🇰🇪

  • @agnesj.h9789
    @agnesj.h9789 3 ปีที่แล้ว +1

    Eti nini macho mugongoni au nimesikiaje

  • @salvatorykyakwe8606
    @salvatorykyakwe8606 3 ปีที่แล้ว

    SAWASAWA DAVISTA NAKUELEWA MAN

  • @farhathamdansalum9725
    @farhathamdansalum9725 3 ปีที่แล้ว

    Kweli alikomaa kwa hiyo shida mpaka akamuona mzee

  • @kiri5807
    @kiri5807 3 ปีที่แล้ว

    mimi.akili zangu zinanipa km ningekuwa peke yangu wala nisingehangaika kujituma ila najituma kwa sababu ya watoto wangu waweze kuishi vizuri. sasa wewe unakubali ukose kizazi .na mke utajiri huo ukupeleke wapi na mwisho wa siku unaambiwa umekosea masharti kila kitu kinapotea utakuwa hali gani ktk dunia hii ? kuna utajiri km mtoto?

  • @momyusuf7731
    @momyusuf7731 3 ปีที่แล้ว

    Duhhhhh! ! Majanga duniani

  • @beatricekweka6683
    @beatricekweka6683 3 ปีที่แล้ว

    Niliwamiss... Pamojaa tenaa

  • @kawtharsaleh9229
    @kawtharsaleh9229 3 ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂eti lifsi

  • @seadogs4460
    @seadogs4460 3 ปีที่แล้ว

    Jamaa tuwacheni tamaa,uko na mwili mkubwa lakini wapenda pesa za bure badala ya kufanya kazi,mukishindwa ndio mwamwona Davistar mata

  • @mayaalmahrooqi1345
    @mayaalmahrooqi1345 3 ปีที่แล้ว +1

    Za usiku jamani mm jana nahangaika kusubiri hichi kipindi sikukiona nadhani na juzi pua kwani kilikua hamna au vp

  • @fatmafatoom6553
    @fatmafatoom6553 3 ปีที่แล้ว

    Af huyu sijui msambaa au mzigua maana hii lafudhi hii yenyewe.

  • @jaliamohamed8282
    @jaliamohamed8282 3 ปีที่แล้ว

    Sema dv ujipange habar za file limefutika. Kwa bahati mbaya zinatuumiza mbona external zipo za kumwaga tu ,siuhifadhi humo,hiki kipindi chako kama madawa ya kulevya na watu tushaelewa tena

  • @martinandugai2340
    @martinandugai2340 3 ปีที่แล้ว

    Nimewai

  • @jangombeboys4536
    @jangombeboys4536 3 ปีที่แล้ว +1

    jangombeboys1999

    • @kiehbhzh7044
      @kiehbhzh7044 3 ปีที่แล้ว +2

      duh inna lilah wainna ilah lajiun Allah akusamehe na rudi kwa mungu wako atakusamee dah nimesikitika sana jmn kama vile ndugu yangu imenigusa sana

  • @Papa2thaE
    @Papa2thaE 3 ปีที่แล้ว

    Jicho kwenye makende. Pua kifuani. 👹

  • @alexjos7625
    @alexjos7625 3 ปีที่แล้ว

    33

  • @karrolleschon3986
    @karrolleschon3986 3 ปีที่แล้ว

    🇰🇪🍹

  • @agnesj.h9789
    @agnesj.h9789 3 ปีที่แล้ว +1

    Lakini mmeshapiga kura Devi Na dungu yako wajongoo haipaswi🤣🤣🤣

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 3 ปีที่แล้ว

    Yani kirahisi tuu utajiri unaupata kupitia mwili mwako pesa nyingi tuu lkn unaitumia tuu nahuku mashini imelala ulikosa kujiongeza nakujua mwanaume mashine😂😂🤣🤣aisee Chuma yadoshi ikilala wanawake utabaki kuwaita mashemeji tuu

  • @tututz100
    @tututz100 3 ปีที่แล้ว

    J.BOYS.F.C 1999

  • @maxjofrey70
    @maxjofrey70 3 ปีที่แล้ว +1

    Mmh kweli uyu jamaa alijitoa mwanga yani kujiweka hanisi mmmh mi siwezi yani mi dudu langu lisipo simama asubui au nikimwona tu mwanamke aliye nivutia lisipo simama dudu na vulugwa yani napendaga mbaka kwa Docta sasa uyu kaji fanyia ukatili huu duh misiwezi wakati mi nikiwa na pesa nita wagonga mademu wote wa mtahani kwetu na mtaa wajirani ..

  • @salumosman4056
    @salumosman4056 3 ปีที่แล้ว

    Davis vipi mbona ulikuwa kmya sanaaaa

    • @DavistarMataMediaDM
      @DavistarMataMediaDM  3 ปีที่แล้ว +1

      Ndugu yangu kuzimwa internet ndio tatizo

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 3 ปีที่แล้ว

      @@DavistarMataMediaDM pamoja sana bro

    • @nurusalim846
      @nurusalim846 3 ปีที่แล้ว

      Pole davistar na asante kwa mafunzo unayotupa pamoja .kaka

  • @farhathamdansalum9725
    @farhathamdansalum9725 3 ปีที่แล้ว

    Tupo makini sana watu wako

  • @fatmafatoom6553
    @fatmafatoom6553 3 ปีที่แล้ว

    Ss utajir huo unaraha gan bila penzi bila family,,,af kumbe nusu ya nchi nahis utajir n wa kichaw hahaha maana hizi store daily

    • @credo7837
      @credo7837 3 ปีที่แล้ว

      😂😂

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter1661 3 ปีที่แล้ว

    Heri niwe maskini

  • @fatmafatoom6553
    @fatmafatoom6553 3 ปีที่แล้ว

    Kwel zuzu huyu . yaaan unatoa utam wako ambao unakamilisha ubinadam wako kisa utajir

    • @credo7837
      @credo7837 3 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 3 ปีที่แล้ว

    Her niwe maxkin

  • @davidkizito6900
    @davidkizito6900 3 ปีที่แล้ว +2

    mganda kutoka Saudia, pamoja Sana Mr facts mtu wangu makini