BABA LEVO AKIHADITHIA MAISHA YA GEREZANI ’’MIMI KINACHONIANDAMA NI KUFA''

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 217

  • @moodychanday9220
    @moodychanday9220 4 ปีที่แล้ว +25

    Badala ya kuhuzunika badala yake wanacheka 😂😂😂 acha nami nicheke mana c kwa kifua kulia Puh!!! 😂😂

    • @mobaisa1704
      @mobaisa1704 4 ปีที่แล้ว

      ttz msimuliaji anaslimulia huzun kwa kufurahisha

  • @kingwatabata4230
    @kingwatabata4230 4 ปีที่แล้ว +1

    Daah kweli wapinzani amna kitu😢

  • @calvinkitaly9376
    @calvinkitaly9376 4 ปีที่แล้ว

    Pamoja sana

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 2 ปีที่แล้ว

    Heri angebaki gerezani

  • @norascombedule1057
    @norascombedule1057 4 ปีที่แล้ว

    Safi

  • @jeffgaston6953
    @jeffgaston6953 4 ปีที่แล้ว

    Na umekonda mjinga wew unaongea uchizi

  • @rashidbusanya7166
    @rashidbusanya7166 4 ปีที่แล้ว +5

    Huyu mbona anajikanyaga mwenyewe hata hakuna point ya msingi huo ni uchochezi bila sababu wewe uliwafanyia fujo askari usalama barabaran sasa unaleta uchochezi wa kisiasa wa nini sasa hapo

  • @hassanjuma6254
    @hassanjuma6254 4 ปีที่แล้ว +7

    Kama kuna mtu amegundua kuwa BABA LEVO anapenda elaaa, gonga like zangu, mana uyu jamaa akijitikisa tu, kinua mgongo icho hapo.

  • @theuniversetv2870
    @theuniversetv2870 2 ปีที่แล้ว +2

    Leo hii chawa wa diamond,,live changes very quickly jamn

  • @gracemakiwa5183
    @gracemakiwa5183 2 ปีที่แล้ว +2

    Baba levo hapo kwenye Biblia bado Sana kaka yaaan nimeishia kucheka

  • @godhelplatia3044
    @godhelplatia3044 4 ปีที่แล้ว +2

    Ahaaa baba Levo umenifurahisha sana,urithi wa matisheti na majinsi ahaaaa hakika hotuba inatia moyo pamoja na majaribu

  • @fubanjenjele521
    @fubanjenjele521 4 ปีที่แล้ว +9

    Huyu jamaa ni mchekeshaji sn
    Baba level bhana, piga Kazi mzee baba

  • @christopherrichmangi8570
    @christopherrichmangi8570 4 ปีที่แล้ว +28

    Nimependa maneno ya KIIMANI ya baba levo.Mungu akuzingire kwa nguvu zake in Jesus name Amen

  • @moha9043
    @moha9043 4 ปีที่แล้ว +10

    Babalevo💪💪🇸🇦🇰🇪🇸🇦💪🇸🇦

  • @jaderkyser9389
    @jaderkyser9389 6 วันที่ผ่านมา

    2024 saivi Jamaa anakula Kuku kwa Mrija ❤. Usimkatie Tamaa mtu yoyote kwenye Maisha yake.. Hujui Kesho Ya mtu yoyote ila Mungu tu.

  • @rukiamwakinyo5324
    @rukiamwakinyo5324 4 ปีที่แล้ว +10

    😂😂😂😂🤣🤣levo si mtu nzur

  • @kibonaamenye6878
    @kibonaamenye6878 4 ปีที่แล้ว +46

    aliye mwelewa huyu jamaa anacho waeleza wananchi wa kata yake, anisaidie

  • @bahatikengese744
    @bahatikengese744 2 ปีที่แล้ว

    Baba levo tujee tukuhamishie burudi tuone utaongea nini

  • @deosebaruhanga4153
    @deosebaruhanga4153 4 ปีที่แล้ว +6

    Hapa kwani ndo anaongea sera za chama chake kwa wapiga kura????je ukivunja sheria wakufanyie sherehe?hawa wananchi nao vilaza tu wangeisharudi majumbani!!hivi watanzania wanataka haya kweli?

    • @shibilitimedia3312
      @shibilitimedia3312 4 ปีที่แล้ว +1

      Na cha ajabu anatanguliza masilahi ya familia yake

  • @yonahmoses4362
    @yonahmoses4362 13 วันที่ผ่านมา

    baba levo ni manipulator Sana ajui tu wenyewe akijijua ana kitu Sana

  • @hadija846
    @hadija846 4 ปีที่แล้ว +9

    Pamoja sana kamanda✌️💖💞😍

  • @paulmangombe6803
    @paulmangombe6803 4 ปีที่แล้ว +5

    hambu hambu wa lyaga nyawanga

  • @Cryptocurrency_Tanzania
    @Cryptocurrency_Tanzania 4 ปีที่แล้ว +13

    kilichofanya ufungwe ni kusemaa au kumpiga askari wa usalama barabarani...... me ni mpinzani ila hiko hapana mzee...

  • @happymsaki1720
    @happymsaki1720 4 ปีที่แล้ว +3

    Usijiombee kifo ndgu yngu

  • @amberrose4058
    @amberrose4058 4 ปีที่แล้ว +4

    Apo Kwa Daniel pataaamu

  • @edwardmsongelwa5455
    @edwardmsongelwa5455 4 ปีที่แล้ว +3

    Jaribu KUA mkweli na ukweli utakuweka guru sasa usi changanye mambo Fanya unayo stahili kufanya kwa wananchi wako hilo ndio muhimu

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 4 ปีที่แล้ว +1

    Kabla ujafa nipe laki yangu ninayo kudai #babaLevo

  • @eventelias3566
    @eventelias3566 4 ปีที่แล้ว +1

    Viongozi ndio mjifunze sasa sio mnaamlisha watu kirahisi tu wafungwe mnaona jela kama jando huyu kakaa miezi tu leo imekuwa story.

  • @paschalewamtaa726
    @paschalewamtaa726 4 ปีที่แล้ว +4

    jamaaa komedy saana

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 ปีที่แล้ว

    Na wewe umebarikiwa kusema

  • @moseskaduma2304
    @moseskaduma2304 4 ปีที่แล้ว +1

    Hapo unaongelea familia yako au nin maana sielewi kitu huwezi kukusanya watu kwa lengo la kuyanadi maisha yako

  • @abdulmalickupete9015
    @abdulmalickupete9015 4 ปีที่แล้ว +1

    Kwa hiyo hujilaumu kwa makosa yako halafu unaongea utumbo tu

  • @boniphacetabu2903
    @boniphacetabu2903 4 ปีที่แล้ว +2

    Rudi kwenye mziki mjomba tumekumisi sana kwenye game la mziki

    • @karimswai1140
      @karimswai1140 4 ปีที่แล้ว

      Uyoo hapana mziki labda akalime mafuta uko ya mchikichi

  • @asetinyjohn5175
    @asetinyjohn5175 4 ปีที่แล้ว +2

    Mbona siwelewi point unazoziongea.. ? Wananchi wanakuchora tu wanataka maendeleo wewe we unawapelekea sanaa inayokupa wewe ugali wananchi wako wanalala njaa.

  • @salymkitumbika8644
    @salymkitumbika8644 4 ปีที่แล้ว +1

    Unaelezea mshahara na namna yakutumia huku wananchiwako wananjaa unanianhushaa

  • @deboralukasi
    @deboralukasi ปีที่แล้ว

    CA

  • @uwezoamani5934
    @uwezoamani5934 4 ปีที่แล้ว +1

    Sana2 mchawi utamjua2 huwa haishiwi sababu jiwe juu ya jiwe levobaa mchaka mchaka si tunakuambin imeishaio D S M

  • @hannamakamba6108
    @hannamakamba6108 ปีที่แล้ว

    Hahahahaha

  • @AdamNtandu
    @AdamNtandu 10 หลายเดือนก่อน

    Hahahahah

  • @sadamramadhan9887
    @sadamramadhan9887 2 ปีที่แล้ว

    Hahaha

  • @hassanjuma6254
    @hassanjuma6254 4 ปีที่แล้ว

    Baba levo, bangi,
    Ilaa nakukubali mana ghafla umekuwa kama comedian ivi, ilaa chama changu ni CCM, endelea kutoa darasa.

  • @frankkaiza3658
    @frankkaiza3658 4 ปีที่แล้ว

    Pambana kijana chukua jimbo kwupe peeeee una subir kuapishwa2.....!!!!!!!

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 4 ปีที่แล้ว +2

    Uliyataka mwenyewe wacha yakukute

  • @masoudomary9209
    @masoudomary9209 4 ปีที่แล้ว +5

    Tatizo watu wengi hawaijui siasa,,, hapa anaongea utumbo na watu wanachekelea

  • @jovinejaphet1675
    @jovinejaphet1675 4 ปีที่แล้ว +1

    Huyu nae kiongoziii😁😁😁😁😁😁😁

  • @pendael02
    @pendael02 4 ปีที่แล้ว +1

    Ongea mambo ya wananchi siyo yako binafsi. Acha ujinga, cha wazungu chama

    • @gilliardgodfriend5745
      @gilliardgodfriend5745 4 ปีที่แล้ว

      Jamani kumbukeni alitoka jela ndio akaita kikao na wala sio kikao cha kuhusu lolote

  • @mosozifamily7633
    @mosozifamily7633 4 ปีที่แล้ว +8

    Kwa viongozi hawa kigoma. .mjini maendeleo 0 😂😂😂😂😂

    • @anneapollo890
      @anneapollo890 4 ปีที่แล้ว

      Mosozi Family umeonee hakuna lolote walilolifanya kazi kuongea hovyo

  • @nebarthmoses6504
    @nebarthmoses6504 4 ปีที่แล้ว +1

    nimeambulia kujua mshahara wa diwani

  • @swaggerizedninjagoseprocom8523
    @swaggerizedninjagoseprocom8523 4 ปีที่แล้ว +1

    Hatariiii sanaaaaa

  • @jumaigembemakula3698
    @jumaigembemakula3698 4 ปีที่แล้ว +1

    Huyu ni msanii ukiona watu wanamsikiliza ujue wamemisi show
    Na hapo ni show kweli kweli

  • @munirahassan2220
    @munirahassan2220 4 ปีที่แล้ว +3

    😂😂😂😂😂Jaman baba wewe

  • @lillianeriksson8183
    @lillianeriksson8183 4 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana kamanda

  • @edgamwakyoma9761
    @edgamwakyoma9761 4 ปีที่แล้ว +3

    Mpumbavu tyu huyu kufanya kazi saa2 mpka saa 8 anaona ngumu mjinga tyu huyu

  • @mabularashidi321
    @mabularashidi321 4 ปีที่แล้ว +3

    Mwishowako 2020

  • @Goshenmichaell
    @Goshenmichaell 7 หลายเดือนก่อน

    Kabla ajawa chawa

  • @adammjomba7112
    @adammjomba7112 4 ปีที่แล้ว

    Abubakari kisuju mshahara wa baba Levo wa 3.5 ni bora kuliko huo udalali wako unaopata 3 5 kwa nusu sasa. Ujue kwamba udalali sio kazi ni utapeli uizi na balaa chungunzima .wapi kumeandikwa udalali ni kazi? Madalali wote ni waizi tu kutwa nzima mnakaa ktk vijiwe .usiku mnabadilika kukaba watu na wanawake kwa jumla . Leo unalinganisha udalali na udiwani;?

  • @kashindisimon5265
    @kashindisimon5265 4 ปีที่แล้ว

    Ni Biblia andiko gani hilo mheshimiwa?nahisi unachanganya mambo hiyo ni hadithi katika Quran sio bible

  • @sulaimanabdallah4088
    @sulaimanabdallah4088 4 ปีที่แล้ว

    Huyu awadanganya sikia mazungumzo yake huyu apewe ubunge asaidiwe tu apewe ubalozi wa serekali wa mitaa

  • @johaally669
    @johaally669 4 ปีที่แล้ว

    Mh nishida sana hawa watu nishida huyu njaa kali watakao kupa kula yao niwapuuz kama ww🤔🤔🤔

  • @amosaruta22
    @amosaruta22 4 ปีที่แล้ว +1

    Kwanza jina lako unaitwaga nani

  • @timezonlinemedia2665
    @timezonlinemedia2665 4 ปีที่แล้ว +4

    Eti nimeua joka😂😂😂😂😂

  • @mgawerevocatus8582
    @mgawerevocatus8582 4 ปีที่แล้ว +3

    Jamani si nasikia wapinzani hawaruhusiwi kufanya mikutano?
    Au huyu ni ccm?

    • @deluxermahyono5290
      @deluxermahyono5290 4 ปีที่แล้ว

      Inakuuma saaana yaani eti

    • @mgawerevocatus8582
      @mgawerevocatus8582 4 ปีที่แล้ว

      @@deluxermahyono5290 Soma swali kwa upya kisha ujibu

    • @lewiskinoni1507
      @lewiskinoni1507 4 ปีที่แล้ว

      Mgawe Revocatus ni diwani anaongea na wananchi.. Angekuwa sio diwan asingeruhusiwaa

    • @otmarykiowi4132
      @otmarykiowi4132 4 ปีที่แล้ว

      Mikutano inaruhusiwa, kila mtu afanye kwenye eneo lake la kazi.

    • @otmarykiowi4132
      @otmarykiowi4132 4 ปีที่แล้ว

      Mikutano inaruhusiwa, kila mtu afanye kwenye eneo lake la kazi.

  • @internetviralvideos9064
    @internetviralvideos9064 4 ปีที่แล้ว +4

    Ndio maana wapinzani wanafeli sana....Wananchi sio wajinga tena note hilo....

  • @hanifahassan9138
    @hanifahassan9138 4 ปีที่แล้ว

    Nilijua umesoma qur. Ani

  • @milhajiabdallah1681
    @milhajiabdallah1681 4 ปีที่แล้ว

    Na bado utapelekwa tena kumbe

  • @mabularashidi321
    @mabularashidi321 4 ปีที่แล้ว +3

    Tafuta kazi nyingine

    • @omanimujsa9756
      @omanimujsa9756 4 ปีที่แล้ว

      😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 4 ปีที่แล้ว

    Hiyo story ya Daniel ya kuuwa nyoka kwa kutumia lami na nywele mbona sielewielewi? Wacha nikaitafute kwenye Biblia yangu.

  • @edwinjohn2226
    @edwinjohn2226 4 ปีที่แล้ว +3

    Sera zingine bwana hivi huyu atapigiwa kura tena?

    • @deluxermahyono5290
      @deluxermahyono5290 4 ปีที่แล้ว

      Anafurahi na watu wake ni km ule ujinga wa Pombe kwa walevi wenzie

    • @rajabhussein3718
      @rajabhussein3718 4 ปีที่แล้ว

      Me mwenyewe kula yangu baba levo

    • @erickkasavaga2646
      @erickkasavaga2646 4 ปีที่แล้ว

      Unataka apigiwe nani, we sarange

  • @theuniversetv2870
    @theuniversetv2870 2 ปีที่แล้ว

    Leo hii chawa wa diamond,,live changes very quickly jamn

  • @Rugemalilatv1994
    @Rugemalilatv1994 4 ปีที่แล้ว

    Anapiga story na wanakata wake hivo ndo vizuri yupo karibu nao

  • @mussanassoro552
    @mussanassoro552 ปีที่แล้ว

    Leo umekuwa chawa promax

  • @allyngazi2443
    @allyngazi2443 4 ปีที่แล้ว

    Baba unakipaji cha u comedy pia .

  • @hezronsanga2384
    @hezronsanga2384 4 ปีที่แล้ว

    Hufai kua kiongoz nenda kalime hata michicha huna swaga

  • @jasonbeezy7191
    @jasonbeezy7191 4 ปีที่แล้ว

    Dah story ya Daniel na nyoka itakuwa ya bibria sio biblia

  • @paulkisatulusana1142
    @paulkisatulusana1142 4 ปีที่แล้ว

    Ndo maana ukifanya makosa utajutie

  • @elishakayagwa9371
    @elishakayagwa9371 4 ปีที่แล้ว

    Mmmh sijakuelewa baba levo

  • @patrishadickson3365
    @patrishadickson3365 4 ปีที่แล้ว +1

    matishet majinz hahaha

  • @fatumamaiga8496
    @fatumamaiga8496 4 ปีที่แล้ว

    Mbona ckuelewi?

  • @emmanuelndahan9815
    @emmanuelndahan9815 4 ปีที่แล้ว

    JKT kutoka saa9 ad 4usiku

  • @kulwayusufu5882
    @kulwayusufu5882 2 ปีที่แล้ว

    Nakubli xan kiongoz wang

  • @husseinsansa830
    @husseinsansa830 4 ปีที่แล้ว

    Aaàà so kwakunivunja mavu

  • @mako331
    @mako331 4 ปีที่แล้ว +1

    Wacha ukorofi wewe sasa wewe nini unachosema kuhusu maendeleo bro? Ukifanya ukorofi utaenda jela tu

    • @deluxermahyono5290
      @deluxermahyono5290 4 ปีที่แล้ว

      Kama utakavyofungwa ww

    • @anneapollo890
      @anneapollo890 4 ปีที่แล้ว

      Deluxe R Mahyono ukifanya kosa lazima uadhibiwe

    • @aminahassan561
      @aminahassan561 4 ปีที่แล้ว

      Umenena hapa hakuna point kabisa

  • @majaliwabwitonde7749
    @majaliwabwitonde7749 4 ปีที่แล้ว

    Unasema nini? Unataka upige mtumishi halafu uachwe?

  • @amanirubondo4120
    @amanirubondo4120 4 ปีที่แล้ว

    Bulevo baba nakupenda sana mtu wangu

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 ปีที่แล้ว

    Hahaaaaa urithi

  • @runyotafrancis3772
    @runyotafrancis3772 4 ปีที่แล้ว

    Mshahara au posho??

  • @Basagamp4
    @Basagamp4 4 ปีที่แล้ว +1

    B Levo Baaaàaaaaaaaaaah

  • @kelvinibrahim1828
    @kelvinibrahim1828 4 ปีที่แล้ว

    wam bi

  • @joramchristian4042
    @joramchristian4042 4 ปีที่แล้ว +3

    Fisiem watapata tabu sana wenye akili wapo upinzani acha wabaki na mbulula wao
    Respect Baba Levo 🤝

  • @zaiiomary8970
    @zaiiomary8970 4 ปีที่แล้ว

    Baba lev wew unaniacha hoi na historya yako😂😂🙏

  • @fikirimoshi7152
    @fikirimoshi7152 4 ปีที่แล้ว +1

    Jamani mm sina coment maana maneno mulio mpa yanamtosha

  • @kelvinibrahim1828
    @kelvinibrahim1828 4 ปีที่แล้ว

    uko v winzuriwambiye

  • @abdilahijumanne1415
    @abdilahijumanne1415 4 ปีที่แล้ว

    Umewakusanya mzee

  • @piushappyness226
    @piushappyness226 4 ปีที่แล้ว +2

    Harafu mnasema mnazuiwa mikutano hapo upo chumbani kwako?

    • @deluxermahyono5290
      @deluxermahyono5290 4 ปีที่แล้ว +1

      Katani kwake na hao ni watu wake acha wivu

    • @piushappyness226
      @piushappyness226 4 ปีที่แล้ว

      Sina wivu waache uongo

    • @paulebby1552
      @paulebby1552 4 ปีที่แล้ว

      Pius Happyness mikutano ya siasa ambayo katibu wa ccm na polepole wanafanya wakati wao ni viongozi wa chama ndo vyama vingine vimekatazwa kijani bana

    • @piushappyness226
      @piushappyness226 4 ปีที่แล้ว

      @@paulebby1552 kwahiyo hapo sio mkutano ni msibani au

    • @piushappyness226
      @piushappyness226 4 ปีที่แล้ว

      @@paulebby1552 kwahiyo hapo sio mkutano ni msibani au

  • @paulebby1552
    @paulebby1552 4 ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂😂wapinzani bana

  • @nickomlimbila217
    @nickomlimbila217 4 ปีที่แล้ว

    GEREZAN HAMNA BIA 😀😂

  • @KingaziJr
    @KingaziJr 4 ปีที่แล้ว

    Wa tz nishida

  • @KelvinEmersonSteven
    @KelvinEmersonSteven 4 ปีที่แล้ว +2

    😂😂😂😂

  • @missmwayway4704
    @missmwayway4704 4 ปีที่แล้ว +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @jeffgaston6953
    @jeffgaston6953 4 ปีที่แล้ว +1

    Chizi wew