Mm naitwa Mohamed natokea nchi Oman subhallah subhallah subhallah Allah anijalie afya njema inshllah kwa kila mambo yangu shukrani sana ndugu yangu allkk tv
Mohamed ni maji ya kunde mrefu wa kat alipata mwanamke jina sara wakaachana akapata mwanamke jina N akapata matatizo kazin wakahangaika sana lakin sasa wamesimama vizuri sana sana mpaka raha na MUNGU awazidishie
Kaka umenena kweli Mimi jina langu la utoton ni M, na mpemz Wang wa mwanzo jina O. Tulipendana Sana ikafika maali tukapishana japo huwa ananikumbuka bado. Na mpenz wangu wa pili jina C na T Nina mtoto nae huwa ananisumbua Sana malumbano baada ya mda flan mwisho was siku hatujafanikiwa kukaa pamoja. Hivyo bc kupitia hili somo lako nimeamin huwa nakosea choice. Mtoto wetu jina linaanza na herufi K, kiukweli ananipenda Sana mpaka Basi nimekubaliana naww kupitia hili:
Bro nimekufuatilia naona majina yetu ya kimira ndio jina sahii kama mimi Mgaza.Nimeona mengi uliyo sema.Japo tuna majina ya kidini yaliyo letwa.Jina la kibantu ndio sahii.
Wewe ni mtu wa maana kabisa, iyo herufi m kweny kiganja ulonayo, Ina ashiria utajiri na pesa nying, mda mwingine chukukua chumv weka kweny kikombe tia maji weka lisaa Moja halaf unaweza kweny mikono Yako huku ukisema hivi, Anza Bismillah halaf sema chumv inalinda ee mwenyezmung nijaalie afya njema niweze kujimudu unipe utajiri pesa nying zeny kheir na mm, Amiin, halaf usifute mikono Yako acha tu Ivo Ivo yatakauka wenyew maji endelea na shuhuli zako, bdae unakuj kua tajiri kweli
Huja wah bahatisha ase
Ni yupi mwanamke SAHIHI kwa mtu mwenye jina la m
Mm naitwa Mohamed natokea nchi Oman subhallah subhallah subhallah Allah anijalie afya njema inshllah kwa kila mambo yangu shukrani sana ndugu yangu allkk tv
Bass haya jina la mpenzi wangu hilo alhadulilah😅 nashukuru kwa mume wangu kupata mume wa jina hilo🙏🏽🤣😂🙏🏽🇦🇪
Ahsante sana kwa kutujuza Allykk
kwel aseeee 😂😂😂 🙌🙌🙌
Mimi ni m mkewangu f bwamaweee heee kimbembe aduwi umesema kweli
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Unasema kweli baba mamboyote hayo niliyapitiya mimi jina langue ni muhindo natokeya kongo mjin goma asanténi
Kwel mzee
Pole martha
Unasema kweli kiongoz
Na tunapendana sana sasa tufanyaje
Kuna mwingiliano wa nyota kaka.
Mfano mwanamke anaitwa Maliam huyu ni moto lakini yupo tena kwenye upepo mapacha.
Hapo imekaaje.
Mm na mpenz wang sote wawil tumenzia na heruf ..m.. hapo unakuwaj kiongozi
Unasema kweli.mimi Methodi
Ubarikiwe mno
Mimi Nina Nina m kwaniganja njangu rakini mbona sinaherraa 😂😂😂😂
Nashukulu sana kaka leo nimejijua kitugani nifanye mimi. M
Hahaha kaka unanigusa Sana aisee ubarikiwe mwalimu
Moses anatakiwa awe na mwanamk wa jina gan❤
Mohamed ni maji ya kunde mrefu wa kat alipata mwanamke jina sara wakaachana akapata mwanamke jina N akapata matatizo kazin wakahangaika sana lakin sasa wamesimama vizuri sana sana mpaka raha na MUNGU awazidishie
Ujui chochote we jamaa😂😂
Nikweli kabisa
Kaka uko sawa kabisa
Ni kweli kabisa
Mungu akubari jazaka allah heri
Kaka umenena kweli Mimi jina langu la utoton ni M, na mpemz Wang wa mwanzo jina O. Tulipendana Sana ikafika maali tukapishana japo huwa ananikumbuka bado. Na mpenz wangu wa pili jina C na T Nina mtoto nae huwa ananisumbua Sana malumbano baada ya mda flan mwisho was siku hatujafanikiwa kukaa pamoja. Hivyo bc kupitia hili somo lako nimeamin huwa nakosea choice. Mtoto wetu jina linaanza na herufi K, kiukweli ananipenda Sana mpaka Basi nimekubaliana naww kupitia hili:
Umetisha Sana
Nimekwelewa San san upo sahihi
Mimi a natakiwa nice nature wanna gani
Eebwana naishicongo shekh ukomukweli naitwa.monon amasulemani.
Mimi jina langu ni Michael je ninagitaji kuowa mwanamke wa aina gani
Bro umenikuna sana M kwa misimamo uamuzi na kujiamini.
Safi Ila wapi unapatikana
Mashaka awe namwanamke gan😊
Hehehehehe zidi kupoteza watu hiyo ni Siri yake Allah peke yake hiyo elmu ghaib ni Siri yake mola hakuna ajuwao elmu hiyo only Allah
Mim nib na yey ni m ansema anipenda na tunataka kuoana itakuaje sasa broo na tunpendana sana
Mimi m nimeoa ade (h)hilda lakini udogo wake aliitwa e napitia shida hasa uchum nifanyaje hapo
Mimi nna M mikono yote miwili lakini sifanikiwi nna miaka 24
Dah sis kina b nampenda musa jamani nifanyeje
Kweli
Naomba kuuliza Muhidini (M)anatakiwa aoe mwanamke yupi
Je Mwita
Shukran
Asante
Kweli kin musa weupe
Mm na mchumba ungi anaitwa othumani mm mulfaty je kunatiba ya kuwekasaw upepo wake sawa,
🙌🙌🙌🙌🙌😅😅😅😅😅 kaka wee noma umechambua kwa weledi
Namimi ni mahuridi numbi madeleine kutoka Congo Niko mwanamuke lakini iyi ni yangu na Mimi
Ni kwel kabisa kiongoz unachokisema hizo hali kwa upande wang ninazo kabisa
Mimi ni M na Kwa mkono Niko na haerufi ya M pia
MWANAMKE BORA WA A,M,NA Y NI G,S
Namba Yako ya Simu naiomba brother, pls
Je nyota hii kwenye biashara ni kutembea au kukaa
Mm naitwa msai je nipe mwanamke mwenye jina linalo Anza na jina gan et kaka
Nimekuelewa allykk
Mimi Z lkn nina misimamo sana na nikikataa nimekataa
Nimekufatilia sana kaka...mim ni m na mwenza wangu ni L Yani ni ugomvi Kila dakika maendeleo hamna....😓😓😓nataman ata nitoke 😭
Kabla kufikiria kuachana nenda kwa dr akusaidie
Asnte kwa ushaur wako Mimi n f na mwanaume niliyezaa nae n A nikweli hatuko saw ila hakuna uwezekano maana sitaki kuchangany watt
Kichwaaa kinanisumbuaaa sana
Mimi ni majaliwa nampata mpenzi mwenye herufi gani Alie Bora zaid
C,o,G,S,K,W
Kaka apo kwenye kupendwa na wake za watu walahujakosea ni kweri tupu na ndio maisha yanayo nikuta mimi
Je M na F wanaona
M na R imekaaje
mm z na mume wangu ni mohamed naomba unishauri kwenye hili
Mie ni m na mke alikuwa e vulugu zilikuwa nyingi sana uko sahihi
Tuchambulie na heruf ya mw
Nikwel sema umejuaje kak
Bro nimekufuatilia naona majina yetu ya kimira ndio jina sahii kama mimi Mgaza.Nimeona mengi uliyo sema.Japo tuna majina ya kidini yaliyo letwa.Jina la kibantu ndio sahii.
Nimeelewa mkubwa
kaka umesema kweri mm napitia magumu sana kwenye ndoa yangu mume R nifanyeje kaka
Mimi mwanahawa mchumba Allly na mubarak ni yupi nitaedumu nae hapo maalim
Unapatikana wap
Ally kk mm n M na yote hayo uliyosema nmeshayashuhudia kabisa..wwe kw kwli n zaidi ya nabii..
Acha ujinga wew
Daaah unaongea ukweri saan kaka
Eh kumbe
Ukiwa na mke wa nyota nyingine ambao ni Adui mtu atapona aje hayo matatizo
Hivi nyota nitarehe za kuzaliwa au Herufi??
Jina langu la kwanza mimi ni k
Vp m kwa m wakiwa kweny mahusiano?
Sasa kama mtoto Ana herufi M na mamayke jina Lake linaanza na V nayo imekaaje
Na kama mke wangu ana herufii m nayee jee hatuendani
Amesema mara Mia ukawa na mtu unaeendana nae sayar
Mm naitwa milongo jumanne nimezaliwa mwaka 1983 mwezi 9 ,hapo utofauti ni Nini
Nyota yangu ni ipi
Kweli ulichosemaa Mimi ni Mohamed ,ila tatizooo langu kubwaaa nasumbuliwaaa naa kichaaa sanaaa
Yani mtihani mm ni mwanamke lakini hizo sifa zote nnazo na jina langu limeanza na heruf M nifanyaje kuondokana na wasiwas
Je ukiwana elufi m kiganjani mkonono
Wewe ni mtu wa maana kabisa, iyo herufi m kweny kiganja ulonayo, Ina ashiria utajiri na pesa nying, mda mwingine chukukua chumv weka kweny kikombe tia maji weka lisaa Moja halaf unaweza kweny mikono Yako huku ukisema hivi, Anza Bismillah halaf sema chumv inalinda ee mwenyezmung nijaalie afya njema niweze kujimudu unipe utajiri pesa nying zeny kheir na mm, Amiin, halaf usifute mikono Yako acha tu Ivo Ivo yatakauka wenyew maji endelea na shuhuli zako, bdae unakuj kua tajiri kweli
Je kama wote ni m.m mwanamke na mwanaume
Je kama wte ni m.m
Kuvaa mavazi mekundu wanaumepeke yao??
Muriuki +254
M&A❤❤PIGA KELELEEE
Kaka nikama umenirenga mm swala la wasiwasi na mashakaa daaah ivo vitu vimenijaa
Sasa unamanisha mwawiya sio inayoanzia elufi m
Ndio nyota ya punda sayar ya moto nashukuru siku hizi naelewa vizur asili za nyota na kuendana kwao
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sielewi nyota ndiyo nini
Mambo ya walimwengu😅
Naoomba kuerewa mwanamuke sahihi jina m
Je kama mke ni m na mume ni a nifanyaje
Mimi ni T mchumba wangu ni M😢😢
😂😂 ndio mwezangu namm ngumi kilasiku tukiongea neno moja ugomvi
Kweli Kabisa unayosema yashanikuta 99% Mimi ni M mke wa mtu jina linaanza Na R alinipenda sana nikapata matatizo makubwa
Nikweli kabisa