MAA SHAA ALLAH SHEIKH SHAFII,ALLAH AKUZIDISHIE WINGI ELEMU WEWE NA WAHADHIRI WENZI WAKO, ILIMUENDELEE KUWAELIMISHA HAWA NDUGU ZETU WALIOPOTEZWA,NA KALAMU ZA WAANDISHI ZILIZOIFANYA KWELI KUWA UONGO!! WEWE NI UNAEWEZA KUMFUNDISHA YEYOTE NA AKAELEWA!! TUNAMUOMBA ALLAH AWALIPE KHERI NYINGI.
Yan wakristo wana matatizo ya akili wanamkataa Muhammad kuwa c mtume lakin wanamkubali mwamposa kuwa ni mtume haya Muhammad c mtume kisa hana siri za mungu mwamposa anajua siri gan ya mungu?
@@MimahMimah-b7k Vyovyote waweza kusema! Swali liko pale pale Qur'an 4: 79 hao akina NASI Waliompeleka Muhammad kuwa mtume ni akina nani na wakamfanya Mwenyezi kuwa shahidi? Hapo Shafi anapiga ngojera
Ikiwa wapinza ni hawa.jaa ya wauma.jamani jaa itatutiya motoni.wa ilam kazi tunayo.wanake tukazeni kanga.wanaumu mukaze suruwali na ukanda zisianguke.mwenyezmgu ametupa mtihani.lakini ishaala atatupa wepesi nao.amin
Sheikh shafi unafirahi sana uwrpo wako.mbona naonaraha sana ni kisiliza mawaidha yako.nakupenda buree.sheikh wa pili ninae mpenda mazinge .nyinyi bwana mbona watu wangu sana.nawa kubali sanaaaaaaa
@@Annalisejg2ur Mshukuru sana mungu amekupa akili timamu ya kujifunza na kujiuliza maswali ya msingi katika kichwa chako na ukabaini ukweli. Siku ya kiama anaijua Mungu tu katka biblia Yesu kasema ajui na hata mtume ajui wala malaika awajui io cku. Kuna hadithi moja malaika jibril alishuka duniani kwa mwonekano wa binadam akawa anaongea na mtume (S.A.W) kwa kua alikua rafiki sana wa mtume wakat wa maongezi yao Jibril akawa ameshtuka ghafla kuona dunia inatikisika uku ametoa macho uku macho yake yanatazama juu ya anga, anatetemeka kwa uwoga. Baada ya dakika kadhaa malaika jibril akashusha pumzi kwa nguvu mtume akamuuliza Jibril kwanin alikua anaonekana ana hofu kubwa na uwoga ndipo jibril akamwambia mtume sababu ya yeye kushtuka na kuogopa alimwona malaika Israfiil ambaye ni malaika atayepuliza parapanda (baragumu) siku ya kiama amekuja katika uso wa dunia ndomana akaogopa alijua siku iyo ndio kihama kimefika maana malaika Israfiil hana kawaida ya kuja duniani mpaka ile siku ya kiama akipewa idhini na Mungu. Kama Malaika hana ata chembe ya dhambi na anaogopa cku ya kihama vp kwa sisi wenye dhambi. ila point yangu kuu ni Mungu pekee anayejua siku ya kihama sio malaika wake wala manabii au mitume yake
MaashaAllah ustadh shafii yaani hadi raha alafu unafunza kwa unyenyekevu na utulivu huku ukiichambuwa hoja kwenye Maandiko vyema ALLAH Akulipe Kila lakheri ustadh hapa duniani na kesho akhera Allahumma Amin !
Wallah shekhe shafii sikutarajia kabsa ulichoenda kukifanya pale🎉🎉🎉🎉 Alaf sasaa ule utulivu wako namna ulivyokatulia yaaaan somo linaendaa taratbu najua hata ndacha ilo swal lake kauliza kwasababu aliliandaa mda mref ila ulishajbu vzur nivle alkuwa anajifarij tuh ila mada iliwashnda mchana kweupe ukichanganya na yale mawe ya mtoto kautaa,,,,, ndo bas tena wallah allah akulipe kher shekh shafii
@@bashirusalumbigapsana673 😂😂😂 Sasa hapo unefundisha nini? Swali liko pale pale Qur'an 4: 79 hao akina NASI Waliompeleka Muhammad kuwa mtume Kwa watu ni akina nani na wakamfanya Mwenyezi Mungu kuwa shahidi? Yaani Mwenyezi Mungu hapo hakuhusika Bali alikuwa shahidi yaani aliyeona tukio bila kuhusika😅😅
Ustadhi Shafi jana umeuaaa sana umetoa shule ndefu sana ila kumbuka thummu bukmu.....ikisha ulikuwa kama imani petro (ALLAH ammrehemu, amjaalie pepo ya darja ya juu) unawaonea huruma kwelikweli......sheikh umeuaaa
Yaaani kama wakristo awaelewi na hapo basi tena yaaani, Shekhe Shafi umewabainishia haki kama ilivyo wazi wazi na pia mi nilisema akisimama huyu mwamba Shekhe Shafi akuna kinacho alibika biidhnillah, Najisikia raha sana Shekhe Shafi Allah akulipe khery Duniani na Akhera Amiiin na awaongoze kina ndacha na jopo lake wawe waislamu Allahumma Aamiin, daaaaah l'm so proud to be a Muslim: lndeed Islam is a great blessings, if Allah has onored us with the blessings of islam that guarantees genuine happiness in the wodly life and the hereafter, we should never take it for granted but has to be strive in wodly of Jannah.
Swali liko pale pale Qur'an 4: 79 hao akina NASI waliomtuma Muhammad ni akina nani na wakamfanya Mwenyezi Mungu kuwa shahidi? Naona Shafi anapiga porojo akidhani eti kajibu 😂😂😂😂😂
@@Annalisejg2ur Sina Shetani Wala jini Swali liko pale pale acha porojo Qur'an 4: 79 hao akina NASI Waliompeleka Muhammad kuwa mtume Kwa watu ni akina nani na wakamfanya Mwenyezi Mungu kuwa shahidi??😅😅😅😅 Hilo Swali halijibiki mpaka kiama😅😅😅😅😅😅
@@Annalisejg2ur jibu Swali Qur'an 4: 79 hao akina NASI Waliompeleka Muhammad kuwa mtume Kwa watu ni akina nani na wakamfanya Mwenyezi Mungu kuwa shahidi? Nipe jibu matatizo yangu yaishe😂😂😂😂😂😂
@@paulmushi2428WW na akili yako Ina changamoto kama hao walimu wako. Umesha ambiwa m/Mungu kutumia wingi ni kuonyesha utukufu wake na pia ni fumbo. Sasa ww una pata tabu wp hapo na tafsiri hiyo ime toka kwenye bibilia yenu. Yani wakristo kiswahili kina wasumbua Sana.
😅😅😅 Oustaz Shafi nakupenda kwa ajili ya ALLAH na mtume wetu MOUHAMMAD ❤️ ALLAH akuzidishie kila lakheri mwalimu, nataka niwe ata mwanafunzi wako ili nikuje ku fanya dawa uko kwetu D.R.C🇨🇩🇨🇩
@@ustadhshafiionlinetv ndugu yangu nilitaka nikupigie simu kabla ya mdahalo huu kuna jambo nilitaka nikueleze lakini naona nilichokifikiria kumbe ndicho kilichokuwa akilini kwako. Naona unawanyoosha kweli kweli, Allah akuzidishie kila la kheri.
@@ustadhshafiionlinetv Swali liko pale pale Qur'an 4: 79 hao akina NASI waliomtuma Muhammad ni akina nani? Kisha wakamfanya Mwenyezi Mungu kuwa shahidi? Shafi acha porojo 😅😅
@@SalmanMughal-lq5lt Wasujudia Al hajar Al aswad lililoko Makka ndiyo wa motoni!! Acha kusujudia kuelekea Makka unasujudia Jiwe jeusi bila kujitambua wewe Toka huko😢😢 karibu Kwa YESU KRISTO MWANA WA MUNGU ALIYE HAI AMBAYE NDIYO NJIA YA KWELI NA UZIMA
Shafi usimpe Aya laisi utaumbuka.. ata ukimwuliza swali injee ya vitabu unajibiwa.. onyoo waklistu mazinge. Shafi sule watuawa mabingwa wa maswa sugu (onyoo)
Auko Saw Allah ndo Nani weye Fata yesu upate uzima wa milele dungu ule siyo mutume aliye owa mutoto wa 6 mpaka Na dada yake kisha uko namufata kweli uko munini uko mutu uliye soma ama kweli
Ndacha na Daniel ni chuki tu na wajuwa wazi mtume Muhammad ni mtume wa Mwenyezi ezzi mungu lakini chuki na tumbo lao tunaomba Mwenyezi Mungu awaongoze ikiwa ni kheri kwao
Huu ndio Usomi mzeee sio makelele Wajua Daniel na Ndacha Wamezoe kuhubiri Sauti ya mkwaruzo Unaeza ukakimbia nawambia hakuna Kafiri awezae kusimama na Muislamu Akashinda
Wallahi nimeamini kwamba wakristo ni waongo ndo wamewoteza mchungaji mwenye Akili timamu huwez kusema eti biblia imeandikwa kabla ya Quran ndio maana wazungu wanazidi kusili wameshapata nuru
Hatuwez kuelewa ujinga hapo mtaelewa ninyi sio sisi sisi tunaongozwa na roho wa mungu ninyi dini yenu ya kimwili wap na wap hata maandiko yenu huyaelewi unaelewa nini xx shafi tu hajatumwa na mungu hy
😂😂😂😂😂😂😂😂 Swali liko pale pale Qur'an 4: 79 hao akina NASI Waliompeleka Muhammad kuwa mtume Kwa watu ni akina nani? na wakamfanya Mwenyezi Mungu kuwa shahidi?
@@paulmushi2428 hujasikiliza majibu?mbona umejibiwa kwa biblia na QUR'AN hujaelewa nini hapo kujicheka wajicheka mwenyewe wallah wabillah UISLAMU ni dini iliyoelekeza kila kitu kwa uwazi kuliko dini nyingine yeyote kama ni mungu mmoja ni mmoja kweli wala hana mwana wala hakuzaliwa wala hakuzaa wala hafanani na chochote DINI YA UISLAMU NDIO DINI PEKEE ILIYOWAZI INAELEKEZA MTU KWA UWAZI KISHA ANAPEWA HIARI AKITAKA AFUATE AKITAKA AACHE NA WATAKAOFUATA WATAENDA WAPI NA WATAKAOKATAA WATAENDA WAPI BASI KAZI NI KWAKO MZEE WE UCHEKE ULIE UFANYAJE KUFA TUTAKUFA SOTE ILA BAADA YA KUFA UTAKWENDA WAPI LAZIMA UJIILIZE HILO SWALI
Safi sana SHEHE shafii nimejifunza mengi Mungu akulipe ivi nani aliniambia nizaliwe Mkristo 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Karibu kwenye uislam kusilim ni bure
we ulizaliwa ukiwa muislam ila wazazi wako ndo walikupeleka kwny ukristo, wote tunazaliwa waislam
Yaaani mpk raha Shekhe Shafi kawafunika ile mbaya Alhamdulilaah mada usha maliza Shekhe wetu❤❤❤ Nakupenda Shekhe kwajili ya ALLAH. Akhyiii
Ust.Shaffi Allah Akubariki kwa kweli umetufundisha kitu Kikubwa Sana.
Mashallah ushindi daima...Haqi ikon wazi itaolea tu.
Hoja za makafiri ni za ubabaishaji,waislamu wawe macho na wasome.
MAA SHAA ALLAH SHEIKH SHAFII,ALLAH AKUZIDISHIE WINGI ELEMU WEWE NA WAHADHIRI WENZI WAKO, ILIMUENDELEE KUWAELIMISHA HAWA NDUGU ZETU WALIOPOTEZWA,NA KALAMU ZA WAANDISHI ZILIZOIFANYA KWELI KUWA UONGO!! WEWE NI UNAEWEZA KUMFUNDISHA YEYOTE NA AKAELEWA!! TUNAMUOMBA ALLAH AWALIPE KHERI NYINGI.
We ustadhi shafii Allah akupe pepo inshallah
Yan wakristo wana matatizo ya akili wanamkataa Muhammad kuwa c mtume lakin wanamkubali mwamposa kuwa ni mtume haya Muhammad c mtume kisa hana siri za mungu mwamposa anajua siri gan ya mungu?
😂😂😂 umeonaee@@MimahMimah-b7k
@@HanifaOman-oo4pl huu ni mtihani yan ni majanga kwa ndugu zetu Allah awaongoze
@@MimahMimah-b7k Vyovyote waweza kusema! Swali liko pale pale Qur'an 4: 79 hao akina NASI Waliompeleka Muhammad kuwa mtume ni akina nani na wakamfanya Mwenyezi kuwa shahidi? Hapo Shafi anapiga ngojera
InshaAllaAamina😭😭😭😭MtumewetuMuhammadi swalallahu alyhi wassallam kiumbe oraKjlikoViumbevyooote Allahu Akbaru
Ikiwa wapinza ni hawa.jaa ya wauma.jamani jaa itatutiya motoni.wa ilam kazi tunayo.wanake tukazeni kanga.wanaumu mukaze suruwali na ukanda zisianguke.mwenyezmgu ametupa mtihani.lakini ishaala atatupa wepesi nao.amin
Kaka shaffi uko vizuri sana, shida unaokopa kongo ningekuaĺika uje upige muhadhara wa kimataifa.
Kenya SHEIKH SHAFI
Mashallah ustadh shafy unajitahid sana❤
Allahu Akbar
Allahu Akbar
Allahu Akbar
M/mungu awape maisha marefu mashekhe wetu,sisi ni waumini tu katika dini hii ila elimu ya dini tunaipata kutoka kwenu
Mungu akulipe sheik shafi ❤❤
MashAllah Allah akuhifadhini wahadhiri wetu
Big proud Sheik Shafi Shomar Pango
Masha'Allah hakaika Allah ana waja wake Shafi umetisha
Allah wenu kasha kuombeeni ?
Kweli ma Kristo hamjafahamu kama mndanganywa
Sheikh shafi unafirahi sana uwrpo wako.mbona naonaraha sana ni kisiliza mawaidha yako.nakupenda buree.sheikh wa pili ninae mpenda mazinge .nyinyi bwana mbona watu wangu sana.nawa kubali sanaaaaaaa
Yesu si Mungu . Hata kiama hajuwi ni lini. Na sasa hivi yuko mbinguni mkono wa kulia mwa baba yake
Manabii na mitume wote wako mbinguni Acha uwongo wewe 😂😂😂😂
@@IbrahimMarco yesu si Mungu. Mungu atakosaje kujuwa kaima lini
@@Annalisejg2ur Mshukuru sana mungu amekupa akili timamu ya kujifunza na kujiuliza maswali ya msingi katika kichwa chako na ukabaini ukweli. Siku ya kiama anaijua Mungu tu katka biblia Yesu kasema ajui na hata mtume ajui wala malaika awajui io cku. Kuna hadithi moja malaika jibril alishuka duniani kwa mwonekano wa binadam akawa anaongea na mtume (S.A.W) kwa kua alikua rafiki sana wa mtume wakat wa maongezi yao Jibril akawa ameshtuka ghafla kuona dunia inatikisika uku ametoa macho uku macho yake yanatazama juu ya anga, anatetemeka kwa uwoga. Baada ya dakika kadhaa malaika jibril akashusha pumzi kwa nguvu mtume akamuuliza Jibril kwanin alikua anaonekana ana hofu kubwa na uwoga ndipo jibril akamwambia mtume sababu ya yeye kushtuka na kuogopa alimwona malaika Israfiil ambaye ni malaika atayepuliza parapanda (baragumu) siku ya kiama amekuja katika uso wa dunia ndomana akaogopa alijua siku iyo ndio kihama kimefika maana malaika Israfiil hana kawaida ya kuja duniani mpaka ile siku ya kiama akipewa idhini na Mungu. Kama Malaika hana ata chembe ya dhambi na anaogopa cku ya kihama vp kwa sisi wenye dhambi. ila point yangu kuu ni Mungu pekee anayejua siku ya kihama sio malaika wake wala manabii au mitume yake
Sheikh Shaffih Omar Pango
Mungu akubali na masheikh wengine walioandaaa kongamano hili
Masha Allah may give you more wisdom
Ustadhi Shafi Allah akujaze kheri akihifadhi, kifua chako ❤❤❤
Takbir
Ndacha hasubutu kusimama mbele ya sheikh shaffi
MaashaAllah ustadh shafii yaani hadi raha alafu unafunza kwa unyenyekevu na utulivu huku ukiichambuwa hoja kwenye Maandiko vyema
ALLAH Akulipe Kila lakheri ustadh hapa duniani na kesho akhera Allahumma Amin !
Qur'an 4: 79 hao akina NASI waliompeleka Muhammad ni akina nani na kumfanya Mwenyezi Mungu kuwa shahidi?
@@paulmushi2428 Mwenyezi Mungu ndio kamtuma Muhammad na Mungu mwenyewe ndio shahidi
Wallah shekhe shafii sikutarajia kabsa ulichoenda kukifanya pale🎉🎉🎉🎉
Alaf sasaa ule utulivu wako namna ulivyokatulia yaaaan somo linaendaa taratbu najua hata ndacha ilo swal lake kauliza kwasababu aliliandaa mda mref ila ulishajbu vzur nivle alkuwa anajifarij tuh ila mada iliwashnda mchana kweupe ukichanganya na yale mawe ya mtoto kautaa,,,,, ndo bas tena wallah allah akulipe kher shekh shafii
Swali liko pale pale Qur'an 4: 79 hao akina NASI Waliompeleka Muhammad kuwa mtume Kwa watu ni akina nani na wakamfanya Mwenyezi Mungu ni Shahid?😅😅😅
@@paulmushi2428Kwanza unajua maana ya nasi au unaropoka?
@@paulmushi2428ngoja nikufundishe wewe
Nasi ni watu ambao Mungu alimtuma mtume muhamad ili aende kuwaongoza hao watu na mungu ni shahidi juu ya hilo
@@bashirusalumbigapsana673 😂😂😂 Sasa hapo unefundisha nini? Swali liko pale pale Qur'an 4: 79 hao akina NASI Waliompeleka Muhammad kuwa mtume Kwa watu ni akina nani na wakamfanya Mwenyezi Mungu kuwa shahidi? Yaani Mwenyezi Mungu hapo hakuhusika Bali alikuwa shahidi yaani aliyeona tukio bila kuhusika😅😅
@@paulmushi2428malaika
Ustadhi Shafi jana umeuaaa sana umetoa shule ndefu sana ila kumbuka thummu bukmu.....ikisha ulikuwa kama imani petro (ALLAH ammrehemu, amjaalie pepo ya darja ya juu) unawaonea huruma kwelikweli......sheikh umeuaaa
Allaah akubariki kwa Neema zake Ustadh Sheffi
MashaAllah shekhe Mwenyezi Mungu akubariki
Jazakallah
Masha allah usth shafii from Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Mashekhe wetu Kwa umoja tuanwapenda sana❤❤❤❤❤❤🎉
Waislamu wamesoma. Wakristo kaeni karibu nao mnufaike
SUBHANALLAH
LAILAHA ILLALLAH WAHDAHU LASHARIKALAHU LAHULMULKU WALA HULHAMDU WAHUWA ALA KULLISHAIIN KADER WAANNA SAIDINA MUHAMMADIN RASULULLAHI SWALLAAHU ALAIHI WASALLIM WA BARIK ALAIHI
ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM
Barakallahu Feek
MashaAllah
Asante Sana UST Shaffi Kwa ilimu unayo
❤❤maashaallah Ostadh Shafi Allah akuekee uepesi n'a akuhifadh
ALLAHUMA BAARIK ALAYHI
Sheikh shafii huwezi kaka, Wafundishe hao
Ustaadhi Shafi hamkujipanga katika video production,mbaya sana hatuoni hadhira wala reaction zozote apo ukumbini
Yesu ni mwana wa Mungu hilo halina ubishi watu wote na waislam wote mnatakiwa kumwamini
Acha uongo
Yaaani kama wakristo awaelewi na hapo basi tena yaaani, Shekhe Shafi umewabainishia haki kama ilivyo wazi wazi na pia mi nilisema akisimama huyu mwamba Shekhe Shafi akuna kinacho alibika biidhnillah, Najisikia raha sana Shekhe Shafi Allah akulipe khery Duniani na Akhera Amiiin na awaongoze kina ndacha na jopo lake wawe waislamu Allahumma Aamiin, daaaaah l'm so proud to be a Muslim: lndeed Islam is a great blessings, if Allah has onored us with the blessings of islam that guarantees genuine happiness in the wodly life and the hereafter, we should never take it for granted but has to be strive in wodly of Jannah.
Swali liko pale pale Qur'an 4: 79 hao akina NASI waliomtuma Muhammad ni akina nani na wakamfanya Mwenyezi Mungu kuwa shahidi? Naona Shafi anapiga porojo akidhani eti kajibu 😂😂😂😂😂
@@paulmushi2428hujielewi wewe. Mashatani ya kanisani yashakuchanganya
@@Annalisejg2ur Sina Shetani Wala jini Swali liko pale pale acha porojo Qur'an 4: 79 hao akina NASI Waliompeleka Muhammad kuwa mtume Kwa watu ni akina nani na wakamfanya Mwenyezi Mungu kuwa shahidi??😅😅😅😅 Hilo Swali halijibiki mpaka kiama😅😅😅😅😅😅
@@paulmushi2428 una matatizo kweli mpaka huruma
@@Annalisejg2ur jibu Swali Qur'an 4: 79 hao akina NASI Waliompeleka Muhammad kuwa mtume Kwa watu ni akina nani na wakamfanya Mwenyezi Mungu kuwa shahidi? Nipe jibu matatizo yangu yaishe😂😂😂😂😂😂
Mashallah
Wekeni na kipande cha KINYOGOLI HAPA JAMANI SIKIONI
Mashaallah mashaallah mashaallah
Uyo shafi aujuwi kitu tuliya bakufuze maadiko wew
Wenzetu waislamu hawana majini sahihi.
Shida yao hawataki kusoma ndio maana wengi wanadanganywa kwa kusomewa na mapasta kisha wanasherehekea uwongo
Mashallah barakallah fik...❤
Weye auko Saw soma ma adiko apana kukatala kitu Na bado auya soma wew majini ziko mu kishwa yako sana auwezi soma Ama kufata maneno ya yesu
Shafi bonge lakijana, hamumuwezi
Mwalimu wa kislamu badala ya kujibu swali anfundisha lugha
Sheikh shafi apa kutokea USA 🇺🇸, Allah azidi kukulinda wake number yako ya sim niweze kukutunza inshaallah 🙌🏿
😂😂😂 hapo Shafi kapiga porojo tu Qur'an 4: 79 hao akina NASI waliomtuma Muhammad ni akina nani na wakamfanya Mwenyezi Mungu ni Shahid?😅😅😅
Namba yake ipo kwenye video
From kenya sheikh shafi balaa
@@paulmushi2428 huelewi kiswahili ametoa andiko kwenye bibilia inayo fafanua iyo
@@paulmushi2428WW na akili yako Ina changamoto kama hao walimu wako. Umesha ambiwa m/Mungu kutumia wingi ni kuonyesha utukufu wake na pia ni fumbo. Sasa ww una pata tabu wp hapo na tafsiri hiyo ime toka kwenye bibilia yenu. Yani wakristo kiswahili kina wasumbua Sana.
Masha allah usth shafii
Shafi'i kiboko
Masha Allah Sheikh Shafi
Wape elimu hao wakosa dini
❤❤
Raha saaaaana al hando liliah
MashaAllah❤❤❤❤🎉🎉🙏🙏🙏☝️
MashaAllah ❤❤❤
maashAllah
😂😂😂 🤲 YAA ALLAH WAWEKE WALIMU WETU HAWA
😅😅😅 Oustaz Shafi nakupenda kwa ajili ya ALLAH na mtume wetu MOUHAMMAD ❤️
ALLAH akuzidishie kila lakheri mwalimu, nataka niwe ata mwanafunzi wako ili nikuje ku fanya dawa uko kwetu D.R.C🇨🇩🇨🇩
Shukran
@@ustadhshafiionlinetv ndugu yangu nilitaka nikupigie simu kabla ya mdahalo huu kuna jambo nilitaka nikueleze lakini naona nilichokifikiria kumbe ndicho kilichokuwa akilini kwako. Naona unawanyoosha kweli kweli, Allah akuzidishie kila la kheri.
@@ustadhshafiionlinetv acha maelezo ya janja Qur'an 4: 79 hao akina NASI waliomtuma Muhammad Mwarabu Maqureishi ni akina nani? Yaani hata ukeshe ukitoa maelezo huna jibu wewe
@@ustadhshafiionlinetv Waalimu Ndacha na Daniel 🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪💪💪💪💪💪🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Shafi hapo anapiga porojo akidhani eti kajibu😂😂😂😂😂😂
@@ustadhshafiionlinetv Swali liko pale pale Qur'an 4: 79 hao akina NASI waliomtuma Muhammad ni akina nani? Kisha wakamfanya Mwenyezi Mungu kuwa shahidi? Shafi acha porojo 😅😅
Muhammad sio mtume lakini Bado mwatumia Quran ya Muhammad
Sheikh shafii Elimu umewapa kazi kwao kuendelea ubishi wao kama kawaida yao lakin umejitoa kwenye lawama
Apo kwa mwanzo Mungu alikuwa pamoja na mwanawe yesu kristo
Acha uongo
Hoja za Daniel hamna kitu hoja zake hata mm tu namjibu ata jasho halitoki
Anasema ni kauli ya Mungu na sisi hatummwoni. Je wao wanasema Yesu ni Mungu, Yesu hakuonekana?
HUYU SHAFI ANASHUSHA NYUNDO ZAMOTO SANA NA HUA ANAPIGA 👊 KWENYE MSHONO
Mimi niko congo ila nakukubali kweli
Pesa. Mnakala pekeyenu. Sisi tunabakia. Upambe tu. Acheni uchoyo tugawane pesa zinazopatikana. Katika majadiliano
Shafii muoga sana mkutano mkubwa kama huu wanapewa dakika 20?😂😂jebu mjiamini waislam
Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah. Ndacha na Daniel 🔥💪🔥🔥💪💪🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪💪💪💪🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🙏🙏🙏
Wamotoni utawaona tu
@@SalmanMughal-lq5lt Wasujudia Al hajar Al aswad lililoko Makka ndiyo wa motoni!! Acha kusujudia kuelekea Makka unasujudia Jiwe jeusi bila kujitambua wewe Toka huko😢😢 karibu Kwa YESU KRISTO MWANA WA MUNGU ALIYE HAI AMBAYE NDIYO NJIA YA KWELI NA UZIMA
@@paulmushi2428😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂naona unajaribu kujipa moyo😂😂😂😂😂😂
Tuache utani haka kashekhe kanajua maandiko na kiswahili nilichogundua akina ndacha hawaelewi lugha vizur ndiyo maana wanapotea
Tugawane hizo pesa. Ndacha na shafii. Na sule. Mnakula pekeyenu. Acheni uchoyo. Mmeingiza milio 12
Sijaona ona kwenywe bibilia Aya inaosema Mariamu, Zacaria na Yohana walikuwa wanaswali kumwomba Yesu. Ni upuuzi mtupu. Ukristo ni upagani tuu!
Shaf wewe ninoma wew nishida hawkuwezi kabisa waende shurekwanza mungu akurinde
hapo ndo ninapokupendea she shafii we cheza na aya tu
Majibu ya kihuni hawana majibu kwa wakristo
Shafi nipe number yako
Shafi usimpe Aya laisi utaumbuka.. ata ukimwuliza swali injee ya vitabu unajibiwa.. onyoo waklistu mazinge. Shafi sule watuawa mabingwa wa maswa sugu (onyoo)
Sijaona. Elim bali niutetez wa kila mtu kwa upande wake. Mnapiga pesa tu. Hakuna kingine
Daniel hakuna kitu anaongea aya yenyew anakanyaga
Mnafiki shafi,unge weka full video,we umekata kipade ya kwako,potelea mbali
Imekuchomaeeeeeeeeeeee! Polesana ndomambo
Ni fimbo kwa fimbo, hadi wanyooke
Auko Saw Allah ndo Nani weye Fata yesu upate uzima wa milele dungu ule siyo mutume aliye owa mutoto wa 6 mpaka Na dada yake kisha uko namufata kweli uko munini uko mutu uliye soma ama kweli
Tugawane pesa. Kama sivyo. Hakuna umuhim niujing tu
Shekh shafi nabak tu nachek kwa Raha umejua kumfundisha mtot mdogo huyo akakojoe akalale😂😂
Ndacha na Daniel ni chuki tu na wajuwa wazi mtume Muhammad ni mtume wa Mwenyezi ezzi mungu lakini chuki na tumbo lao tunaomba Mwenyezi Mungu awaongoze ikiwa ni kheri kwao
Huu ndio Usomi mzeee sio makelele Wajua Daniel na Ndacha Wamezoe kuhubiri Sauti ya mkwaruzo
Unaeza ukakimbia nawambia hakuna Kafiri awezae kusimama na Muislamu Akashinda
Wallahi nimeamini kwamba wakristo ni waongo ndo wamewoteza mchungaji mwenye Akili timamu huwez kusema eti biblia imeandikwa kabla ya Quran ndio maana wazungu wanazidi kusili wameshapata nuru
Sasa we ndugu yangu kabla Quran ni ya kwanza mbona injili ya Yesu imeandikwa kwenye Quran kwenye bible hamna hadithi za mtume
Achaujinga ww Quran nyingine nahadithi nyingine
Wape wape.waelewe quran.muhamed ninani mbele yamungu.watuachie mtume wetu
Hatuwez kuelewa ujinga hapo mtaelewa ninyi sio sisi sisi tunaongozwa na roho wa mungu ninyi dini yenu ya kimwili wap na wap hata maandiko yenu huyaelewi unaelewa nini xx shafi tu hajatumwa na mungu hy
Mngeongozwa na Rohomtakatifu mngekua mnatembea uchi barabarani mngekua mna tofautiana ktk imani yenu mnge sapoti uchoko mnge mwabudu kiumbe wapumbavu nyie hamna roho mtakatifu nyinyi niwatu waporojo siku zote hamna lolote zaidi ya porojo iyo Biblia yenyewe aitoki kwa Mungu nyie ndo muongozwe na Roho mtakatifu porojo zenu perekeni kanisani
Diniyetu sisi pamoja nayesu tunamsujudia mungu wewe unamsujudia nani?
Shaf Amna kitu Apo waislam amutuwezi sisi wakiristo
POLE KIJANA AU MSICHANA, ENDELEEA KUPINGA WAKRISTO WANAENDELEA KUSILIMU
Wenzetu wapo kwa nia ya kupotosha wafuasi wao tu maskini,yani mambo yapo wazi kabsaa
Amna muislamu yeyote mswahili anaejua maana ya neno Kafiri. Af wabishi sana hawa ma ma jamaa. Dini ya kibishi tu ila misingi ahhh!!
Endelea kuburuzwa nakupakwa mafuta nakuwatajirisha makafiri wezio kwasadaka
Yani waislam msipo batizwa mnayo yasali nibure naiyo misikiti yenu
Ukristo nidini yamchongotu
Hapo hawafurukuti tena umeua sisimizi kwa nyundo ndacha haonekani 😄 🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂 Swali liko pale pale Qur'an 4: 79 hao akina NASI Waliompeleka Muhammad kuwa mtume Kwa watu ni akina nani? na wakamfanya Mwenyezi Mungu kuwa shahidi?
@@paulmushi2428 hujasikiliza majibu?mbona umejibiwa kwa biblia na QUR'AN hujaelewa nini hapo kujicheka wajicheka mwenyewe wallah wabillah UISLAMU ni dini iliyoelekeza kila kitu kwa uwazi kuliko dini nyingine yeyote kama ni mungu mmoja ni mmoja kweli wala hana mwana wala hakuzaliwa wala hakuzaa wala hafanani na chochote DINI YA UISLAMU NDIO DINI PEKEE ILIYOWAZI INAELEKEZA MTU KWA UWAZI KISHA ANAPEWA HIARI AKITAKA AFUATE AKITAKA AACHE NA WATAKAOFUATA WATAENDA WAPI NA WATAKAOKATAA WATAENDA WAPI BASI KAZI NI KWAKO MZEE WE UCHEKE ULIE UFANYAJE KUFA TUTAKUFA SOTE ILA BAADA YA KUFA UTAKWENDA WAPI LAZIMA UJIILIZE HILO SWALI