ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Nakupenda kwa ajili ya Allah mpaka machozi yananitoka
Allah akuhifadhi inshallah,,
Jazakallah khair shekh ALLAH akupe afya nimefaidika na masomo yako yasini imenifungua vifungo Alhamndulillah
Mwenye ezimungu ukuzidishieujuzi
Shukraani shekhe allah akupe afya inshaallah napenda kusikiliza mawaidha ALHAMDULILAH
Shukran Sheikh Allah akupe afya na umri mrefu na baraka tele.
Shukran kwa mafunzo.kwa wale ambao sio waislamu Huwa munawafanyia dua
Amiin mungu akupe afya
Mashall ❤
Nakupenda kwa ajili ya Allah
Jazzakka Allahu khyern 🤲❣️🌹❣️🤲
Bismillah
Tunashukur sana mwalim
Asalaam aleykum sheikh
إن الحسنات يذهبن السيئات
Tabarak Rahman Allah akulinde
Ayya yenyewe unaisoma vibaya
Kasome wewe
Acha kufnya dharau ww unaejua mbona huelimishi
Wengine mtambiwa ingieni peponi mtahitaji dalili yakuingia peponi... au
Wanasinya aki wame zoea kurogwa hao
Umesema kweli maana utafikili wanadalili yakuvaa suruali
Hii namba unaweza piga WhatsApp??
Hayo maneno shk walau uwe unatupa na dalili katika mafundisho ya sunna Tuseme hivyo
Wewe ndugu, ukitumia falsafa yako hio, nakuomba usiongeze kutumia huu mtandao wa TH-cam ila umetuleteya dalili katika mafundisho ya sunna, ya kutumia TH-cam video. Sio kila elimu iko katika Sunna.
@@1nesoch😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Imeandikwa wapi utumie simu ? Tupe dalili mtume wapi alitumia mitandao ya kijamii🙄🤔
Wachawi hawavai vazi la heshma
Acha hasadi wewe, mnatafuta mtu anapokosea tu mumkosoe maana mnajua kila kitu
Dalili wa hili ni lipi!?
Wewe Kaa tu hapohapo isubiri dalili itakuja, tunafanya madhambi chungu tele na Wala hatuhitaji dalili ya madhambi yetu
@@mwalimumwanyongo880😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nenda kamuulize alie kuzaaa
Nakupenda kwa ajili ya Allah mpaka machozi yananitoka
Allah akuhifadhi inshallah,,
Jazakallah khair shekh ALLAH akupe afya nimefaidika na masomo yako yasini imenifungua vifungo Alhamndulillah
Mwenye ezimungu ukuzidishieujuzi
Shukraani shekhe allah akupe afya inshaallah napenda kusikiliza mawaidha ALHAMDULILAH
Shukran Sheikh Allah akupe afya na umri mrefu na baraka tele.
Shukran kwa mafunzo.kwa wale ambao sio waislamu Huwa munawafanyia dua
Amiin mungu akupe afya
Mashall ❤
Nakupenda kwa ajili ya Allah
Jazzakka Allahu khyern 🤲❣️🌹❣️🤲
Bismillah
Tunashukur sana mwalim
Asalaam aleykum sheikh
إن الحسنات يذهبن السيئات
Tabarak Rahman Allah akulinde
Ayya yenyewe unaisoma vibaya
Kasome wewe
Acha kufnya dharau ww unaejua mbona huelimishi
Wengine mtambiwa ingieni peponi mtahitaji dalili yakuingia peponi... au
Wanasinya aki wame zoea kurogwa hao
Umesema kweli maana utafikili wanadalili yakuvaa suruali
Hii namba unaweza piga WhatsApp??
Hayo maneno shk walau uwe unatupa na dalili katika mafundisho ya sunna
Tuseme hivyo
Wewe ndugu, ukitumia falsafa yako hio, nakuomba usiongeze kutumia huu mtandao wa TH-cam ila umetuleteya dalili katika mafundisho ya sunna, ya kutumia TH-cam video. Sio kila elimu iko katika Sunna.
@@1nesoch😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Imeandikwa wapi utumie simu ? Tupe dalili mtume wapi alitumia mitandao ya kijamii🙄🤔
Wachawi hawavai vazi la heshma
Acha hasadi wewe, mnatafuta mtu anapokosea tu mumkosoe maana mnajua kila kitu
Dalili wa hili ni lipi!?
Wewe Kaa tu hapohapo isubiri dalili itakuja, tunafanya madhambi chungu tele na Wala hatuhitaji dalili ya madhambi yetu
@@mwalimumwanyongo880😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nenda kamuulize alie kuzaaa