Huyu mbona anajikanyaga mwenyewe hata hakuna point ya msingi huo ni uchochezi bila sababu wewe uliwafanyia fujo askari usalama barabaran sasa unaleta uchochezi wa kisiasa wa nini sasa hapo
Hapa kwani ndo anaongea sera za chama chake kwa wapiga kura????je ukivunja sheria wakufanyie sherehe?hawa wananchi nao vilaza tu wangeisharudi majumbani!!hivi watanzania wanataka haya kweli?
Mbona siwelewi point unazoziongea.. ? Wananchi wanakuchora tu wanataka maendeleo wewe we unawapelekea sanaa inayokupa wewe ugali wananchi wako wanalala njaa.
Abubakari kisuju mshahara wa baba Levo wa 3.5 ni bora kuliko huo udalali wako unaopata 3 5 kwa nusu sasa. Ujue kwamba udalali sio kazi ni utapeli uizi na balaa chungunzima .wapi kumeandikwa udalali ni kazi? Madalali wote ni waizi tu kutwa nzima mnakaa ktk vijiwe .usiku mnabadilika kukaba watu na wanawake kwa jumla . Leo unalinganisha udalali na udiwani;?
Badala ya kuhuzunika badala yake wanacheka 😂😂😂 acha nami nicheke mana c kwa kifua kulia Puh!!! 😂😂
ttz msimuliaji anaslimulia huzun kwa kufurahisha
Daah kweli wapinzani amna kitu😢
Pamoja sana
Heri angebaki gerezani
Safi
Na umekonda mjinga wew unaongea uchizi
Huyu mbona anajikanyaga mwenyewe hata hakuna point ya msingi huo ni uchochezi bila sababu wewe uliwafanyia fujo askari usalama barabaran sasa unaleta uchochezi wa kisiasa wa nini sasa hapo
Kama kuna mtu amegundua kuwa BABA LEVO anapenda elaaa, gonga like zangu, mana uyu jamaa akijitikisa tu, kinua mgongo icho hapo.
Leo hii chawa wa diamond,,live changes very quickly jamn
Baba levo hapo kwenye Biblia bado Sana kaka yaaan nimeishia kucheka
Ahaaa baba Levo umenifurahisha sana,urithi wa matisheti na majinsi ahaaaa hakika hotuba inatia moyo pamoja na majaribu
Huyu jamaa ni mchekeshaji sn
Baba level bhana, piga Kazi mzee baba
Nimependa maneno ya KIIMANI ya baba levo.Mungu akuzingire kwa nguvu zake in Jesus name Amen
Sema kamanda
Babalevo💪💪🇸🇦🇰🇪🇸🇦💪🇸🇦
2024 saivi Jamaa anakula Kuku kwa Mrija ❤. Usimkatie Tamaa mtu yoyote kwenye Maisha yake.. Hujui Kesho Ya mtu yoyote ila Mungu tu.
😂😂😂😂🤣🤣levo si mtu nzur
aliye mwelewa huyu jamaa anacho waeleza wananchi wa kata yake, anisaidie
KIBONA AMENYE sijaelewa kabisaa
Hahahahaa
Hata mie sjamuelewa
Baba levo tujee tukuhamishie burudi tuone utaongea nini
Hapa kwani ndo anaongea sera za chama chake kwa wapiga kura????je ukivunja sheria wakufanyie sherehe?hawa wananchi nao vilaza tu wangeisharudi majumbani!!hivi watanzania wanataka haya kweli?
Na cha ajabu anatanguliza masilahi ya familia yake
baba levo ni manipulator Sana ajui tu wenyewe akijijua ana kitu Sana
Pamoja sana kamanda✌️💖💞😍
hambu hambu wa lyaga nyawanga
kilichofanya ufungwe ni kusemaa au kumpiga askari wa usalama barabarani...... me ni mpinzani ila hiko hapana mzee...
Hahahahaha! Kwelii
Huna akili angempiga askari mahakama kuu wangemuachia???
Usijiombee kifo ndgu yngu
Apo Kwa Daniel pataaamu
Jaribu KUA mkweli na ukweli utakuweka guru sasa usi changanye mambo Fanya unayo stahili kufanya kwa wananchi wako hilo ndio muhimu
Kabla ujafa nipe laki yangu ninayo kudai #babaLevo
Viongozi ndio mjifunze sasa sio mnaamlisha watu kirahisi tu wafungwe mnaona jela kama jando huyu kakaa miezi tu leo imekuwa story.
jamaaa komedy saana
Na wewe umebarikiwa kusema
Hapo unaongelea familia yako au nin maana sielewi kitu huwezi kukusanya watu kwa lengo la kuyanadi maisha yako
Kwa hiyo hujilaumu kwa makosa yako halafu unaongea utumbo tu
Rudi kwenye mziki mjomba tumekumisi sana kwenye game la mziki
Uyoo hapana mziki labda akalime mafuta uko ya mchikichi
Mbona siwelewi point unazoziongea.. ? Wananchi wanakuchora tu wanataka maendeleo wewe we unawapelekea sanaa inayokupa wewe ugali wananchi wako wanalala njaa.
Unaelezea mshahara na namna yakutumia huku wananchiwako wananjaa unanianhushaa
CA
Sana2 mchawi utamjua2 huwa haishiwi sababu jiwe juu ya jiwe levobaa mchaka mchaka si tunakuambin imeishaio D S M
Hahahahaha
Hahahahah
Hahaha
Baba levo, bangi,
Ilaa nakukubali mana ghafla umekuwa kama comedian ivi, ilaa chama changu ni CCM, endelea kutoa darasa.
Pambana kijana chukua jimbo kwupe peeeee una subir kuapishwa2.....!!!!!!!
Uliyataka mwenyewe wacha yakukute
Tatizo watu wengi hawaijui siasa,,, hapa anaongea utumbo na watu wanachekelea
Huyu nae kiongoziii😁😁😁😁😁😁😁
Ongea mambo ya wananchi siyo yako binafsi. Acha ujinga, cha wazungu chama
Jamani kumbukeni alitoka jela ndio akaita kikao na wala sio kikao cha kuhusu lolote
Kwa viongozi hawa kigoma. .mjini maendeleo 0 😂😂😂😂😂
Mosozi Family umeonee hakuna lolote walilolifanya kazi kuongea hovyo
nimeambulia kujua mshahara wa diwani
Hatariiii sanaaaaa
Huyu ni msanii ukiona watu wanamsikiliza ujue wamemisi show
Na hapo ni show kweli kweli
kweli asee
😂😂😂😂😂Jaman baba wewe
Safi sana kamanda
Mpumbavu tyu huyu kufanya kazi saa2 mpka saa 8 anaona ngumu mjinga tyu huyu
Mwishowako 2020
Kwafaida ya nanani hata umkamie?
Kabla ajawa chawa
Abubakari kisuju mshahara wa baba Levo wa 3.5 ni bora kuliko huo udalali wako unaopata 3 5 kwa nusu sasa. Ujue kwamba udalali sio kazi ni utapeli uizi na balaa chungunzima .wapi kumeandikwa udalali ni kazi? Madalali wote ni waizi tu kutwa nzima mnakaa ktk vijiwe .usiku mnabadilika kukaba watu na wanawake kwa jumla . Leo unalinganisha udalali na udiwani;?
Ni Biblia andiko gani hilo mheshimiwa?nahisi unachanganya mambo hiyo ni hadithi katika Quran sio bible
Huyu awadanganya sikia mazungumzo yake huyu apewe ubunge asaidiwe tu apewe ubalozi wa serekali wa mitaa
Mh nishida sana hawa watu nishida huyu njaa kali watakao kupa kula yao niwapuuz kama ww🤔🤔🤔
Kwanza jina lako unaitwaga nani
Eti nimeua joka😂😂😂😂😂
Jamani si nasikia wapinzani hawaruhusiwi kufanya mikutano?
Au huyu ni ccm?
Inakuuma saaana yaani eti
@@deluxermahyono5290 Soma swali kwa upya kisha ujibu
Mgawe Revocatus ni diwani anaongea na wananchi.. Angekuwa sio diwan asingeruhusiwaa
Mikutano inaruhusiwa, kila mtu afanye kwenye eneo lake la kazi.
Mikutano inaruhusiwa, kila mtu afanye kwenye eneo lake la kazi.
Ndio maana wapinzani wanafeli sana....Wananchi sio wajinga tena note hilo....
Nilijua umesoma qur. Ani
Na bado utapelekwa tena kumbe
Tafuta kazi nyingine
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Hiyo story ya Daniel ya kuuwa nyoka kwa kutumia lami na nywele mbona sielewielewi? Wacha nikaitafute kwenye Biblia yangu.
Sera zingine bwana hivi huyu atapigiwa kura tena?
Anafurahi na watu wake ni km ule ujinga wa Pombe kwa walevi wenzie
Me mwenyewe kula yangu baba levo
Unataka apigiwe nani, we sarange
Leo hii chawa wa diamond,,live changes very quickly jamn
Anapiga story na wanakata wake hivo ndo vizuri yupo karibu nao
Leo umekuwa chawa promax
Baba unakipaji cha u comedy pia .
Hufai kua kiongoz nenda kalime hata michicha huna swaga
Dah story ya Daniel na nyoka itakuwa ya bibria sio biblia
Ndo maana ukifanya makosa utajutie
Mmmh sijakuelewa baba levo
matishet majinz hahaha
Mbona ckuelewi?
JKT kutoka saa9 ad 4usiku
Nakubli xan kiongoz wang
Aaàà so kwakunivunja mavu
Wacha ukorofi wewe sasa wewe nini unachosema kuhusu maendeleo bro? Ukifanya ukorofi utaenda jela tu
Kama utakavyofungwa ww
Deluxe R Mahyono ukifanya kosa lazima uadhibiwe
Umenena hapa hakuna point kabisa
Unasema nini? Unataka upige mtumishi halafu uachwe?
Bulevo baba nakupenda sana mtu wangu
Hahaaaaa urithi
Mshahara au posho??
B Levo Baaaàaaaaaaaaaah
wam bi
Fisiem watapata tabu sana wenye akili wapo upinzani acha wabaki na mbulula wao
Respect Baba Levo 🤝
Baba lev wew unaniacha hoi na historya yako😂😂🙏
Jamani mm sina coment maana maneno mulio mpa yanamtosha
Bwege wadanganye hao
uko v winzuriwambiye
Umewakusanya mzee
Harafu mnasema mnazuiwa mikutano hapo upo chumbani kwako?
Katani kwake na hao ni watu wake acha wivu
Sina wivu waache uongo
Pius Happyness mikutano ya siasa ambayo katibu wa ccm na polepole wanafanya wakati wao ni viongozi wa chama ndo vyama vingine vimekatazwa kijani bana
@@paulebby1552 kwahiyo hapo sio mkutano ni msibani au
@@paulebby1552 kwahiyo hapo sio mkutano ni msibani au
😂😂😂😂wapinzani bana
GEREZAN HAMNA BIA 😀😂
Wa tz nishida
😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Chizi wew