HUU NDIO MSIMAMO SAHIHI KUHUSU ARAFA! DALILI HIZI HAPA!! SHAFII BASALIM AL-SALIMY

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 มิ.ย. 2024

ความคิดเห็น • 43

  • @luckmanalbahar204
    @luckmanalbahar204 หลายเดือนก่อน

    Shkh shaafi mm Nakukubali kbx 100% Na ninanufaika kwa elimu yko shkh lngu

  • @Mbwera2
    @Mbwera2 หลายเดือนก่อน

    Tunakupata vizuri kutoka hapa dubai mashalla habib

  • @hassanrangambo8007
    @hassanrangambo8007 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaalla leta elimu sheikh tuelimike wanao taka mipasho waache watukane

  • @amadeomarsaide5023
    @amadeomarsaide5023 หลายเดือนก่อน +1

    Wallahi ndugu yangu Abu jaafar umepatia

  • @ABDULLAOALI
    @ABDULLAOALI หลายเดือนก่อน

    Rahmatullah, au Rahmahu Allah

  • @RamadhanMgeni-gt1tu
    @RamadhanMgeni-gt1tu หลายเดือนก่อน

    Tuko pamoja mwalim

  • @rashidjuma9169
    @rashidjuma9169 หลายเดือนก่อน

    Uko sawa sheikhe letu

  • @abdulkhaliqmuhammed456
    @abdulkhaliqmuhammed456 หลายเดือนก่อน +2

    Unapoandika HUU NDO MSIMAMO SAHIHI KUHUSU ARAFA, Unamaanisha waliokutangulia waliluwa hawajui msimamo Sahihi wa Afara?

    • @AhmadiKindimbo-gw4pl
      @AhmadiKindimbo-gw4pl หลายเดือนก่อน

      Kwani nyinyi mnapotangaza kinyume na msimamo wake yeye hamsemi kuwa huu ndiyo msimamo sahihi mnasema kuwa hilo jambo Lina khitilafu?

  • @abdulkhaliqmuhammed456
    @abdulkhaliqmuhammed456 หลายเดือนก่อน

    Sub7aanaLLAAH Hao unao hakikisha vitabu vyao wanakhatari, Tunakushauri endelea na shughuli nyengine mambo ya mitandao yawache. Alafu endelea kufundisha watu Masomo hayo ya Tawheed na Sharia. Mengine yaache.

  • @KhayratMansour
    @KhayratMansour หลายเดือนก่อน

    Ungejua msimamo sahihi juu ya Arafa kwanza Ushia ungeupisha mbaaali , haiwezekani hata siku moja kuwa Shia kwani Ushia ni upotevu .

  • @UB40X1
    @UB40X1 หลายเดือนก่อน

    Majusi piya wajua Arafah? 😂😂😂

  • @user-he7bq7wq9i
    @user-he7bq7wq9i หลายเดือนก่อน +1

    Mwamba sana huyu jamaa.

    • @ABUUJAAFAR92
      @ABUUJAAFAR92 หลายเดือนก่อน

      Jaahil mkubwa hajawahi tokea duniani

  • @mustafahkapopwa-bi7yb
    @mustafahkapopwa-bi7yb หลายเดือนก่อน

    kijana mwenye elimu

  • @amadeomarsaide5023
    @amadeomarsaide5023 หลายเดือนก่อน +1

    Ni Kweli ndugu yangu aache ujinga na ajibu hoja tuone ukweli wake uko wapi?😂😂😂 Miongoni mwa watu boxi tupu huyu namba moja

  • @matendupiterngoge8707
    @matendupiterngoge8707 หลายเดือนก่อน

    Hili senge Tena matako makubwa

  • @ABUUJAAFAR92
    @ABUUJAAFAR92 หลายเดือนก่อน +2

    Watu ni wawili wanaokuradd ,bachu,na abuu allman...ulivyomrongo baada ya kushindwa kujibu hoja unasingia huwezi kujibu watu wengi,,wengi wapi?
    Jibu hoja wacha ujinga

    • @allymahaba3425
      @allymahaba3425 หลายเดือนก่อน

      Tafuta ukweli sio ushabiki. Huyo Bachu na mwenzake hawatakusaidia kitu Siku ya Kiama. Acha kufuata mtu kama kipofu.

    • @ABUUJAAFAR92
      @ABUUJAAFAR92 หลายเดือนก่อน

      @@allymahaba3425 kipofu ni wewe unaefuata huyu mjinga

    • @MB-yq3ty
      @MB-yq3ty หลายเดือนก่อน

      ​@@allymahaba3425
      Wewe unamfuataje huyu kiupofu sasa.

  • @mohdsheha8295
    @mohdsheha8295 หลายเดือนก่อน +1

    Wakati anaongea Mtume kuhusu mwezi 9 alikuwa wapi na kuwaambia nani.
    Ila hakuna alosema arafa ni mwezi 8 au10 mm naona mwlm ungetulia tu sisi tutaendelea kuwaunga mkono kwenye kisimamo kwa kufunga na kuchinja siku moja

    • @Dairy-Mambrui1
      @Dairy-Mambrui1 หลายเดือนก่อน +1

      2020 na 2021 wakati wa corona kulikuwa maka hakuna hija jee uliunga mkono mahijaji gani na jee Saum ya Arafa ulifingaa?

    • @Dairy-Mambrui1
      @Dairy-Mambrui1 หลายเดือนก่อน +1

      2020 na 2021 wakati wa corona kulikuwa maka hakuna hija jee uliunga mkono mahujaji gani na jee Saum ya Arafa ulifungaa?

    • @abdulkhaliqmuhammed456
      @abdulkhaliqmuhammed456 หลายเดือนก่อน

      Fata msimamo wako waache na wengine na misimamo yao na ukitaka pia kuwaunga walioko arafa ungeenda kufungia arafa kisha ukarudi

  • @BilaliIloko
    @BilaliIloko หลายเดือนก่อน

    😂😂😂 shia umekimbia hoja za mashia wenzako naona sasa umekuja kwenye arafa ili kuwachanganya watu ,,alafu aqida yako ww nini

  • @noorululaatv8973
    @noorululaatv8973 หลายเดือนก่อน

    Lete vitu Mwamba

  • @rashidjuma9169
    @rashidjuma9169 หลายเดือนก่อน

    Ukitaka kujuwa majibwa wa kiwahabi tunaangalia kwenye kometi zako

    • @abdulkhaliqmuhammed456
      @abdulkhaliqmuhammed456 หลายเดือนก่อน

      Na ww pia coment yako watu washakuja wewe ni mtu gani

    • @rashidjuma9169
      @rashidjuma9169 หลายเดือนก่อน

      Mawahabi kweli ni mafasiki Kila sampuli ya ufasiki wako nao kama kuwaita waislamu wenzao majina mabaya ikisikiya muislamu ameitwa jina baya juwa Alo mwiita ni waabi

  • @shabanihugo8332
    @shabanihugo8332 หลายเดือนก่อน

    Huyo hana elimu

    • @ahmadSeif860
      @ahmadSeif860 หลายเดือนก่อน

      Toa ww tukuskie

  • @khatwabhamid9398
    @khatwabhamid9398 หลายเดือนก่อน

    Sura yake imekosa nuru angejijua angeufyata

    • @AbdulkasimuDossa
      @AbdulkasimuDossa หลายเดือนก่อน

      غفر الله لك.
      Netanyahu Allah Amlaani, uso wake unang'aa jee yupo kwenye Haki.!

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 หลายเดือนก่อน

    Kaka kuna watu wakiongelea dini wanapata thawabu kila kitu lakini wewe kila ukiongea basi unajuchima madhambi muogope Allah

  • @khalidalsinany893
    @khalidalsinany893 หลายเดือนก่อน +2

    ولا تزكوا أنفسكم , تدعي أنك تدرس الناس علم العقيدة ، وفي الحقيقة لا تعرف شيئا عن العقيدة، أنت شيعي رافضي بعيدا عن تعليمات النبي صلى الله عليه و سلم.
    Wewe unajificha katika kivuli Cha kuwarradd mahabi, kumbe unafundisha watu ushia.

  • @mashaurimvungi2232
    @mashaurimvungi2232 หลายเดือนก่อน

    Kafiri na ARAFA wapinawapi wewee Yahud

  • @MB-yq3ty
    @MB-yq3ty หลายเดือนก่อน

    Unamtaja Abuu Daudi wa nini wakati yeye sio Shia.

  • @ahmadmzoa74
    @ahmadmzoa74 หลายเดือนก่อน

    Ndo hivyo tena tuvumiliane. Mtume swalla LLAHU alayhi wassallam kazaliwa Makka,kafariki Madina. Hijja huwa Makka kwa tarehe ya Hijaz na si vinginevyo, ndo Ishakadiriwa,hata kama mtu anaumia avumilie tuuu...Hamna jinsi .Tunapoteza muda,Hijja iko Makka na kwa tarehe za Makka al Mukarrama. Ndo usubiri tena utafanyaje labda uende karbala.

    • @jamalishoo3802
      @jamalishoo3802 หลายเดือนก่อน +2

      Sasa kwani kufunga arafa ni kuhiji?

  • @user-he7bq7wq9i
    @user-he7bq7wq9i หลายเดือนก่อน

    Miwahabi hapo midomo wazi.