Ustadh Shafii Amfundisha Daniel Mkemwa Utume wa Muhammad Ambabanisha na Bibilia Yake

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
  • usisahau ku subscribe channels hii

ความคิดเห็น • 207

  • @ilovejesus666
    @ilovejesus666 18 วันที่ผ่านมา +5

    Safi sana SHEHE shafii nimejifunza mengi Mungu akulipe ivi nani aliniambia nizaliwe Mkristo 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

    • @AmaniHepautwa
      @AmaniHepautwa 18 วันที่ผ่านมา

      Karibu kwenye uislam kusilim ni bure

    • @OscarGerald-vp9kx
      @OscarGerald-vp9kx 18 วันที่ผ่านมา +2

      we ulizaliwa ukiwa muislam ila wazazi wako ndo walikupeleka kwny ukristo, wote tunazaliwa waislam

  • @abduliashiru9394
    @abduliashiru9394 20 วันที่ผ่านมา +20

    Yaaani mpk raha Shekhe Shafi kawafunika ile mbaya Alhamdulilaah mada usha maliza Shekhe wetu❤❤❤ Nakupenda Shekhe kwajili ya ALLAH. Akhyiii

  • @saidishekalaghe3496
    @saidishekalaghe3496 20 วันที่ผ่านมา +11

    Ust.Shaffi Allah Akubariki kwa kweli umetufundisha kitu Kikubwa Sana.

  • @samirrubeya2379
    @samirrubeya2379 20 วันที่ผ่านมา +10

    Mashallah ushindi daima...Haqi ikon wazi itaolea tu.

  • @MwalimJecha
    @MwalimJecha 20 วันที่ผ่านมา +9

    Hoja za makafiri ni za ubabaishaji,waislamu wawe macho na wasome.

  • @hamisishabani4072
    @hamisishabani4072 20 วันที่ผ่านมา +5

    MAA SHAA ALLAH SHEIKH SHAFII,ALLAH AKUZIDISHIE WINGI ELEMU WEWE NA WAHADHIRI WENZI WAKO, ILIMUENDELEE KUWAELIMISHA HAWA NDUGU ZETU WALIOPOTEZWA,NA KALAMU ZA WAANDISHI ZILIZOIFANYA KWELI KUWA UONGO!! WEWE NI UNAEWEZA KUMFUNDISHA YEYOTE NA AKAELEWA!! TUNAMUOMBA ALLAH AWALIPE KHERI NYINGI.

  • @shamamamalisa6513
    @shamamamalisa6513 20 วันที่ผ่านมา +13

    We ustadhi shafii Allah akupe pepo inshallah

    • @MimahMimah-b7k
      @MimahMimah-b7k 20 วันที่ผ่านมา +1

      Yan wakristo wana matatizo ya akili wanamkataa Muhammad kuwa c mtume lakin wanamkubali mwamposa kuwa ni mtume haya Muhammad c mtume kisa hana siri za mungu mwamposa anajua siri gan ya mungu?

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 20 วันที่ผ่านมา +2

      😂😂😂 umeonaee​@@MimahMimah-b7k

    • @MimahMimah-b7k
      @MimahMimah-b7k 20 วันที่ผ่านมา +2

      @@HanifaOman-oo4pl huu ni mtihani yan ni majanga kwa ndugu zetu Allah awaongoze

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 20 วันที่ผ่านมา

      ​@@MimahMimah-b7k Vyovyote waweza kusema! Swali liko pale pale Qur'an 4: 79 hao akina NASI Waliompeleka Muhammad kuwa mtume ni akina nani na wakamfanya Mwenyezi kuwa shahidi? Hapo Shafi anapiga ngojera

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt 20 วันที่ผ่านมา

      InshaAllaAamina😭😭😭😭MtumewetuMuhammadi swalallahu alyhi wassallam kiumbe oraKjlikoViumbevyooote Allahu Akbaru

  • @faiqaanwar7268
    @faiqaanwar7268 20 วันที่ผ่านมา +6

    Ikiwa wapinza ni hawa.jaa ya wauma.jamani jaa itatutiya motoni.wa ilam kazi tunayo.wanake tukazeni kanga.wanaumu mukaze suruwali na ukanda zisianguke.mwenyezmgu ametupa mtihani.lakini ishaala atatupa wepesi nao.amin

  • @DawaUnityGroup
    @DawaUnityGroup 19 วันที่ผ่านมา +3

    Kaka shaffi uko vizuri sana, shida unaokopa kongo ningekuaĺika uje upige muhadhara wa kimataifa.

  • @mamawamuya
    @mamawamuya 20 วันที่ผ่านมา +6

    Kenya SHEIKH SHAFI

  • @ZayyanaBamuni
    @ZayyanaBamuni 20 วันที่ผ่านมา +9

    Mashallah ustadh shafy unajitahid sana❤

  • @ibrahimadab9151
    @ibrahimadab9151 19 วันที่ผ่านมา +2

    Allahu Akbar
    Allahu Akbar
    Allahu Akbar

  • @futakambaharuna764
    @futakambaharuna764 19 วันที่ผ่านมา +2

    M/mungu awape maisha marefu mashekhe wetu,sisi ni waumini tu katika dini hii ila elimu ya dini tunaipata kutoka kwenu

  • @moureenkamau8697
    @moureenkamau8697 20 วันที่ผ่านมา +4

    Mungu akulipe sheik shafi ❤❤

  • @khadijaiddi9422
    @khadijaiddi9422 20 วันที่ผ่านมา +5

    MashAllah Allah akuhifadhini wahadhiri wetu

  • @selemanendemangandemanga
    @selemanendemangandemanga 20 วันที่ผ่านมา +5

    Big proud Sheik Shafi Shomar Pango

  • @nassorshaaban7295
    @nassorshaaban7295 20 วันที่ผ่านมา +3

    Masha'Allah hakaika Allah ana waja wake Shafi umetisha

  • @SaidAlnaamani-z1o
    @SaidAlnaamani-z1o 20 วันที่ผ่านมา +4

    Kweli ma Kristo hamjafahamu kama mndanganywa

  • @faiqaanwar7268
    @faiqaanwar7268 20 วันที่ผ่านมา +4

    Sheikh shafi unafirahi sana uwrpo wako.mbona naonaraha sana ni kisiliza mawaidha yako.nakupenda buree.sheikh wa pili ninae mpenda mazinge .nyinyi bwana mbona watu wangu sana.nawa kubali sanaaaaaaa

  • @Annalisejg2ur
    @Annalisejg2ur 20 วันที่ผ่านมา +5

    Yesu si Mungu . Hata kiama hajuwi ni lini. Na sasa hivi yuko mbinguni mkono wa kulia mwa baba yake

    • @IbrahimMarco
      @IbrahimMarco 20 วันที่ผ่านมา

      Manabii na mitume wote wako mbinguni Acha uwongo wewe 😂😂😂😂

    • @Annalisejg2ur
      @Annalisejg2ur 20 วันที่ผ่านมา

      @@IbrahimMarco yesu si Mungu. Mungu atakosaje kujuwa kaima lini

    • @impeccablerito7922
      @impeccablerito7922 18 วันที่ผ่านมา

      @@Annalisejg2ur Mshukuru sana mungu amekupa akili timamu ya kujifunza na kujiuliza maswali ya msingi katika kichwa chako na ukabaini ukweli. Siku ya kiama anaijua Mungu tu katka biblia Yesu kasema ajui na hata mtume ajui wala malaika awajui io cku. Kuna hadithi moja malaika jibril alishuka duniani kwa mwonekano wa binadam akawa anaongea na mtume (S.A.W) kwa kua alikua rafiki sana wa mtume wakat wa maongezi yao Jibril akawa ameshtuka ghafla kuona dunia inatikisika uku ametoa macho uku macho yake yanatazama juu ya anga, anatetemeka kwa uwoga. Baada ya dakika kadhaa malaika jibril akashusha pumzi kwa nguvu mtume akamuuliza Jibril kwanin alikua anaonekana ana hofu kubwa na uwoga ndipo jibril akamwambia mtume sababu ya yeye kushtuka na kuogopa alimwona malaika Israfiil ambaye ni malaika atayepuliza parapanda (baragumu) siku ya kiama amekuja katika uso wa dunia ndomana akaogopa alijua siku iyo ndio kihama kimefika maana malaika Israfiil hana kawaida ya kuja duniani mpaka ile siku ya kiama akipewa idhini na Mungu. Kama Malaika hana ata chembe ya dhambi na anaogopa cku ya kihama vp kwa sisi wenye dhambi. ila point yangu kuu ni Mungu pekee anayejua siku ya kihama sio malaika wake wala manabii au mitume yake

  • @abubakar_nyangala
    @abubakar_nyangala 19 วันที่ผ่านมา +2

    Sheikh Shaffih Omar Pango
    Mungu akubali na masheikh wengine walioandaaa kongamano hili

  • @hassanlastborn2706
    @hassanlastborn2706 20 วันที่ผ่านมา +3

    Masha Allah may give you more wisdom

  • @user-xw5tf6xi4z
    @user-xw5tf6xi4z 20 วันที่ผ่านมา +2

    Ustadhi Shafi Allah akujaze kheri akihifadhi, kifua chako ❤❤❤

  • @khatibumsekeni322
    @khatibumsekeni322 20 วันที่ผ่านมา +6

    Takbir

  • @SaidAlnaamani-z1o
    @SaidAlnaamani-z1o 20 วันที่ผ่านมา +4

    Ndacha hasubutu kusimama mbele ya sheikh shaffi

  • @user-ek7bx6sk6f
    @user-ek7bx6sk6f 20 วันที่ผ่านมา +3

    MaashaAllah ustadh shafii yaani hadi raha alafu unafunza kwa unyenyekevu na utulivu huku ukiichambuwa hoja kwenye Maandiko vyema
    ALLAH Akulipe Kila lakheri ustadh hapa duniani na kesho akhera Allahumma Amin !

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 20 วันที่ผ่านมา

      Qur'an 4: 79 hao akina NASI waliompeleka Muhammad ni akina nani na kumfanya Mwenyezi Mungu kuwa shahidi?

    • @aasatt78
      @aasatt78 20 วันที่ผ่านมา

      @@paulmushi2428 Mwenyezi Mungu ndio kamtuma Muhammad na Mungu mwenyewe ndio shahidi

  • @maulidimanzi9964
    @maulidimanzi9964 20 วันที่ผ่านมา +3

    Wallah shekhe shafii sikutarajia kabsa ulichoenda kukifanya pale🎉🎉🎉🎉
    Alaf sasaa ule utulivu wako namna ulivyokatulia yaaaan somo linaendaa taratbu najua hata ndacha ilo swal lake kauliza kwasababu aliliandaa mda mref ila ulishajbu vzur nivle alkuwa anajifarij tuh ila mada iliwashnda mchana kweupe ukichanganya na yale mawe ya mtoto kautaa,,,,, ndo bas tena wallah allah akulipe kher shekh shafii

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 20 วันที่ผ่านมา

      Swali liko pale pale Qur'an 4: 79 hao akina NASI Waliompeleka Muhammad kuwa mtume Kwa watu ni akina nani na wakamfanya Mwenyezi Mungu ni Shahid?😅😅😅

    • @bashirusalumbigapsana673
      @bashirusalumbigapsana673 20 วันที่ผ่านมา

      ​@@paulmushi2428Kwanza unajua maana ya nasi au unaropoka?

    • @bashirusalumbigapsana673
      @bashirusalumbigapsana673 20 วันที่ผ่านมา

      ​@@paulmushi2428ngoja nikufundishe wewe
      Nasi ni watu ambao Mungu alimtuma mtume muhamad ili aende kuwaongoza hao watu na mungu ni shahidi juu ya hilo

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 20 วันที่ผ่านมา

      ​@@bashirusalumbigapsana673 😂😂😂 Sasa hapo unefundisha nini? Swali liko pale pale Qur'an 4: 79 hao akina NASI Waliompeleka Muhammad kuwa mtume Kwa watu ni akina nani na wakamfanya Mwenyezi Mungu kuwa shahidi? Yaani Mwenyezi Mungu hapo hakuhusika Bali alikuwa shahidi yaani aliyeona tukio bila kuhusika😅😅

    • @zuenahassan8882
      @zuenahassan8882 20 วันที่ผ่านมา

      ​@@paulmushi2428malaika

  • @samxx411
    @samxx411 20 วันที่ผ่านมา +1

    Ustadhi Shafi jana umeuaaa sana umetoa shule ndefu sana ila kumbuka thummu bukmu.....ikisha ulikuwa kama imani petro (ALLAH ammrehemu, amjaalie pepo ya darja ya juu) unawaonea huruma kwelikweli......sheikh umeuaaa

  • @user-pd2fk6kt5i
    @user-pd2fk6kt5i 18 วันที่ผ่านมา

    Allaah akubariki kwa Neema zake Ustadh Sheffi

  • @mbwanasendaro4707
    @mbwanasendaro4707 16 วันที่ผ่านมา

    MashaAllah shekhe Mwenyezi Mungu akubariki

  • @dezainermedia1035
    @dezainermedia1035 20 วันที่ผ่านมา +1

    Jazakallah

  • @KishkitvAhmad
    @KishkitvAhmad 19 วันที่ผ่านมา +1

    Masha allah usth shafii from Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @GcFd-s8t
    @GcFd-s8t 10 วันที่ผ่านมา

    Mashekhe wetu Kwa umoja tuanwapenda sana❤❤❤❤❤❤🎉

  • @bakari52
    @bakari52 17 วันที่ผ่านมา

    Waislamu wamesoma. Wakristo kaeni karibu nao mnufaike

  • @jasminmohamed6145
    @jasminmohamed6145 20 วันที่ผ่านมา +1

    SUBHANALLAH
    LAILAHA ILLALLAH WAHDAHU LASHARIKALAHU LAHULMULKU WALA HULHAMDU WAHUWA ALA KULLISHAIIN KADER WAANNA SAIDINA MUHAMMADIN RASULULLAHI SWALLAAHU ALAIHI WASALLIM WA BARIK ALAIHI
    ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM
    Barakallahu Feek

  • @abdallaharuna7874
    @abdallaharuna7874 19 วันที่ผ่านมา +1

    MashaAllah

  • @ibrahimnkurunziza8198
    @ibrahimnkurunziza8198 18 วันที่ผ่านมา +1

    Asante Sana UST Shaffi Kwa ilimu unayo

  • @SuleimanSwidiq-fj5px
    @SuleimanSwidiq-fj5px 18 วันที่ผ่านมา

    ❤❤maashaallah Ostadh Shafi Allah akuekee uepesi n'a akuhifadh

  • @SheikhTaymiyyah
    @SheikhTaymiyyah 20 วันที่ผ่านมา +2

    ALLAHUMA BAARIK ALAYHI

  • @moddyfirrem6475
    @moddyfirrem6475 20 วันที่ผ่านมา +1

    Sheikh shafii huwezi kaka, Wafundishe hao

  • @harithwhite589
    @harithwhite589 19 วันที่ผ่านมา +1

    Ustaadhi Shafi hamkujipanga katika video production,mbaya sana hatuoni hadhira wala reaction zozote apo ukumbini

  • @user-hm4oj4sj6d
    @user-hm4oj4sj6d 19 วันที่ผ่านมา

    Yesu ni mwana wa Mungu hilo halina ubishi watu wote na waislam wote mnatakiwa kumwamini

  • @abduliashiru9394
    @abduliashiru9394 20 วันที่ผ่านมา +2

    Yaaani kama wakristo awaelewi na hapo basi tena yaaani, Shekhe Shafi umewabainishia haki kama ilivyo wazi wazi na pia mi nilisema akisimama huyu mwamba Shekhe Shafi akuna kinacho alibika biidhnillah, Najisikia raha sana Shekhe Shafi Allah akulipe khery Duniani na Akhera Amiiin na awaongoze kina ndacha na jopo lake wawe waislamu Allahumma Aamiin, daaaaah l'm so proud to be a Muslim: lndeed Islam is a great blessings, if Allah has onored us with the blessings of islam that guarantees genuine happiness in the wodly life and the hereafter, we should never take it for granted but has to be strive in wodly of Jannah.

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 20 วันที่ผ่านมา

      Swali liko pale pale Qur'an 4: 79 hao akina NASI waliomtuma Muhammad ni akina nani na wakamfanya Mwenyezi Mungu kuwa shahidi? Naona Shafi anapiga porojo akidhani eti kajibu 😂😂😂😂😂

    • @Annalisejg2ur
      @Annalisejg2ur 20 วันที่ผ่านมา

      ​@@paulmushi2428hujielewi wewe. Mashatani ya kanisani yashakuchanganya

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 20 วันที่ผ่านมา

      ​@@Annalisejg2ur Sina Shetani Wala jini Swali liko pale pale acha porojo Qur'an 4: 79 hao akina NASI Waliompeleka Muhammad kuwa mtume Kwa watu ni akina nani na wakamfanya Mwenyezi Mungu kuwa shahidi??😅😅😅😅 Hilo Swali halijibiki mpaka kiama😅😅😅😅😅😅

    • @Annalisejg2ur
      @Annalisejg2ur 20 วันที่ผ่านมา +1

      @@paulmushi2428 una matatizo kweli mpaka huruma

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 20 วันที่ผ่านมา

      ​@@Annalisejg2ur jibu Swali Qur'an 4: 79 hao akina NASI Waliompeleka Muhammad kuwa mtume Kwa watu ni akina nani na wakamfanya Mwenyezi Mungu kuwa shahidi? Nipe jibu matatizo yangu yaishe😂😂😂😂😂😂

  • @user-gy5en6cy8o
    @user-gy5en6cy8o 19 วันที่ผ่านมา

    Mashallah

  • @sama-_8368
    @sama-_8368 20 วันที่ผ่านมา +3

    Wekeni na kipande cha KINYOGOLI HAPA JAMANI SIKIONI

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 20 วันที่ผ่านมา +1

    Mashaallah mashaallah mashaallah

  • @BoboManya
    @BoboManya 18 วันที่ผ่านมา

    Uyo shafi aujuwi kitu tuliya bakufuze maadiko wew

  • @DaudiMwangati-id1tk
    @DaudiMwangati-id1tk 5 วันที่ผ่านมา

    Wenzetu waislamu hawana majini sahihi.

  • @mahsneermohammed2107
    @mahsneermohammed2107 11 วันที่ผ่านมา +1

    Shida yao hawataki kusoma ndio maana wengi wanadanganywa kwa kusomewa na mapasta kisha wanasherehekea uwongo

  • @hanifa9153
    @hanifa9153 20 วันที่ผ่านมา

    Mashallah barakallah fik...❤

  • @BoboManya
    @BoboManya 18 วันที่ผ่านมา

    Weye auko Saw soma ma adiko apana kukatala kitu Na bado auya soma wew majini ziko mu kishwa yako sana auwezi soma Ama kufata maneno ya yesu

  • @BintalliMbakuha
    @BintalliMbakuha 20 วันที่ผ่านมา

    Shafi bonge lakijana, hamumuwezi

  • @MatikoJames-c8m
    @MatikoJames-c8m 14 วันที่ผ่านมา

    Mwalimu wa kislamu badala ya kujibu swali anfundisha lugha

  • @abdallahjuma2608
    @abdallahjuma2608 20 วันที่ผ่านมา +20

    Sheikh shafi apa kutokea USA 🇺🇸, Allah azidi kukulinda wake number yako ya sim niweze kukutunza inshaallah 🙌🏿

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 20 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂 hapo Shafi kapiga porojo tu Qur'an 4: 79 hao akina NASI waliomtuma Muhammad ni akina nani na wakamfanya Mwenyezi Mungu ni Shahid?😅😅😅

    • @sungitatv9887
      @sungitatv9887 20 วันที่ผ่านมา +2

      Namba yake ipo kwenye video

    • @mamawamuya
      @mamawamuya 20 วันที่ผ่านมา +2

      From kenya sheikh shafi balaa

    • @abdallahjuma2608
      @abdallahjuma2608 20 วันที่ผ่านมา

      @@paulmushi2428 huelewi kiswahili ametoa andiko kwenye bibilia inayo fafanua iyo

    • @SaleheKijazy
      @SaleheKijazy 20 วันที่ผ่านมา

      ​@@paulmushi2428WW na akili yako Ina changamoto kama hao walimu wako. Umesha ambiwa m/Mungu kutumia wingi ni kuonyesha utukufu wake na pia ni fumbo. Sasa ww una pata tabu wp hapo na tafsiri hiyo ime toka kwenye bibilia yenu. Yani wakristo kiswahili kina wasumbua Sana.

  • @KishkitvAhmad
    @KishkitvAhmad 19 วันที่ผ่านมา

    Masha allah usth shafii

  • @bakari52
    @bakari52 17 วันที่ผ่านมา

    Shafi'i kiboko

  • @KhamisJuma-ni1vk
    @KhamisJuma-ni1vk 20 วันที่ผ่านมา

    Masha Allah Sheikh Shafi

  • @MochammdHadija-pn7nn
    @MochammdHadija-pn7nn 20 วันที่ผ่านมา +3

    Wape elimu hao wakosa dini

  • @ilovejesus666
    @ilovejesus666 18 วันที่ผ่านมา

    ❤❤

  • @ibraimodinodino828
    @ibraimodinodino828 20 วันที่ผ่านมา

    Raha saaaaana al hando liliah

  • @user-rk1cp5qs9d
    @user-rk1cp5qs9d 20 วันที่ผ่านมา

    MashaAllah❤❤❤❤🎉🎉🙏🙏🙏☝️

  • @Saitvonlinetz
    @Saitvonlinetz 20 วันที่ผ่านมา

    MashaAllah ❤❤❤

  • @ShahaMakame-ei2ri
    @ShahaMakame-ei2ri 20 วันที่ผ่านมา

    maashAllah

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba1322 20 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂 🤲 YAA ALLAH WAWEKE WALIMU WETU HAWA

  • @user-vr6vs3us3n
    @user-vr6vs3us3n 20 วันที่ผ่านมา +4

    😅😅😅 Oustaz Shafi nakupenda kwa ajili ya ALLAH na mtume wetu MOUHAMMAD ❤️
    ALLAH akuzidishie kila lakheri mwalimu, nataka niwe ata mwanafunzi wako ili nikuje ku fanya dawa uko kwetu D.R.C🇨🇩🇨🇩

    • @ustadhshafiionlinetv
      @ustadhshafiionlinetv  20 วันที่ผ่านมา +1

      Shukran

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 20 วันที่ผ่านมา

      ​​@@ustadhshafiionlinetv ndugu yangu nilitaka nikupigie simu kabla ya mdahalo huu kuna jambo nilitaka nikueleze lakini naona nilichokifikiria kumbe ndicho kilichokuwa akilini kwako. Naona unawanyoosha kweli kweli, Allah akuzidishie kila la kheri.

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 20 วันที่ผ่านมา

      ​@@ustadhshafiionlinetv acha maelezo ya janja Qur'an 4: 79 hao akina NASI waliomtuma Muhammad Mwarabu Maqureishi ni akina nani? Yaani hata ukeshe ukitoa maelezo huna jibu wewe

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 20 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@ustadhshafiionlinetv Waalimu Ndacha na Daniel 🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪💪💪💪💪💪🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Shafi hapo anapiga porojo akidhani eti kajibu😂😂😂😂😂😂

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 20 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@ustadhshafiionlinetv Swali liko pale pale Qur'an 4: 79 hao akina NASI waliomtuma Muhammad ni akina nani? Kisha wakamfanya Mwenyezi Mungu kuwa shahidi? Shafi acha porojo 😅😅

  • @user-ev3pw5me1w
    @user-ev3pw5me1w 20 วันที่ผ่านมา +1

    Muhammad sio mtume lakini Bado mwatumia Quran ya Muhammad

  • @zenahussein2242
    @zenahussein2242 20 วันที่ผ่านมา

    Sheikh shafii Elimu umewapa kazi kwao kuendelea ubishi wao kama kawaida yao lakin umejitoa kwenye lawama

  • @fredrickgitonga1972
    @fredrickgitonga1972 20 วันที่ผ่านมา

    Apo kwa mwanzo Mungu alikuwa pamoja na mwanawe yesu kristo

  • @HemedSerious
    @HemedSerious 20 วันที่ผ่านมา +1

    Hoja za Daniel hamna kitu hoja zake hata mm tu namjibu ata jasho halitoki

  • @jumahenriquesgeraldo9837
    @jumahenriquesgeraldo9837 20 วันที่ผ่านมา

    Anasema ni kauli ya Mungu na sisi hatummwoni. Je wao wanasema Yesu ni Mungu, Yesu hakuonekana?

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba1322 20 วันที่ผ่านมา

    HUYU SHAFI ANASHUSHA NYUNDO ZAMOTO SANA NA HUA ANAPIGA 👊 KWENYE MSHONO

  • @djumasuleimanisuleimani2724
    @djumasuleimanisuleimani2724 20 วันที่ผ่านมา

    Mimi niko congo ila nakukubali kweli

  • @BilalShingwa
    @BilalShingwa 18 วันที่ผ่านมา

    Pesa. Mnakala pekeyenu. Sisi tunabakia. Upambe tu. Acheni uchoyo tugawane pesa zinazopatikana. Katika majadiliano

  • @lilhydon452
    @lilhydon452 19 วันที่ผ่านมา

    Shafii muoga sana mkutano mkubwa kama huu wanapewa dakika 20?😂😂jebu mjiamini waislam

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 20 วันที่ผ่านมา

    Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah. Ndacha na Daniel 🔥💪🔥🔥💪💪🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪💪💪💪🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🙏🙏🙏

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt 20 วันที่ผ่านมา

      Wamotoni utawaona tu

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 20 วันที่ผ่านมา

      ​​@@SalmanMughal-lq5lt Wasujudia Al hajar Al aswad lililoko Makka ndiyo wa motoni!! Acha kusujudia kuelekea Makka unasujudia Jiwe jeusi bila kujitambua wewe Toka huko😢😢 karibu Kwa YESU KRISTO MWANA WA MUNGU ALIYE HAI AMBAYE NDIYO NJIA YA KWELI NA UZIMA

    • @huseinshedrack6180
      @huseinshedrack6180 19 วันที่ผ่านมา

      ​@@paulmushi2428😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂naona unajaribu kujipa moyo😂😂😂😂😂😂

  • @maulidharuna183
    @maulidharuna183 18 วันที่ผ่านมา

    Tuache utani haka kashekhe kanajua maandiko na kiswahili nilichogundua akina ndacha hawaelewi lugha vizur ndiyo maana wanapotea

  • @BilalShingwa
    @BilalShingwa 18 วันที่ผ่านมา

    Tugawane hizo pesa. Ndacha na shafii. Na sule. Mnakula pekeyenu. Acheni uchoyo. Mmeingiza milio 12

  • @jumahenriquesgeraldo9837
    @jumahenriquesgeraldo9837 20 วันที่ผ่านมา

    Sijaona ona kwenywe bibilia Aya inaosema Mariamu, Zacaria na Yohana walikuwa wanaswali kumwomba Yesu. Ni upuuzi mtupu. Ukristo ni upagani tuu!

  • @olivyechambikwa425
    @olivyechambikwa425 20 วันที่ผ่านมา

    Shaf wewe ninoma wew nishida hawkuwezi kabisa waende shurekwanza mungu akurinde

  • @allyjuma9287
    @allyjuma9287 19 วันที่ผ่านมา

    hapo ndo ninapokupendea she shafii we cheza na aya tu

  • @user-le4wr7mq6v
    @user-le4wr7mq6v 20 วันที่ผ่านมา

    Majibu ya kihuni hawana majibu kwa wakristo

  • @mariamally8548
    @mariamally8548 18 วันที่ผ่านมา

    Shafi nipe number yako

  • @amraniLwimbi
    @amraniLwimbi 20 วันที่ผ่านมา

    Shafi usimpe Aya laisi utaumbuka.. ata ukimwuliza swali injee ya vitabu unajibiwa.. onyoo waklistu mazinge. Shafi sule watuawa mabingwa wa maswa sugu (onyoo)

  • @BilalShingwa
    @BilalShingwa 18 วันที่ผ่านมา

    Sijaona. Elim bali niutetez wa kila mtu kwa upande wake. Mnapiga pesa tu. Hakuna kingine

  • @Swaleh-px1ug
    @Swaleh-px1ug 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Daniel hakuna kitu anaongea aya yenyew anakanyaga

  • @user-xe4dq7ul3h
    @user-xe4dq7ul3h 20 วันที่ผ่านมา

    Mnafiki shafi,unge weka full video,we umekata kipade ya kwako,potelea mbali

    • @user-kd7kh1io9k
      @user-kd7kh1io9k 19 วันที่ผ่านมา

      Imekuchomaeeeeeeeeeeee! Polesana ndomambo

  • @majaliwamussa1343
    @majaliwamussa1343 19 วันที่ผ่านมา

    Ni fimbo kwa fimbo, hadi wanyooke

  • @BoboManya
    @BoboManya 18 วันที่ผ่านมา

    Auko Saw Allah ndo Nani weye Fata yesu upate uzima wa milele dungu ule siyo mutume aliye owa mutoto wa 6 mpaka Na dada yake kisha uko namufata kweli uko munini uko mutu uliye soma ama kweli

  • @BilalShingwa
    @BilalShingwa 18 วันที่ผ่านมา

    Tugawane pesa. Kama sivyo. Hakuna umuhim niujing tu

  • @MiishHassan-qm1et
    @MiishHassan-qm1et 20 วันที่ผ่านมา

    Shekh shafi nabak tu nachek kwa Raha umejua kumfundisha mtot mdogo huyo akakojoe akalale😂😂

  • @hythamhashiem4458
    @hythamhashiem4458 20 วันที่ผ่านมา

    Ndacha na Daniel ni chuki tu na wajuwa wazi mtume Muhammad ni mtume wa Mwenyezi ezzi mungu lakini chuki na tumbo lao tunaomba Mwenyezi Mungu awaongoze ikiwa ni kheri kwao

  • @abuuhassani497
    @abuuhassani497 20 วันที่ผ่านมา

    Huu ndio Usomi mzeee sio makelele Wajua Daniel na Ndacha Wamezoe kuhubiri Sauti ya mkwaruzo
    Unaeza ukakimbia nawambia hakuna Kafiri awezae kusimama na Muislamu Akashinda

  • @Pablolookman
    @Pablolookman 20 วันที่ผ่านมา

    Wallahi nimeamini kwamba wakristo ni waongo ndo wamewoteza mchungaji mwenye Akili timamu huwez kusema eti biblia imeandikwa kabla ya Quran ndio maana wazungu wanazidi kusili wameshapata nuru

    • @samwelingasa1638
      @samwelingasa1638 20 วันที่ผ่านมา

      Sasa we ndugu yangu kabla Quran ni ya kwanza mbona injili ya Yesu imeandikwa kwenye Quran kwenye bible hamna hadithi za mtume

    • @user-kd7kh1io9k
      @user-kd7kh1io9k 19 วันที่ผ่านมา

      Achaujinga ww Quran nyingine nahadithi nyingine

  • @faiqaanwar7268
    @faiqaanwar7268 20 วันที่ผ่านมา

    Wape wape.waelewe quran.muhamed ninani mbele yamungu.watuachie mtume wetu

  • @user-le4wr7mq6v
    @user-le4wr7mq6v 20 วันที่ผ่านมา

    Hatuwez kuelewa ujinga hapo mtaelewa ninyi sio sisi sisi tunaongozwa na roho wa mungu ninyi dini yenu ya kimwili wap na wap hata maandiko yenu huyaelewi unaelewa nini xx shafi tu hajatumwa na mungu hy

    • @ramadhanjuma610
      @ramadhanjuma610 20 วันที่ผ่านมา

      Mngeongozwa na Rohomtakatifu mngekua mnatembea uchi barabarani mngekua mna tofautiana ktk imani yenu mnge sapoti uchoko mnge mwabudu kiumbe wapumbavu nyie hamna roho mtakatifu nyinyi niwatu waporojo siku zote hamna lolote zaidi ya porojo iyo Biblia yenyewe aitoki kwa Mungu nyie ndo muongozwe na Roho mtakatifu porojo zenu perekeni kanisani

    • @user-kd7kh1io9k
      @user-kd7kh1io9k 19 วันที่ผ่านมา

      Diniyetu sisi pamoja nayesu tunamsujudia mungu wewe unamsujudia nani?

  • @leomika8473
    @leomika8473 20 วันที่ผ่านมา

    Shaf Amna kitu Apo waislam amutuwezi sisi wakiristo

    • @user-cu8ki9cn8e
      @user-cu8ki9cn8e 20 วันที่ผ่านมา

      POLE KIJANA AU MSICHANA, ENDELEEA KUPINGA WAKRISTO WANAENDELEA KUSILIMU

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin634 20 วันที่ผ่านมา

    Wenzetu wapo kwa nia ya kupotosha wafuasi wao tu maskini,yani mambo yapo wazi kabsaa

  • @Anonymous23216
    @Anonymous23216 20 วันที่ผ่านมา

    Amna muislamu yeyote mswahili anaejua maana ya neno Kafiri. Af wabishi sana hawa ma ma jamaa. Dini ya kibishi tu ila misingi ahhh!!

    • @user-kd7kh1io9k
      @user-kd7kh1io9k 19 วันที่ผ่านมา

      Endelea kuburuzwa nakupakwa mafuta nakuwatajirisha makafiri wezio kwasadaka

  • @leomika8473
    @leomika8473 20 วันที่ผ่านมา

    Yani waislam msipo batizwa mnayo yasali nibure naiyo misikiti yenu

    • @user-kd7kh1io9k
      @user-kd7kh1io9k 19 วันที่ผ่านมา

      Ukristo nidini yamchongotu

  • @user-ks4hh8jb6k
    @user-ks4hh8jb6k 20 วันที่ผ่านมา +1

    Hapo hawafurukuti tena umeua sisimizi kwa nyundo ndacha haonekani 😄 🤣

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 20 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂😂😂 Swali liko pale pale Qur'an 4: 79 hao akina NASI Waliompeleka Muhammad kuwa mtume Kwa watu ni akina nani? na wakamfanya Mwenyezi Mungu kuwa shahidi?

    • @user-ks4hh8jb6k
      @user-ks4hh8jb6k 20 วันที่ผ่านมา

      @@paulmushi2428 hujasikiliza majibu?mbona umejibiwa kwa biblia na QUR'AN hujaelewa nini hapo kujicheka wajicheka mwenyewe wallah wabillah UISLAMU ni dini iliyoelekeza kila kitu kwa uwazi kuliko dini nyingine yeyote kama ni mungu mmoja ni mmoja kweli wala hana mwana wala hakuzaliwa wala hakuzaa wala hafanani na chochote DINI YA UISLAMU NDIO DINI PEKEE ILIYOWAZI INAELEKEZA MTU KWA UWAZI KISHA ANAPEWA HIARI AKITAKA AFUATE AKITAKA AACHE NA WATAKAOFUATA WATAENDA WAPI NA WATAKAOKATAA WATAENDA WAPI BASI KAZI NI KWAKO MZEE WE UCHEKE ULIE UFANYAJE KUFA TUTAKUFA SOTE ILA BAADA YA KUFA UTAKWENDA WAPI LAZIMA UJIILIZE HILO SWALI