SIRI YA SURA YASIN KATIKA KUONDOA HARAKA MARADHI YA MAJINI NA UCHAWI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
  • Wasiliana na Sheikh Nassoro Muhammad kwa namba hizi 0717749113 kwa Maswali, ushauri na kwatiba za kuwatoa majini na vifungo mbalimbali
    ⚫️ WASILIANA NASI MIRAJ KHAN ( WHATSAPP +255 713 730 907), ( +255 745 661 711)
    ⚫️ Email: buikhan21@gmail.com

ความคิดเห็น • 68

  • @MkandamaBora
    @MkandamaBora 24 วันที่ผ่านมา

    Allah Akulip mimi nilikua nikitumiya kwa kila mubiin Alamnashrah 10,nitafanya 71

  • @japharymakula262
    @japharymakula262 7 หลายเดือนก่อน +3

    Shukran sana sheikh nafanyia kazi hili inshaallah, jaafar kutoka kahama

  • @sfiaalanazi5479
    @sfiaalanazi5479 10 หลายเดือนก่อน +4

    Asalam alykum waramatullah warakaatu shekh Nassoro tuletee ya kujifunga mwili inshaallah shukran shekh wetu Allah akuhifadhi.

    • @RayyanZahour
      @RayyanZahour 7 หลายเดือนก่อน

      Tunaomba tuletee za kujifunga miili sasa maan ni hatar sana

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 ปีที่แล้ว +3

    Shukrani Sana shekh wetu Qur'an ni tiba sema ibilisi anatuzonga na usingizi

    • @sfiaalanazi5479
      @sfiaalanazi5479 10 หลายเดือนก่อน

      Kabisa ukitaka tu kusoma quran wasinzia

  • @aishaabdallah5838
    @aishaabdallah5838 2 ปีที่แล้ว +6

    Maashaallah shekh nassor nakupenda kwajili ya Allah unatupa faida kubwa sana wallahi

  • @AishaAthimani
    @AishaAthimani 4 หลายเดือนก่อน +1

    Alhamndulillah shekh wangu nilisoma nilipatwa na mambo makubwa nilitapika sana vitu vikaanza kunitembea mwili mzima yamejitokeza majini yanasema yalipotoka

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 2 หลายเดือนก่อน

      Allahu Akbar
      Pole sana Aisha
      Allah akufanyie wepesi yatoke

  • @janataninaim9193
    @janataninaim9193 2 ปีที่แล้ว +7

    Mashaallah tabaraka Allah allah akujazi kheri fidunia wal akhera

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed 11 หลายเดือนก่อน +2

    Alhamndulillah Namuomba ALLAH Akujalie Zaidi Amiina

  • @habibakhalfan1065
    @habibakhalfan1065 2 ปีที่แล้ว +3

    Allah_akulipe_kheri_DAIMA_nimefurahii_sana_yasin_ni_kisomo_kizito

  • @binthatv2794
    @binthatv2794 2 ปีที่แล้ว +4

    Manshallah Allah akujaze Amani akupe kila la kheri akufungulie riski akupe umri murefu wenye furaha manshallah

  • @nasramohamed9497
    @nasramohamed9497 2 ปีที่แล้ว +4

    Mola akupe kila la heri duniani na ahera asanti sana

  • @welcome-qk6ps
    @welcome-qk6ps 2 ปีที่แล้ว +5

    Allah akupe kila la kheri amiin upo sahihi

  • @nurusalumu8663
    @nurusalumu8663 ปีที่แล้ว +9

    Shekhe mm nimesoma nikaona miujiza mikubwa

  • @salummnguruta4518
    @salummnguruta4518 ปีที่แล้ว +7

    Kwenye kila alamnashrah unaanza na Bismillah au unaunganisha?

  • @athumanimachozi3360
    @athumanimachozi3360 2 ปีที่แล้ว +5

    Jazzaqallahu kheri, Al akhiy Allah s.w) akuifadhi mzee wa kazi

  • @saandiyamusilm399
    @saandiyamusilm399 ปีที่แล้ว +2

    Mungu yakupe kila cha kheri amin shukrana

  • @omaryjongo7436
    @omaryjongo7436 8 หลายเดือนก่อน

    Asalaam alaikum sheikh wangu.Msaada Wako HASAD imenikumba Hali ya kiuchumi inazidi kuporomoka ,Wateja wamekoma na Hali imenibadilikia Sana

  • @FatumaTwalib-so9wj
    @FatumaTwalib-so9wj ปีที่แล้ว +2

    Mashallah 🙏

  • @hidayahemedi9423
    @hidayahemedi9423 2 ปีที่แล้ว +3

    Mashallah mashallah mashallah sheikh jazakallahul khair

  • @simwangepierre4036
    @simwangepierre4036 ปีที่แล้ว +2

    Alihamdullilah Yah Rabb, Aksante sana Sheikh

  • @maryammohammed1991
    @maryammohammed1991 2 ปีที่แล้ว +3

    shukran shekhe

  • @chimenyamwatuwa7341
    @chimenyamwatuwa7341 ปีที่แล้ว +2

    Mashaalah

  • @maryammohammed1991
    @maryammohammed1991 2 ปีที่แล้ว +3

    shukran sana shekhe

  • @HajrahRamadan
    @HajrahRamadan 3 หลายเดือนก่อน

    Asalamu alykm warahmatulah wabarakatu,shehe namiaka zaidi ya ishirini naumwa jamani nisaidieni dua

  • @yahayaramadhani6418
    @yahayaramadhani6418 9 หลายเดือนก่อน

    Bismillahi Rahman Rahmi niyamuhimu sana.

  • @welcomeorange7357
    @welcomeorange7357 2 ปีที่แล้ว +3

    Jazakallah khair

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi3377 2 ปีที่แล้ว +3

    بارك الله فيك

  • @abdulmalickupete9015
    @abdulmalickupete9015 2 ปีที่แล้ว +3

    Shekhe barakallahu shukrani

  • @jenephawangui7472
    @jenephawangui7472 2 ปีที่แล้ว +3

    Asalaam aleikhum shekhe. Nafaa hiki kisomo nisome mara ngapi labda Kwa wiki? Shukran

  • @Asia-m7n
    @Asia-m7n 7 หลายเดือนก่อน

    SHUKRAN

  • @RazzackNdayambaje
    @RazzackNdayambaje 3 หลายเดือนก่อน

    Naam shukran sana,kwakuzingua nyumba imefungwa kichawi tunaweza tumia utaratibu huo?

  • @abdulmalickupete7540
    @abdulmalickupete7540 2 ปีที่แล้ว +2

    Shukrani al akhy

  • @rolandolussoca8124
    @rolandolussoca8124 4 หลายเดือนก่อน

    Shukrani djazila

  • @nebulanhiijjj
    @nebulanhiijjj ปีที่แล้ว +5

    Asalamalekum sheikh kama hujii kuisoma yassin je

    • @thonioaugust2608
      @thonioaugust2608 2 หลายเดือนก่อน

      Jifunze au niwe nakusomea online

  • @SalumOmary-f6b
    @SalumOmary-f6b 7 หลายเดือนก่อน

    Asant ustadhi

  • @MariamOmary-s9k
    @MariamOmary-s9k 4 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah ❤

  • @mwanamakahaji240
    @mwanamakahaji240 6 หลายเดือนก่อน +1

    JAZAKA LWAHL-KHEIR

  • @abilahirufai8269
    @abilahirufai8269 2 ปีที่แล้ว +4

    Mm nauliza unavyosoma Surat Inshrah unaanza bismillahi au unasoma bila bismillahi

    • @zakariaathman9019
      @zakariaathman9019 2 ปีที่แล้ว

      Lazima bismillahy

    • @kassimukilima
      @kassimukilima ปีที่แล้ว +2

      unaunginisha. unapoanza na Bismilahi maana unaanza kitu kingine

  • @AishaAthimani
    @AishaAthimani 4 หลายเดือนก่อน

    Shekh wangu niendele kusoma tena yatatoka?

  • @aminamkindi922
    @aminamkindi922 2 ปีที่แล้ว +7

    Asalam aleykum hakika nitasadiki maana surat Yassin ilinikomboa na uchawi na majini,ALLAH KAREEM 🙏

    • @Namanda425
      @Namanda425 2 ปีที่แล้ว

      Vipi ilikukomboa

    • @lifeinmiddleeast8179
      @lifeinmiddleeast8179 ปีที่แล้ว

      ​@@Namanda425ni kweli namimi imenisaidia Sana unaisoma mara 3 kila ikifika mubin unasimama na kusoma alamnshrah 10, ukimaliza.sema ya rabbi nifungue vifungo vya kishetani mpaka unamaliza

  • @AbujannatyRayaan-sf4fx
    @AbujannatyRayaan-sf4fx 3 หลายเดือนก่อน

    As salaam alaykum wa rahamatullahi wa barakaatuh Akhil kariim Baarakallahu fiik!
    Mimi Nina swali ! Nimepata clip hii Leo lakini nataka niulize tu haya yalioaungumziwa hapa yanapatikana katika kitabu Gani? Na ni Nani katika wema walio tangulia ameyafunza haya ? Ao Mtume (Rehma Na Amani ziwe juu yake) kayafunza haya kweli ? Naomba Ndugu yangu Lillahi unipe ushahidi

  • @chibarmohamed1913
    @chibarmohamed1913 ปีที่แล้ว +2

    ahsante sana sheikh ila nna suali moja ukisoma hio mubiyn ya saba ukasoma huo sura alamnashrah zote , unaishiya hapo nakuomba dua zako au unamalizia yasin tena adi mwisho??

  • @munaisa5850
    @munaisa5850 2 ปีที่แล้ว +4

    Mashaallah

  • @BalkissMuhammad-c5o
    @BalkissMuhammad-c5o 7 หลายเดือนก่อน

    Bismillah

  • @marohoibramaroho7511
    @marohoibramaroho7511 ปีที่แล้ว +3

    Mími sijui kusoma kurani lkn naomba kisomo

  • @israkikitano311
    @israkikitano311 2 ปีที่แล้ว +4

    Uko vizuur Alhabib

  • @SalumOmary-f6b
    @SalumOmary-f6b 7 หลายเดือนก่อน

    Kama mimi sijuwi ata kusoma nishaumwa sikunyingi na nishahangaika shehe sasa kama kusoma hatujuwi tunaweza kusomewa

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 6 หลายเดือนก่อน

    Shehe tunataka kusomewa

  • @SalumOmary-f6b
    @SalumOmary-f6b 7 หลายเดือนก่อน

    Kwa siku ngapi

  • @hamzamatar6708
    @hamzamatar6708 2 ปีที่แล้ว

    Shekhar ikiwa namsomea mtu??????

    • @mirajkhan_
      @mirajkhan_  2 ปีที่แล้ว

      Mpigie sheikh kwenye namba yake kwa maelezo zaidi

    • @alhajjanabi1298
      @alhajjanabi1298 2 ปีที่แล้ว

      NAOMBA NAMBA YAKO SHEIKH WANGU