Wanaume wa herufi "M" hii ndio siri ya maisha yao.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 111

  • @NachaKing-nj7cp
    @NachaKing-nj7cp 6 หลายเดือนก่อน +2

    Huja wah bahatisha ase

  • @jacksonmagesa9805
    @jacksonmagesa9805 5 หลายเดือนก่อน +5

    Ni yupi mwanamke SAHIHI kwa mtu mwenye jina la m

  • @mohamedoman9344
    @mohamedoman9344 ปีที่แล้ว +2

    Mm naitwa Mohamed natokea nchi Oman subhallah subhallah subhallah Allah anijalie afya njema inshllah kwa kila mambo yangu shukrani sana ndugu yangu allkk tv

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 ปีที่แล้ว +4

    Bass haya jina la mpenzi wangu hilo alhadulilah😅 nashukuru kwa mume wangu kupata mume wa jina hilo🙏🏽🤣😂🙏🏽🇦🇪

  • @Sirizabiblia
    @Sirizabiblia ปีที่แล้ว +2

    Ahsante sana kwa kutujuza Allykk

  • @michaeljames3480
    @michaeljames3480 2 หลายเดือนก่อน +2

    kwel aseeee 😂😂😂 🙌🙌🙌

  • @MrishoSamueli
    @MrishoSamueli 5 หลายเดือนก่อน +3

    Mimi ni m mkewangu f bwamaweee heee kimbembe aduwi umesema kweli

  • @michaeljames3480
    @michaeljames3480 2 หลายเดือนก่อน +2

    🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @NgaboPascal-r1w
    @NgaboPascal-r1w 6 หลายเดือนก่อน +4

    Unasema kweli baba mamboyote hayo niliyapitiya mimi jina langue ni muhindo natokeya kongo mjin goma asanténi

  • @mardadytv6810
    @mardadytv6810 หลายเดือนก่อน

    Kwel mzee

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว +1

    Pole martha

  • @jonasimanuel-zw1dz
    @jonasimanuel-zw1dz 4 หลายเดือนก่อน +2

    Unasema kweli kiongoz

  • @tausiissaismail
    @tausiissaismail ปีที่แล้ว

    Na tunapendana sana sasa tufanyaje

  • @mastaplan
    @mastaplan ปีที่แล้ว +2

    Kuna mwingiliano wa nyota kaka.
    Mfano mwanamke anaitwa Maliam huyu ni moto lakini yupo tena kwenye upepo mapacha.
    Hapo imekaaje.

  • @MUSSAALI-wj8ez
    @MUSSAALI-wj8ez 29 วันที่ผ่านมา +1

    Mm na mpenz wang sote wawil tumenzia na heruf ..m.. hapo unakuwaj kiongozi

  • @karaminabarack
    @karaminabarack หลายเดือนก่อน

    Unasema kweli.mimi Methodi

  • @AshuraMsangi-pj8rt
    @AshuraMsangi-pj8rt 5 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe mno

  • @صفوالغامدي-ل7ط
    @صفوالغامدي-ل7ط หลายเดือนก่อน +1

    Mimi Nina Nina m kwaniganja njangu rakini mbona sinaherraa 😂😂😂😂

  • @mohamedijuma3703
    @mohamedijuma3703 ปีที่แล้ว

    Nashukulu sana kaka leo nimejijua kitugani nifanye mimi. M

  • @abdulmajidmageja6562
    @abdulmajidmageja6562 2 หลายเดือนก่อน

    Hahaha kaka unanigusa Sana aisee ubarikiwe mwalimu

  • @GloryEmmanuel-q4f
    @GloryEmmanuel-q4f หลายเดือนก่อน

    Moses anatakiwa awe na mwanamk wa jina gan❤

  • @هشامسلام-ف7س
    @هشامسلام-ف7س ปีที่แล้ว +2

    Mohamed ni maji ya kunde mrefu wa kat alipata mwanamke jina sara wakaachana akapata mwanamke jina N akapata matatizo kazin wakahangaika sana lakin sasa wamesimama vizuri sana sana mpaka raha na MUNGU awazidishie

  • @MWACHAMWACHA
    @MWACHAMWACHA หลายเดือนก่อน

    Ujui chochote we jamaa😂😂

  • @magangiralucas6516
    @magangiralucas6516 7 หลายเดือนก่อน

    Nikweli kabisa

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kaka uko sawa kabisa

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz ปีที่แล้ว

    Ni kweli kabisa

  • @MohamedabdualiMohamed-wx5uu
    @MohamedabdualiMohamed-wx5uu ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubari jazaka allah heri

  • @yusufulimo5737
    @yusufulimo5737 5 หลายเดือนก่อน

    Kaka umenena kweli Mimi jina langu la utoton ni M, na mpemz Wang wa mwanzo jina O. Tulipendana Sana ikafika maali tukapishana japo huwa ananikumbuka bado. Na mpenz wangu wa pili jina C na T Nina mtoto nae huwa ananisumbua Sana malumbano baada ya mda flan mwisho was siku hatujafanikiwa kukaa pamoja. Hivyo bc kupitia hili somo lako nimeamin huwa nakosea choice. Mtoto wetu jina linaanza na herufi K, kiukweli ananipenda Sana mpaka Basi nimekubaliana naww kupitia hili:

  • @Murshid-qv5pu
    @Murshid-qv5pu หลายเดือนก่อน +1

    Umetisha Sana

  • @BusakieBusakiejuma
    @BusakieBusakiejuma 10 หลายเดือนก่อน +1

    Nimekwelewa San san upo sahihi

  • @AibuniDaimu
    @AibuniDaimu ปีที่แล้ว

    Mimi a natakiwa nice nature wanna gani

  • @FurahLove
    @FurahLove 3 วันที่ผ่านมา

    Eebwana naishicongo shekh ukomukweli naitwa.monon amasulemani.

  • @MUNYEREREBass
    @MUNYEREREBass 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi jina langu ni Michael je ninagitaji kuowa mwanamke wa aina gani

  • @rasmgz2367
    @rasmgz2367 2 หลายเดือนก่อน +1

    Bro umenikuna sana M kwa misimamo uamuzi na kujiamini.

  • @mlokozivedasto9130
    @mlokozivedasto9130 7 หลายเดือนก่อน +1

    Safi Ila wapi unapatikana

  • @SamwelCherehani
    @SamwelCherehani 2 หลายเดือนก่อน

    Mashaka awe namwanamke gan😊

  • @SalimKarama-fw7tt
    @SalimKarama-fw7tt 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hehehehehe zidi kupoteza watu hiyo ni Siri yake Allah peke yake hiyo elmu ghaib ni Siri yake mola hakuna ajuwao elmu hiyo only Allah

  • @MwanaShesha
    @MwanaShesha 2 หลายเดือนก่อน

    Mim nib na yey ni m ansema anipenda na tunataka kuoana itakuaje sasa broo na tunpendana sana

  • @martinlalika
    @martinlalika 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi m nimeoa ade (h)hilda lakini udogo wake aliitwa e napitia shida hasa uchum nifanyaje hapo

  • @AminaMpinga-y4x
    @AminaMpinga-y4x หลายเดือนก่อน +1

    Mimi nna M mikono yote miwili lakini sifanikiwi nna miaka 24

  • @MwanaShesha
    @MwanaShesha 2 หลายเดือนก่อน +1

    Dah sis kina b nampenda musa jamani nifanyeje

  • @MairaSikira-un4uu
    @MairaSikira-un4uu 2 หลายเดือนก่อน

    Kweli

  • @MudriniAbdallah
    @MudriniAbdallah 4 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba kuuliza Muhidini (M)anatakiwa aoe mwanamke yupi

  • @RICHARDNYAMTEKI-b6i
    @RICHARDNYAMTEKI-b6i 7 หลายเดือนก่อน

    Je Mwita

  • @user-ju9mi1ft4v
    @user-ju9mi1ft4v ปีที่แล้ว

    Shukran

  • @MagyMunna
    @MagyMunna 8 หลายเดือนก่อน

    Asante

  • @MwanaShesha
    @MwanaShesha 2 หลายเดือนก่อน

    Kweli kin musa weupe

  • @AlexMaone
    @AlexMaone 6 หลายเดือนก่อน

    Mm na mchumba ungi anaitwa othumani mm mulfaty je kunatiba ya kuwekasaw upepo wake sawa,

  • @mastaplan
    @mastaplan ปีที่แล้ว +1

    🙌🙌🙌🙌🙌😅😅😅😅😅 kaka wee noma umechambua kwa weledi

    • @MadeleineMauridi
      @MadeleineMauridi 7 หลายเดือนก่อน

      Namimi ni mahuridi numbi madeleine kutoka Congo Niko mwanamuke lakini iyi ni yangu na Mimi

  • @maulidimpili698
    @maulidimpili698 ปีที่แล้ว +1

    Ni kwel kabisa kiongoz unachokisema hizo hali kwa upande wang ninazo kabisa

  • @mohamedmoadhani5614
    @mohamedmoadhani5614 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi ni M na Kwa mkono Niko na haerufi ya M pia

  • @allykk1459
    @allykk1459  3 หลายเดือนก่อน +1

    MWANAMKE BORA WA A,M,NA Y NI G,S

  • @subyshaban
    @subyshaban 22 วันที่ผ่านมา

    Namba Yako ya Simu naiomba brother, pls

  • @maulidipazi6770
    @maulidipazi6770 11 หลายเดือนก่อน +1

    Je nyota hii kwenye biashara ni kutembea au kukaa

  • @MSAINDARO
    @MSAINDARO 4 หลายเดือนก่อน

    Mm naitwa msai je nipe mwanamke mwenye jina linalo Anza na jina gan et kaka

  • @anwarsaid2008
    @anwarsaid2008 ปีที่แล้ว

    Nimekuelewa allykk

  • @هشامسلام-ف7س
    @هشامسلام-ف7س ปีที่แล้ว +1

    Mimi Z lkn nina misimamo sana na nikikataa nimekataa

  • @marthamario1524
    @marthamario1524 ปีที่แล้ว +2

    Nimekufatilia sana kaka...mim ni m na mwenza wangu ni L Yani ni ugomvi Kila dakika maendeleo hamna....😓😓😓nataman ata nitoke 😭

    • @saidymbagalla6622
      @saidymbagalla6622 ปีที่แล้ว

      Kabla kufikiria kuachana nenda kwa dr akusaidie

  • @FiliminaTitus
    @FiliminaTitus 7 หลายเดือนก่อน

    Asnte kwa ushaur wako Mimi n f na mwanaume niliyezaa nae n A nikweli hatuko saw ila hakuna uwezekano maana sitaki kuchangany watt

  • @MohamedSarahani-gk6jx
    @MohamedSarahani-gk6jx 7 หลายเดือนก่อน

    Kichwaaa kinanisumbuaaa sana

  • @Kanjunjunails
    @Kanjunjunails ปีที่แล้ว +1

    Mimi ni majaliwa nampata mpenzi mwenye herufi gani Alie Bora zaid

  • @mohamedmkilalu6152
    @mohamedmkilalu6152 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kaka apo kwenye kupendwa na wake za watu walahujakosea ni kweri tupu na ndio maisha yanayo nikuta mimi

  • @PendoIlinda-sp1tj
    @PendoIlinda-sp1tj 2 หลายเดือนก่อน

    Je M na F wanaona

  • @MRUTUDONARD
    @MRUTUDONARD หลายเดือนก่อน

    M na R imekaaje

  • @JasminiSaidi-t8v
    @JasminiSaidi-t8v 10 หลายเดือนก่อน

    mm z na mume wangu ni mohamed naomba unishauri kwenye hili

  • @MartinElikana
    @MartinElikana ปีที่แล้ว

    Mie ni m na mke alikuwa e vulugu zilikuwa nyingi sana uko sahihi

  • @Kalidvalid-v7i
    @Kalidvalid-v7i 2 หลายเดือนก่อน

    Tuchambulie na heruf ya mw

  • @OmaryKileo
    @OmaryKileo 5 หลายเดือนก่อน

    Nikwel sema umejuaje kak

  • @rasmgz2367
    @rasmgz2367 2 หลายเดือนก่อน

    Bro nimekufuatilia naona majina yetu ya kimira ndio jina sahii kama mimi Mgaza.Nimeona mengi uliyo sema.Japo tuna majina ya kidini yaliyo letwa.Jina la kibantu ndio sahii.

  • @MARKOMLONGA
    @MARKOMLONGA 2 หลายเดือนก่อน

    Nimeelewa mkubwa

  • @MerrySungura
    @MerrySungura 2 หลายเดือนก่อน

    kaka umesema kweri mm napitia magumu sana kwenye ndoa yangu mume R nifanyeje kaka

  • @awaahassan936
    @awaahassan936 6 หลายเดือนก่อน

    Mimi mwanahawa mchumba Allly na mubarak ni yupi nitaedumu nae hapo maalim

  • @MasoudMohd-k7u
    @MasoudMohd-k7u 8 หลายเดือนก่อน +1

    Unapatikana wap

  • @etrillyodfrex97
    @etrillyodfrex97 11 หลายเดือนก่อน

    Ally kk mm n M na yote hayo uliyosema nmeshayashuhudia kabisa..wwe kw kwli n zaidi ya nabii..

    • @OmaryKileo
      @OmaryKileo 5 หลายเดือนก่อน

      Acha ujinga wew

  • @Mudrili
    @Mudrili 4 หลายเดือนก่อน

    Daaah unaongea ukweri saan kaka

  • @Fatmaneema
    @Fatmaneema 2 หลายเดือนก่อน

    Eh kumbe

  • @TIRMIDHAbdulkarim
    @TIRMIDHAbdulkarim 3 หลายเดือนก่อน

    Ukiwa na mke wa nyota nyingine ambao ni Adui mtu atapona aje hayo matatizo

  • @salimuismaily693
    @salimuismaily693 10 หลายเดือนก่อน

    Hivi nyota nitarehe za kuzaliwa au Herufi??

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Jina langu la kwanza mimi ni k

  • @Murshid-qv5pu
    @Murshid-qv5pu หลายเดือนก่อน

    Vp m kwa m wakiwa kweny mahusiano?

  • @MossesKimpwi
    @MossesKimpwi 3 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa kama mtoto Ana herufi M na mamayke jina Lake linaanza na V nayo imekaaje

  • @michaelsafari
    @michaelsafari ปีที่แล้ว +1

    Na kama mke wangu ana herufii m nayee jee hatuendani

    • @agnessndebetho6194
      @agnessndebetho6194 ปีที่แล้ว

      Amesema mara Mia ukawa na mtu unaeendana nae sayar

  • @milongojumanne7834
    @milongojumanne7834 6 หลายเดือนก่อน

    Mm naitwa milongo jumanne nimezaliwa mwaka 1983 mwezi 9 ,hapo utofauti ni Nini

  • @MohamedSarahani-gk6jx
    @MohamedSarahani-gk6jx 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli ulichosemaa Mimi ni Mohamed ,ila tatizooo langu kubwaaa nasumbuliwaaa naa kichaaa sanaaa

    • @swadifaabdallah4965
      @swadifaabdallah4965 7 หลายเดือนก่อน

      Yani mtihani mm ni mwanamke lakini hizo sifa zote nnazo na jina langu limeanza na heruf M nifanyaje kuondokana na wasiwas

  • @YahayaMbilimo
    @YahayaMbilimo 6 หลายเดือนก่อน

    Je ukiwana elufi m kiganjani mkonono

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le 6 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe ni mtu wa maana kabisa, iyo herufi m kweny kiganja ulonayo, Ina ashiria utajiri na pesa nying, mda mwingine chukukua chumv weka kweny kikombe tia maji weka lisaa Moja halaf unaweza kweny mikono Yako huku ukisema hivi, Anza Bismillah halaf sema chumv inalinda ee mwenyezmung nijaalie afya njema niweze kujimudu unipe utajiri pesa nying zeny kheir na mm, Amiin, halaf usifute mikono Yako acha tu Ivo Ivo yatakauka wenyew maji endelea na shuhuli zako, bdae unakuj kua tajiri kweli

  • @madinakassim9265
    @madinakassim9265 5 วันที่ผ่านมา

    Je kama wote ni m.m mwanamke na mwanaume

  • @AlexMaone
    @AlexMaone 6 หลายเดือนก่อน

    Kuvaa mavazi mekundu wanaumepeke yao??

  • @NEBERT-rc6bb
    @NEBERT-rc6bb 5 หลายเดือนก่อน

    Muriuki +254

  • @martinkahema7629
    @martinkahema7629 6 หลายเดือนก่อน +1

    M&A❤❤PIGA KELELEEE

  • @malemawatson1130
    @malemawatson1130 5 หลายเดือนก่อน

    Kaka nikama umenirenga mm swala la wasiwasi na mashakaa daaah ivo vitu vimenijaa

  • @MariaMikidadi-rn3qy
    @MariaMikidadi-rn3qy 5 หลายเดือนก่อน

    Sasa unamanisha mwawiya sio inayoanzia elufi m

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Ndio nyota ya punda sayar ya moto nashukuru siku hizi naelewa vizur asili za nyota na kuendana kwao

  • @MuckiAbdul
    @MuckiAbdul 10 หลายเดือนก่อน

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 8 หลายเดือนก่อน

    Sielewi nyota ndiyo nini

    • @janevivdevid
      @janevivdevid 7 หลายเดือนก่อน

      Mambo ya walimwengu😅

  • @MosesNyanjui-f5d
    @MosesNyanjui-f5d 4 หลายเดือนก่อน

    Naoomba kuerewa mwanamuke sahihi jina m

  • @AlfredDanda
    @AlfredDanda ปีที่แล้ว

    Je kama mke ni m na mume ni a nifanyaje

  • @tausiissaismail
    @tausiissaismail ปีที่แล้ว

    Mimi ni T mchumba wangu ni M😢😢

    • @Mrsmussa-wn6kv
      @Mrsmussa-wn6kv 9 หลายเดือนก่อน

      😂😂 ndio mwezangu namm ngumi kilasiku tukiongea neno moja ugomvi

    • @musaamini401
      @musaamini401 8 หลายเดือนก่อน +1

      Kweli Kabisa unayosema yashanikuta 99% Mimi ni M mke wa mtu jina linaanza Na R alinipenda sana nikapata matatizo makubwa

  • @MchwauRukas
    @MchwauRukas 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nikweli kabisa